Chombezo: Chanduka

Daudi1

JF-Expert Member
Dec 14, 2013
8,799
8,706
CHANDUKA (1)
Age 18
by hafidhi j ikram
Cm 0765672880
----------------
TUPATE KIDOKEZO KWANZA
CHANDUKA
ni kijana mmoja aliye kulia katika maisha ya kimasikini sana yani hata elimu ya darasa la saba hakuweza kuimaliza kutokana na sababu nyingi tu
kikubwa zaidi ukosefu wa uniform madaftali na vinginevyo siku zote alijisikia vibaya sana pindi anapo ona familia zingine zikiwa na faraha yani wanakula vizuri na kuvaa mavazi mazuri wakipendeza akajiapia moyoni kusaka pesa kwa njia yeyote ile ili mradi iwe halali basi baada kutimiza umri wa miaka kumi na tisa akiwa kidume kilicho kamilika kila
idara yani mkakamavu kutokana na suruba za kazi ngumu kulima kukata mbao au kubeba magogo mazito mazito kule kijijini hatimae akatua kwenye jiji la dar kwa bahati nzuri akapata chumba maeneo ya tandale kutokana na pesa za mavuno
ya ufuta alizo toka nazo kwao kijijini basi kutokana na uhendsome wake yani wiki tu akajikuta anaangukia kwenye penzi zito na mtoto
wa mama mwenye
nyumba wake binti
anae kwenda kwa jina la
Salma akawa kafa kaoza kwa
Chanduka yani hapo umwambii kitu kumbuka mjini shule bila kazi wee kapuku tu basi Chanduka katika kusaka mishemishe za kufanya akaangukia kwenye halmashauli ya manispaa ya ilala na kazi aliyo ipata ni kuzoa takataka tu
siku zote usichaguwe kazi kama elimu huna
Chanduka akajitosa kwenye kazi hiyo kazi kazi ili mladi mkono uwende kinywani
SONGA NAYO SASA
Ikiwa yapata saa sita mchana tunamuona kijana Chanduka akiwa pande za buguruni kwa mwinyi amani akiwa anazoa taka na kuzipakiza kwenye gari kuukuu aina ya tipa jasho likimvuja akawa anajitahidi kulifuta na tishert yake iliyo chafuka mbaya mpaka nnzi walimkimbia kutokana na harufu yake mbaya japo nnzi wanapenda harufu mbaya lakini ya Chanduka ilikuwa tou much ndipo akiwa anapakiza kiroba cha mwisho akaskia anaguswa begani kwa sauti nyororo ikimwita,"wee kaka samahani kwa usumbufu," Chanduka akageuka na kugonganisha macho yake na binti mrembo wa kiarabu mpaka mpigo yake ya moyo akahisi kwenda kasi kwa sauti ya kubabaika Chanduka akatamka bi....la samahani...daa...da yangu nikusaidie nini,"? yule binti akamjibu uku akimuonyeshea kwa kidore ni kwamba umekisahau kiroba cha taka kilee pale," ndipo Chanduka akaenda faster akakibeba kisha akakipakiza kwenye gari cha ajabu yule binti akamshika tena begani uku akimuuliza unaitwa nani kaka yangu kama hutojari ningependa kufahamiana nawe,"' ni kitendo ambacho kilimfanya Chanduka ajiulize maswali mengi sana ina maana huyu mrembo hasikii ninavyo nuka au ananikejeli tu ndipo akamjibu kwa jina naitwa Chanduka chamtu mavi ila wengi hupenda kuniita kwa kifupi Chandu,"' ok nashkuru kwa kukufahamu mimi naitwa Nusraty nassoro kwa kifupi niite yusra Chandu akashangaa kupewa kiganja cha mkono na malkia yule ikabidi ajipanguse kwanza akashikana nae gafla akaskia anapigiwa makelele na dereva wake weee Chandu vipi ndugu ujamaliza tu fanya faster tuwai sokoni si unajuwa mzigo wa pale si wakitoto", Chandu akamuitikia sawa kaka nimekusikia sema kuna mrembo nachonga nae ikabidi deleva wake anaekwenda kwa jina la Gofley ashuke kwanza kwenye gari na kuja upande ule ambao alikuwepo Chandu na Nusraty alipofika tu akampa mkono Yusra na kumuuliza vipi binti hujambo?" binafsi Yusra hakujibu kitu zaidi ya kumuuliza Chandu vipi una simu?" Chandu akamjibu “hapana Dada angu simu sina Gofley akadakia “cm hii apa akaitoa cm yake mfukoni na kumkabizi Yusra akaipokea na kubofya bofya number kazaa kisha akamwambia Chandu uskose kunipigia au nibipu tu leo jioni,"' kwa mwendo wa madaha akaondoka zake Geofley akabaki kusaminisha zigo tu nao wakapanda kwenye gari yao na kusepa eneo lile baada kufika sokoni Chandu akafanya kazi mpaka saa kumi alasiri wakawa washatimba pande za dampo wakamwaga taka kisha wakageuza gari kurudi maskani wakiwa ndani ya gari geofley akaanza kujisifia kwa kumnanga Chandu kwa kusema unajuwa nini Chandu kwanza wewe ni mchafu huna pesa ya kuwa na mtoto mzuri kama yule Yusra niachie