Masoud Mwakoba
Senior Member
- Dec 21, 2012
- 129
- 19
Shida inakuja pale ambapo wewe ni mgeni,mwenyeji uliyemtembelea nyumbani kwake kuna tabia ya kutoka na maji ndani ukiwa unahitaji kwenda chooni,hii namaanisha kwamba chooni huwa hakuwekwi maji
Alafu ndo umefika chooni, bila kukagua kwa kuwa umezoea kawaida kuwa chooni kuna kuwaga na maji, unaanza kuchusha vitu vikubwa kwa raha zako, unamaliza ndo unashituka hakuna maji wala toilet paper. choo chenyewe ni cha nje alafu wamama wakiswahili wamejianika nje wanasukana.Shida inakuja pale ambapo wewe ni mgeni,mwenyeji uliyemtembelea nyumbani kwake kuna tabia ya kutoka na maji ndani ukiwa unahitaji kwenda chooni,hii namaanisha kwamba chooni huwa hakuwekwi maji
Shida inakuja pale ambapo wewe ni mgeni,mwenyeji uliyemtembelea nyumbani kwake kuna tabia ya kutoka na maji ndani ukiwa unahitaji kwenda chooni,hii namaanisha kwamba chooni huwa hakuwekwi maji