Nahisi tatizo TV1 wanaonesha kombe la mabara na startimes ndio wamepewa kuonesha hizo mechi. Naona wameleta kikwazo kwa azam nao azam hawataki kuweka wazi
Walitoa tangazo kwenye facebook kuwa wameshindwa kufikia makubaliano na Tv 1 hivyo kuanzia Jumatatu isingeonekana ila kuna channel mpya ya michezo italetwa
Nahisi tatizo TV1 wanaonesha kombe la mabara na startimes ndio wamepewa kuonesha hizo mechi. Naona wameleta kikwazo kwa azam nao azam hawataki kuweka wazi