mie mgonge mtoto wa kipemba sijawai kudinya ngozi nyeupe," Chandu akaitikia sawa broo kwanza ni kweli sina hadhi ya kuwa na mrembo kama yule naomba simu nimalizie game akakabiziwa cm cha kwanza akaingia kwe phone book sehemu ya majina akalisaka jina la yusra akalikuta akaikalili ile number kisha akaidelete akajifanya kucheza games mpaka wakafika maskani wakapaki gari sehemu wanapopakigi kisha wakashuka na kuagana binafsi Chandu anaishi pande za tandale kwa tumbo kitaa cha uswazi ndipo akatia team hapo na kuwakuta wakina mama wakicheza karata wengine wakisukana yani kila mmoja na mambo yake Chandu akawapa hi baada kuitikia ndio kwaanza wakaangua vicheko vya kimbea ha!ha!ha!ha!ha pyeeee kaogeeee Chandu akazama geto kwake ni chumba kikubwa tu chenye kitanda na visturi viwili na meza ya kulia chakula
Chandu akachukuwa ndoo ya maji na kwenda kuoga baada hapo akatoka kwenda kijiweni kupiga story mbili tatu na washkaji wa kitaa alipiga story mpaka saa tatu usiku akarudi geto kwake akajilaza kitandani akiwaza mustakabali mzima wa maisha yake gafla akaskia hodii mlango wake ukigongwa akainuka na kwenda kuufungua ndiopo akakutanisha macho yake na Salma mtoto wa kitanga mwenye figa ya kumfanya nyoka atune hata kama yuko kwenye pipa la mafuta ya taa Salma akamsukumizia ndani Chandu kisha akajitoma na kuufunga mlango na komeo kisha akamgeukia Chandu ambaye katoa macho pima kama fundi saa alie poteza nati kwa mwendo wa kimiss kama happynes magese vile akamdaka Chandu na kuupeleka mdomo wake wakaanza kurana denda mmh,,,,ammmm,,,
,mmmh,,,Chandu akashuka mpaka shingoni na kuing'atang'ata Salma akawa hoi mpaka kanga alio ivaa ikajiachia akabaki na bikini tu Chandu akakivamia kifua na kunyonya embe dodo saa sita akakipitisha kidole chake cha kati na kukiingiza kwenye kipochi manyoya na kuanza kukuisugua sugua miguno uku wakipumuliana mmmmmh,,,,ahaaaaaa,,,,,,uwiiii
iii,,,,,opsiiiiii,,,,babiiiiiiiii,,,,,,niiing
ize,,,,,ndipo Chandu akamlaza chali kisha akapiga goti na kuanza kukiramba ramba kisimi kwa ustadi wa hari ya juu Salma akawa anapapatika tu huku akijinyonga nyonga kama mtu aliepigwa na short ya umeme ohoooo,,,,baby,,,,,ingiza uku mikono yake ikiwa imeshika kichwa Chandu kama vile anaitaji aingize mdomo wote ndipo bikini ikakatwa sio kuvuliwa tena Chandu akaishusha bukta yake na kulipeleka dudu lake kwenye mdomo wa Salma akalishika na kuanza kuli ramba ingiza toa mpaka Chandu akaanza kutoa miguno kama beberu mmmmhg,,,,,aaaaahg,,,Salma akajibiduwa na kulala chaliii miguu manuu Dudu likaanza kuzama tartiibu kwenye kitumbua mnato ilipofika kati Salma akamzuia kwa kuweka mikono yake kwenye mapaja ya Chanduka ili asiingize yote kwa kusema ohoooo,,,,ahaaaaa,,,,,,ooooooh
o,,,,inatoshaaa,,,,basi,,,,,baby Chandu akaanza kupampu kwa speed P speed ikaondezeka mpaka dudu likazama lote na kumfanya Salma atoe kilio uwiiiiuuuu,,,,,ahaaaaaa,,,, ni kama alikuwa anaua mtu,,,ooooiiiiiiiiiiiiiiiiiii
iih,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah
,,,,sssssssssssssssss,,,,jamaniiiiiii,,,weweeeeee,,,aaaaaaaaaah,,,,mmmmh,
,alilalamika ,utumboooo,,,,w
anguuuuuohoooo kipute kikaendelea mpaka dakika ya kumi na nne Salma kashaenda bao mbili Chandu hajapata kitu style tu zinabadilika mara mbuzi kagoma chuma mboga kifo cha mende kalia gia samaki chuchunge yani mpa dakika ya kumi na saba ndipo Chandu akahisi kitu cha motoo kikipita kwenye milija yake ya uzazi miguu ikaanza kukakamaa kisha akaushusha uji wake mzito kama zege na kujitupa pembeni kwa uchovu haaaa Salma akampa pore sana baby kwa kazi nzito uku akimfuta futa jasho na upande wa kanga aliyo kuja nayo wakiwa wamelaliana kwa uchovu wakisubili kipute cha kipindi cha pili ndipo wakaskia hodiii tena kwa fujo sana inaonekana mgongaji si mstaarabu ngooo ngooo ngooo!!! ndipo Chandu akainuka na kuvaa boxer yake uku akisema oyaaaa kausha boya wewe fala nini unagongaje mlango kama malaya weee uliofumaniwa akashika komeo na kuufungua mlango dahaa kumbe ni mama mwenye nyumba wake tena ndio mama Salma,
Je nini kitaendelea?
