Huyo dada anali feel hogo la jang'ombe la Chris,inaonekana lilipoota mbawa alikosa raha,hapo ndio utajua hata ukiwa na pesa na kila kitu sio ndio kuwa una raha,hogo ni shughuli ingine!Ugomvi wa wapenzi wawili usitie lako...nawashangaa sana wale waliofanya maandamano ya concert yake kumbe wenyewe bado wanakula bata.
Huyo dada anali feel hogo la jang'ombe la Chris,inaonekana lilipoota mbawa alikosa raha,hapo ndio utajua hata ukiwa na pesa na kila kitu sio ndio kuwa una raha,hogo ni shughuli ingine!