LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 19,899
- 37,700
Dogo Chris Breezy ana fan base kubwa sana... 50 baada ya kukaa nje ya game la muziki kwa muda mrefu, alikuwa kila akijaribu kufanya ngoma ina buma. Kafanya track nyingi sana zote zikawa zinabuma.. Alipotoa remix ya ngoma yake Im the man, akimshirikisha Chris Brown, imefanya poa sana. Cheki YOU Tube, ngoma ina viewres milioni 55 na zaidi.