yeheda maukweli
New Member
- Sep 13, 2016
- 2
- 7
Nisaidieni mawazo jamani.
Sijawahi kwenda kwa mganga.
Juzi natoka geto kwenda kwenye kibanda changu nikakutana na buku mbili njiani. Nikarudi geto nikachukua chumvi ya mawe nikaimwagia nikaiokota. Kwanzia hapi kila jioni nikipiga hesabu. Pesa zinapelea. Pesa ukirudia kuhesabu zunapelea tena kila siku. Nisaidieni kabla sijaanza kwenda sehem zisizo sahihi.
Sijawahi kwenda kwa mganga.
Juzi natoka geto kwenda kwenye kibanda changu nikakutana na buku mbili njiani. Nikarudi geto nikachukua chumvi ya mawe nikaimwagia nikaiokota. Kwanzia hapi kila jioni nikipiga hesabu. Pesa zinapelea. Pesa ukirudia kuhesabu zunapelea tena kila siku. Nisaidieni kabla sijaanza kwenda sehem zisizo sahihi.