Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,795
Mageuko tena , mama Samia OYEEEEEE.Na bado. Huyu mama atachokwa mapema mno. Tanzania bila kufumua system hakuna kitakachobadilika. Ubaya ni kuwa watu wakisema katiba mpya basi kila mtu anadhani lengo ni tume huru na wapinzani wawe na chance nzuri ya kuingia ikulu jambo ambalo siyo kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app