johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,982
- 141,997
Mtanikumbuka kwa Mema!
Kesho Jiji la Mwanza litazizima wakati Meli kubwa MV Mwanza " Chombo ya Magufuli" itakaposhushwa Majini
Tukio hilo litashuhudiwa na mamilioni ya Wapenda maendeleo wakiwemo Wafanyabiashara wakubwa kutoka Uganda na Sudan Kusini
MV Mwanza ina uwezo wa kubeba abiria 1200, Mizigo tani 400 na Magari 20
ITV na Star tv wameielezea kwa kina taarifa hii muhimu
Kesho Jiji la Mwanza litazizima wakati Meli kubwa MV Mwanza " Chombo ya Magufuli" itakaposhushwa Majini
Tukio hilo litashuhudiwa na mamilioni ya Wapenda maendeleo wakiwemo Wafanyabiashara wakubwa kutoka Uganda na Sudan Kusini
MV Mwanza ina uwezo wa kubeba abiria 1200, Mizigo tani 400 na Magari 20
ITV na Star tv wameielezea kwa kina taarifa hii muhimu