 
CHANDUKA (2)
Age 18
by hafidhi j ikram
Cm 0675082390
-----------------
“pole sana baby kwa kazi nzito alitamka hivyo Salma huku akimfuta futa jasho na upande wa kanga aliyo kuja nayo wakiwa wamelaliana kwa uchovu wakisubili kipute cha kipindi cha pili ndipo wakaskia hodiii tena kwa fujo sana inaonekana mgongaji si mstaarabu ngooo ngooo ngooo!!! ndipo Chandu akainuka na kuvaa boxer yake uku akisema oyaaaa kausha boya wewe fala nini unagongaje mlango kama malaya weee uliofumaniwa akashika komeo na kuufungua mlango dahaa kumbe ni mama mwenye nyumba wake tena ndio mama Salma,
SONGA NAYO SASA
Baada Chanduka kutamka maneno yale na kumkuta anaemwambia maneno yale ni mama mwenye nyumba wake au mkwe wake likamshuka shuu akabaki kujiinamia chini kwa aibu tu," kwa sauti ya madoido mama Salma akatamka “haya endelea kunitukana mi malaya fala boya si ndio mimi eheee?" Chandu akamjibu “nisamehe mama yangu sikufahamu kama ni wewe!! “sikia wee nyau mimi sio mama yako kwanza nilichofata hapa ni pesa yangu ya kodi tu basi sitaki mjadala," kwa sauti ya huruma Chandu akasema “kwa sasa hiyo pesa sina nivumilie kama wiki mbili hivi ntakupatia mama yangu!!! “ehee bwana eee mimi sio mama yako ambaye ni fala sasa sikia nakupa siku hizi uku akimuonyeshea ishara ya vidole vi tatu yani nitakuja hapa unipe pesa yangu nyau wee akamtia singing na kuondoka zake alipo piga hatua kazaa tu akamgeukia na kumwambia “ole wako nisipate hizo pesa zangu nitakufunga segerea au ukonga na hizo takataka zako za ndani nitazitia moto pumbavu zako!!! basi Chandu akarudi gheto kwake akiwa ajielewi dahaa akajipweteka pembeni ya kitanda akiwa ameshika tama Salma akamshika begani na kumuuliza kwani vipi baby?" “dahaa wee acha tu kwani hujamsikia mama yako anavyo niwakia hapo mlangoni,"? nimemsikia baby tatizo wewe umekosea kumtukana, “sasa mimi sikujuwa kama ni yeye!!! kwa mfano ungekuwa wewe ungefanyaje?" mtu anapiga hodi kama chizi," Salma akabaki kucheka tu na kusema “binafsi hata mimi ningemtukana tu, “tuyaache hayo baby tatizo kubwa mama yako ananidai pesa ya kodi na kanipa siku tatu tu sijui nitaitolea wapi?" Salma akauliza “kwani anakudai shilling ngapi?" “ni laki moja na nusu," “basi usikonde baby ntakupatia kesho jioni nikirudi tu kutoka job sawa baby," kweli baby au unantania?" ndio kwani uniamini au? “kama utafanya hivyo nitashkuru sana baby Chandu alitamka maneno hayo akiwa haamini akamshika Salma kiunoni na kumtekenya mzuka ukapanda wakaanza mshike mshike ndege tunduni Salma akajibong'oa na kufanya tundu zake mbili ziwe zinapwita pwita Chandu akaushika mtarimbo wake na kuupaka mate akaulengesha kwenye kitumbua na kuanza kupampu ahaaaaa,,,,,oho
ooooo,,,,,,mmmmmh,,,,hhhhhhh,,
,,,,,opsiiiiii,,,,,,aaaaaaah Salma akaukalia muogo na kuanza kuukatikia kiuno kama feni yani watoto wa kitanga weee acha tu ikawa full mautamu mpaka kila mmoja akadondosha mzigo wakawa hoi usingizi mzito Chandu ukamchukua na kujikuta anastuka yapata saa 2 hasubuhi akacheki pembeni Salma hayupo kashasepa kitambo akajiinuwa kiuvivu uvivu na kwenda kujimwagia maji kisha akatoka zake kwenda maskani baada kufika tu akamkuta Geofley anamngojea kwa hamu kwa “oyaaa Chandu ushaanza uboya sio," “kivipi nianze uboya,"? wee muda gani huu unakuja job kama kazi ya baba yako bwana!!! oyaa kausha gube ohooo Chandu nishakwambia jina hilo silitaki hata kidogo," kumbe nikuite nani,".? niite penda penda." ohooo sawa nimekupata gube hivi Chandu uwelewi kiswahili au?” “naelewa kwanza nipe buku moja nikapate chai kwanza! basi Geofley akatoa buku tano na kumpatia kisha akamwambia jana umejifanya mjanja mwenyewe kwa kuomba cm ucheze gemu kumbe ume delete number ya mrembo yule kudadeki zako ulete chenji hiyo,
