Lubebenamawe
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 1,952
- 2,194
Nifungulie geti (pm) ili nije kugonga hodi hapo sebureni ili nikuoneshe kabla hujakubaliana nami ili niingie ndani kuyasifia mapambo yako huko chumbani maana mlango umeegeshwa tu😉😊😊Silioni eti
Kugegedana kupo tu kwani kuna unatamani? 😂😂😂Mnaelekea kugegedana ninyi
Uko sahihi kabisa mkuu wangu mm najiheshimu sana na huwa sio mtu wa kukurupuka niliwaza mengi sana nikaamua niachane na wazo hiloHaha sasa ulipoenda kumchungulia shemeji yako ulitegemea nae awe nasikilizia makelele ili upate mteremko?
Wewe ulishamtamani sema uzito wako/heshima yako kwake ndio iliyokuzuia that night mkuu
Ulichukua uamuzi bora kabisa kwa kipindi hiko ambacho mwili ulishakutuma ufanye hilo jambo. Ni wachache wanaoweza kuitiisha miili yao vinginevyo kesi za ubakaji zingekuwa chache sana.Uko sahihi kabisa mkuu wangu mm najiheshimu sana na huwa sio mtu wa kukurupuka niliwaza mengi sana nikaamua niachane na wazo hilo
Tafuta wa kukubaliana nae ujiridhishe na sio wakuforce heshima yako ishuke baada ya kitendo na majuto...Lazima nitamani maana nadindisha ujue,