CHUKI PARTY na LADY JAY DEE"commando binti machozi"

Party hii imewalenga wanaJF. Anataka kuona comments zetu lakini hamna jipya. Uswazi siku hizi watu wanakuja na matarumbeta kumsuta mtu na wakimaliza wanacheza mchiriko, wanakula pilau na kushushia na mnazi. She's just looking for attention now that anaona watu wamemsahau. Probably anataka watu wamuonee huruma apigiwe kura Kili Awards. Desperate times call for desperate measures
 
Mkemia mkuu wa serikali lazima awepo ku test vyakula vyote na vinywaji kabla wenye chuki kuvila au kivinywa.

Nguli umepinda. Ila umefikiria fasta aisee!!
Ni kweli, manake labda na yeye hawapendi wasiompenda
 
kweli kilashetani na mbuyu wake cheki hapa chini...

editha said... yani nimependa zat idea.uko creative sana.
March 29, 2010 7:37 AM
Anonymous said... mi ni mdau wa hii blog but sijawi kucommet, hii imeni-touch Jide inaelekea hawa watu wanakukera sana mpk ume-come up na hiyo idea, ni wazo zuri sana
Ester Ulaya said... Good idea, waje sasa na huko, maana nadhani watakueleza kila kitu maana blogin huwa havienei
March 29, 2010 7:53 AM
 
She should worry about things that she has, not those she doesnt have. Why worry about your haters! What a waste of time and resource! Hizo hela angeenda kutoa msaada wa mashuka ocean road, akatoa dedication kwa maadui zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…