Chandu akatabasamu na kumng'ong'a
“hillooo!!! “poa wee nizomee tu ila ulete
chenji hiyoo!!! “poa kaka Gofrey akamwita Chanduka!!! “nini tena Gube! “wee boya ishia hapo hapo hilo jina sitaki hata kulisikia basi Chandu akacheeka na kuitikia “sawa nimekulewa Gube, “pumbavu zako mi sio Gube bwana yalikuwa ni maneno ya matani kati ya Chandu na dereva wake bwana Geofrey baada kupata kifunguwa kinywa wakazama mzigoni wakiwa pande za buguruni sokoni Chandu akiwajibika akasikia anaitwa “Chandu kaka!!! akamtizama anaemwita kumbe ni kijana muuza maji aka muitikia “naam sema kaka, “sina msemo ila unaitwa kulee akaangalia anapo onyeshewa kucheki hakuwa mwingine ni Nusraty akiwa anatabasamu tu Chandu akapiga hatuwa akiwa mnyonge sana akampa hi kwa kumsalimia “Assalam alaykum kwa tabasam zito Nusraty akaitikia “waaleykum ssalam vipi Chanduka mbona umekuwa mnyonge hivyo tatizo nini?" dahaa hamna kitu sister leo najiskia hovyo tu," unaumwa au?" “nahisu kitu kama hicho najisikia hovyo tu,„ vipi ushaenda hospital?" “hapana sistery kwa nini hujaenda wakati unaumwa unatakiwa ukacheki hafya kwanza tatizo mkwanja dada si unajuwa kazi zetu hizi kitendo bila kuchelewa
Nusraty azama kwenye gari na kutoka na bahasha rangi ya kaki na kumkabizi Chanduka akabaki kushangaa tu khaa nini hii shika bwana Chandu akapokea na kuambiwa hizo ni pesa ni kiasi kama cha tsh....million mbili kesh!....nimeamuwa kukupa tu my baby zitakusaidia katika siku mbili hizi binafsi Chandu nimetokea kukupenda naitaji kuyabadirisha maisha yako Chandu hakuamini kuskia vile kwa macho ya aibu akamtizama Nusraty na kubaki kutokuamini maskio yake yani kutamkiwa kupendwa na mtoto wa kishuwa tena kukabiziwa milioni mbili keshi basi Nusraty akamkabizi na cm aina ya Samsung Galaxy kisha Nusraty akapanda kwenye gari na kusepa zake na kumuacha Chandu na sito fahamu duhuu akabaki kutoa macho tu asiamini kama kile alicho kabiziwa ni kweli au propoganda wakapanda kwenye gari wakiwa kimyaa bwana mkubwa Geofrey akaukata ukimya kwa kusema “Chandu mdogo wangu sijui Mwenyezi Mungu akupe nini ndugu yangu yani ni bonge la zali zalina yani kupendwa na mtoto wa kidosi duhuu sema nini mdogo wangu
sema nini mdogo wangu nitoe hata ya kunywa bia leo si unajuwa tena ndio mambo yangu hayo, basi Chandu akaingiza mkono kwenye bahasha na kuibuka na wekundu wa msimbazi kazaa na kumpatia huku akisema “shika hizi hesabu mwenyewe basi Geofley akazipokea na kupaki gari pembeni akaanza kuzihesabu baada kumaliza akatamka “shukrani sana ndugu yangu yani siamini umenipa laki moja na elfu sabini duhuu angekuwa kijana mwingine hapo kama sio kunipa mkumi angeninyima kabisa, “usijali kaka yangu unajuwa wewe ndio kila kitu kwangu hapa town tokea nitoke nyumbani kwetu kijijini ulinipokea vizuri sana na kuweza kufanya kazi pamoja nawe hukuwai kunigombeza kwa chochote kile zaidi kutaniana tu sijui cha kukulipa ndugu yangu maneno ya Chanduka yaka wafanya wadondoshe machozi na kujikuta waki kumbatiana ni kweli wametoka mbali tukiachana na story tuchukulie uharisia Geofrey akasema kingine mdogo wangu
Chandu
nitasikitika sana pindi utakapo acha kazi kuna story nitakupa kuhusu kijana mmoja ambaye nilikuwa nafanya nae kazi leo jioni njoo pale maskani nikupe full story
Je ni story ipi hiyo?"
Je nini kitaendelea?
