Angalia kbc na crtv wako live kwenye king'amuzi cha AzamTVNa hii tv1 Tanzania ni nini wakuu? Kwangu haifunguki na natumia kifurush cha 23k = 28k
Angalia kbc na crtv wako live kwenye king'amuzi cha AzamTVNa hii tv1 Tanzania ni nini wakuu? Kwangu haifunguki na natumia kifurush cha 23k = 28k
Crtv nayo ipo kwenye king'amuzi cha Azam? Maana KBC quality yake sio nzur sanaKbc na crtv wako live
Crtv nayo ipo kwenye king'amuzi cha Azam? Maana KBC quality yake sio nzur sana
Azam very arrogant and have that dogmatic character. Tatizo lao wamezidi kujiona wako too above everyone and everything. WajiangalieNahisi tatizo TV1 wanaonesha kombe la mabara na startimes ndio wamepewa kuonesha hizo mechi. Naona wameleta kikwazo kwa azam nao azam hawataki kuweka wazi
Kweli kabisa ni kampuni ya kimaskini maaana wanakera kuliko kawaidaMimi Nipo najikongoja na continental kampuni LA masikini
Ila continental wanaomesha kupitia TV1Nahisi tatizo TV1 wanaonesha kombe la mabara na startimes ndio wamepewa kuonesha hizo mechi. Naona wameleta kikwazo kwa azam nao azam hawataki kuweka wazi