CHOMBEZO: Jamani dada Martha.. LOOO!

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,746
Reaction score
25,638

SEHEMU YA 01
“Wewe una hoja Martha, kumbe unajua chakula kizuri...nikuambie kitu mke wangu.”
Martha alipoisoma meseji hiyo, akaguna kwanza, akamjibu”
“Mh! Nimekuwa mkea mara hii jamani?”
“Kwani umeboreka kukuita hivyo?”
JIACHIE MWENYEWE SASA…
Martha hakujibu haraka, Roi akawa na presha kubwa ya kutaka kuiona meseji iliyofuatia msichana huyo angejibu nini...
“Si vibaya ila....”
“Ila nini tena?”
“Basi tuyaache kwanza.”
“Sawa, nahitaji nikuone leo jamani,” aliandika Roi.
“Leo?”
“Ndiyo! Mbona umeshtuka hivyo mke wangu?”
“Kwa leo hapana.”
“Mpaka lini?”
“Labda siku nyingine.”
“Ndiyo nataka kuijua hiyo siku nyingine.
“Ila si nimekwambia nitakwambia jamani!”
“Basi sawa, hakuna tatizo.”
Katika kila hatua aliyokuwa akipiga, Roi alijiona kuwa mshindi, uzuri wa Martha ulikichanganya kichwa chake mpaka kufikia hatua ya kumuona mjinga mwanaume aliyezaa naye na kisha kuuacha mzigo mzuri kama ule ukiondoka zake...
Siku hiyo alifanya kazi harakaharaka, kitu pekee alichokuwa akikihitaji ni kutaka kuzungumza na msichana huyo tu. Alipomaliza kazi zake, akaondoka. Ilipofika usiku kama kawaida yake akachukua simu yake na kumtumia meseji.
“Jamaniiiiiii....” alianza kumchokoza...
“Nini tena kababaaaa?”
“Hata kunikumbuka!”
“Nilikuwa bize kidogo.”
“Naomba nikupigie basi niisikie sauti yako.”
“Nipo kwenye kelele, nitakushtua.”
“Sawa.”
Roi akabaki akiwa na presha kubwa, kila wakati alipokuwa akimkumbuka Martha, mwili wake ulikuwa unamsisimka kupita kawaida. Hakujua kama alikuwa amempenda mwanamke huyo au alimtamani, lakini kila wakati alihisi kuwa na hamu ya kutaka kuwasiliana naye..

Alisubiri meseji ya Martha mpaka zilipopita dakika thelathini, akasikia mlio wa meseji, kwa haraka sana huku akiwa na presha tena akikenua meno yake akaiwahi simu, akaichukua na kufungua meseji. Hakuwa Martha, alikuwa rafiki yake Sudi ambaye alimshtua kwenda kuchukua hela yake aliyokuwa akimdai.

“Mjinga kweli huyu mtu, watu tupo kwenye presha, yeye anatushtua tu, na hiyo hela abaki nayo,” alisema Roi kwa hasira na kumalizia na msonyo mkubwa. Baada ya hapo, wala hazikupita dakika nyingi, Martha huyo simuni.

“Nipigie sasa,” ilisema meseji aliyotuma Martha.
Roi hakutaka kupoteza muda, alijiona kama angechelewa vile, kwa haraka sana akaanza kumpigia Martha simu, ikapokelewa, Roi akashusha pumzi ndefu na nzito.
“Mambo,” ilisikika sauti nyororo ya Martha....
“Poa, mzima mke wangu...”
“Mi mzima sijui wewe kababaa.”
“Nipo poa. Nimekumisi sana wangu, unanibania kweli kukuona,” alisema Roi.
“Unasema kweli?”
“Ndiyo. Nimekukumbuka mno. Nataka nikuone, lini utakuwa tayari?”
“Sijajua, nina kazi zinanibana sana kwa sasa.”
“Kwa hiyo hatutaweza kuonana?”
“Nitaangalia.”
“Ushaanza.”
“Nimeanza nini tena?”
“Tangu siku ile umesema utaangalia, huko kuangalia hakuishi tu?”
“Hahaha! Sawa, nitakujibu kesho, usijali.”
“Sawa. Ila nikwambie kitu?”
“Niambie tu.”
Una sauti nzuri sana, nampa pongezi mama aliyekuzaa, hata Mungu kakupendelea sana,” alisema Roi, sauti yake ilisikika kimahaba....
“Hahaha! Nashukuru jamaniiii...”
“Upo wapi sasa hivi?”
“Nipo kitandani, nimejiachia tu.”
“Upo na nani?”
“Peke yangu, halafu kuna kibaridi, si unajua mvua zinazoendelea, natamani ningekuwa na mtu hapa,” alisema Martha maneno yaliyompagawisha Roi...
“Nielekeze nije.”
“Mmh! Hapana. Usiku sana sasa hivi!”
“Si nachukua bodaboda tu...”
“Hapana bwanaaaa, usiku ushaingia,” alisema Martha, wakati akiongea na Roi kipindi hicho, tayari mwanaume huyo alishainuka kitandani, alikuwa akivitafuta viatu vyake kwa kuona kwamba angekubaliwa kwenda...
“Sawa. Basi tutazidi kuwasiliana.”
“Hakuna tatizo kababaa...”
Roi akakata simu, alikuwa hoi bin taabani, alipojiangalia, hakujiona kama alikuwa vizuri, akainuka pale alipokuwa na kwenda bafuni kuoga. Sauti ya Martha iliutetemesha moyo wake, mwili wake ulisisimka sana...
Kila alipokuwa akizungumza naye alichanganyikiwa zaidi mpaka kufikia kipindi akawa halali vizuri kwa kumkumbuka msichana huyo...
“Yaani simuelewielewi, anaingia bandani, anatoka, anaingia, anatoka, ila poa tu, akiingia tena, nafunga banda,” alijisemea Roi huku akijiandaa kulala na kichwa chake kikiwa kimechanganyikiwa kwa mwanamke huyo.
ITAENDELEA
 
SEHEMU YA 02

ILIPOISHIA:
“Yaani simuelewielewi, anaingia bandani, anatoka, anaingia, anatoka, ila poa tu, akiingia tena nafunga banda...”
JIACHIE KIVYAKO SASA...
“Martha...Martha...anaonekana ni mwanamke mwenye kujitambua. Inaonekana ameshaumizwa sana sasa machale yanamcheza namna ya kumkubali mtu,” alisema moyoni Roi akiwa amelala anaangalia juu...
“Da! Iko siku lakini...naweza kusema atakuwa wangu lakini kumbe ana mwingine ndiyo maana anaingia na kutoka.”
***
Kwa upande wake, Martha kule kwake alikokuwa alikuwa amelala huku akiwaza...
“Mh! Roi bwana. Anaonekana ananitaka, lakini mimi siwezi kwa kweli. Nimeshalizwa sana tu. Wanaume wa siku hizi ndivyo walivyo,” alisema moyoni Martha, akajikuta akishika simu na kumtumia meseji Roi...
“Baba!”
Roi alikuwa anaangalia muziki kupitia runinga, meseji ya Martha ikaingia, akaisoma...
“Nikwambie kitu baba?”
Roi aliachia tabasamu, akaamini kwamba anachotaka kukisema Martha ni kwamba amekubali wawe na uhusiano, akamjibu...
“Niambie baby wangu...”
“Unanipenda?”
“Sana!”
“Kweli?”
“Kweli kabisa.”
“Mimi naomba...tena naomba sana baba, tuwe kaka na dada.”
Roi alikuwa peke yake lakini aliguna kwanza, akaangalia kulia na kushoto kama aliyeamini kwamba, kuna mtu anamwona alivyong’onyea...
“Sawa,” alijibu Roi meseji kwa ufupi sana...
“Loo! Asante God...sasa naweza kuwa huru na wewe kama kaka yangu...nakupenda sana kaka, nitakuheshimu na kukuthamini. Nimetokea kukupenda sana Roi, amini hivyo.
“Kifupi mimi sina kampani yoyote ile, wewe ndiyo utakuwa kampani yangu kama kaka.”
“Usijali sista...hata mimi nakupenda sana kama dada yangu, nitakuheshimu na kukuthamini,” alijibu Roi.
Baada ya hapo, waliagana kwa ajili ya kulala...
“Bro, usiku mwema, Mungu akulinde...”
“Na wewe sista. Mungu akutangulie, ulale salama chini ya ulinzi wake.”
“Asante kaka...”
***
Kulikucha, Martha ndiye alikuwa wa kwanza kumtumia meseji Roi...
“My love bro.”
Mlio wa meseji ndiyo uliomwamsha Roi kutoka usingizini, akaisoma meseji hiyo na kuijibu...
“Yes darling sista.”
“Umeamkaje my sweethaert kaka?”
“Niko vizuri my baby sister. Wewe je?”
“Mimi pia...niko njiani bro nakwenda job. Leo tunaweza kuonana?”
“Hakuna tabu sista.”
“Oke...basi kazi njema na wewe bro wangu, nakupenda sana.”
“Nakupenda sana pia sista.”
***
Jioni walipomaliza kazi, walikwenda kukaa baa ya Ground Pub! Waliipenda pub hiyo kwa sababu ilikuwa inauza pweza na supu yake ‘mchuzi wa pweza’ na wakazi wengi wa Jiji la Dar walipenda kwenda kukaa hapo jioni.
Wakiwa hapo, Martha alimtumia meseji Roi...
“Sweetheart bro!”
Roi baada ya kuisoma meseji hiyo alianza kuweweseka akitingisha kichwa na kuachia tabasamu. Kuitwa sweetheart bro alihisi mwili kusisimka kimahaba..!
“Duu! Huyu Martha huyu...sijui! Huu ni usista kweli au kuna lingine?” alijiuliza mwenyewe, akamjibu...
“Darling sista!”
“Wapi?”
“Nipo hapa Ground Pub Sinza...wewe je?”
“Mimi ndiyo natoka. Je, tunakutana?”
“Yes! Njoo hapa, si unapajua?”
“Yes! Nikifika hapo?”
“Ukifika nipigie.”
Roi alipomaliza kuzungumza na Martha aliwaambia wenzake...
“Jamani...jamani...sikieni...”
“Vipi?” walimuuliza...
“Kuna mgeni wangu anakuja hapa, anatokea Kariakoo.”
“Ni shemeji yetu au?” aliuliza Julio...
“Acha maswali mengi wewe, mtamuona hapahapa akifika.
Lakini Roi akatumia nafasi ile kuwasimulia kisa chake na msichana huyo. Aliwasimulia ishu yote kuhusu Martha walivyokutana, walikofikia na wanakoelekea...
“Aaah! Mtu kama huyo bwana ngumu sana kumwelewa. Hapo unatakiwa kujiongeza katika kila neno lake. Pengine yeye yupo siriasi kwamba anataka wewe uwe kaka yake halafu wewe unawaza mapenzi, utamboa” alisema Julio...
“Hakuna, huyo ameshaingia laini, hapo Roi ni wewe tu,” alisema Pauli wakiwa tayari wapo kwenye moja baridi, moja moto.
Walibadilishana mawazo kuhusu Martha mpaka wakafikia hatua ya kuachana na mazungumzo hayo, wakahamia kwenye mambo mengine.
Baada ya nusu saa, simu ya Roi iliita...
“Jamani huyo, ameshafika...halooo sista...”
“Ee... nimefika hapa barabarani.”
“Ngoja nimtume mhudumu akufuate.”
“Poa.”
Roi alimpa simu yake mhudumu mmoja wa baa hiyo aende nayo barabarani...
“Ukifika pale piga namba hii, utakutana na dada mgeni wangu mmoja mlete hapa,” alisema Roi, mhudumu akaondoka na simu.
Baada ya dakika mbili, mhudumu aliongozana na Martha mpaka alipokaa Roi na marafiki zake. Kazi ikawa, Martha akae wapi sasa? Akae kwenye kiti cha jirani na kaka yake, Roi au?
ITAENDELEA
 
