Nourhan
JF-Expert Member
- Apr 7, 2023
- 1,234
- 3,125
Unataka Mashangazi wa aina gani 😂Hapana, huyo analeta shangazi zake, sio mashangazi nnaotaka Mimi 😅😅
Oowwwhh thank you dear... Niko poa...Natuma salami Kwa best zangu Hawa Glenn Mwachiluwi Dahan Lovelovie To yeye Half american ila wewe hunitajagi najikomba tu To yeye naomba maongezi na wewe kipenzi utakuwa na msaada kwangu , JamiiForums na @Moderators wote wa jf kazi iendelee na Samia wetu suluhu hasan wamama wote?
Umepangilia vizuri sana ID; inabidi utoe singo, mimi nitatengeneza mdundoLenie chukua hela hapo mezani, Kisha muite mpwa wangu Leejay49 , mwambie aende kwenye duka la mangi Gily anunue mahitaji ya leo. Patakuwa na ugeni mkubwa sana, maana Joannah kasema anamleta rasmi Equation x aje tumtambue, kwa maelezo niliyopata, huyu mkwe wetu ni mchanganyiko wa mbegu ya kiafrika na ulaya, kiufupi ni Half american , amesoma, anaelimu nzuri ya biashara, vijana wa mjini wanasema ni Intelligent businessman , sio maneno yangu hayo ni To yeye mwenyewe ndio kasema.
Hakikisha taarifa zinafika kwa majirani zetu Lovie Lady na Nourhan ili waje kusaidia kupika, maana Lovelovie peke yake hatoweza. Ila usialike watu wengi, Watu8 wanatosha. Mwambie Mzee wa kupambania ahakikishe tunapata matent, maana mvua inaweza kunyesha.
Pia kama una namba ya Depal plz mpigie, nasikia ni mpambaji mzuri sana. Ila usisahau kumkubusha Dejane aje in time, aje na dada yake Nuzulati , kuhusu Antonnia Sina shaka, maana yeye ndio mc.
Amehlo na Shunie nimesikia watakuja na upande wa mume. Dahan ni camerawoman leo, mwambie apige picha nzuri, na kuhusu malipo yake, asijali because I am The Boss
Waaoh Kuna watu mna akili sana sana Aiseee😍😍😍😍Lenie chukua hela hapo mezani, Kisha muite mpwa wangu Leejay49 , mwambie aende kwenye duka la mangi Gily anunue mahitaji ya leo. Patakuwa na ugeni mkubwa sana, maana Joannah kasema anamleta rasmi Equation x aje tumtambue, kwa maelezo niliyopata, huyu mkwe wetu ni mchanganyiko wa mbegu ya kiafrika na ulaya, kiufupi ni Half american , amesoma, anaelimu nzuri ya biashara, vijana wa mjini wanasema ni Intelligent businessman , sio maneno yangu hayo ni To yeye mwenyewe ndio kasema.
Hakikisha taarifa zinafika kwa majirani zetu Lovie Lady na Nourhan ili waje kusaidia kupika, maana Lovelovie peke yake hatoweza. Ila usialike watu wengi, Watu8 wanatosha. Mwambie Mzee wa kupambania ahakikishe tunapata matent, maana mvua inaweza kunyesha.
Pia kama una namba ya Depal plz mpigie, nasikia ni mpambaji mzuri sana. Ila usisahau kumkubusha Dejane aje in time, aje na dada yake Nuzulati , kuhusu Antonnia Sina shaka, maana yeye ndio mc.
Amehlo na Shunie nimesikia watakuja na upande wa mume. Dahan ni camerawoman leo, mwambie apige picha nzuri, na kuhusu malipo yake, asijali because I am The Boss
kazi nzuri uncle🤩Lenie chukua hela hapo mezani, Kisha muite mpwa wangu Leejay49 , mwambie aende kwenye duka la mangi Gily anunue mahitaji ya leo. Patakuwa na ugeni mkubwa sana, maana Joannah kasema anamleta rasmi Equation x aje tumtambue, kwa maelezo niliyopata, huyu mkwe wetu ni mchanganyiko wa mbegu ya kiafrika na ulaya, kiufupi ni Half american , amesoma, anaelimu nzuri ya biashara, vijana wa mjini wanasema ni Intelligent businessman , sio maneno yangu hayo ni To yeye mwenyewe ndio kasema.
Hakikisha taarifa zinafika kwa majirani zetu Lovie Lady na Nourhan ili waje kusaidia kupika, maana Lovelovie peke yake hatoweza. Ila usialike watu wengi, Watu8 wanatosha. Mwambie Mzee wa kupambania ahakikishe tunapata matent, maana mvua inaweza kunyesha.
Pia kama una namba ya Depal plz mpigie, nasikia ni mpambaji mzuri sana. Ila usisahau kumkubusha Dejane aje in time, aje na dada yake Nuzulati , kuhusu Antonnia Sina shaka, maana yeye ndio mc.
Amehlo na Shunie nimesikia watakuja na upande wa mume. Dahan ni camerawoman leo, mwambie apige picha nzuri, na kuhusu malipo yake, asijali because I am The Boss
Umeandaa suti ya utambulisho?wageni wengi Sana😁Umepangilia vizuri sana ID; inabidi utoe singo, mimi nitatengeneza mdundo
Hakuna haja ya suti; tisheti na jinsi inatosha tu; suti haitengenezi watotoUmeandaa suti ya utambulisho?wageni wengi Sana😁
Mdundo usiwe wa singeli tu 😅😅Umepangilia vizuri sana ID; inabidi utoe singo, mimi nitatengeneza mdundo
Unayemleta ajiandae kwa maswali mengi 😅😅Waaoh Kuna watu mna akili sana sana Aiseee😍😍😍😍
Uwahi kurudi, usikae sana dukani 😅😅kazi nzuri uncle🤩
Sawa sawa mwamba!nimekusoma🤣Hakuna haja ya suti; tisheti na jinsi inatosha tu; suti haitengenezi watoto
Nae si haba ,ana majibu ya papo kwa papo 😁😁😁😁Unayemleta ajiandae kwa maswali mengi 😅😅
Asante sana sister from another mother....makopa mengiKwenu ndugu zangu wa kambo Joannah na Half american
Muhimu asiombe hela ya sigara 😀 😀 😀Nae si haba ,ana majibu ya papo kwa papo 😁😁😁😁