Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,586
- 50,683
Habari ya wakati huu ni matumaini yangu nyote mpo salama.
Moja kwa moja niende kwenye mada husika.
Najua binadamu tuko tofauti lakini ningependa kupata comments tofauti tofauti kujua nini hasa hupelekea. Chuki, visasi, roho za kutendeana ubaya, malipizi, na mengineyo yasiyopendeza huletwa na nini?
Je, ni kwakuwa hujui na unaonekana mzigo?
Je, unajua zaidi yao na unaonekana kama tishio?
Au ni basi tu mtu anaamua kukuchukia bila sababu ya msingi na kukuombea kila uchwao ukumbwe na baya?
Ninakaribisha maoni.
Shimba ya Buyenze , Mshana Jr Watu8 , Omerta, @Da’Vinc , na wapendwa wengine karibuni.
Moja kwa moja niende kwenye mada husika.
Najua binadamu tuko tofauti lakini ningependa kupata comments tofauti tofauti kujua nini hasa hupelekea. Chuki, visasi, roho za kutendeana ubaya, malipizi, na mengineyo yasiyopendeza huletwa na nini?
Je, ni kwakuwa hujui na unaonekana mzigo?
Je, unajua zaidi yao na unaonekana kama tishio?
Au ni basi tu mtu anaamua kukuchukia bila sababu ya msingi na kukuombea kila uchwao ukumbwe na baya?
Ninakaribisha maoni.
Shimba ya Buyenze , Mshana Jr Watu8 , Omerta, @Da’Vinc , na wapendwa wengine karibuni.