Naomba unitajie eneo mojawapo ambalo CCM wamechimba Kisima/Visima au kujenga Barabara kwa kutumia fedha za CCM, Ukiishanipatia hili jibu naomba unifafanulie zile 90,000,000/= Mwigulu alizochukua Bank siku moja kabla ya Uchaguzi zimeenda Kalenga kuchimba visima vingapi?