You are right.
Wengi wamekufa masikini kama akina Daudi Tingatinga, George Lilanga, Philip Ndunguru ( msanii wa kwaza wa Gazeti la Sani aliyebuni characters kama akina Dr. Love Pimbi, Kipepe, Lodi Lofa and Ndumilakuwili) pia John Kaduma. Wote Majina yamebakia kuwa historia.