Junius
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 3,181
- 139
Unawakumbuka akina Pwagu na Pwaguzi?
Du tena mzee PWAGU ndiyo hivi tumemalizia kumzika bofya chini hapo.
http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/buriani-mzee-pwagu-tangulia
Unawakumbuka akina Pwagu na Pwaguzi?
You are right.
Wengi wamekufa masikini kama akina Daudi Tingatinga, George Lilanga, Philip Ndunguru ( msanii wa kwaza wa Gazeti la Sani aliyebuni characters kama akina Dr. Love Pimbi, Kipepe, Lodi Lofa and Ndumilakuwili) pia John Kaduma. Wote Majina yamebakia kuwa historia.
Du tena mzee PWAGU ndiyo hivi tumemalizia kumzika bofya chini hapo.
BURIANI MZEE PWAGU, TANGULIA! - Global Publishers