I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,730
- 10,033
Huyo atakuwa Lupita Nyong'o tu hakuna lolote hapo
Mkuu umenikumbusha mbali sana kwenye Beat it ya mzee mzima the wacko jacko.Kabisa mkuu. Yaani Chui kasimamia vidole kama Michael Jackson kwenye Beat It!
Kuna popoma mbili zimebisha utafikiri nimetunga. Dah watu weusi tunaangamia kwa kukosa maarifa.
Old is gold mkuu. Pamoja sana.Mkuu umenikumbusha mbali sana kwenye Beat it ya mzee mzima the wacko jacko.
Photoshop!? You guys must be nuts. Photoshop in hundred years for God's sake!Photoshop at its best. Hiyo picha ya pili ukiangalia kwa umakini hizo nyayo za nyuma anawezaje kutembea huku zote zikiwa zinaonekana unyayo kwa wakati mmoja!? Au alikuwa anaelea bila kugusa ardhi hapo!?
Hakuna PS hapo. ktk kupandisha kilima wamempiga picha akiwa karukaPhotoshop!? You guys must be nuts. Photoshop in hundred years for God's sake!
Sent using Jamii Forums mobile app
we ndi popoma bcoz hii habari imeripotiwa kwe international media kadhaa including CNN na indiantumes, wataalamu wanaijadili huko we mmatumbi umekalia ubishiKabisa mkuu. Ni sawa na kukutana na Siberian Tiger Serengeti. Tatizo ni kwamba Watanzania wengi upeo wetu ni finyu sana. Ukijaribu kutofautiana mtazamo kwa hoja unaambulia kejeli na matusi. Mfano angalia huyo popoma nankumene alivyonishambulia hapo post #9.
Na watu wa aina yako ni hatari sana katika karne ya 21. Kwa hiyo Wewe unaamini Dunia ni duara!?
Pathetic!
Jombaa hapo si kasimamia ukucha au wewe husimamiagi ukucha ?Photoshop at its best. Hiyo picha ya pili ukiangalia kwa umakini hizo nyayo za nyuma anawezaje kutembea huku zote zikiwa zinaonekana unyayo kwa wakati mmoja!? Au alikuwa anaelea bila kugusa ardhi hapo!?
Share link ya hiyo story mkuu.Mpaka kuna video watu bado wanadai ni Photoshop? CNN na BBC waandike kuhusu story ya kubuni? Acheni uvivu nendeni kwenye internet mtafute video
kama fact iviPhotoshop at its best. Hiyo picha ya pili ukiangalia kwa umakini hizo nyayo za nyuma anawezaje kutembea huku zote zikiwa zinaonekana unyayo kwa wakati mmoja!? Au alikuwa anaelea bila kugusa ardhi hapo!?
Urukaji wa na namna gani huo dada nifungue mawazo tafadhali maana sielewi hapo bado
Mkuu unamacho sana aiseePhotoshop at its best. Hiyo picha ya pili ukiangalia kwa umakini hizo nyayo za nyuma anawezaje kutembea huku zote zikiwa zinaonekana unyayo kwa wakati mmoja!? Au alikuwa anaelea bila kugusa ardhi hapo!?
watu mnamajibu hataringoja nkuache huwenda nkawa nabishana na chui mwenyew hapa
Naunga mkono hoja.Kabisa mkuu. Ni sawa na kukutana na Siberian Tiger Serengeti. Tatizo ni kwamba Watanzania wengi upeo wetu ni finyu sana. Ukijaribu kutofautiana mtazamo kwa hoja unaambulia kejeli na matusi. Mfano angalia huyo popoma nankumene alivyonishambulia hapo post #9.
Na watu wa aina yako ni hatari sana katika karne ya 21. Kwa hiyo Wewe unaamini Dunia ni duara!?
Pathetic!
Kabisa mkuu. Ni sawa na kukutana na Siberian Tiger Serengeti. Tatizo ni kwamba Watanzania wengi upeo wetu ni finyu sana. Ukijaribu kutofautiana mtazamo kwa hoja unaambulia kejeli na matusi. Mfano angalia huyo popoma nankumene alivyonishambulia hapo post #9.
Na watu wa aina yako ni hatari sana katika karne ya 21. Kwa hiyo Wewe unaamini Dunia ni duara!?
Pathetic!