Chonde Chonde Mh. Lowassa!

Chonde Chonde Mh. Lowassa!

Kijuram

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
513
Reaction score
374
Baada ya mchakato wa kumtafuta mgombea urais kwa tiketi ya CCM kukamilika, Mh. Lowassa naomba nikusihi uendelee kusaidia jamii za watu mbali mbali kama ulivyokuwa ukifanya katika kipindi cha miaka mitatu iliopita. Uendelee kushiriki harambee za kuchangia ujenzi wa makanisa na misikiti, shule, uendelee kuwawezesha bodaboda na jamii nyingine mbali mbali. Bado tunauthamini na kuuhitaji mchango wako hata kama lengo la kuingia magogoni halikutimia. Hiyo yote ni mipango ya Mungu.
 
aiseeee babayangu iyo pesa atapata wapi ya kusaidia makanisa,misikiti,bodaboda ili hali wapambe wake wamemkimbia
 
Thubutu. leo hii hata ukiomba ndururu moja hatakupa. maana pale alikuwa anawekeza.
sasa akikupa wewe atakuwa amewekeza nini?


Baada ya mchakato wa kumtafuta mgombea urais kwa tiketi ya CCM kukamilika, Mh. Lowassa naomba nikusihi uendelee kusaidia jamii za watu mbali mbali kama ulivyokuwa ukifanya katika kipindi cha miaka mitatu iliopita. Uendelee kushiriki harambee za kuchangia ujenzi wa makanisa na misikiti, shule, uendelee kuwawezesha bodaboda na jamii nyingine mbali mbali. Bado tunauthamini na kuuhitaji mchango wako hata kama lengo la kuingia magogoni halikutimia. Hiyo yote ni mipango ya Mungu.
 
Tapeli hili la Kimasai kuna siku lilikuwa pale Leaders likaahidi Container nne za boda boda, Serikali ikastukia mchezo wake wa kujiandaa kwa vurugu wiki iliyofata pikipiki zote zikapigwa stop kuja mjini, Ahadi ikapotea
 
Huyo bwana nasikia ilikuwa ukimfuata una shida binafsi kama ada anakunyima ila kusaidia kwake mpaka kwenye makanisa na misikiti mbele ya waandishi. Ni vizuri kututhibitishia kuwa ukarimu wake siyo kama wanavyosema kuwa ilikuwa ni kwa ajili ya kununua urais
 
Tapeli hili la Kimasai kuna siku lilikuwa pale Leaders likaahidi Container nne za boda boda, Serikali ikastukia mchezo wake wa kujiandaa kwa vurugu wiki iliyofata pikipiki zote zikapigwa stop kuja mjini, Ahadi ikapotea

hahahaha te te te
 
Back
Top Bottom