Chonde chonde TAMISEMI, suala la kuhamisha walimu wa sanaa mlifanye nyinyi wenyewe kuhepusha rushwa na kujuana

Honest One

JF-Expert Member
May 12, 2017
235
274
Habari zenu wana JF, nipende na mimi kutoa la moyoni kuhusu hili suala linalowahumiza walimu wa sekondari masomo ya sanaa. Kusema ukweli baada ya kutolewa lile tangazo walimu tajwa hawana raha kila muda ni kuwaza namna ya kuhepuka hiki kikombe.

Kwakuwa serikali imeshaamua hivi na sisi hatuna la kufanya basi tunawaomba huu mchakato ufanywe na wataalamu toka TAMISEMI au wizara ya elimu kuhepusha vitendo vya rushwa,upendeleo na kujuana kutoka kwa maafisa elimu na wakuu wa shule.

Hapa vingewekwa vigezo ambavyo vitaondoa lawama na vitendo viovu nilivyovitaja awali.

Mapendekezo yangu ya walimu ambao wangepelekwa shule za misingi ni kama yafuatayo;

i) walimu walioazimwa 2009 zilipoanzishwa shule za kata. Hawa walikuwa walimu wa shule za misingi kutokana na upungufu uliokuwepo kipindi kile ilibidi wapelekwe sekondari kwakuwa walikuwa wameshajiendeleza.Hili kundi lingefaa sana na ni ngumu kutekelezwa ikiwa ni maafisa elimu watachagua kwa sababu wengi washapewa madaraka mbalimbali wengine ni wakuu wa shule kabisa.

ii)walimu wa diploma,hawa hawana tofauti sana na walimu wa grade A,hata vyuo wanasoma pamoja hivyo na walimu wao ni walewale lakini pia itakuwa ni matumizi mabay ya rasilimali watu ikiwa wa degree anaondolewa anabakizwa wa diploma kwakuwa hata SERA ya elimu ya 2010 inaeleza wazi kuwa mwalimu mwenye stashahada (diploma) inabidi afundishe kidato cha kwanza hadi cha pili tu. Sasa hawa watu bila maofisa kutoka huko juu si rahisi kupelekwa msingi kwa sababu ndo wanaopendwa na maafisa elimu na wakuu wa shule kutokana kujipendekeza kwao na unynyekevu wa hali ya juu jumlisha na janja janja zao.

iii)Kuna wale waliosoma degree kipindi mh. Kikwete, unakuta mtu ana E mbili na subsidiary moja anaenda chuo kikuu. Hawa nao ni wakuangaziwa sana.

iv)Kuna wale waliosoma kwa kuungaunga sana,unakuta o'level anavyeti vitatu inamaana amerisiti mara kibao, au mtu amepiga QT mwanzo mwisho,hawa nao si wakufumbia macho. Tunao huku makazini haya mambo ya kitaaluma hawayawezi kabisa.

Kwakweli mkifuata vigezo hivi na bila kuwashirikisha maafisa elimu na wakuu wa shule,vilio vitapungua sana kwasababu mtu ataona alistahili kabisa.

Nasisitiza tena wakuu wa mashule na maafisa elimu wasishirikishwe na waonevu na wala rushwa wakubwa(pesa na ngono),vile vile watatumia hii fursa kama adhabu kwa wale walimu wasioelewana na wakuu wao au wale wasiowanyenyekea.
 
mi nafikiri kigezo kiwe



Moja, Wenye Diploma wote wahamishiwe Msingi.

pili, Wenye digrii wote wabaki sekondari na hata wale walio Msingi Wenye digrii wapelekwe Sekondari. Wenye diploma wote walio sekondari wapelekwe Shule za Msingi.
Ni kweli ila hata hiyo namba moja niliyoitaja nayo inafaa sana maana hao walimu walikuwa huko.
 
Kufundisha ni kipaji kuna watu wanadegree na hawana vyeti vya kuunga ila darasani kufundisha hawezi,lakini mwenye deproma unakuta anasifiwa na wanafunzi kwakuwa anawafundisha na wanamuelewa
 
Kwakweli mkifuata vigezo hivi na bila kuwashirikisha maafisa elimu na wakuu wa shule,vilio vitapungua sana kwasababu mtu ataona alistahili kabisa.
Hivi unajua kuwa watu wengine wana familia? Hivyo vigezo vyako mbona havijazungumzia current performance yao zaidi ya past?!
 
Hivi unajua kuwa watu wengine wana familia? Hivyo vigezo vyako mbona havijazungumzia current performance yao zaidi ya past?!
Hata shule za misingi wanahitaji pia watu wenye pperfomance nzuri lakini formality inabidi izingatiwe,mdogo ampishe mkubwa. Lakini cha msingi ni kwamba sera ya elimu inaweka bayana kwamba diploma mwisho kufundisha ni form two wakati degree ni kuanzia forme one hadi vyuo vya ualimu sasa hapo si unaona nani inabidi aachwe na nani abakizwe?
 