 
CHANDUKA (3)
Age 18
by hafidhi j ikram
Cm 0675082390
-----------------
tuchukulie uhalisia Geofrey akasema kingine mdogo wangu
Chandu
nitasikitika sana pindi utakapo acha kazi kuna story nitakupa kuhusu kijana mmoja ambaye nilikuwa nafanya nae kazi leo jioni njoo pale maskani nikupe full story
SONGA NAYO SASA
kwa kusema "katika dunia hii kila binaadamu na bahati yake yani mimi niko katika kazi hii takribani miaka saba sasa sijawai kupata zali la kuongwa pesa na mwanamke hata shilling kumi zaidi ya kuonga mie tu wakati wewe wa juzi juzi tu umenyaka million mbili na simu juu dahaa, "unajuwa nini kaka ni kweli riziki mafungu saba
basi hiyo ni nyota ya jaha kwako basi wakaagana Chanduka akarudi ghetto anapoishi na kuwakuta kina mama wamejazana kwenye nyumba ile wakiwa wanapiga umbea tu kwa mwendo wa kuyumba yumba akafika pale "khaa! shosti umemuona Chanduka leo kalewa, “usiniambie yuko wapi?" “yule kulee anakuja, basi mama Salma akaguna “mmh mbona makubwa haya baada kumuona Chanduka akiwa anayumba huku akija eneo lile basi shogaake akapaza sauti kwa kicheko “hahaha hallo hallo kantangaze lako hilo bibi wee ukitaka limeze litafune shauli yako, basi Chandu alipo fika eneo lile akapaza sauti kwa kuita "nyie mbwa koko acheni kelele,' mama Salma akanyanyuka kabisa maana alikuwa amekaa kwenye mkeka akisukwa na kusema "wee mtoto shika adabu yako tena ukome kama ulivyo likoma ziwa la mama yako hivi mtoto gani usiekuwa na haya kuniita mimi mbwa sio,
kwa jeuri zaidi akamjibu kwa kumpasha "wewe mama umekaa hapa kazi kupiga umbea na hivi vishambenga vishankupe wenzako baada ya kujipanga usiku muje kuwapa style mabasha zenu huko wanapigika kazi umbea tu!!! "Chanduka naona unanivua nguo sasa kama hiyo pombe ni mara yako ya kwanza kuinywa itakutokea puani ohoo kwanza ndani ya nyumba yangu utahama,' Chanduka akamjibu kwa sauti ya kilevi “wee nani ahame kwenye hiki kibanda cha kuku afu unaita nyumba katika wenye nyumba watoke mbele nawe utatoka humu hatulali tunajificha tu!!! mama Salma akiwa anajifunga kibwebwe vizuri akamwambia rafiki yake “mama Amidu unamsikia Chanduka anavyo nitukana?" akamjibu “embu achana nae bwana njoo niendelee kukusuka mi niwai kupika, ikabidi mama Salma amkunje Chanduka na kumwambia “kutokana na hasira ulizo nipa naomba pesa yangu staki maskhala ohoo!!!
Chandu akamtoa mikono kwenye shart lake na kusema “do touch me, huku akiwa ana hema mama Salma akatamani hata kulia “yani umeona haitoshi sasa umeamua kunitukana kizungu sio?" baada kumpa jamba jamba mama mkwe wake Chanduka
akaingiza mkono mfukoni na kuchomoa kibunda cha pesa na kumpiga piga nazo usoni huku akimwambia “toto zuri wataka hizi!!! mama Salma akajikuta anasema "whaoo zote zako?" “ndio zangu ulitaka ziwe zako kwani?" kwa mwendo wa kudunda Chanduka akazama ndani huku anacheka ha!ha!ha!ha! kina mama Amidu wakabaki kuduwaa tu na kusema “ina maana huyu mtoto katuchezea mchezo tu mbona kama hajalewa?" kuna binti akadakia kwa kujibu “yule hajalewa bwana alikuwa anaigiza tu kama masele sababu hata harufu ya pombe hakuwa ananuka, basi mama Salma akasema “dadeki zake yule ngoja niende kuchukuwa mshiko mie,
sasa mama Salma kusuka je?"
“nitakuja kusuka kesho huu ni muda wa mshiko bibi we we!!! “haya shosti ushaona mkwanja tena kiroho kimekutoka,' "haikuhusu fata yako, mama Salma akazama ndani na kumkuta Chanduka yupo ukumbini amekaa kwenye kiti basi akamwita hadi chumbani kwake na kuanza kumuuliza "ehee ndio nini mwezetu wewe kujifanya mr.bean pale?"
"nimejifanya mr.bean kivipi?”
si umekuja pale unayumba yumba mpaka nikashangaa khaa na kujiuliza hivi tokea lini huyu Chanduka akanywa pombe?"
hahahaha..ahahaha, "sasa mbona unacheka?" unajuwa nini mama Salma ni kwamba nacheka unavyosema nimejifanya bonge la ector pale ila tusipoteze muda kuna sehemu naitaji kwenda jioni hii ehee unanidai shi..ngapi?" laki moja na nusu tu baba,
"oky Chanduka akahesabu wekundu wa msimbazi kama ishilini na mbili hivi na kumkabizi akatoka kwenda ghetto kwake na kumuacha mama Salma akiwa ameduwaa kwa kupewa laki na nusu akapaza ishilini akatoka chumbani kwake mbio na kupaza sauti "kwa hiyo baba utakapo rudi nikuandalie chakula gani?"
Chanduka akageuka na kumjibu "chochote tu kinacho lika akaingia ghetto kwake na kucheki wapi atazi hifadhi zile pesa katika million mbili kashatoa laki nne zimebaki million moja na laki sita tu akaona sehemu nzuri akaziweka sehemu aliyo ona iko salama akaenda kuoga na kutoka zake kwenda maskani kama walivyo panga kuna story atapewa na mchizi wake basi akafika maskani na kumkuta Geofley kashafika kitambo tu wakapeana tano kisha Geofley akaanza kusema “unajuwa ndugu yangu Chanduka katika dunia hii kuna mambo mengi sana ya ajabu yapo ya kufurahisha kuchekesha na kuhuzunisha pia, "ndio kaka natambuwa hilo, "basi katika maisha yangu kuna tukio moja hivi some time linaninyima hata usingizi kabisa nakesha nikiwaza tu, "tukio gani tena kaka?"
