Chonde Chonde Ndugu zetu Wazanzibari, Msilete Fyoko Fyoko, Mtaumia bure!

Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya JMT, hivyo JWTZ kutapakaa Zanzibar yote ni halali!. Utaikaliaje kijeshi nchi yako mwenyewe!.

Wanzanzibari siku zote wanaongea as if Zanzibar ni nchi!.

Zanzibar sio nchi!, ndani ya set up ya Muungano Zanzibar ni kama Lindi tuu au Singida!.

Pasco
Gharama ya kutawala Zanzibar ghali jeshi mmoja kwa Wanzazibari wawili believe me gharama itapanda astronomically siku si nyingi. Siyo Mimi ni kanuni za historia.
 
Wanabodi,

Baada ya lile tangazo la jana la Amiri Jeshi Mkuu wa nchi yetu, Dr. John Pombe Magufuli kumhusu yoyote atakayete fyoko fyoko popote alipo!.

Natoa wito kwa ndugu zetu Wanzibari, Chonde Chonde msilete fyoko fyoko!, upole, cheko cheko na bashasha za Jakaya Kikwete, zimetuponza Tanzania kama taifa, tukajiachia na kujisahau sana hadi kila siku kuleta fyoko fyoko na hakuna chochote ambacho kilifanyika!.

Magufuli sio Kikwete, jana katoa amri watu wasilete fyoko fyoko, ni kweli Watanzania katika umoja wetu tuitunze, tuienzi na kuithamini amani na utulivu uliopo, tusilete kabisa fyoko fyoko za aina yoyote!.

Naomba kukiri nimepandisha uzi huu kwa msipiration nilioipata kwenye mchango wa mwana jf huyu..

Magufuli atapeleka majeshi Zanzibar kwenda kusimamia amani na utulivu, ikitokea majeshi yakaua mtu, itakuwa mtu huyo ameleta fyoko fyoko!. Mtu akileta fyoko fyoko atashughulikiwa kikamilifu!. Ikitokea wengine wasi na hatia wakadhurika katika kututuliza hizo fyoko fyoko, then aliyesababisha madhara hayo ni muanzisha wa fyoko fyoko na sio mtulizaji au mdhibiti wa fyoko fyoko!.

Dawa ni moja tuu kwa Wanzanzibar, baada ya kumsikia Amiri Jeshi Mkuu akiwaonya msilete fyoko fyoko, hili sio ombi ni amri, hivyo msilete fyoko fyoko!.

Pasco
Nakumbushia tuu kuhusu watu kuleta fyoko fyoko, japo bandiko la msingi lilikuwa ni kuhusu za Zanzibar, Chadema na operation UKUTA, inataka kumchokoza dikiteta!, watu mmeishajua kabisa pasi shaka kuwa jamaa ni dikiteta!, bado mnathubutu kumchezea kwa kutaka kuleta fyoko fyoko?!.

Pasco
 
Nakumbushia tuu kuhusu watu kuleta fyoko fyoko, japo bandiko la msingi lilikuwa ni kuhusu za Zanzibar, Chadema na operation UKUTA, inataka kumchokoza dikiteta!, watu mmeishajua kabisa pasi shaka kuwa jamaa ni dikiteta!, bado mnathubutu kumchezea kwa kutaka kuleta fyoko fyoko?!.

Pasco
Waache,simba hashikwi sharubu
 
Pasco,
Katika miaka 24 ya vyama vingi CUF imeweza kujenga ''mtambo wa kupiga kura''
(election machinery) madhubuti na wa kuaminika.

Mtambo huu wa kupiga kura umeweza kushinda chaguzi zote nne bila matatizo
yoyote.

Huu ni mwamba usiweza kuvujwa kirahisi.

CCM Zanzibar haina pa kupumulia.

Ikifika mahali chama hakiwezi kushinda uchaguzi ila kwa kutegemea nguvu na vitisho
jua siku zake zinahesabika.
Kama ni kweli CUF ndio wameshinda chaguzi zote nne za vyama vingi Zanzibar, then hii inamaanisha siku zote CUF inashinda lakini CCM ndio inatangazwa mshindi!.

Jee kuna yeyote kati ya nyinyi watetezi wa CUF, aliwahi kufanya tathmini kubaini kwa nini kila siku ishinde CUF, halafu itangazwe CCM?!.

Mimi ni mmoja ambaye nimekuwa nikilizungumza hili kuwa kama ni kweli siku zote CCM inashindwa ila ila inaiba kura, then kuna sababu za msingi zinazoifanya CCM ifanye hivyo!. Kama kuna sababu za kufanya hivyo siku zote, nini kilichowafanya CUF waamini kuwa wakishinda safari hii watatangazwa washindi?!.
Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar ...
Kuna haja ya kuhofia kurudiwa Uchaguzi Zanzibar? | JamiiForums ...


Pasco
 
Nakumbushia tuu kuhusu watu kuleta fyoko fyoko, japo bandiko la msingi lilikuwa ni kuhusu za Zanzibar, Chadema na operation UKUTA, inataka kumchokoza dikiteta!, watu mmeishajua kabisa pasi shaka kuwa jamaa ni dikiteta!, bado mnathubutu kumchezea kwa kutaka kuleta fyoko fyoko?!.

Pasco

Pasco

Mawakili huwa wana tactics zao wanapo hoji mashahidi ili kuwapoteza lengo na kumsaidia mteja wao hii kwa kimombo wanaita :Get the witness to lose her/his cool.

Nimeona namna Bavicha walivowapaisha Polisi na CCM kuhusu mkutano wa Dodoma na namna walivopotea maboya wakaingia hasara lakini wakati huo huo lengo lao la kuonesha utendaji wa polisi na upendeleo ukionekana hadharani. Ilibidi polisi waje na kutoa maelezo mengi kujitetea kuhusu mikutano..Hapa walipotezwa

Na sasa hili la UKUTA walianza ccm na Mkuu wa Vyama ambao nao kwa kuchanganyikiwa wakatoa Tamko ambalo linalofanana neno kwa neno utafikiri Mke wa Trump alivoiba speech ya Michelle Obama…Na sasa Mkuu mwenyewe ametoka nje ya mstari kwenye tamko la UKUTA. Hakika wamempoteza maboya na kutamka alotamka na dunia imesikia.

Hivyo naona hii ni Tactic nzuri sana ..kuitumia kwani shahidi wetu hajiamini…ni rahisi kumpandisha hasira kumpeleka UKUTANI

Hii mbinu ya kumfanya witness a loose his cool inafaa sana kama umeshamjua shahidi wako yupo vipi…
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom