Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,797
Mageuko tena , mama Samia OYEEEEEE.Na bado. Huyu mama atachokwa mapema mno. Tanzania bila kufumua system hakuna kitakachobadilika. Ubaya ni kuwa watu wakisema katiba mpya basi kila mtu anadhani lengo ni tume huru na wapinzani wawe na chance nzuri ya kuingia ikulu jambo ambalo siyo kweli.
Aisee ukiona tobo pita humo humo ,hii Dunia ni manumbu tu mkuuMkuu nawaza kuacha philosophy nami nipite huko slop kitonga.Nisije kupasuka kichwa.
Kwani kina Newton hawaeleweki? Au wewe ndiyo huwalewi? Kwa taarifa: hata mambo ya kawaida unaweza usiyaelewe.Kwa IQ gani ulonayo hadi usieleweke, wewe ni Einstein ama Newton? Acha kujitutumua
Kingekuwa sio cheyo kizuri usingekuwa unalia Lia hapa🤣 🤣 🤣Nimekosa nini? Ukuu wa Wilaya? Kweli hii nchi tuna matatizo makubwa. Hivi ukuu wa wilaya nao ni cheo cha kulilia? Kweli mtu mwenye akili aache shughuli zake kwa cheo ambacho inabidi uishi kama panya bila kujua kesho inakuja na nini? Samahani sana.
Samahani mkuu, eidha ulikuwa mnufaika na UDC au utawala uliopita au umepigwa hela kwa ahadi ya kuteuliwa UDCHakuna Rais hapo
Unapata ahueni ya kisaikolojia unapojidanganya akili yako unaongea mambo magumu watu wanajishindwa kuyaelewa. Ni ugonjwa wa akili. You need to be confined and institutionalized seeing a psychiatrist might save you.Kwani kina Newton hawaeleweki? Au wewe ndiyo huwalewi? Kwa taarifa: hata mambo ya kawaida unaweza usiyaelewe.
Uigizaji ni kazi tu kama ilivyokua ualimu wa korosho ukuu wa wilya na uraisi sio kazi professional mtu yeyote timamu anawezaAisee ni sirikali ya aina yake ...
Labda ataendeleza uigizaji huko kwenye UDC
Na hatimaye filamu zetu zitakwenda Holly Wood.
Msituletee ujinger wenu hapa.Uigizaji ni kazi tu kama ilivyokua ualimu wa korosho ukuu wa wilya na uraisi sio kazi professional mtu yeyote timamu anaweza
Hizi ni nafasi za vijana zinazokusudiwa kuwatayarisha kwa ajili ya kuja kushika nafasi zingine za juu zaidi. Xinawafaa zaidi watu ambao hawazidi umri wa miaka 45. Ni maoni yangu binafsi, Katiba yetu haisemi hivyoDaah ni haki ya kila mtu kuteuliwa lakini hapa sijui kigezo gani kimetumika...huenda una sifa muhimu imejificha, hongera kijana
Hapa hakuna kitu cha maana kabisa,labda undugu tu tusio ujua lakini kwa huyu sioni lolote
Sikuizi wanaangailia majina.(elimu)Umeongea ukweli mtupu. TISS, Polisi, PCCB zina wasomi wazuri na wazalendo. Leo hii unaenda kuchukua kina Jerry Muro? Nick wa Pili n.k
CCM ni zaidi ya kansa.