sijui nianzie wapi kukuhadisia nakumbuka ishapita miaka miwili sasa ndugu siku moja tukiwa katika mishe mishe zetu hizi za kuzoa takataka nilikuwa bado sijawa dereva zaidi ya kuwa utingo tu wa kupakia taka basi kumbe yule utingo mwenzangu alimficha mkewe kazi anayo fanya akitoka hasuhi yuko smart akifika maskani anavaa matambara yake ya kazi tunaingia mzigoni sasa siku moja tukiwa pale buguruni mwinyi amani jamaa akiwa kabeba tenga kwa mbaali akamuona mkewe akiwa na shoga zake bila shaka wamekuja sokoni japo ni kawaida mtu kutoka vingunguti kuja buguruni lakini si mkewe wala majilani zake hawajawai kufanya hivyo gafla akaliweka tenga chini na kuingia chini ya uvungu wa gari kwa nia ya kujificha
nikiwa sijui hili wala lile nikalibeba tenga na kulipakiza nikagonga bodi kuashiria gari isogee mbele masikini ya Mungu tukasikia kelele "nakufaaa!!!..damu zikaanza kumiminika dereva akafunga breki kuja kucheki dahaa kumbe mshkaji tukamtoa akiwa hatamaniki mkewe baada kuona mkusanyiko wa watu akaja kushuhudia dahaa hakuamini baada kumuona mumewe akaita huku akilia "hiiiiii Mudy..mume wangu nini kimekutokea?" jamaa akazungumza kwa shida sana "Nuiya mke wangu siku zote za maisha yetu niliweza kukuficha kazi yangu usiweze kuitambuwa kama mumeo ni mzoa takataka kwa kuogopa kunizarau leo hii nakufa kizembe, "usiseme hivyo mume wangu haufi!!!haufi!!! mume wangu hata kama ungekuwa mzibua vyoo mume wangu ninge kupenda hivyo hivyo hakuna nikitakacho kwako nikakikosa amka baby uendelee na kazi zako nitakuandalia mtori wa ndizi leo amka basii....mwanao kasharudi kutoka shule..,sio siri kila mmoja mchozi ukamtoka ni tukio la kusikitisha sana tu jamaa akafa pale pale tukazika dereva alikamatwa lakini hakuwa na hatia yeyote ile akaachiwa huru akaacha na kazi yenyewe nikakabiziwa mimi kuwa dereva nikakupata wewe Chanduka, baada ya story ile Chanduka mchozi ulimtoka na kusema "kila nafsi itaonja umauti pore sana kaka, "hasante sana nishapoa,
wakaagana njia nzima Chandu akiwaza na kuwazua imekuwaje mpaka jamaa akafanya upuuzi huu?” kufika ghetto kwake akatoa funguo kufungua mlango kila akifungua kufuri haitaki kufunguka dahaa akachenji kila funguo kufuri inagoma kuangalia vizuri khaa! kufuri imebadilishwa sio ile yake akatoa macho pima kama fundi saa vile kapoteza nati dahaa,'
Je nini kitaendelea?
 
CHANDUKA (4)
Age 18
by hafidhi j ikram
Cm 0675082390
----------------
wakaagana njia nzima Chandu akiwaza na kuwazua imekuwaje mpaka jamaa akafanya upuuzi huu?” kufika ghetto kwake akatoa funguo kufungua mlango kila akifungua kufuri haitaki kufunguka dahaa akachenji kila funguo kufuri inagoma kuangalia vizuri khaa! kufuri imebadilishwa sio ile yake akatoa macho pima kama fundi saa vile kapoteza nati dahaa,'
SONGA NAYO SASA
Kitendo cha kukuta kufuri imebadilishwa kilimchanganya sana Chanduka akiwa kata hamaki akastuka baada kuguswa kwa nyuma na mikono laiiini ikimtambaa kuanzia kiunoni mpaka kifuani akajisikia raha mwenyewe, “vipi baby naona unashangaa tu kufuri haifunguki ha!ha!ha! nimeibadirisha mimi, “sasa baby mbona umeibadirisha gafla hata kunipa taarifa?" tuachane na hayo twenzetu chumbani, Salma akafungua mlango wakaingia ndani Chanduka akatupia macho sehemu ambayo amehifadhi zile pesa kucheki vizuri sehemu iko freshi akavuta pumzi nzito na kuzishusha “oopsiiii.nimechoka hapa wee acha tu na njaa inavyo niuma shida tupu, “ohoo baby pore sana kwanza fumba macho nikufanyie saprais, Chanduka akauliza nifumbe macho tena?" “ndio wee fumba tu! basi akafumba macho Salma akaivua blauzi yake na kubaki chuchu dede akaifungua na sketi yake ya jeanse mmh! kumbe ndani hakuvaa hata chupi akabaki kama alivyo zaliwa toto hipsi hipsi macho yanaita hizo dodo kifuani usinipimie kiuno kama nyigu kitumbua kimezungushiwa kagarden flani hivi full mamzuka balaa, basi akaingiza mkono chini ya mto na kutoka na bahasha rangi ya kaki kwa mwendo wa madaha kabisa akamsogerea Chandu na kumwambia “sapraiss.....Chanduka akafumbua macho na kubaki kukodolea dodo tu muwa wake ukaanza kututumuka kwa hasira kama vile umenyeshewa na vua ya masika, akamshika kiuno Salma na kumvuta akawa ameshakivamia kifua na kuanza kuzinyonya chuchu kwa pupa “ohooassss,,,,,asssssssss,,,,,
mmmmmhhh!!!!,,,,,,babiiiii,,,,chuuu
ukuaaa,,,kwanza hii Salma akawa anajinyonga nyonga kwa raha utamu ikawa vurugu mechi katika uwanja wa fundi selemala vijasho vikawavuja ndani ya dakika kumi na kitu hivi kila mmoja akapiga bao lake Salma kashaenda viwili Chandu kimoja “ohooo baby hasante!!! “usijali baby nipo kwa ajili yako Salma akaichukuwa ile bahasha na kumpa tena huku akimwambia “suprise!!! ilikuwa hii sio tuliyofanya bana, Chanduka akaipokea na kuifungua kucheki ndani akajikuta anatamka “whaoo za nani hizi?" Salma akamjibu za kwako baby ni kiasi cha shilling laki mbili keshi kama nilivyo kuahidi juzi leo nimeona nikufanyie mipango nikaenda kukopa kazini nitakuwa nikikatwa kidogo kidogo kwenye mshahara wangu unaotoka kila baada siku kumi na tano
“mmh hasante sana baby, Chanduka akamkumbatia Salma na kuanza kutekenyana huku wakinyonyana denda “bby si umesema una njaa hiki kipute cha kipindi cha pili utakiweza kweli?" Chandu akatingisha kichwa kwa kuashilia ndio atacheza, “wee usije kunifia kifuani bure ngoja nikakuchukulie msosi kwanza ule tuanze timbwili timbwili leo mpaka kuchee au sio baby?" “mi sina neno nakusikiliza wewe tu, Salma akanyanyuka na kujifunga kanga na kutoka nnje huku nyuma Chanduka akabaki kumeza mate tu kwa jinsi mitako ya Salma inavyo jimwaya toto la kidigo, baada Salma kutoka tu ni kitendo cha faster Chandu akabana mlango na komeo akaenda kucheki pesa zake je ziko salama isije ikawa zile laki mbili zimechotwa mule akacheki ziko sawa hazijaguswa hata kidogo, akasikia ngongoo!!! akaenda kufungua mlango
Salma akasema “yani kutoka kidogo tu ushafunga mlango,' “ndio nahofia kuvamiwa, “uvamiwe na nani?" na majambazi, “kwa kipi hasa ulichokuwa nacho mpaka uvamiwe? “wee unazani laki mbili ni pesa ndogo usawa wa kikwete huu, wakacheeka na kuanza kulishana kimapenzi kusema kweli Salma anampenda sana Chanduka mpaka kufikia hatua ya kumpa laki mbili kuepusha shali Chanduka asipigiwe kelele na mama yake kila siku gubu tu kisa shilling laki moja na nusu, wakiwa bado katika kulishana gafla Salma akasikia sauti ya mama yake ikimwita “wee Salma!!! sijui hili toto limeenda wapi usiku huu na sijui nani kamwambia achukuwe kile chakula kwenye hotpot la blue wakati kile chakula cha mwanangu Chanduka pumbavu sana huyu mtoto ngoja niende huko kwa rafiki yake Hafsa nikiwakuta bado hawaja kila nawanyang'anya wakiwa wamekila watakitapika au kuja kupika haiwezekani chakula chake ale na kile nacho abebe huyu mtoto anatumbo au pipa shenzi zake!!! huku ndani Chanduka na Salma wanacheka mbavu hawana wakiwa wameziba midomo yao wasisikiwe na Mama Salma, pakawa kiimya wakacheka kwa sauti zaidi “hahahaha! hivi baby imekuwaje leo mama kakukubali mpaka kakuwekea msosi?"
“unajuwa nini baby leo nilipata kimgao kama cha shilling elfu ishillin hivi basi nikamtoa elfu kumi na tano akadata na kuniambia ataniwekea msosi, “wee mama anapenda pesa yulee kama vile kazaliwa nazo, baada kushiba kila mmoja akaenda kujiswafi na kupakana mafuta mzuka ukapanda wakiwa kati kati ya kimuhe muhe bilinge bayoyo gafla wakastuka baada kusikia odiiii!!!
sema odii hii ilikuwa ya kistaarabu kidogo basi Chandu akajifunga tauro
na kwenda kufungua mlango
akakutana na mama Salma
akamuamkia “shikamoo mama vipi mbona usiku usiku kunani tena?"
“ahaa samahani mwanangu kwa kukusumbua na starehe zako maana hiyo harufu ninayo isikia huyo mkwe wangu humo ndani ana kupeti peti tu!
Chandu akatabasamu
na kusema “mama bwana una vituko wewe
“vituko wapi sema nimekuja hapa kwa dhumuni moja tu kukuomba samahani kwa kutoweza kukuletea chakula nilicho kuahidi kukuwekea sio kama sikuweka la hasha yule bichwa maji biti pindi si una mjuwa?"
“hapana mama simjui,
“ahaa nawe umjui Salma?"
“ohoo kumbe Salma nampata!!!
