PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,655
- 15,777
Ndo hasara za kuiga kila kitu chopa mbovu hizi zitawamaliza masisiem wenyewe kabla hawajashuhudia Lowasa anaingia IKULU.
Wameshaiga sana ila wanachotaka kuiga sasa hv ndiyo funga kazi. Eti nao wamepanga kuiga kumpigia kura Lowasa.