Hivi leo ni Ijumaa eeh?
Hahahahaha! Hehehehe! LOL! Mpwa leo umanipatia kweli. Manake hako kabinti hapo kwa mgongo leo ni Happy BIRTHDAY yake ya kuzaliwa! Hahaha! You have made my day mkuu! Hahaha! LOL. Nimecheka mpaka basi! Happy Birthday my kabinti MATESHA. You are my everything. Am proud of you! Nimekugongea senksi mpwa nguli. LOL!
Ndio! najua kuna watakao kuonea wivu waseme umempa limbwata
Nitapataje mwanamke wakunifanya hivyo na mimi? nitafurahi sana.
NIshakugongea shemu,ila tu leo umeniacha hoi! my hanei ananipenda mpaka basi.Hapo ile picha yangu nimekaa kwenye sofa miguu juu hujaiweka.Nashangaa ZD hata senks hagongi, mtoto wenu ana afya nzuri sana, hongera na jiko mmelikarabati limekuwa la kisasa nashangaa watu hawataki kuingia kwenye ndoa kuna drama sana.
Hahahahaha! Hehehehe! LOL! Mpwa leo umanipatia kweli. Manake hako kabinti hapo kwa mgongo leo ni Happy BIRTHDAY yake ya kuzaliwa! Hahaha! You have made my day mkuu! Hahaha! LOL. Nimecheka mpaka basi! Happy Birthday my kabinti MATESHA. You are my everything. Am proud of you! Nimekugongea senksi mpwa nguli. LOL!
Mpenzi wangu inakuwaje kuhusu our daughter matesha? ile zawadi kama haimtoshi vile?
Sijui niweke picha yangu hapa ili nipate mke humu JF nitafurahi, nitafanya kima wewe krispini
Hahahahaha! Hehehehe! LOL! Mpwa leo umanipatia kweli. Manake hako kabinti hapo kwa mgongo leo ni Happy BIRTHDAY yake ya kuzaliwa! Hahaha! You have made my day mkuu! Hahaha! LOL. Nimecheka mpaka basi! Happy Birthday my kabinti MATESHA. You are my everything. Am proud of you! Nimekugongea senksi mpwa nguli. LOL!