Kufundisha ni kipaji kuna watu wanadegree na hawana vyeti vya kuunga ila darasani kufundisha hawezi,lakini mwenye deproma unakuta anasifiwa na wanafunzi kwakuwa anawafundisha na wanamuelewa
Hatupimi kwa hilo,tunapima kwa documents ambazo ni vyeti,hao wanakuwa na porojo nyingi story za uongo kujipendekeza kwa wansfunzi ili kuficha ukilaza wao
 
Habari zenu wana JF, nipende na mimi kutoa la moyoni kuhusu hili suala linalowahumiza walimu wa sekondari masomo ya sanaa. Kusema ukweli baada ya kutolewa lile tangazo walimu tajwa hawana raha kila muda ni kuwaza namna ya kuhepuka hiki kikombe.

Kwakuwa serikali imeshaamua hivi na sisi hatuna la kufanya basi tunawaomba huu mchakato ufanywe na wataalamu toka TAMISEMI au wizara ya elimu kuhepusha vitendo vya rushwa,upendeleo na kujuana kutoka kwa maafisa elimu na wakuu wa shule.

Hapa vingewekwa vigezo ambavyo vitaondoa lawama na vitendo viovu nilivyovitaja awali.

Mapendekezo yangu ya walimu ambao wangepelekwa shule za misingi ni kama yafuatayo;

i) walimu walioazimwa 2009 zilipoanzishwa shule za kata. Hawa walikuwa walimu wa shule za misingi kutokana na upungufu uliokuwepo kipindi kile ilibidi wapelekwe sekondari kwakuwa walikuwa wameshajiendeleza.Hili kundi lingefaa sana na ni ngumu kutekelezwa ikiwa ni maafisa elimu watachagua kwa sababu wengi washapewa madaraka mbalimbali wengine ni wakuu wa shule kabisa.

ii)walimu wa diploma,hawa hawana tofauti sana na walimu wa grade A,hata vyuo wanasoma pamoja hivyo na walimu wao ni walewale lakini pia itakuwa ni matumizi mabay ya rasilimali watu ikiwa wa degree anaondolewa anabakizwa wa diploma kwakuwa hata SERA ya elimu ya 2010 inaeleza wazi kuwa mwalimu mwenye stashahada (diploma) inabidi afundishe kidato cha kwanza hadi cha pili tu. Sasa hawa watu bila maofisa kutoka huko juu si rahisi kupelekwa msingi kwa sababu ndo wanaopendwa na maafisa elimu na wakuu wa shule kutokana kujipendekeza kwao na unynyekevu wa hali ya juu jumlisha na janja janja zao.

iii)Kuna wale waliosoma degree kipindi mh. Kikwete, unakuta mtu ana E mbili na subsidiary moja anaenda chuo kikuu. Hawa nao ni wakuangaziwa sana.

iv)Kuna wale waliosoma kwa kuungaunga sana,unakuta o'level anavyeti vitatu inamaana amerisiti mara kibao, au mtu amepiga QT mwanzo mwisho,hawa nao si wakufumbia macho. Tunao huku makazini haya mambo ya kitaaluma hawayawezi kabisa.

Kwakweli mkifuata vigezo hivi na bila kuwashirikisha maafisa elimu na wakuu wa shule,vilio vitapungua sana kwasababu mtu ataona alistahili kabisa.

Nasisitiza tena wakuu wa mashule na maafisa elimu wasishirikishwe na waonevu na wala rushwa wakubwa(pesa na ngono),vile vile watatumia hii fursa kama adhabu kwa wale walimu wasioelewana na wakuu wao au wale wasiowanyenyekea.
Sasa kama wewe mwalimu unasema kuhepusha badala ya kuepusha na linalowahumiza badala ya linalowaumiza. €/&_%¥#$^/$_ shithole.
 
Habari zenu wana JF, nipende na mimi kutoa la moyoni kuhusu hili suala linalowahumiza walimu wa sekondari masomo ya sanaa. Kusema ukweli baada ya kutolewa lile tangazo walimu tajwa hawana raha kila muda ni kuwaza namna ya kuhepuka hiki kikombe.

Kwakuwa serikali imeshaamua hivi na sisi hatuna la kufanya basi tunawaomba huu mchakato ufanywe na wataalamu toka TAMISEMI au wizara ya elimu kuhepusha vitendo vya rushwa,upendeleo na kujuana kutoka kwa maafisa elimu na wakuu wa shule.

Hapa vingewekwa vigezo ambavyo vitaondoa lawama na vitendo viovu nilivyovitaja awali.