SEHEMU YA 03

ILIPOISHIA:
Roi alimpa simu yake mhudumu mmoja wa baa hiyo aende nayo barabarani...
“Ukifika pale piga namba hii, utakutana na dada mgeni wangu mmoja mlete hapa,” alisema Roi, mhudumu akaondoka na simu.
Baada ya dakika mbili, mhudumu aliongozana na Martha mpaka alipokaa Roi na marafiki zake. Kazi ikawa, Martha akae wapi sasa? Akae kwenye kiti cha jirani na kaka yake, Roi au?
GALAGALA NAYO MWENYEWE...
“Karibu hapo,” alisema Roi akimtengea kiti Martha ili akae jirani na yeye.
Martha siku hiyo alivaa suruali ya jinzi iliyomkaa sawasawa kwa kumbana, alionekana ni mwanamke mwenye kujiamini sana. Ongea yake, tazama yake ilimfanya kila mmoja kati ya Roi mwenyewe, Pauli na Julio kujua kuwa, Martha ni mwanamke...
“Bro,” Martha alituma meseji palepale kwenda kwa Roi...
“Sema sweet sista.”
“Mimi nina majina mawili. La kwanza, Martha. La pili ni Liz. Lakini jina ambalo limezoeleka sana ni Liz. Kwa hiyo kuanzia leo nitapenda uniite Liz na achana na jina la Martha.”
Roi alipoisoma meseji hiyo aliona sawasawa tu. Atumie jina la Martha, atumie la Liz sawa, kwake majina yote yalikuwa ni mazuri...
“Poa sista, love u sana...”
“Love u too.”
Mazungumzo kati ya Roi na marafi zake yaliendelea huku Liz akiwa ametulia kimya pembeni kwenye kiti akiwasikiliza. Ilifika mahali, Roi akawaomba watulie ili atoe utambulisho...
“Jamani...jamani...” Roi alisema kwa maana ya kuomba utulivu...
“Sema kaka...”
“Huyu anaitwa Liz, ni dada yangu kipenzi,” alisema Roi huku akimshikashika begani dada yake huyo...
“Kumbe hapa Dar upo na dada yako? Sisi tulikuwa hatujui,” alisema Julio...
“Hata mimi nimeshangaa sana,” alidakia Pauli huku wote wakimkaribisha Liz tena na tena...
“Asanteni jamani, nashukuru sana.”
Baada ya utambulisho huo, mazungumzo ya wote yalikata, sasa ikawa wote wako na simu zao. Kila mmoja alituma meseji alikokujua yeye...
“Bro!” alituma Liz kwa Roi...
“Yes, niambie...”
“Upo oke?”
“Nipo sawa mama, wewe?”
“Hata mimi my bro. Nipo happy kuwa na wewe.”
“Wewe kama mimi.”
“Kumbe tuko sare!”
“Umeona ee?”
“Yes! Sijakuboa lakini?”
“Wala! Hujaniboa! Hivi sista wewe ni mwenyeji wa wapi?”
“Natokea Iringa bro.”
“Oke...oke...kamwene,” alitania Roi...
“Kamwene...”
“Mnogage?”
“Ndi mnofu...Teh! Teh! Teh! Sijakaa sana Iringa lakini nakijuajua bro...teh!”
Roi naye alimrudishia meseji kwa kicheko huku akimchombezea kwa maneno kama...
“Umependeza sana my darling sista...”
“Hata wewe sweetheart bro.”
Walikunywa, walikula, ikafika mahali Liz akaamua kuaga kwa Roi kwa njia ya meseji...
“Baby bro, mimi naondoka zangu.”
“Mh! Mara hii sista?”
“Usijali, siku nyingine tutakaa wote kwa muda mrefu sana.”
“Basi poa.”
Roi alisimama, Liz naye akasimama, akawaaga Pauli na Julio, Roi akamsindikiza hadi barabarani kwa ajili ya kupanda daladala.
Walisimama kando ya barabara, Roi akapeleka mdomo wake pembeni mwa shavu la Liz, akambusu...
“Mmmwaaa....”
“Thanx my bro, usiku mwema, tutachati,” alisema Liz...
“Poapoa.”
Roi alirudi kuungana na marafiki zake, Julio na Pauli...
“Ee bwana naona sista kama hajayazoea mazingira haya,” alisema Pauli...
“Ni kweli, amesema pana kelele sana.”
“Lakini jamani ni kweli. Mnajua kukaa hapa panataka moyo maana hakuna utulivu. Kama umetoka kazini na unataka kupumzika, si mahali pazuri sana.”
“Ni kweli kabisa,” alidakia Julio...
“Ni kweli,” alidakia Roi mwenyewe sasa.
***
Liz alipofika nyumbani kwake, alimtumia meseji Roi kwamba amefika...
“Bro, nimefika. Leo nimefurahi sana kukutana tena na wewe.”
“Hata mimi...”
“Oke, nataka kuoga kwanza halafu baadaye tutaendelea kaka yangu.”
“Usijali dada yangu Martha.”
“Bro! Nilikwambia tumia Liz na siyo Martha.”
“Ha! Nilisahau sista jamani! Oke dada Liz...”
Roi na wenzake waliendelea kunywa, wakanywa wee! Wakanywa mpaka kila mmoja akaanza kuonesha dalili kwamba amelewa...
“Jamani vipi? Suni tunatimua?” Julio aliwasilisha hoja binafsi...
“Ni kweli,” alishadadia Pauli...
“Sawasawa,” alimalizia Roi.
***
Usiku wa saa tano, Roi alikuwa kitandani, alilala chali akiwa ndani ya bukta tu. Alikuwa ameingia kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuangalia nini kinaendelea. Mara meseji kwenye WhatsApp ikaingia...
“Baby...” ilitoka kwa Liz, Roi akashangaa kuona meseji ya Baby imeingia bila nyongeza. Alizoea baby bro, sweetheart bro na mengineyo...
“Darling,” na yeye alitingisha kiberiti, akatuma meseji hiyo bila kuongezea neno sista...
“Umeshatoka hapo?”
“Zamani sana sista, niko home.”
“Unafanyaje muda huu?”
“Nimejilaza kitandani tayari kwa kusinzia. Wewe je?”
“Hata mimi nimelala my bro...”
“Umelalaje hapo kitandani my sweetheart sista? Please niambie...” Je, unajua nini kilitokea hapo?
 
SEHEMU YA 04

ILIPOISHIA:
“Nimejilaza kitandani tayari kwa kusinzia. Wewe je?”
“Hata mimi nimelala my bro...”
“Umelalaje hapo kitandani my sweetheart sista? Please niambie...”
TAMBAA NAYO MWENYEWE...
“Nimelala chali au niseme nimelala naangalia juu.”
“Umejifunika shuka?”
“Hapana my bro! Na joto lote hili? Wewe je?”
“Mimi nimelala naangalia chini, yaani tumbo limegusa godoro, tofauti na wewe mgongo ndiyo umegusa godoro.”
“Duu! Tumebadilishana, mimi naangalia juu wewe unaangalia chini...teh! teh!”
“Kumbe tumelala vizuri sana. ndiyo inavyotakiwa, mwanaume analala hivyo na mwanamke analala hivyo kama wewe.”
“Teh! Teh! Mi nalala bwana kaka, kesho.” “Kabla hujalala nataka nikuombe kitu kimoja sista...”
“Kipi hicho braza?”
“Kesho tukutane lakini iwe sehemu ya siri sana.”
“Sehemu ya siri kama ipi bro? Unanitisha.” “Kama hotelini.”
“Mh! Jamani kaka! Hotelini tena? Yaani chumbani au?”
“Yes!”
“Ah! Sasa itakuaje mtu na kaka yake chumbani? Inawezekana kweli?”
“Mimi naweza sana.”
“Mimi siwezi kaka.”
“Kwa nini huwezi dada?”
“We unajua ni vigumu. Unaweza kuzidiwa ukanibaka bure, sitaki.”
“Yaani sikia sista...tukiwa mle hatutakaa pamoja, wewe kona nyingine na mimi kona nyingine. Halafu kila mmoja atakuwa ndani ya mavazi...”
“Lakini kisa cha yote hayo ni nini?” aliuliza Liz...
“Sikia Martha...”
“Nilisema usiniite Martha, niite Liz.”
“Oke. Sikia Liz...hakuna kisa ila nimependa tu. Isitoshe mimi na wewe ni mtu na dada yake, siwezi kuwaka tamaa kama ambavyo najua na wewe hutaweza kuwaka tamaa.”
“Mh! Una maneno matamu sana bro! Haya sawa, lakini asitokee mtu akakiuka.”
“Hatutaweza sista bwana.”
“Sawa. Usiku mwema basi, kesho my kaka.”
“Lala salama my sista.”
Liz alipanda kitandani huku akiwa na maswali kibao kuhusu ombi la Roi kwamba kesho yake wakutanie chumbani hotelini...
“Hivi amekusudia nini? Au anataka kuonesha kwamba, hata tukiwa chumbani wawili hatuwezi kuzini kwa vile tumeshakuwa kaka na dada? Anyway, tutaona hiyo kesho,” aliwaza Liz na kupitiwa na usingizi.
Kwa Roi hali ilikuwa hiyohiyo, naye aliwaza...
“Lakini si naweza kabisa...naingia naye hotelini, chumbani lakini sifanyi naye chochote...mwenyewe atashangaa sana.”
***
Kulikucha, Liz ndiye aliyekuwa wa kwanza kumtumia meseji Roi...
“Morning my bro...”
Roi alifurahi sana kuamshwa na Liz, akamjibu...
“Morning my sista...umeamkaje?”
“Nimemka salama bro...wewe?”
“Hata mimi pia.”
“Oke, kumekucha.”
“Ni kweli sista...sasa vipi ile safari yetu?”
“Saa ngapi?”
“Nataka iwe mchana wa leo.”
“Utaniambia ni wapi!”
“Poa sista.”
“Lakini bro, ni kweli hutafanya lolote kwangu?”
“Ni kweli kabisa sista, wala usiwe na shaka.”
“Basi sawa.”
***
Ilikuwa saa saba mchana, Roi alimtumia meseji Liz ya kumshtua kwa ajili ya kumfuata alipo...
“My sweetheart sista...”
“Honey bro!”
“Sasa?” “Nakusikiliza wewe kaka’angu mpenzi.”
“Mimi nipo hapa Kisasa Hotel, Kinondoni. Njoo basi.”
“Duu! Bro uko shap sana! umeshatafuta na hoteli kumbe? Poa nakuja sasa hivi.”
Roi alikuwa ndani ya chumba cha hoteli hiyo. Mwili ulimtetemeka kila mara. Alianza kuhisi kwamba, kiapo chake kwa Liz si cha kweli...
“Hivi nitaweza kweli kukaa naye mpaka mwisho bila chokochoko?” alijiuliza.
Dakika kumi na tano mbele, Liz alimpigia simu kwamba amefika yuko nje...
“Njoo mpaka ndani sista, utaoneshwa chumba nilichopo. Ni namba hamsini.”
“Poa bro.” Mara mlango uligongwa, Roi akaruhusu mtu kuingia, Liz akazama ndani...
“Oohooo! Huyu mchokozi sasa,” alisema moyoni Roi baada ya kumwona Liz amevaa suruali ya matirio kama t-shirt, mbaya zaidi imembana vilivyo na juu kiblauzi chepesi mpaka unaona ramani ya kifua chote.
“Karibu sana sista,” alikaribisha Roi.
Liz aliweka kipochi chake kwenye meza kisha akakaa upande wa miguuni mwa kitanda na kuangalia ukutani wakati Roi alikaa eneo la kichwani naye akiangalia ukutani...
“Za hapa?” alisalimia Liz...
“Poa sista, za safari?”
“Njema tu. Ndiyo umeamua kweli kabisa kuchukua chumba kaka jamani?”
“Usijali sista, hili ni eneo salama sana kwetu.”
“Mh! Mfano akija mtu akauliza sisi ni akina nani tukasema ni mtu na kaka yake itakuaje? Ataamini kweli bro?”
“Nani kwanza atakuja sista?”
“Mfano yaani bro...”
“Hamna cha mfano sista, hakuna atakayekuja humu ndani.”
Walianza maongezi ya mbali kwa mbali, kila mmoja akiangalia ukutani. Mwishowe Liz alilala chali, nusu ya mwili kuanzia kiunoni kwenda juu kitandani, nusu iliyobaki ikining’inia chini...
“Umechoka nini sista?” aliuliza Roi...
“Nahisi kusinzia bro...”
“Hata mimi pia,” alisema Roi na kulala kama alivyolala Liz, wakakutana vichwa!
Je, unajua nini kiliendelea? Usikose kusoma chombezo hili tamu sana.
 
