Chui aingia wilayani Hai mjini na kujeruhi watu, wazee wasema hii haijawahi kutokea wataka tambiko!

Hicho ni kitu cha kawaida kutokea. Maeneo ya Mkoa wa Kilimanjaro, Arusha na Manyara ni sehemu ambazo zimezungukwa na hifadhi nyingi za wanyama. Kwa hiyo, wanyama kutoka kwenye hafadhi kufika kwenye maeneo ya watu huweza kutokea. Akifika kwenye maeneo ya watu, kitendo cha kushambulia inakuwa ni njia ya kujihami kwake. Kwa hiyo wasilazimishe kupata yafsiri yeyote, ni sawa tu na kuku wa jirani kumkuta yupo barazani kwako
 
Hicho ni kitu cha kawaida kutokea. Maeneo ya Mkoa wa Kilimanjaro, Arusha na Manyara ni sehemu ambazo zimezungukwa na hifadhi nyingi za wanyama. Kwa hiyo, wanyama kutoka kwenye hafadhi kufika kwenye maeneo ya watu huweza kutokea. Akifika kwenye maeneo ya watu, kitendo cha kushambulia inakuwa ni njia ya kujihami kwake. Kwa hiyo wasilazimishe kupata yafsiri yeyote, ni sawa tu na kuku wa jirani kumkuta yupo barazani kwako
Yaani chui alitembea kutoka hifadhini hadi mjini sokoni?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom