kwakweliHao ndio wanaoharibu sifa ya uanaume.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]haya yametoka moyoniJohn mke wangu ana kachanga na hizi mvua utaniua[emoji51]
Niachie demu wako mmoja bas
aliyekwambia anataka kubanana kwenye daladala naniπ,
Haha π€£π€£π€£ mtani utanifikiria tuπππmimi ndo hata sikufikirii,pambana tu na Leejay49 pengine anaweza kukuonea huruma [emoji38][emoji38]
Hahahaha basi ukikubali tunakuw kama wale watu wanaopakatana kwenye daladala mtu na demu wakeπ€£π€£π€£aliyekwambia anataka kubanana kwenye daladala naniπ,
hahahπ π, me nataka nikae pekeyangu kwenye gari languHahahaha basi ukikubali tunakuw kama wale watu wanaopakatana kwenye daladala mtu na demu wakeπ€£π€£π€£
Kwani gari sh ngapπ ngoja nitumbe maombi ya kazi ya ualimu. Nikipata kazi napata mkopo nakununulia gari mamsapπhahahπ π, me nataka nikae pekeyangu kwenye gari langu
eti kazi ya ualimu, si bora ukaombe ata kufanya usafi benki maeneo yenye helaπ πKwani gari sh ngapπ ngoja nitumbe maombi ya kazi ya ualimu. Nikipata kazi napata mkopo nakununulia gari mamsapπ
Hahaha ualimu una hela za twisheni. Bank unashika hela za watuπ€£π€£π€£eti kazi ya ualimu, si bora ukaombe ata kufanya usafi benki maeneo yenye helaπ π
si utakua unaiba kidogo kidogo halafu tunanunua gariHahaha ualimu una hela za twisheni. Bank unashika hela za watuπ€£π€£π€£
Nilivyomaliza chuo miaka 8 iliyopita basi kuna baba yangu mdogo alikuja home akaniuliza ulisomea nini? nikamjib banking and finance. Akasema unataka kufanya kaz bank wanaume wenzako wakuletee hela uwahesabie. Yale maeno yaliniingia vibaya huwezi amini kazi ya bank ikaishia hapoπ€£si utakua unaiba kidogo kidogo halafu tunanunua gari
ndo umwambie tena sasa akufanyie connectionNilivyomaliza chuo miaka 8 iliyopita basi kuna baba yangu mdogo alikuja home akaniuliza ulisomea nini? nikamjib banking and finance. Akasema unataka kufanya kaz bank wanaume wenzako wakuletee hela uwahesabie. Yale maeno yaliniingia vibaya huwezi amini kazi ya bank ikaishia hapoπ€£
kwahiyo sasa hivi umeamua ujiajiri kwa kupika mbegeNilivyomaliza chuo miaka 8 iliyopita basi kuna baba yangu mdogo alikuja home akaniuliza ulisomea nini? nikamjib banking and finance. Akasema unataka kufanya kaz bank wanaume wenzako wakuletee hela uwahesabie. Yale maeno yaliniingia vibaya huwezi amini kazi ya bank ikaishia hapo[emoji1787]
imeisha mkuuHiv hii kamaliza au bado