SEHEMU YA 05

Walianza maongezi ya mbali kwa mbali, kila mmoja akiangalia ukutani. Mwishowe Liz alilala chali, nusu ya mwili kuanzia kiunoni kwenda juu kitandani, nusu iliyobaki ikining’inia chini...
“Umechoka nini sista?” aliuliza Roi...
“Nahisi kusinzia bro...”
“Hata mimi pia,” alisema Roi na kulala kama alivyolala Liz, wakakutana vichwa!
SHUKA NAYO SASA...
“Basi tulale ili tupunguze usingizi japo kidogo tu!”
“Sawa sista.”
“Lakini tulale hivihivi,” alisema Liz kwa sauti iliyokuwa ikienda kwenye kukatika.
Ulipita ukimya kidogo, ni lazima wote, kila mmoja alikuwa kwenye mawazo yake anayoyajua yeye...
“Huu mtihani...tena mtihani mkubwa sana,” alisema moyoni Roi...
“Halafu alivyovaa sasa...yaani mtu anajua wazi kwamba anakuja kukutana na mwanaume ambaye si ndugu yake, tena chumbani halafu anavaa nguo za kuonesha mwili namna hii? Kwa kweli hajanitendea haki,” Roi aliendelea kusema moyoni mwake...
“Lakini inataka moyo kweli! Na hivi sijaduu siku nyingi halafu nakutana na mwanaume, tena gesti lazima niwe na roho ngumu sana,” aliwaza Liz.
Wakati wakiendelea kuwaza hayo, Roi alipitiwa na usingizi mzito kwani alisikika akikoroma moja kwa moja...
“Kroooo...kroooo...”
“Mh! Kweli alikuwa na usingizi,” alisema Liz baada ya kumsikia Roi akikoroma.
Katika kulala huko, Roi alifika mahali akakunja miguu, akapanda juu kidogo na kurusha mkono pembeni, ukaangukia kwenye paja moja la Liz...
“Mh! Huyu naye...ameanza sasa...” alisema Liz. Akautoa mkono huo na kuuweka pembeni kwa taratibu kabisa.
Roi hakuona sababu ya kuendelea kulala huku akining’inia, alipanda moja kwa moja mzimamzima na kulala sanjari na Liz sasa...
“Mh! Kaka...bro...” aliita Liz akimtingisha, Roi akaamka...
“Mh! Mh!”
“Mbona unakiuka sasa?”
“Nakiuka nini sista?” aliuliza Roi huku akijifuta usoni...
“Unapanda kulala juu...”
“Ah! Usingizi, jana nilichelewa kulala ndiyo maana. Panda basi na wewe ulale.”
“Aaah! Bro, si utavuka mipaka jamani?”
“Wala! Nilishakwambia kwamba siwezi kwenda kinyume na makubaliano.”
“Oke,” alisema Liz akipanda kitandani kulala sawasawa. Alimwamini Roi kwamba hawezi kufanya kitu chochote.
Sasa walilala sambamba, Liz aliangalia ukutani, Roi aliangalia mlangoni. Wakaanza kuzungumza kwa staili hiyohiyo, Liz ukutani, Roi mlangoni...
“Ina maana sista wewe bado una wasiwasi na mimi siyo?”
“Hapana, ila natoa tahadhari tu.”
“Ooo! Sawa, niamini mimi sista.”
“Nakuamini sana bro.”
Walilala, wakapitiwa na usingizi mzito. Kwa hiyo hakuna aliyekuwa akiukontroo mwili wake. Kuna wakati Liz alirusha mikono na kumfikia Roi na kuna wakati Roi alijikuta amegeuka upande wa Liz wakalala wakiangalia kumoja.
Kuna wakati, Roi akageuka, Liz naye akageuka, wakaangalia kumoja, mlangoni, Liz akapitiliza, mkono wake mmoja ukaenda ubavuni kwa Roi, Roi naye akaushika na kung’ang’ania.
Liz akautoa, akamshika kifuani, akamsogelea, wakawa beneti zaidi, Liz akatoa mkono ubavuni, akaupeleka kwenye kiuno, Roi akashtuka kwamba mbali na kubaini kuwa, yuko kitandani na Liz..
“Daa! Kumbe sista! Lakini mbona na yeye ananifanyia hivi, anakiuka makubaliano?” alijiuliza Roi.
Akaamua na yeye kukiuka makubaliano...
“Kama ni hivyo na mimi nakiuka.”
Roi alimgeukia Liz, wakawa wamelala kwa kuangaliana, Liz bado alikuwa katika usingizi lakini siyo mzito kama awali. Roi alimsogelea Liz mpaka mdomoni, akatoa ulimi kuelekea kwenye kinywa cha mrembo huyo.
Liz akiwa hajui lolote, alijikuta akipanua kinywa, ulimi wa Roi ukapenya ndani, Liz akaanza kuburudika nao huku akiguna.
Liz alijikuta akishtuka kutoka usingizini, akatumbua macho na kumwona Roi mbele yake...
“Haa! Broo,” alisema kwa tabu huku ulimi wa Roi ukiwa bado kinywani mwake, lakini hakuutoa!
Walikaa kimya, kilichosikika wakati huo ni dalili na mihemko tu, kila mmoja alishapanda joto la mahaba...
“B...ro...”
“M...mm...”
“Ah!”
“Mh!”
“Oo!”
“Ha!”
Liz alimvutia Roi kifuani kwake, akamweka karibu kabisa na kuanza kufaidi denda kwa uwazi. Ndani ya dakika kumi nzima walizama huko, Liz alipokuja kumtoa Roi kwenye kifua chake, akalala chali na kuchojoa.
Roi hakutaka kusubiri na yeye alichukua hatua hiyo, akajichojoa mwenyewe, wakawa saresare.
Walijikuta wapo uwanjani, kila mmoja alikuwa moto wa kuotea kwa mbali. Walijitamani sana, wakaamua kuingia uwanjani bila kuulizana wala kulaumiana.
Mchezo ulianza vizuri kabisa, kila upande ulisukuma mashambulizi kwa mwingine mpaka mchezo kuwa wa vuta nikuvute!
“Bro...ooo.”
“Si...staaa...”
“Tume...tumekiuka?”
“Daa...aaa!”
“Mwisho leo...”
“Kufanyaje?”
“Tusirudie tena, sawa?”
“Kweli kabisa sista...tusirudie tena,” alisema Roi huku akikazana. Alikazana sana mpaka Liz akabadili mawazo...
“Bro...oooo...”
“Sist...aaa...”
“Una..unaonaje tukiachana na undugu? Mbona kama huku ni kuzuri zaidi...”
“Broooo...oooo...”
 
SEHEMU YA 06

ILIPOISHIA:
Alikazana sana mpaka Liz akabadili mawazo...
“Bro...oooo...”
“Sist...aaa...”
“Una..unaonaje tukiachana na undugu? Mbona kama huku ni kuzuri zaidi...Broooo...oooo...”JIACHIE MWENYEWE...
“Noo...tuendelee sista...lakini tusirudie tena baada ya leo, tena tujikanye kabisa na tukome kama tulivyokoma kwenye nido za mama zetu, si ndiyo... eee?” alijibu Roi kwa sauti ya kubabaika...
“Bwana...aaa! Mimi sitaki undugu tena kuanzia leo na ufe, kwanza una faida gani kwetu?” alihoji Liz lakini kikubwa kilichoonekana ni tamaa ya mwili iliyombamba kwa wakati huo pale kwenye kitanda...
“Mimi nataka mbona,” aliendelea kusisitiza Roi.
“Ba...aaa...si tumalize kwanza...tu...tajadili.”
Wawili hao, waliendelea kuchekecha mpaka wakacheketuka!
Kwa Liz, moyoni aliamua kuwa, baada ya mechi hiyo, yeye na Roi waendelee kuwa kaka na dada kama walivyokubaliana...
“Si mbaya kama tumeanguka dhambini leo tu, lakini nakuhitaji tuendelee kuwa kaka na dada,” alisema Liz akiwa kwenye kasi ya kupiga mpira kwenye kona karibu na goli!
“Hata mimi ndivyo nitavyotaka. Leo tukimaliza hapa tutubu dhambi zetu, tuanze upya kama kaka na dada, sawa dada angu?” alisema Roi...
“Si sawa...kwa...kwa muda huu tuendelee kuwa wapenzi si mpaka tumalize.”
“Haya.”
Liz alichekecha, akafika mwisho, akatangaza nia na kunyoosha miguu, akatulia tuli huku Roi akijitegemea mwenyewe mpaka naye alipotangaza nia yake.
***
Wote walilala wakiangalia juu huku mazungumzo yao yakiwa ya machalechale. Yalikuwa mazungumzo ya kama ni wapenzi, wakati mwingine kama kaka na dada.
Katika kuonesha kwamba, Liz alijutia kitendo cha kuivunja amri ya sita ya Mungu, aliamua kukaa kitandani badala ya kulala...
“Kaka...”
“Dada...”
“Tutubu dhambi yetu sasa ili tuendelee kuwa kaka na dada kama mwanzoni.”
“Kweli bwana, hebu tubu wewe kwa niaba yangu,” alisema Roi baada ya kuhisi hakuna maneno rasmi ya kutubu...
“Tumwombe Mungu tusirudie tena kufanya dhambi hii, mimi na wewe kuanzia sasa ni kaka na dada tena. Kwa kulitambua hilo naomba tukaoge, tuvae tuondoke,” alisema Liz huku akitoka kitandani. Alikwenda bafuni, akaoga na kurejea, akavaa, akasimama akimsubiri Roi ili waondoke wote...
“Sasa dada wewe umeshavaa, kwa hiyo na mimi nivae mbele yako kama dada yangu?”
“Oo! Ngoja nitoke kaka, nisamehe sana.”
Liz alitoka, akasimama nje ya mlango. Roi alikwenda kuoga, akarudi na kuvaa chapchap, akatoka, akaungana na Liz...
“Dada wewe unaondokea kwa njia gani?”
“Nitapanda Bajaj hapo nje kaka.”
“Oke, basi itabidi tuachane kwa nje au vipi sista?”
“Sawa kaka‘angu.”
Nje ya hoteli hiyo, Roi na Liz waligawana njia, kila mmoja akachukua usafiri wake, wakatawanyika kwa ahadi ya kuwasiliana kwa simu...
“Basi baadaye bro,” alisema Liz...
“Sawa, baadaye dada’angu,” alisema Roi.
Baadhi ya watu walipowaona wanatokea kwenye hoteli hiyo na kuitana dada, kaka walishangaa kwani dalili zote ziliashiria kwamba, wawili hao ni wapenzi.
***
“Ila anajitahidi sana kitandani, hivi kweli tunaweza kuwa kaka na dada maisha yetu yote?” alihoji moyoni Roi...
“Mh! Kaka...kaka kweli! Kaka mzima uwanjani kama Pele...kakaaa...” alisema moyoni Liz akisifia.
***
Ilikuwa usiku wa siku hiyohiyo tu, Roi ndiye aliyeanza kumchokoza Liz...
“Dada Martha mambo?”
Martha aliachia tabasamu kwanza maana alishamwambia mara kadhaa Roi kwamba, asimwite Martha, amwite Liz...
“Kaka Roi,” aliitika kwa kulitaja jina Liz...
“Naam sista...”
“Unalipenda jina la Martha ee?”
Roi ndiyo akashtuka kwamba kumbe alitumia jina hilo...
“Da! Nisamehe sista, kusema ule ukweli nililizoea sana kuliko Lizie...”
“Ona sasa! Siyo Lizie kaka ni Liz...sasa sikia bro, nakuruhusu utumie jina la Martha kuanza leo. Hilo la Liz lifute kabisa kwenye akili yako.”
“Daa! Sista nakushukuru sana mama. Hakuna jina nalipenda kama la Martha kuliko Liz, nashukuru kwa kuniruhusu...”
“Oke usijali baby bro...uko wapi sweetheart kaka?”
“Nipo nyumbani darling sista...”
“Oke! Mtoto mzuri kumbe, wewe ndiye kaka wa kweli.”
“Hata wewe ni dada wa kweli. Good sista...hujalala?”
“Ndiyo nataka kulala sasa. nimechokaaaa!”
“Umechokeshwa na nini sista jamani?”
 
