CCM Inawenyewe na wenyewe ni sisi wanachama wa ukweli, siyo nyie mnaojifanya wana CCM wakati ni wana CDM.ila nifurahi sana kwani jamaa wengi wa upinzani wanapenda na wanatamani kuwa wana ccm.Msipate tabu karibuni kwenye chama tawala,chama cha ushindi na chama chenye dira na sera nzuri za kuijenga nchi yetu na kuendeleza mazuri yote toka kwa awasisi wa Taifa letu.
KIDUMU CHAMA TAWALA CHA CCM!