The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 7,382
- 8,437
Hivi huko hakuna Viongozi?
Wapuuzi wachache Kama hao ndio wanafanya Chadomo ipate kiki za kijinga na kuichafua Serikali 👇
=====
"Hiki choo cha Shule ya Msingi Twiga, Mtaa wa Kisanga, Kata ya Wazo, Wilaya ya Kinondoni, Mkoa wa Dar es Salaam, kimejengwa kwa gharama ya mil 29. CCM kwa UPIGAJI ni kila kona hata kwenye miradi midogo," Patrick John Assenga
Wapuuzi wachache Kama hao ndio wanafanya Chadomo ipate kiki za kijinga na kuichafua Serikali 👇
=====
"Hiki choo cha Shule ya Msingi Twiga, Mtaa wa Kisanga, Kata ya Wazo, Wilaya ya Kinondoni, Mkoa wa Dar es Salaam, kimejengwa kwa gharama ya mil 29. CCM kwa UPIGAJI ni kila kona hata kwenye miradi midogo," Patrick John Assenga