SEHEMU YA 07

“Daa! Sista nakushukuru sana mama. Hakuna jina nalipenda kama la Martha kuliko Liz, nashukuru kwa kuniruhusu...”
“Oke usijali baby bro...uko wapi sweetheart kaka?”
“Nipo nyumbani darling sista...”
“Oke! Mtoto mzuri kumbe, wewe ndiye kaka wa kweli.”
“Hata wewe ni dada wa kweli. Good sista...hujalala?”
“Ndiyo nataka kulala sasa. Nimechokaaaa!”
“Umechokeshwa na nini sista jamani?”
SASA ENDELEA...
“Kwani hujui bro?”
“Sijui chochote.”
“Aaah! Si kule tulikokuwa,” alisema Martha lakini akilini mwa Roi alijua kilichomchokesha sista wake ni nini!
“Kule gesti?” aliuliza Roi...
“Ndiyo kulekule bro...daa!”
“Daa! Ila sista uko vizuri unajua?”
“Teh! Teh! Mh! Wewe je kaka? Mbona uko vizuri zaidi...”
“Mh! Kweli...?”
“Kweli bro...”
“Uliipenda chenga ipi pale uwanjani?”
“Mmh! Kaka bwana...chenga zote zilikuwa nzuri sana kaka, wewe ni kiboko.”
“Hamna! Lazima kuna chenga moja uliipenda sana...iseme tu sista jamani...”
“Ha! Ha! Ha! Niliipenda ile ulipokaribia golini ukawa unapiga chenga za zigzaga. Halafu hata ile ya mimi kuchunga ng’ombe ilikuwa nzuri...”
“Nyingine, lazima kuna nyingine...”
“Nyingine ni ile uliponiambia una hamu ya kula mboga ya matembele, si ikabidi nikachume.”
“Mh! Sista...”
“Nini tena braza..?”
“Mwenzio hoi hapa...”
“Mimi je? We acha tu! Hivi hapa nataka kwenda kuoga.”
“Umechafuka na vumbi?”
“Kumbe je?”
“Kwa hiyo? Nije nini?”
“Ha! Ha! Mbali...halafu ukaka si unaendelea kama kawa au?”
“Laa! Aisee...huu ukaka na udada halafu tunapeana njaa si mzuri...nataka kuruka nije...”
“Njoo...”
“Kweli?”
“Kweli njoo.”
“Nikija?”
“Si utakula chakula kama mgeni.”
“Chakula gani?”
“Utakacho...kuna ndizi za kuiva na maandazi ya donati.”
“Mh! Unanitamanisha sista...mimi nitakula donati...”
“Haya mimi nitakula ndizi za kuiva,” alisema Martha.
“Lakini sista...”
“Nini tena jamani kaka..?”
“Kwani umelala sista?”
“Nipo kitandani bro...”
“Umelalaje hapo kitandani?”
“Nahesabu paa...wewe bro?”
“Mimi nasoma kitabu.”
“Kumbe tupo sawa basi!”
“Basi acha kuhesabu paa.”
“Na wewe utaacha kusoma kitabu?”
“Nimeshakiweka pembeni.”
“Oke, mimi nimeshaacha kuhesabu paa.”
“Miguu ikoje?”
“Mashariki na Magharibi mwa nchi.”
“Basi mimi niko kanda ya kati nakuja kwako.”
“Njoo broo.”
“Ndiyo nakuja sasa...”
“Njoo tu. Na mimi nimeanza kukuona unavyokuja.”
“Kwa hiyo utanipokea..?”
“Ukifika nakupokea bro tena kwa mikono miwili kaka...njoo!”
“Nakaribia, nimeanza kukuona umesimama mlangoni unanisubiri...”
“Karibu broo...njoo...”
Roi alitumia meseji nyingine lakini hakujibiwa, akatuma nyingine, hakujibiwa, akapiga, Martha hakupokea...
“Jamani dada...nini tena?”
Baada ya dakika kumi na tano, meseji ikaingia, Roi akaisoma kwa haraka sana...
“Brooooo...”
“Sistaaa...”
“Nipo vibaya, please kama unaweza njoo kweli sasa hivi...chukua usafiri wowote ule nitakuelekeza kwangu please bro njoo tucheze...”
“Sista Martha...”
“Yes brooo...ooo!”
“Ukaka na udada je? Ufe?”
“Aaaah! Potelea mbali bwana...kwani lazima wakati mi nateseka?”
“Hapana dada...undugu ni bora kuliko mapenzi...tutag
ombana kila siku tukiwa wapenzi dada...”
“Hapana kaka...basi leo tu...”
“Baada ya leo?”
“Tusirudie tena bro...”
“Haya nakuja...kaa tayari...”
“Njoo kaka mpaka Kimara Mwisho, kuna barabara inaingia kulia, fuata hiyohiyo mpaka sehemu kuna pub, kuna muziki nje...nipigie...”
“Kwani saa hizi unafanyaje dada?”
“Natandika kitanda kaka, si unakuja kweli?”
“Nakuja dada...”
“Njoo kaka...”
***
Baada ya dakika kumi, Roi alimpigia simu Martha akiwa kwenye pub aliyomwelekeza...
“Nakuja kaka...”
“Poa dada.”
Usiku huo, Martha alivaa gauni la kulalia kwa hiyo lilimwonesha umbo lake kwa usahihi wote kiasi cha kumfanya Roi kuanza kufikiria upya kuhusu kuendelea na ukaka na udada baada ya tukio la muda huo...
Martha alikuwa akiishi na wapangaji wengine, wanawake wenzake ambapo kwa usiku huo walikuwa wamekaa nje jirani na dirisha la chumba cha Martha wakiongea...
“Karibu sana kaka...! Jamani huyu kaka ‘angu, anaitwa Roi...”
ITENDELEA
 
SEHEMU YA 08
ILIPOISHIA
Martha alikuwa akiishi na wapangaji wengine, wanawake wenzake ambapo kwa usiku huo walikuwa wamekaa nje jirani na dirisha la chumba cha Martha wakiongea...
“Karibu sana kaka...! Jamani huyu kaka‘angu, anaitwa Roi...”
JIACHIE MWENYEWE SASA...
Martha alimtambulisha Roi kwa wapangaji wenzake, nao walimtupia macho Roi kwani vaa ya Martha ya gauni la kulalia halafu aseme eti mgeni huyo ni kaka yake, kwao haikuingia akilini hata kidogo..!
“Oo! Karibu sana kaka yake Martha,” alisema mpangaji mmoja kwa akili za kujiongeza, wakacheka, Roi pia akacheka...
“Asante sana. Za hapa?” alisalimia Roi...
“Njema tu.”
Kazi ikawa moja kwa wapangaji hao, kuhakikisha wanaujua ukweli wa uhusiano wa Martha na mgeni wake...
“We Enjo, kama kweli huyu ni kaka yake Martha angempokea na gauni la kulalia?”
“Aaa! Siyo kweli hata kidogo, hapa ametudanganya,” walisemezana wapangaji hao pale nje tena jirani kabisa na dirisha la chumba cha Martha.
“Karibu baby,” Martha alikaribisha kwa sauti ya chini sana. aliogopa akisikika nje akiita baby wakati alishasema ni bro wake...
“Asante nashukuru,” alikaribia Roi na kutaka kukaa kwenye sofa sebuleni, lakini Martha akamdaka akiwa hajakaa, akamsimamisha, akamwomba denda palepale sebuleni...
“Mmm....mmmm...”
“Mm...mmmm...waaaa...”
Walichukua kama dakika tatu nzima wapo ndani ya denda motomoto huku wakisikika kwa sauti za kuhemka. Miguu yao chini ilitembea sawasawa na kila mmoja na uwezo wake wa kuhimili sakafu.
Ilitembea kama iliyokuwa ikiamrishwa na sauti moja. Ilikuwa kulia...kulia yote, kushoto...kushoto yote! Wakati mwingine mbele...mbele yote pia...
“Baby,” aliita Martha baada ya kujichomoa kwenye denda na Roi...
“Yes darling...”
“Chumbani ni noma, wale wapangaji wenzangu wamekaa nje ya dirisha langu la chumbani...”
“Kwa hiyo itakuaje sista..?”
“Bwana! Kwanza mi sitaki uniite sista...mimi ni baby wako...”
“Sawa sweet...sasa itakuaje?”
“Si hata hapa sebuleni panatosha au?”
“Wewe tu! Unaona panatosha kweli?”
“Panatosha darling,” alisema Martha kwa sauti iliyokwishazidiwa nguvu na joto la mahaba.
Tayari Martha alishalishika lile gauni lake la kulalia ambalo lilimchora umbo lake lote na akalichojoa kwa juu kichwani, akalitupia kule mbali...
“Mmh!” aliguna moyoni Roi kwani kwa mara ya kwanza alimwona vizuri mrembo huyo alivyoumbwa tofauti na siku ya kwanza.
Martha kwa kuwa hakuwa na vazi jingine ndani ya gauni hilo kwa hiyo hakuwa na kibarua kingine cha kuchojoa, akamshika Roi, akamfungua vifungo viwili vya t-shirt aliyovaa, akamnyoosha mikono, akamchojoa nguo hiyo, akammalizia na singlendi!
Akiwa amebakiza vazi la chini tu, Roi alijitegemea mwenyewe kujichojoa, akamaliza na kubaki saresare maua na mwenyeji wake, Martha.
Martha alikimbilia mlangoni kwanza ili kujiridhisha kwamba, umefungwa. Sasa wakati anakwenda, macho ya Roi ambayo yalikuwa kwake, yalikuwa cherekochereko kwa namna wowowo lilivyokuwa likivaibreti kwa papara kama siyo pupa!
“Mbengenyu...mbengenyu...mbengenyu...duu!” alisema moyoni Roi akifuatilia wowowo hilo lilivyokuwa likisumbuliwa na mmiliki wake.
Martha alirudi na kufikia kwenye mwili wa Roi, wakaenda wote hadi chini kwenye sofa kubwa! Puuu!
Kazi ilianza palepale, kila mmoja alikuwa moto kimahaba akimtaka mwenzake. Ni Martha ndiye aliyeonesha kumtaka zaidi Roi kwani alikuwa moto zaidi ya ule wa kifuu!
Kwa vile kila mmoja alijua wanatakiwa kutosikika nje kwa hiyo walicheza kwa ububububu ili sauti isitoke kwenda nje...
“Mm...mmmm...”
“Mm...mmmm...”
Ilikuwa ni miguno tu! Lakini yenye kutoa kielelezo tosha kwamba wapo uwanjani wanajiandaa kwa mechi ya kikubwa!
***
Kule nje, wale wapangaji walikuwa wakizungumza kwa sauti ya chini ili kutoa nafasi kwa sauti za chumbani kwa Martha kuwafikia kama wangekuwa wameingia na kuanza kulisakata kabumbu!
“Itakuwa kaka yake kweli si unaona wako sebuleni...”
“Itakuwa kweli. Lakini wakiingia chumbani tu, ujue ni geresha, hakuna cha ukaka pale,” walizungumza wale wapangaji.
Penzi ni kikohozi kulificha huliwezi, ni kweli kabisa! Licha ya mechi kuihamishia kwenye uwanja wa sebuleni lakini ile wanapuliza kipyenga tu, Martha alianza vuvuzela la mahaba.
“Nyie...nyie kumbe wapo sebuleni kweli lakini si mtu na kaka yake, hebu sikieni,” waliambiana pale nje.
Sauti ya Martha ilisema na kutafsiri kila jambo lililokuwa likiendelea...
“Ooo...”
 
SEHEMU YA 09

ILIPOISHIA: Penzi ni kikohozi kulificha huwezi, ni kweli kabisa! Licha ya mechi kuihamishia kwenye uwanja wa sebuleni lakini ile wanapuliza kipyenga tu, Martha alianza vuvuzela la mahaba.
“Nyie...nyie kumbe wapo sebuleni kweli lakini si mtu na kaka yake, hebu sikieni,” waliambiana pale nje.
Sauti ya Martha ilisema na kutafsiri kila jambo lililokuwa likiendelea...
“Ooo...” JIRUSHE NAYO SASA...
“Mmm,” aliguna Roi. Hamasa ya mapenzi kwake ilikuwa kubwa sana kiasi kwamba, kila nukta ilikuwa ya furaha kwake.
Kilio cha Martha kilifika nje vizuri sana, wapangaji wenzake wakajisogeza hadi kwenye dirisha la sebuleni na kukaa hapo huku wakijikemea kuwa kimya!
“Ndiyo kaka yake huyu?” mpangaji mmoja aliwaambia wenzake kwa sauti ya chini.
Ilifika mahali, wapangaji hao walitamani kuangalia mechi laivu hivyo wakaanza kuinua vichwa na kusogelea dirishani kabisa lakini pazia lilikuwa madhubuti kutotoa nafasi kuangalia ndani.
Mpangaji mmoja, anaitwa mama Mbega, yeye aliangaza huku na kule na kuona kipande cha mti, akakiokota na kuanza kukipitisha kwenye nyavu, sehemu iliyotoboka. Lengo lake lilikuwa ni kuweka pazia pembeni ili apate nafasi ya kuona mechi inavyoendelea ndani.
“Mh! Jamani tutaonaje sasa ndani?” alisema mama Mbega kwani alishindwa kupenyeza mti kwa kukosa sehemu iliyotoboka.Kelele za Martha ziliwapagawisha wote pale nje. Sasa walikuwa wakihema mihemo kama vile wao ndiyo wako ndani kwenye tukio.
Walishindwa kujizuia mpaka wakaanza kujinyonganyonga huku na kule kwa sababu ya kukumbwa na joto la mahaba ya sauti ya Martha.Martha alisikika kabisa akitangaza nia na kuwafanya wale wa nje kuzidi kuwa moto zaidi...
“Jamani Martha...kwa nini anatufanyia hivi lakini?” wapangaji waliulizana wao kwa wao tena kwa sauti, sema tu Martha na Roi hawakuisikia kwa sababu walikuwa kwenye eneo la mpira wa piga nikupige.
Walipomaliza, wale wapangaji nao wakakimbia. Kila mmoja aliingia ndani kwake na kujilaza kitandani huku wakiugulia maumivu ya joto la mahaba.
“Sweet,” Martha alimwita Roi...
“Niambie.”
“Daa! Afadhali sasa, maana loo...ilikuwa hatari sana,” alisema Martha huku akichekacheka...
“Kwa hiyo sasa umeridhika?”
“Sana tu.”
Wakati Martha anamsindikiza Roi, wale wapangaji walijua, wakatoka kwa mkupuo nje mpaka Martha mwenyewe akashangaa sana...
“Kuna nini kwani? Mbona kama wameibuka kwa mpigo?” alijiuliza Martha lakini hakutoa sauti yake kuwauliza.
“Jamani kaka yangu anaondoka sasa.”
“Oo! Karibu sana kaka.”
“Asanteni sana, siku nyingine.”
“Haya, wasalimie huko, siku nyingine uje hata kama dada yako Martha atakuwa hayupo,” alisema mama Mbega huku akicheka kicheko cha kejeli kama vile moyoni alikuwa akisema...
”Kaka gani wewe Martha, tumesikia kila kitu sisi.”
***
Ulikuwa usiku wa mawazo kwa Martha. Licha ya kwamba alikata kiu yake lakini Martha alijikuta akiumizwa na dhamira mbaya kuhusu Roi...
“Hivi tungebaki kuwa kaka na dada nini kingetokea? Kwanza undugu ungedumu zaidi. Kwa hii hatua tuliyofikia uhusiano wetu utakatika ghafla siku si nyingi,” alisema moyoni Martha akiwa amelala kuangalia juu.
“Ni lazima nichukue uamuzi mgumu. Nimwambie ukweli kwamba tusitishe uhusiano wetu ili ukaka na udada uendelee.”
Alichukua simu, akamtumia meseji Roi...
“Upo?”
Baada ya dakika kumi, Roi alijibu...
“Nipo darling, niambie.”
“Nina jambo linanisumbua, naweza kuchati na wewe kama hutajali?”
“Unaweza baby...”
“Oke. Nimekaa, nimewaza sana. Licha ya kwamba umenikata kiu yangu lakini muda mwingi dhamira inaniambia kwamba tunatakiwa kuendelea kuwa kaka na dada kama makubaliano yetu ya siku ya kwanza kabisa.”
“Mh!” aliguna Roi na ndiyo ikawa jibu lake kwa Martha...
“Usigune Roi, nasema kutoka moyoni mwangu.”
“Mmmh!” Roi alizidisha kuguna, Martha akakasirika na kukaa kimya.
Roi alipoona Martha ametulia, akajua amekasirika, akamtumia meseji...
“Naweza kukupigia?”
“Yes! Unaweza.”
Roi alipiga simu, Martha akapokea haraka sana...
“Halooo...”
“Sista...”
“Yes braza.”
“Umewaza nini tena jamani?”
“Mh! Bro, nimewaza mengi. Mimi nimefikia uamuzi huohuo. Lazima tuendelee kuwa kaka na dada ili uhusiano wetu uendelee kudumu zaidi na zaidi,” alisema Martha...
“Mh! Nikwambie kitu Martha..?”
“Niambie bro...”
 
SEHEMU YA 10
ILIPOISHIA:
“Mh! Bro, nimewaza mengi. Mimi nimefikia uamuzi huohuo. Lazima tuendelee kuwa kaka na dada ili uhusiano wetu uendelee kudumu zaidi na zaidi,” alisema Martha...
“Mh! Nikwambie kitu Martha..?”
“Niambie bro...”
SASA ENDELEA...
“Hata mimi sasa nimeamua kuwa kuanzia sasa hivi tuwe ndugu, tena wa damu moja! Mimi ni kaka yako, wewe ni dada yangu.”
“Loo! Jamani napiga vigelegele, umenifurahisha sana kaka yangu,” alisema Martha.
“Hata mimi dada nimefurahi sana. Unajua tulikuwa tunafanya makosa makubwa sana. Watu tumekubaliana kuwa kaka na dada sasa hizi tamaa nyingine za kutoka wapi?” aliuliza Roi...
“Ndiyo hapo sasa bro,” alishadadia Martha.
Baadaye waliagana wakakubaliana kuwasiliana asubuhi inayofuata ili kujuliana hali.
***
Martha alilala kwa amani na furaha. Alihisi ameutua mzigo mkubwa sana. Ilipofika saa kumi na moja alfajiri, Martha alipigiwa simu na shangazi yake kuwa, mumewe huyo shangazi amefariki dunia.
“Ha! Shangazi kweli? Mbona sijajua kama alikuwa anaumwa?” aliuliza Martha akianza kulia.
“Kafa ghafla Martha.”
Martha alikata simu, akatoka kitandani na kutungua nguo za kuvaa ili kwenda kwa shangazi yake.
Lakini wakati anatoka akampigia simu Roi...
“Kaka, mume wa shangazi yangu kafa ghafla jamani...eeee..ooo,” alilia.
“Wapi?”
“Nyumbani kwake Magomeni.”
“We uko wapi sasa sista?”
“Mimi ndiyo nakwenda huko.”
“Uko wapi?”
“Nipo hapa kituoni Kimara.”
“Nakuja hapohapo kituoni sista.”
Roi alikurupuka, akatoka mbio hadi kwenye gari, akaendesha hadi kituoni Kimara. Akamchukua Martha kwenye gari hadi Magomeni msibani.
Nyumba yote ililipuka kwa vilio, majirani walijaa nao wakilia sambamba na familia ya marehemu. Martha alifikia kulia akiwa ameishiwa nguvu.
Ilibidi Roi ajumuike na wanaume wengine waliokaa nje ili kuona hali inakwendaje.
Kulipokucha, Martha ndiyo akamkumbuka Roi kwamba hawakuagana baada ya kuachana...
“Ooo! My God! Bro atakuwa ameondoka bila kujua nini kinaendelea!” alisema moyoni Martha, akampigia simu huku akiwaza...
“Sikumfanyia fea hata kidogo. Mtu akupe lifti hadi msibani halafu unamwacha bila kumshukuru.”
Simu ilipokelewa, Martha akashtuka kusikia kelele...
“Bro, upo wapi?”
“Nipo hapa nje sista.”
“Haa! Nakuja.”
Martha alitoka mbio hata waombolezaji wengine wakamshangaa. Alimkuta Roi amekaa kwa kujikunyata akitetemeka baridi.
“Ooh! Pole baby,” Martha alijikuta akisema hivyo.
Alimsimamisha Roi, akamvutia pembeni...
“Nisamehe sana sweet, nilichanganyikiwa. Sikujua kama upo nje, mawazo yangu umeshaondoka,” alisema Martha.
“Nilishindwa kuondoka sista,” alisema Roi kwa sauti ya upole huku akimpa pole Martha kwa msiba...
“Asante sana baby. Sijajua mazishi itakuaje? Lakini kikao kitakaa baadaye kwenye saa nne asubuhi,” alisema Martha.
Roi aliaga, akaondoka huku Martha akimsindikiza kwa macho yaliyojaa huruma...
“Maskini. Yaani amekubali kuacha usingizi wake kwa sababu ya msiba wangu. Huenda Roi si kaka yangu,” alisema moyoni Martha.
***
Baada tu ya kikao cha familia cha kujadili namna ya mazishi ya mume wa shangazi yake Martha, Roi akapiga simu kama alijua vile...
“Kaka...”
“Ee dada! Vipi kuhusu utaratibu?”
“Tunazika kesho saa kumi jioni, Kinondoni.”
“Ooh! Nakutumia shilingi laki moja na nusu kama mchango wangu.”
“Da! Nitashukuru sana kaka yangu.”
“Poa...poa! halafu kesho nitakuja kwenye mazishi.”
“Sawa kaka, sawa.”
***
Ulikuwa mchana wenye mawazo kwa Martha...akiwa ametulia tuli huku wachache wakiendelea kulia, aliwaza...
“Hivi kweli yule ni kaka yangu au mume wangu? Ina maana anaweza kunijali kiasi hiki kweli?” alijiuliza Martha huku akiiangalia meseji ya pesa aliyotumiwa na Roi.
***
Wiki moja ilikatika tangu mazishi ya mume wa shangazi yake Martha, siku hiyo Martha alikaa kwenye mgahawa mmoja akimshukuru Roi kwa ushirikiano wake katika msiba...
“Wala usijali dada yangu. Tuko pamoja.”
“Yaani bro kusema ukweli umenipa kampani kubwa sana.”
“Usijali dada yangu.”
“Asante sana,” alisema Martha huku akimwangalia Roi, wakakutana macho, wote wakajikuta wakisisimka...
“Brooo,” aliita Martha kwa sauti iliyojaa mahaba.
Je, unajua nini kiliendelea? Usikose kusoma chombezo hili tamu sana
 
SEHEMU YA 11


ILIPOISHIA:
Wiki moja ilikatika tangu mazishi ya mume wa shangazi yake Martha, siku hiyo Martha alikaa kwenye mgahawa mmoja akimshukuru Roi kwa ushirikiano wake katika msiba...
“Wala usijali dada yangu. tuko pamoja.”
“Yaani bro kusema ukweli umenipa kampani kubwa sana.”
“Usijali dada yangu.”
“Asante sana,” alisema Martha huku akimwangalia Roi, wakakutana macho, wote wakajikuta wakisisimka...
“Brooo,” aliita Martha kwa sauti iliyojaa mahaba.
SHUKA NAYO SASA...
“Yes sista...”
“Uko sawa?”
“Yeah! Nipo sawa sista, wewe je?”
“Mh!” aliguna Martha bila kusema kama yuko sawa au la!
“Mbona umeguna sista?”
“Mh! We acha tu.”
“Nini?”
“Nimekumbuka mbali.”
“Mbali wapi sista? Umemkumbuka marehemu tuliyemzika hivi karibuni?”
“Wala! Yule ameshapita, nitaendelea kumkumbuka kibinadamu tu lakini si kwa sababu ya hivi ninavyowaza,” alisema Martha.
Roi ilibidi awe mpole tu sasa kwani hakujua nini kiliendelea ndani ya nafsi ya Martha. Walishakubalian
a kwamba wabaki kuwa kaka na dada kwa hiyo aliamini ukaka na udada upo vilevile.
Martha alinyoosha mkono na kushika vidole vya mikono ya Roi na kuviminyaminya kiaina huku akimwangalia kwa macho yaliyojaa hamasa ya mahaba...
“Kaka...”aliita kwa sauti ya chini sana, kama vile mgonjwa...
“Niambie dada ‘angu mpenzi!”
“Nakupenda kaka ‘angu mzuri. Umenisaidia sana.”
“Wala usijali sista.”
“Endelea kunisaidia na kunijali hivyohivyo my bro,” alisema Martha huku akiendelea kuvisuguasugua vidole.
Kwa mbali, Roi alishajua kuwa Martha alikuwa hoi kimapenzi, alihitaji mwanaume lakini sasa akawa anajiuliza watakuwa wakiendelea kusuasua mpaka lini? Mara kaka na dada, mara wapenzi...
“Mimi nitakusaidia mpaka mwisho wa ukaka na udada wetu.”
Martha alilegeza macho, akajipeleka na kumwegemea Roi begani huku akirembua...
“Darling...” aliita Martha...
“Yes sweet.”
“Mmh!” aliguna Roi.
“Nini tena?”
“Najisikia uvivuuvivu...”
“Umechoka?”
“Wala sijachoka.”
“Uvivu wa nini sasa?”
“Hata sijui, kama napenda kulala vile...”
“Kwa hiyo una usingizi?”
“Wala.”
“Sasa nini jamani sista?”
“Ah! Mi sijui bwana,” alisema Martha huku akipeleka mkono wake wa kulia hadi kwenye sehemu ya mbele ya suruali ya Roi...
“Da! Sista...”
“Abee...”
“Umefikia huko?”
“Ah! Mimi sijui bwana...sielewi kwa nini nashindwa kushika ahadi wakati naiweka mwenyewe... lakini hata hivyo leo tukienda tusifanye lolote, tukakae tu, tuzungumze halafu baadaye tuondoke. Kama tutazidiwa, labda tufanye romansi tu,” alisema Martha akijaribu kuweka mwongozo wake...”
“Kwa hiyo?” aliuliza Roi kwani sasa na yeye moyoni alisema liwalo na liwe, akawaza...
“Kwanza ni kweli si ndugu yangu, hanihusu kwa lolote lile, sasa nahangaika naye wa nini?” alisema moyoni Roi, akamshika mgongoni Martha, Martha akasisimka kwa kusema maneno yenye kuashiria kusisimka...
“Wewe tu...”
“Basi twende.”
“Wapi?”
“Popote pale penye utulivu.”
“Kwani hapa si hotelini! Kwa hiyo pana vyumba.”
“Nadhani.”
Roi alisimama, akaingia ndani na kutoka baada ya dakika mbili tu, akasimama na kumwita Martha kwa ishara ya mikono, wakaenda vyumbani.
Walichukua chumba kimoja, wakazama humo...
“Sista tutaweza kukaa tu na kuzungumza kweli?” aliuliza Roi...
“Tujitahidi kaka, tukiweza leo basi, shetani atakuwa ameshindwa siku nyingine zote,” alisema Martha akijiamini...
“Haya, tutaona sista.”
Walikaa kitandani, safari hii walikaa sanjari wote wakiangalia mlangoni, miguu yao ikining’inia kwenda chini.
“Kwa hiyo kaka we huwezi kukaa na mimi kama hivi huku tunazungumza?” aliuliza Martha huku akimwangalia Roi, Roi naye akamwangalia Martha kwa macho ya kiume, Martha akalegea, lakini akajikaza...
“Mimi nitaweza bro,” alisema Martha huku akimwangukia mapajani Roi...
“Ka...ka ja...ma...ni...”
Je, unajua nini kiliendelea? Usikose kusoma chombezo hili tamu siku ya kesho!
 
SEHEMU YA 12

ILIPOISHIA:
Walikaa kitandani, safari hii walikaa sanjari wote wakiangalia mlangoni, miguu yao ikining’inia kwenda chini.
“Kwa hiyo we huwezi kukaa na mimi kama hivi huku tunazungumza?” aliuliza Martha huku akimwangalia Roi, Roi naye akamwangalia Martha kwa macho ya kiume, Martha akalegea, lakini akajikaza...
“Mimi nitaweza bro,” alisema Martha huku akimwangukia mapajani Roi...
“Ka...ka ja...ma...ni...”
ENDELEA SASA...
Roi alijikuta akitetemeka, mwili ulimwishia nguvu huku akihisi kizunguzungu cha mahaba mwilini mwake...
“Sis...taaa...” aliita kwa sauti ya kiume, iliyotoka kwa mtetemeko.
“A...be...ee,” Martha naye aliitika sauti iliyojaa maumivu na kusubiri tiba ya dhati kutoka kwa mwanaume huyo akiwa kama mwanamke mkamilifu.
“Hali yako vipi?”
“Mi...mi nipo tayari mpenzi...”
Roi alimshika Martha, akamweka kifuani pake na kumwinua kitandani kisha wakaanza kwenda sambamba kwa kusukumana ili kupandisha moto mwilini.
Martha muda mwingi alikuwa akiweweseka kwa maneno matamu yaliyojaa mahaba kiasi cha kumfanya Roi ajisikie kama yuko kwenye ulimwengu mwingine kabisa na si duniani.
Roi aliamua kujiweka sawa, akamweka sawa, akaingia uwanjani na mechi ikaanza huku kila mmoja akiwewesekea mahaba hayo.
Haikufika dakika kumi, Martha akatoa tangazo la kufika kwenye eneo alilolitafuta, akamtaarifu Roi, akapokelewa kwa mikono miwili huku akisifiwa kwa maneno matamu kwamba anaweza kuucheza mpira sawasawa.
“Siistaaa,” aliita kwa kigugumizi Roi, Martha akamkatalia kwamba yeye si sista wake tena...
“Niite mpenzi.”
“Mpenzi.”
Kumbe Roi naye alimwita Martha ili amtangazie kuwasili kwake kwenye mafanikio ya safari yao na yeye akapokelewa kwa maneno matamumatamu.
***
Martha na Roi walikuwa wakijiuliza ni kwa nini wanaingia na kutoka wakati ukweli uko wazi tu...
“Hivi kuna siku tutarudia ukaka na udada?” aliuliza Roi, Martha akacheka kwa mbali...
“Mimi nikuulize wewe...” alisema Martha.
“Na mimi nikuulize wewe.”
“Teh! Teh! Mimi naweza...”
“Huwezi bwana, tusidanganyane,” alisema Roi kwa sauti ya kujiamini sana, Martha akacheka tena, safari hii kwa kicheko cha juu kidogo...
“Haya tuamue kuanzia sasa hivi mimi na wewe ni kaka na dada,” alisema Martha...
“Haya tuanze, tena sogea pembeni yangu usiniguse,” alisema Roi huku akipeleka mkono kwenye nido moja ya Martha, akapiga ukelele na kulegea macho...
“Baby bwana...” alilalamika Martha akiwa amebadilika sauti. Ilitoka kwa kinyonge maana mwili ulishapata moto kwa kule kushikwa nido tu.
“Nini?”
“Unanisisimua bwana...”
“Aaah! Mimi na wewe si kaka na dada jamani?”
“Hata kama! Sasa unanishika huko wakati unajua nitapata tabu...”
“Ukipata tabu mimi kaka yako si nipo.”
“Hiloo, tumeshakubaliana leo iwe mwisho,” alisema Martha.
Roi akapeleka mkono tena na kushika mahali palepale, Martha akapiga kelele, akainuka na kumwegemea Roi huku akisema...
“Umenianza mwenyewe, sasa lazima umalizie kazi uliyoianza.”
Hapo Martha sasa alimlalia kifuani Roi kwa staili ya utundu huku akimwangalia kwa macho ya karibu sana...
“Sitaki,” alisema Roi...
“Hakuna bwana, huwezi kunichaji halafu ukaniacha hivihivi, haiwezekani,” Martha alitumia nguvu kumweka Roi kwenye himaya yake.
Roi alitoka kitandani, Martha akamfuata, wakakimbizana chumbani japokuwa kilikuwa kidogo. Roi akaingia bafuni, Martha akafuatia. Hapo wote walikuwa kama walivyozaliwa.
“Kwani dada unachotaka ni nini zaidi?” aliuliza Roi huku akiachia tabasamu...
“Mimi siyo dada yako kwanza! Halafu si kingine ninachokitaka, wewe unakijua sana. Wewe si ndiyo umenichaji bwana, lazima unitoe kwenye chaja sasa,” alisema Martha akiwa amemshika kwa nguvu mwanaume huyo na kutoka naye bafuni kurudi chumbani huku akiendelea kusema...
“Twende kitandani, sikubali mimi.”
Walipofika chumbani, Martha alitangulia kupanda kitandani, ghafla Roi akaenda nyuma ya mlango na kutungua suruali kwa lengo la kuvaa.
“Ha! Ha! Una maana...”
Kabla hajamaliza, Roi alifungua mlango ili atoke chumbani humo...
Je, unajua nini kiliendelea?
 
SEHEMU YA 13

ILIPOISHIA:
“Ha! Ha! Una maana...”
Kabla hajamaliza, Roi alifungua mlango ili atoke chumbani humo...
JAMPU NAYO MWENYEWE...
Martha aliruka kama golikipa, akamdaka Roi ambaye tayari alikuwa katikati ya mlango...
“Baby noo! Si vizuri jamani, hebu rudi kwanza,” alisema Martha kwa sauti tamu huku akiwa amemlegezea macho Roi.
Roi alirudi, akafikia kukaa kitandani...
“Unasemaje sista?”
“Hivi baby kwa hali niliyonayo kweli unaweza kuniacha hivihivi jamani nateseka mwenzako na wewe kama mwanaume tena rijali upo ndani ya chumba!
“Afadhali ingekuwa tumekaa hotelini kama muda ule. Lakini ndani kabisa ndani, tena kitandani, wawili tu na wala sisi si ndugu wa damu moja ni ndugu wa kujitakia, unaniacha nateseka. Hii siyo fea Roi.”
Roi alimwangalia Martha kwa macho yaliyojaa kicheko lakini cha kujibana, akasema...
“Martha, mimi na wewe, wawili tu bila kuwepo kwa mtu mwingine si tumekubaliana ukaka na udada urudi kama awali lakini, au?”
“Ndiyo lakini iwe baada ya leo. Leo tumalizane kwanza kama wapenzi halafu kuanzia kesho tunaendelea na ukaka na udada wetu mi mwenzio niko vibaya sana, hujui tu.”
“Noo Martha, noo! Mimi kwanza napenda sana udada na ukaka wetu, hivyo katika mazingira hayahaya magumu ndiyo tujikomaze,” alisema Roi kwa sauti iliyokosa hali ya kujiamini.
“Hapana Roi...hapana jamani, please usinifanyie hivi,” alisema Martha huku akipiga magoti kwa unyenyekevu, Roi akajua anataka kumwomba msamaha lakini sivyo, Martha akapeleka mkono na kushika maiki ya Roi ili aanze kuimba nyimbo za mahaba.
Roi alilazimika kujichojoa mwenyewe huku akigugumia ndani kwa ndani kuashiria kwamba alikuwa katika wakati mgumu wa hisia za kimapenzi.Kwa vile Martha alikuwa amepiga magoti, alikuwa akiimba kwa kutumia maiki hiyo huku akimwangalia Roi kwa macho ya kulegea.
Roi akawa hoi bin taaban, akamshika mikono Martha na kumvutia kwake huku akiwa anatetemeka miguu.
“Una...una...” alishindwa kumaliza kusema Roi akajikuta amebaki akiweweseka, akamkodolea macho Martha, Martha akasimama, akampandisha Roi kitandani na yeye akafuatia.
Waligalagazana pale kitandani kwa dakika kadhaa huku kila mmoja akihema kwa kasi yake, Martha hakuwa tayari kupoteza muda, akamuweka sawa Roi ili waingie uwanjani kuanza kuicheza mechi.
Martha aliamini akitumia ujuzi wake wote, anaweza kumfanya Roi akaachana na habari za ukaka na udada kwani moyoni mwake alianza kuona ukaka na udada kwa Roi utampotezea mambo mengi sana...
“Sista...aaa,” aliita kimahabamahaba Roi...
“Niambie...”
“Mi nina wazo sijui kama utanielewa lakini...”
“Liseme...”
“Tuachane na udada na ukaka kabisa, tubaki kuwa wapenzi, huenda siku moja tutakuwa mke na mume...”
“Naunga mkono baby, sitaki tena ukaka kutoka kwako...”
“Na mimi sitaki tena udada kutoka kwako.”
Martha alianza kupandisha ‘mashetani’ yake ya mahaba. Alitoa mlio wa kumtoa simba kwenye msitu mkubwa huku akisema anachotaka kukifanya. Akapokelewa kwa maneno matamu na Roi.
Walitulia kidogo kuvuta kasi na Martha kujiweka fiti, wakaanza tena lakini safari hii walibadili mapozi, wakaenda na pozi la muunga mboga jikoni, Roi hakufika mbali akatangaza nia.
Sasa walikuwa wamelala wote wakiangalia juu...
“Baby,” aliita Roi...
“Niambie sweet wa mimi!”
“Unajua nakupenda sana, si kama dada lakini bali kama mpenzi wangu.”
“Hata mimi si kama kaka sasa ila kama my baby.”
“Mbali na mwanaume uliyezaa naye ambaye uliniambia alikuacha, una mchumba? Maana hatukuwahi kuliongelea hili hata siku moja.”
“Ni kweli hatujawahi kuliongea hili hata siku moja mimi na wewe, nina mwanaume lakini si mchumba wangu.”
Roi alishtuka, akainuka na kukaa kitandani...
“Vipi tena baby wangu?”
“Nimeshtuka, una mtu?”
“Yes!”
“Ina maana siku ile mpaka nakuja kwako usiku ukasema una kiu, kumbe una mtu?”
“Ninaye sweet lakini alisafiri siku zile, alikuwa Zambia lakini amerudi, yupo mjini kwa sasa.”
“Anaishi wapi?”
“Anaishi wapi kivipi?”
“Huyo jamaa yako anaishi wapi hapa jijini Dar es Salaam?”
“Kwangu.”
Roi alitoka kitandani, akasimama akihema kwa kasi...
“Martha acha mambo ya utani bwana.”
“Sina utani, anaishi na mimi pale.”
“Mh! Kumbe una mume Martha?”
“Ndiyo Roi. Ndiyo maana uliponiuliza nina mchumba nikakwambia sina kwa sababu nina mume. Sikutaka kukwambia siku za kwanza kwa sababu zangu binafsi.”
Je, unajua nini kiliendelea? Usikose kusoma chombezo hili tamu.
 