Mapendekezo yangu ya walimu ambao wangepelekwa shule za misingi ni kama yafuatayo;

i) walimu walioazimwa 2009 zilipoanzishwa shule za kata. Hawa walikuwa walimu wa shule za misingi kutokana na upungufu uliokuwepo kipindi kile ilibidi wapelekwe sekondari kwakuwa walikuwa wameshajiendeleza.Hili kundi lingefaa sana na ni ngumu kutekelezwa ikiwa ni maafisa elimu watachagua kwa sababu wengi washapewa madaraka mbalimbali wengine ni wakuu wa shule kabisa.

ii)walimu wa diploma,hawa hawana tofauti sana na walimu wa grade A,hata vyuo wanasoma pamoja hivyo na walimu wao ni walewale lakini pia itakuwa ni matumizi mabay ya rasilimali watu ikiwa wa degree anaondolewa anabakizwa wa diploma kwakuwa hata SERA ya elimu ya 2010 inaeleza wazi kuwa mwalimu mwenye stashahada (diploma) inabidi afundishe kidato cha kwanza hadi cha pili tu. Sasa hawa watu bila maofisa kutoka huko juu si rahisi kupelekwa msingi kwa sababu ndo wanaopendwa na maafisa elimu na wakuu wa shule kutokana kujipendekeza kwao na unynyekevu wa hali ya juu jumlisha na janja janja zao.

iii)Kuna wale waliosoma degree kipindi mh. Kikwete, unakuta mtu ana E mbili na subsidiary moja anaenda chuo kikuu. Hawa nao ni wakuangaziwa sana.

iv)Kuna wale waliosoma kwa kuungaunga sana,unakuta o'level anavyeti vitatu inamaana amerisiti mara kibao, au mtu amepiga QT mwanzo mwisho,hawa nao si wakufumbia macho. Tunao huku makazini haya mambo ya kitaaluma hawayawezi kabisa.

Kwakweli mkifuata vigezo hivi na bila kuwashirikisha maafisa elimu na wakuu wa shule,vilio vitapungua sana kwasababu mtu ataona alistahili kabisa.

Nasisitiza tena wakuu wa mashule na maafisa elimu wasishirikishwe na waonevu na wala rushwa wakubwa(pesa na ngono),vile vile watatumia hii fursa kama adhabu kwa wale walimu wasioelewana na wakuu wao au wale wasiowanyenyekea.
kwanza unaongea usicho kijua na cha ajabu wewe NI shahada mikujuze tu kitu ambacho hukijui NI kwamba
kwanza masomo anayosoma mwalimu wa stashahada ndio anayo soma mwenye shahada, degree kama yalivyo mf.

education media and technology
research, measurement and evaluation
psychology
foundation of education
informationa ,communication and technology
curriculum
comunication skills
development study nk

hayo hayo ndio hitimika degree na.diploma sasa unapo sema grade A na diploma NI sawa unashangaza jamii na huenda hata Elimu yako inamushkeli. pitia mtaala wa grade A uone wanacho.soma halafu utakuja kuniambia hapa kama uko sahihi. juu ya hicho unacho.kiamini

tatu: Kati ya walimu bora na wazuri na walio andaliwa.vizuri NI. walimu wa stashahada Hilo halina ubishi na yeyote aliye pitia.Elimu hizi zote mbili yaan stashahada na.shahada atahakikisha Hilo na kwa utafiti wa uhaakika NI kwamba walimu wengi wanao jituma na.Kazi na wenye weledi wa.kutosha NI stashahada na sio.hicho unacho.dai wewe

usitafute huruma ya wizara na hiyo degree yako na waraka hauja baininsha hivyo so utaenda primary na utafundisha haiba na michezo na si vinginevyo hakina cha diploma wala degree wewe kama umezid hapo shuleni kwako basi wewe NI.ziada kafundishe haiba na michezo full stop. acha kujiinua na kibachelor chako cha GPA 2.0
Hatupimi kwa hilo,tunapima kwa documents ambazo ni vyeti,hao wanakuwa na porojo nyingi story za uongo kujipendekeza kwa wansfunzi ili kuficha ukilaza wao
acheni kutafuta. huruma na vi degree vyenu vya gentleman hivyo mtu hupimwa kwa.uwezo wake wa.ku deliver materials kwa.wanafunzi sio cheti maana unapo ingia darasani wanafunzi hawatazami cheti.chako wana zingatia unacho waelekeza,


kwa.hoja.hizi zako unaonekana unaitukuza sana degree yako kwa.kidhan inltakufanya uonekane smart wakati Mimi mtaalamu wa.psychology natambua kabisa kuwa mpo desperate na uhamisho hivyo.mnatafuta mbeleko ya hiy videgree vyenu ya 2.0 GPA viwabebe kitu ambacho hakiwezekani jiandae kwenda.kufundisha haiba na.michezo full stop.

waraka umefafanua vizuri kabisa kuwa zoazi litaanza na walimu wenye stashahada na.shahada ya kwanza sasa sijui kigumu kwenu NI kipi viwalimu vyenye degree vingi kichwan.NI vimbumbumbu Kazi kuvaa vi mini na.vimodo tu

kwa utafit tulio ufanya na shirika letu ulionesha walimu wenye diploma.NI bora.zaid na na wanafundisha vizuri na.wanaeleweka kuliko hizo degree ya kununua GPA kwa.prof. sorry! andaa notes za stadi za Kazi mwalimu
 
WALIMU WA NCHI HII WANA SHIDA HADI HURUMA

CHEKI WANAVYO TANGISHWA TANGISHWA

BADO HUJAJA KWENYE MSHAHARA KIDUCHU
 
Back
Top Bottom