Uke wake unaingiza ATM zaidi ya 18?? Kweli ana PANGO LA AMBONI.Polisi Kanda Maalum ya DSM, wanamshikilia Halima Juma mwenye umri wa miaka 23 Mkazi wa Chalinze, kwa tuhuma za wizi wa fedha kwenye mashine za kutolea fedha (ATM).
Kamanda Mambosasa amesema Askari wanaolinda Benki walimtilia mashaka Binti huyo aliyekuwa kwenye chumba cha ATM ya benki moja Mbagala akijifanya kuwasaidia Wazee na Wastaafu wasiojua kutumia mashine za ATM vizuri, lakini lengo lake ni kuchukua namba za siri za Wastaafu na Wazee hao na kisha kuwabadilishia ATM kadi zao na baadae kuwaibia fedha kwenye akaunti zao kwa kutumia kadi halisi za wahusika baada ya kuwabadilishia kadi na kuchukua namba za siri.
Mtuhumiwa huyo alikamatwa na Askari hao wanaolinda Benki hiyo na alipopekuliwa alikutwa na ATM kadi 23 za watu mbalimbali za Benki tofautitofauti zikiwa katika pochi yake huku akiwa amezificha kwenye sehemu zake za siri (ukeni.
Uke wake unaingiza ATM zaidi ya 18?? Kweli ana PANGO LA AMBONI.
Mi nadhani ameweka pochi mbele ya papuchi na sio ndaniHiyo labia majora sio ya dunia hii.
dah atakua aliensPochi yenye ATM 23 imefichwa kwenye nyeti huyu ni aliens.
noma saanaWamkague na kwenye tigo wanaweza kuta kadi 20
Vp alivoitoa uliinusaMi nadhani ameweka pochi mbele ya papuchi na sio ndani
Anyway nilipokuwa o level kuna dada aliweka simu kati kati ya makalio