SEHEMU YA 14

“Martha acha mambo ya utani bwana.”
“Sina utani, anaishi na mimi pale.”
“Mh! Kumbe una mume Martha?”
“Ndiyo Roi. Ndiyo maana uliponiuliza nina mchumba nikakwambia sina kwa sababu nina mume. Sikutaka kukwambia siku za kwanza kwa sababu zangu binafsi.”
SHUKA NAYO MWENYEWE…
“Sababu kama zipi?”
“Nazijua mwenyewe, iko siku nitakwambia.”
“Kama ni hivyo Martha please tuendelee kuwa kaka na dada kuanzia sasa hivi tunavyoongea, mimi si mpenzi wako tena na wala wewe si mpenzi wangu tena.”
“Noo! Roi noo! Mimi bado nakuhitaji wewe kama mpenzi wangu. Ukaka na udada ulishakufa, we unajua.”
“Martha…” aliita Roi.
“Abee…”
“Katika vitu sivitaki katika maisha yangu ni kutembea na mke wa mtu. Sitaki wala sipendi na sitamani. Kwangu mke wa mtu ni sumu kama sumu nyinginezo. Yaani wewe saa hizi ninapokuangalia nakuona kama ile sumu ya kuulia panya,” alisema Roi akiwa amekunja sura.
“He! Hayo yote yanatokana na nini mpenzi wangu jamani?”
“We unajua. Kumbe una mume wako halafu unatembea na mimi! We ni msaliti.”
Martha alimlalia mapajani Roi na kuanza kulia tena kile kilio cha kwikwi.
“Unalia nini sasa?” aliuliza Roi mikono ikiwa juu kwa maana kwamba hakuwa anataka kumshika Martha.
“Baby,” aliita Martha kwa sauti tamu sana…
“Nini?”
“Kuna kitu nilitaka kujifunza kwako.”
“Kipi?”
“Niliamua kukudanganya ili nione kama utakubali kuendelea kuwa na mimi au la! Inaonekana wewe ni mwanaume mwaminifu, usiyetaka kuchanganya. Nimefurahi sana,” alisema Martha…
“Martha we mwongo. Unajifanya ulikuwa unanidanganya kwa vile nimekuonesha msimamo wangu siyo? We si mkweli.”
“Baby, unataka nifanyeje ili uamini?”
“Mimi sijui ufanyeje! Wewe ndiyo unajua ufanyeje!”
“Twende ukalale kwangu leo,” alisema Martha huku akimwangalia Roi kwa kutokea chini.
Sasa Roi alishalegeza masharti. Alimshika mwilini Martha huku akimpapasapapasa sehemu mbalimbali. Mara kifuani, mara tumboni, mara kwenye nido.
“Pengine mumeo kasafiri.”
“Utawauliza wale wanawake.”
“Ah! Si utawaambia hata kwa simu kwamba nikiwauliza wajibu nini!”
“Basi twende kwako nikalale huko.”
“Sitaki. Si utamdanganya mumeo kwamba umekwenda kumsalimia shangazi yako.”
“Jamani baby! Sasa nifanyeje ili uamini nilikuwa nakudanganya?”
“Mimi sijui Martha.”
“Haya! Sikia, basi twende kwako, chukua nguo, twende kwangu. Ukae pale hata kwa siku kadhaa hivi.”
“Sawa. Twende.”
Roi na Martha waliondoka mpaka nyumbani kwa Roi. Ilikuwa mara ya kwanza, Martha kuingia kwenye nyumba hiyo, akapongeza kwa jinsi ilivyo.
Roi alibeba nguo za kubadili kwa siku tano, aliamini ndani ya siku hizo. Atajua ukweli kwa kuchunguza mambo kadhaa.
Walianza safari hadi nyumbani kwa Martha…
“Hilo duka lina mlinzi baby, kwa hiyo gari laza hapahapa nje,” alisema Martha. Mbele ya nyumba anayoishi kuna barabara, ng’ambo yake kuna duka.
Ilikuwa ni dalili ya kwanza kwa Roi kuthibitisha kwamba, kweli Martha hana mume…
“Angekuwa ana mume, asingetaka gari lilale jirani hivi,” alisema moyoni huku akifunga milango.
Nje ya nyumba, walikaa wale wapangaji wenzake, Martha. Walipomwona Roi walimchangamkia sana…
“Karibu kaka…mzima wewe? Za siku jamani?”
“Njema…njema…njema sana,” Roi aliwaitikia wote kwa kuunganisha maneno.
Walipoingia ndani, nyuma maneno yakaanza…
“Jamani, mbona kaja na begi? Ndiyo kahamia nini?”
“Inawezekana. Lakini jamani twende mbele na kurudi nyuma, Martha si mwanamke machepele,” alisema mmoja wa wapangaji hao.
“Ni kweli. Ila aliwahi kuwa na kizee kimoja hivi, sijakiona muda, nadhani walizinguana,” alisema mwingine.
Wapangaji hao walimchambua Martha mpaka wakafika kwa Roi, kwamba kwa nini anamtambulisha kama kaka yake wakati ni mpenzi wake?
“Kile kizee alikitambulisha kuwa ni mpenzi wake, sasa huyu kijana mwenzake kwa nini anasema ni kaka yake?” aliuliza mpangaji mmoja.
“Ukiona hivyo ujue ni mume wa mtu. Kile kizee si kilifiwaga na mke, ndiyo maana alikiweka wazi,” alisema mpangaji mwingine. Mpangaji wa tatu akatahadharisha kuwa, Martha anatoka baada ya kusikia kutembea kwake…
“Anakuja jamani… anakuja! Nyamazeni.”
Martha alitoka na Roi, wakasimama…
“Jamani! Huyu bro wangu atakuwa hapa kwangu kwa siku kadhaa. Kwa hiyo msishangae mkimwona anaingia na kutoka,” alisema Martha kwa sauti ya kujiamini sana kisha akamshika mkono Roi na kurudi naye ndani huku wale wapangaji wakisema…
“Sawa, karibu bro. Hakuna shida.”
Nyuma, walianza tena wale wapangaji…
“Jamani…Martha si ana chumba kimoja tu?”
“Ndiyo.”
“Sasa kaka yake atamlaza wapi?”
“Si anatuvunga tu.”
“Sasa mimi nitamkomesha,” alisema mpangaji mmoja.
“Utamkomeshaje?”
“Nitachukua namba yake ya simu halafu nitaanza kujigonga kwake.”
***
Ulikuwa ni usiku wa kwanza kwa Martha na Roi kulala pamoja wakiwa wamefuta ukaka na udada wao.
Martha ndiye aliyekuwa mchokozi pale kitandani. Alimshikashika Roi kwa kuanzia kichwani, akaja kifuani, akampa kidole chake kwenye kinywa, Roi akakipokea, akamlalia kifuani huku akianza kuhema kwa staili ya mahaba.
Mara, mlango mkubwa wa kuingilia sebuleni uligongwa…
“Mh! Martha! Si jamaa yako huyo kweli?”
Je, unajua nini kiliendelea? Usikose kusoma chombezo hili tamu sana...
 
SEHEMU YA 15

Ilipita kama dakika tatu hakuna aliyekuwa akizungumza zaidi ya kuendelea kushikana kiaina. Kilichosikika ni kuhema kwa mama Anna ambaye sasa alionekana kama tayari amechaji.
Roi alimsimamisha, akamshika mkono na kuondoka naye…
“Tunakwenda wapi sasa?” aliuliza mama Anna.
“Wewe twende tu, wala usiogope,” alisema Roi, tayari akili yake ilikwishahama kabisa, kwa kumwangalia tu, ingekufanya ujue tayari penzi lilimchukua.
JIACHIE MWENYEWE SASA…
Safari yao ilikwenda mpaka kwenye gari la Roi, mama Anna akapanda upande wa abiria, Roi akakalia usukani na kuanza mwendo mpaka nyumbani kwa Roi.
“Karibu sana, hapa ndiyo nyumbani kwangu,” alisema Roi na kumshangaza sana mama Anna…
“He! Kumbe! Nyumba nzuri sana.
Sasa kwa nini unakuja kuishi kule ambako Martha amejibana?”
“Haitakuwa kila siku. Lakini tukubaliane jambo moja. Nimekuleta hapa, iwe siri yako wewe, sawa?” alisema Roi akiwa amesimama na mama Anna sebuleni.
“Yaani elewa mimi ni msiri sana kama nilivyokwambia, kwa hiyo wala usiwe na wasiwasi wowote ule.”
Roi alimpeleka chumbani mama Anna…
“Hiki ndiyo chumba changu ninacholala,” Roi aliendelea kutambulisha…
“Jamani! Umebakiza kuwa na mwanamke tu! Hivi, utaoa lini wewe mwanaume?”
“Nitaoa karibuni.”
“Ndiyo Martha sasa?”
“Hata Martha wewe kwani pia si Martha?” alisema Roi huku akicheka kuashiria kwamba, alikuwa kwenye utani.
Moyoni mama Anna alinuia jambo moja. Kwamba, watakapopanda kitandani kuanza mechi, aoneshe ufundi wote, chenga kwa wingi, danadana kwa sana ili ikibidi yeye sasa, amkamate kimapenzi Roi na kumpiku wajina wake, Martha…
“Jamani, mimi bahati hiyo nitaipata kweli?” alisema mama Anna akiwa na yake moyoni.
Ni Roi ndiye aliyemuanza mama Anna mle chumbani. Alimshika, akamvutia kwake, wakakaa wote kitandani. Alikaa Roi, mama Anna akaja juu yake. Alimkalia Roi...
“Teh! Teh! Lakini mi mwenzako naona aibu,” alisema mama Anna huku akiuma kidole chake.
“Aibu ya nini bwana wewe? Kwanza lazima ujue mimi naweza kuwa mumeo. Sasa mumeo utamuoneaje aibu?” alisema Roi, lakini moyoni alisema…
“Ungekuwa una aibu ungeanza wewe kunitongoza? Acha mambo yako wewe.”
Roi, ili kumtoa mwanamke huyo hiyo aibu, alimshika shingo, akamgeuzia kwake, akaomba denda, akapewa. Wakapeana, wakazama kwenye mahaba mazito.
Alichofanya mama Anna, wakati wapo katikati ya denda, alipeleka mkono kwenye kifua cha Roi na kuanza kumfungua vifungo vya shati, kimoja baada ya kingine mpaka mwisho.
Akalitoa shati pembeni, akalitupa kwenye kiti. Akahamia kwenye singilendi, akaivua mpaka usawa wa midomo, akatoa ulimi na kuivua singilendi kisha akarudisha ulimi tena.
Alipoitupa singilendi, Roi alikuwa tumbo wazi, akajua mambo yameisha, kumbe mama Anna alikuwa bado. Wakiwa ndani ya denda, akapeleka mkono kwenye suruali, akashika sehemu ya kufungia usalama wa suruali na kupafungua, akaishusha suruali huku denda likiwa palepale.
Ilifika mahali, mama Anna akatumia miguu kuimalizia suruali kwa chini, ikatoka kwenye miguu ya Roi, akabaki na boksa.
Kwa Roi, aliyokuwa akifanyiwa na mama Anna yalikuwa mageni kwake. Hakuwahi kuyaona popote, hata kwa Martha mpenzi wake. Yaani denda liwepo mdomoni huku anavuliwa nguo? Kwake ilikuwa elimu mpyaa!
Mama Anna akapeleka mkono kwenye boksa, akaivuta, ikavutika. Akaitoa na mkono mpaka usawa wa magoti, akaisindikiza chini kwa miguu na kuimalizia, ikatoka na kuangukia kwenye kapeti.
Sasa Roi alikuwa kama alivyozaliwa huku mama Anna naye akianza kujiondoa vazi moja baada ya jingine mpaka wakawa saresare.Waliingia uwanjani huku mama Anna akipania ushindi wa kishindo. Roi yeye alitegemea kuyaona mengi zaidi. Na kweli.
Mama Anna alijilaza kuangalia miguuni kwa Roi mpaka Roi akashangaa. Alishangaa kwa sababu alihisi mwanamke huyo hakuwa tayari kwa mchezo zaidi ya kupandishana joto la mahaba tu.
Kumbe sivyo, mama Anna alikuwa kwenye pozi lile ili aanze kucheza mchezo kwa mashambulizi ya kuanzia katikati.
Roi alishangaa, mama Anna anamsogelea upandeupande huku akimshikashika sehemu mbalimbali za mwili mpaka wakawa sanjari.
Roi kuja kushtukia, mama Anna ameshaanza mchezo kwa kujihudumia mwenyewe. Roi naye akaunga mchezoni, wakaanza kusakata kabumbu huku mama Anna akiimba mashairi mazuri ya mahaba.
Roi alichanganyikiwa, akatamani kulia kwani kuna ufundi alikuwa akifanyiwa na mama Anna ulimzuzua akili. Mama Anna sijui alifanyaje, Roi akahisi anaondoka kwenye ulimwengu huu na kwenda sehemu nyingine…
“Noo…noo Martha noo. Hebu tuongee kwanza please,” alisema Roi kwa kupiga ukelele kidogo. Mama Anna akatuliza mpira katikati ya uwanja…
“Niambie baba,” alisema…
“Martha,” aliita Roi…
“Sema baba nakusikiliza wewe.”
Roi hakuwahi kuitwa baba na Martha wake hata siku moja. Kuitwa na Martha huyu mwizi kwake pia ilikuwa ni jambo jipya…
“Huna mwanaume mwingine?” aliuliza Roi…
“Aaah! Sina mbona. Mimi niponipo tu,” alisema mama Anna huku akianzisha mchezo polepole kama anayesema kumbe unachotaka kusema ni hicho tu…
“Ngoja Martha…ngoja…”Mama Anna akatuliza mpira tena lakini si kwa kusimama moja kwa moja, kwa mbali alicheza…
 
