Mkoa wa Kagera na hasahasa wilaya ya Bukoba vijijini ina matatizo makubwa ya maji, mkoa wa Kagera ni kati ya mikoa michache sana Tanzania ambayo wananchi wanagombea maji na mifugo,katika karne hii kukosa maji ya bomba au Kisima ni aibu.
Katika vijiji vya wilaya ya Bukoba vijijini, Nkenge na Muleba maji usombwa na bodaboda na ndoo ni mpaka sh 700.
Najua mkoa huu una wabunge japo ni aina ya Wabunge ambao kwao ni Dar Es Salaam, hawajui matatizo na mahitaji halisi ya majimboni mwao, na ndio maana michango yao ni kuulizia viwanja vya ndege so and so kitajengwa lini etc.
Nilitegemea katika bajeti ya wizara ya maji wabunge hao wapigie sana kelele na kuondoa mashilingi kuhusu suala la maji majimboni mwao, lakini as usual walikuwa kimya tu na kuachia wengine wa mikoa mingine na ambao wengi wao wana maji tayari wakiongezewa mitandao ya maji majimboni mwao.
Honestly kama by 2015 hakuna maji ya uhakika na salama katika mkoa wa Kagera especially wilaya za Bukoba vijijini na Muleba, Nkenge basi ni bora waheshimiwa wetu msichukue fomu kabisa kwani hata mimi nitatumia hela yangu kufanya malicious campaign.
Katika vijiji vya wilaya ya Bukoba vijijini, Nkenge na Muleba maji usombwa na bodaboda na ndoo ni mpaka sh 700.
Najua mkoa huu una wabunge japo ni aina ya Wabunge ambao kwao ni Dar Es Salaam, hawajui matatizo na mahitaji halisi ya majimboni mwao, na ndio maana michango yao ni kuulizia viwanja vya ndege so and so kitajengwa lini etc.
Nilitegemea katika bajeti ya wizara ya maji wabunge hao wapigie sana kelele na kuondoa mashilingi kuhusu suala la maji majimboni mwao, lakini as usual walikuwa kimya tu na kuachia wengine wa mikoa mingine na ambao wengi wao wana maji tayari wakiongezewa mitandao ya maji majimboni mwao.
Honestly kama by 2015 hakuna maji ya uhakika na salama katika mkoa wa Kagera especially wilaya za Bukoba vijijini na Muleba, Nkenge basi ni bora waheshimiwa wetu msichukue fomu kabisa kwani hata mimi nitatumia hela yangu kufanya malicious campaign.