SEHEMU YA 16

“Nakusikiliza dada’angu. Liseme hilo unalotaka kulisema.”
Mama Anna alisogea tena, akanyoosha mikono yake yote na kushika mikono ya Roi…
“Ni hivi…” alikohoa kwanza…
SASA JIACHIE MWENYEWE…
Roi alishtuka kidogo kule kushikwa mikono na mwanamke. Na kama mwanaume alihisi joto la mapenzi likimpanda. Akamtumbulia macho huku akihema kwa mbali…
“Unajua wewe ni mwanaume, tena mzuri na unayevutia, si ndiyo?” alisema mama Anna…
“Pengine wewe ndiyo unaniona hivyo dada.”
“Ni kweli. Hivi, yule Martha kweli ni dada yako kama anavyoendelea kututambulisha kila siku?”
Lilikuwa swali lenye mtego mkubwa kwa Roi. Moyoni aliona nusunusu, akisema siyo hajui nini kingetokea akisema ndiyo pia hakujua nini kingetokea. Akaamua kusema siyo ili kama mama Anna ana jambo la siri anataka kumwambia, amwambie.
“Siyo dada yangu.”
“Ni nani wako?”
Roi aliamini kwa jibu lake kila kitu kiko wazi, lakini kwa vile aliulizwa alijibu…
“Ni mchumba wangu.”
“Ok. Ndiye utakayemuoa?”
“Ndiyo maana yake.”
“Ok. Mnaendana lakini. Hata mimi naunga mkono wewe kumuoa wajina wangu Martha,” alisema mama Anna mpaka Roi akashangaa, moyoni akajiuliza…
“Ina maana hili ndilo alilotaka kuniambia mpaka akawa anakaa vizuri? Siyo hili, huyu ana lake jambo.”
“Kumbe na wewe unaitwa Martha?” aliuliza Roi.
“Ndiyo. Mama Anna, ni kwa sababu ya mtoto wangu tu. Naye yuko kwa baba yake, tulitengana kama mwaka wa nne sasa.”
“Ooh! Sawa.”
Mama Anna akamwangalia Roi kwa macho ya wizi, Roi naye alimwangalia kwa macho ya waziwazi…
“Una lingine dada’angu?”
Mama Anna alimwangalia Roi kwa muda kisha akatoa sauti ya chini sana…
“Lingine mi nakupenda.”
“Oo! Asante sana kwa kunipenda,” alisema Roi huku akimwangalia mama Anna kwa macho ya ujasiri.
Mama Anna alipeleka tena mikono yake kwenye mikono ya Roi na kuishika, akaanza kuiminyaminya kimahaba.
Roi akawa mtu wa kujishtukia tu, ulaini wa mikono ya mama Anna ulimuweka katika wakati mgumu, akahisi akianza kutokwa na kijasho chembamba.
Kwa mtu yeyote aliyewaona alijua wawili hao ni wapenzi kwa jinsi walivyokaa karibu.
“Dada Martha,” aliita Roi.
“Abe.”
“Tubaki kuwa dada na kaka.”
“Ni kweli. Lakini mi nakupenda sana.”
“Ndiyo hivyo, tayari ninaye Martha mwenzako. Akijua je?”
“Atajuaje? Au utamwambia jamaniiii?”
“Hapana! Si unajua dunia haina siri! Hata ukifanyia kitu chumbani, tena ukiwa peke yako, watu watajua tu, sembuse sisi dada!”
“Kwani unataka kuniambia sisi ni utu uzima wetu tunaweza kufanya mambo mpaka yakawa hadharani?” aliuliza mama Anna huku akizidi kuviminyaminya vidole vya Roi. Sasa akawa anakikuna kiganja cha mkono wa kulia, Roi akasisimka…
“Hu…we…zi ku…ju…a,” alisema Roi kwa kukatakata maneno yake.
Roi tayari alishapandisha joto la mwili. Kwa ni kusema ukweli, mama Anna naye alijaliwa. Kila sehemu ya mwili wake ilikuwa ina sifa, sijui wakati wa usichana wake alikuaje kama akiwa mama wa mtoto mmoja tu ndiyo hivyo.
Alijua vyema kuyatumia macho yake. Alipomwangalia mwanaume yalionekana kama ya mtu aliyekuwa akitaka kusinzia ‘flani hivi.
“Hawezi bwana. Mimi nitajitahidi kufanya siri ya hali ya juu. Sitamwambia hata mtu mmoja. We niamini mimi.”
Hivi kweli hawezi kujua? Kila ninapomfikiria, namuona kuwa mwanamke mjanjamjanja, naogopa sana,” alisema Roi, japokuwa naye alikuwa amekwishaanza kuzama katika lindi la tamaa ya mapenzi, lakini akajifanya kukaza.
“Haki ya Mungu hatojua, niamini jamani, kweli hatojua,” alisema mama Anna.
“Mh! Ma…Martha…”
“Abee.”
“Uta…weza?”
“Kufanyaje?”
“Ku…fi…cha si…ri?”
“Mi ni msiri sana usinione hivi,” alisema mama Anna huku akizidi kumkuna kiganjani Roi ambaye sasa damu zilikwenda kwa kasi.
Roi kama mwanaume rijali hakuona sababu ya kulaza damu kwa mwanamke huyo ambaye alijilengesha mwenyewe…
“Afadhali ningemtongoza, sasa mwenyewe tu anajileta halafu nimwachie, nitakuwa si mwanaume,” alisema moyoni huku sasa na yeye akianza kumshikashika mama Anna.
Ilipita kama dakika tatu hakuna aliyekuwa akizungumza zaidi ya kuendelea kushikana kiaina. Kilichosikika ni kuhema kwa mama Anna ambaye sasa alionekana kama tayari amechaji.
Roi alimsimamisha, akamshika mkono na kuondoka naye…
“Tunakwenda wapi sasa?” aliuliza mama Anna.
“Wewe twende tu, wala usiogope,” alisema Roi, tayari akili yake ilikwishahama kabisa, kwa kumwangalia tu, ingekufanya ujue tayari penzi lilimchukua.
Je, unajua walikuwa wakienda wapi? Usikose kusoma chombezo hili tamu.......Endelea kusoma sehemu ya kumi na 16 IPO JUU HAPA HAPA
 
SEHEMU YA 17

Roi alichanganyikiwa, akatamani kulia kwani kuna ufundi alikuwa akifanyiwa na mama Anna ulimzuzua akili. Mama Anna sijui alifanyaje, Roi akahisi anaondoka kwenye ulimwengu huu na kwenda seyemu nyingine…
“Noo…noo Martha noo. Hebu tuongee kwanza please,” alisema Roi kwa kupiga ukelele kidogo. Mama Anna akatuliza mpira katikati ya uwanja…
JIACHIE KIVYAKO…
“Niambie baba,” alisema Martha…
“Martha,” aliita Roi…
“Sema baba nakusikiliza wewe.”
Roi hakuwahi kuitwa baba na Martha wake hata siku moja. Kuitwa na Martha huyu mwizi kwake pia ilikuwa ni jambo jipya…
“Huna mwanaume mwingine?” aliuliza Roi kwa sauti iliyojaa umakini wa hali ya juu…
“Aaah! Sina mbona. Mimi niponipo tu,” alisema mama Anna huku akianzisha mchezo polepole kama anayesema kumbe unachotaka kusema ni hicho tu…
“Ngoja Martha…ngoja…”
Mama Anna akatuliza mpira tena lakini si kwa kusimama moja kwa moja, kwa mbali alicheza…
“Mimi nataka nikuoe wewe Martha…please nikubalie mama.”
Hapo ndipo alipokuwa akipataka mama Anna, kumzidi nguvu wajina wake Martha kama alivyowaambia wapangaji wenzake.
“Mh! Itawezekana kweli? Nahisi itakuwa ngumu baba angu,” alisema mama Anna kwa gia ya kutotaka kuonekana mrahisi…
“Tatizo litakuwa wapi kwani?”
“Si kwa Martha! Si umesema ndiyo unataka ufunge naye ndoa?”
“Nimabadili mawazo Martha, amini hivyo.”
Martha aliendelea kukataa lakini huku akiendelea na mchezo kwa staili ya kushambulia polepole, Roi akajishindwa na kutangaza kuvunja dafu lake huku akikaribishwa.
Huku akijua Roi ameshavunja dafu, mama Anna alibadili upande bila kusubiri mapumziko, sasa Roi akawa anashambulia kutoka upande mwingine ambao awali alikuwa akizuia asifungwe.
Hilo lilimfanya Roi kupata joto tena na hivyo kumudu mchezo kiasi kwamba alijihisi kama hakuvunja dafu tangu aanze. Mama Anna alipotangaza kuvunja dafu yeye, alitumia ufundi wa hali ya juu ikiwemo kuchezesha sauti yake kwa mahaba mazito na kumbembeleza Roi ambapo sekunde kadhaa mbele akavunja dafu.
Wote walikuwa wakihema kwa kasi kutokana na mechi kuwa ya vuta nikuvute mpaka dakika za mwisho ambapo matokeo yalikuwa moja kwa moja.
“Da! Martha, sijategemea ujue,” alisema Roi akiwa anajipindua pale kitandani…
“Hukutegemea nini?”
“Kama upo hivyo.”
“Kwani nipoje?”
“Da! We mwenyewe unajijua,” alisema Roi kisha akambusu mama Anna ambaye naye alitoa sauti ya hisia ya mapenzi.
***
Ilikuwa saa kumi na mbili na nusu, wawili hao walishacheza mzunguko wa pili na kutoka sare ya moja kwa moja kama ilivyokuwa kwenye mzunguko wa kwanza.
“Sasa itakuaje?” aliuliza Roi…
“Kuhusu?”
“Si tunaondoka?”
“Kurudi kule?”
“Yes.”
“Sawa.”
Walitoka kitandani wote, wakaenda kuoga wote, wakavaa, wakatoka wote. Roi aliendesha gari lakini kutokana na foleni, walifika kwa Martha saa moja na nusu usiku.
Bila woga, Roi alifika na mama Anna akiwa ndani ya gari mpaka nje. Wakatulia kwanza kuangalia hali ya hewa, kisha mama Anna akashuka baada ya kujiridhisha kwamba hakukuwa na mashuhuda maeneo yale.
Alianza kuingia ndani mama Anna, Roi akibaki ndani ya gari. Akapitiliza hadi kwenye chumba cha shoga yake mmoja, anaitwa Madam May ambako pia alimkuta shoga mwingine, mama Eli…
“Tayari,” alisema mama Anna…
“Acha uongo wako bwana,” walisema wenzake…
“Ohoo! Naapa, tayari. Nimekuja naye mpaka hapo nje, nyie subirini mtasikia akiingia…
“Mlikuwa hotelini?” mama Eli aliuliza kwa sauti ya umbeya…
“Kwake.”
“Mm! Huo sasa uongo uliopitiliza,” alisema Madam May.
“Ngoja nimtumie ujumbe halafu ajibu, ndiyo mtaamini,” alisema mama Anna huku akiandika ujumbe wa simu…
“Baby, nimefurahi sana kwa mechi ya leo. Halafu mechi ya kuichezea nyumbani kwako kama vile ni nzuri kuliko gesti au hotelini. Nimeipenda sana.”
Je, unajua walikuwa wakienda wapi? Usikose kusoma chombezo hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…