”basi lile bichwa kama nyanyige vile sijui ana tumboo au tank maana karudi kazini na kulalamika anasikia njaa nikamjibu chakula kipo mezani kwenye hotpot la rangi ya Silva mi nikaingia chumbani kwenda kutashusha neti kitendo cha kutoka tu simkuti pale sebureni nikajuwa labda kaenda kula chumbani kwake sasa nikahisi utakuwa usharudi nifunguwe kabati nitoe chakula chako kwenye hotpot la blue sikuti kitu tafutaaa tafuta na wewe naenda kumuuliza yule bichwa chumbani kwake hayupo nimemsaka mpaka mtaa wa tatu huko hayupo nikaona usiku sasa nisije kukulaza njaa bure mwanangu nikaamua kukuchukulia chipsi na mayai,
unajuwa
Chandu akatamani kucheka tu kwa jinsi
Salma anavyo itwa majina ya ajabu ajabu basi akazipokea zile chipsi na kusema “mama hukuwa na haja ya kuangaika kote huko mwanaume kulala njaa ni kawaida mbona!
mama Salma akaguna na kusema “wee ulale njaa uje kufia kifuani kwa mtoto wawatu inahusu!!!
“basi Chandu akabaki kucheka tu
“ha!ha!ha!ha! huku mama
Salma anaondoka na kusema
“ole wake yule nyanyige bichwa akirudi atanitambua leo!!!
Chanduka akarudi chumbani kwake na kuungana na salma kucheka dahaa
“baby mama yako ana kunanga balaa,
“wee si umempa pesa leo
lazima aniponde basi usiku
huo wakaupitisha wakiwa wote,
kesho yake hasubuhi na mapema tunamuona Chanduka akiwa tawi la bank NMB kaja kufungua account yake
maana jana wengi mlizani kaibiwa ila leo katia akili,
Je nini kitaendelea?
 
CHANDUKA (5)
Age 18
by hafidhi j ikram
Cm 0675082390
----------------
“basi Chandu akabaki kucheka tu
“ha!ha!ha!ha! huku mama
Salma anaondoka na kusema
“ole wake yule nyanyige bichwa akirudi atanitambua leo!!!
Chanduka akarudi chumbani kwake na kuungana na salma kucheka dahaa
“baby mama yako ana kunanga balaa,
“wee si umempa pesa leo
lazima aniponde basi usiku
huo wakaupitisha wakiwa wote,
kesho yake hasubuhi na mapema tunamuona Chanduka akiwa tawi la bank NMB kaja kufungua account yake
maana jana wengi mlizani kaibiwa ila leo katia akili,
SONGA NAYO SASA
Akiwa katika kukamilisha ku hifadhi
pesa zake gafla cm yake ikawa inaita akaitoa mfukoni faster
na kuicheki mpigaji ni nani kumbe ni
Nusraty aliye msevu kwa jina la boss
basi akaipokea na kusikia sauti nyororo kutoka kwa mtoto wa kiarabu
“hallo! my dear, basi Chanduka akaitikia kwa manjonjo “yes! baby vipi hali yako!
“mi mzima tu hofu kwako kipenzi changu, “basi nashukuru kusikia hivyo mpenzi wangu,
Nusraty akauliza “vipi baby kwa sasa upo wapi?"
“nipo ilala hapa NMB nimekuja kufungua account!
“ohoo vizuri sana baby ila nisubili maeneo hayo nitafika muda si mrefu baby, “oky baby hata ungesema nikusubili mpaka kesho ninge kungojea tu, ikasikika sauti ya
Nusraty akicheka basi Chanduka baada kuweza kuhifadhi pesa zake akiwa nnje anamngojea Nusraty huku akichezea chezea cm akastushwa na mlio mkali wa honi basi kucheki no
Nusraty akiwa anampungia mkono
basi akaenda kitendo cha kufika tu wakakumbatiana na kupigana mabusu kedekede kisha wakajitoma kwenye gari na kuondoka zao
safari iliyo wapeleka moja kwa moja
mpaka kwenye hotel flani hivi yenye hadhi na heshima yani juice tu glass moja shilling elfu tano basi kila mmoja akaagiza kile alicho kisoma kwenye menu
“Chanduka baby!!!
“naamu niambie kipenzi changu,
“binafsi naomba utambuwe ya kwamba nimetokea kukupenda kupita kiasi mwenzako jana sikulala kutwa kucha kukuwaza wewe tu,
“nashukuru baby ila unishindi mimi nikinywa maji nakuona kwenye glass jana sikulala kabisa kitanda nilikiona kama miba,
“basi Nusraty akacheeka “ha!ha!ha!
Chandu bwana una vituko wewe yani unione mimi kwenye glass!
wakiwa wana pata kifungua kinywa huku wakipiga story za hapa na pale cha ajabu Chanduka akanyanyuka na kubeba sahani zote za vitafunwa na juice pia akatoka nazo nnje
Nusraty akabaki kushangaa khaa!
sio yeye tu hata wateja wengine kile kitendo kiliwashangaza imekuwaje mteja anaondoka na vyombo vya hotel, muhudumu akatoka mbio kumuwai Chanduka maana hata kulipia bado
baada Chanduka kutoka akaenda moja kwa moja mpaka
alipo kaa mama mmoja hivi na mtoto wake kwa jinsi anavyo onekana yule mama hana miguu na wala haoni kwa kusaidiwa na yule mtoto mwenye umri wa miaka kumi hivi ndio kasogezwa eneo hilo akiwa ana ombaomba
Chanduka akainama na zile sahani akaziweka chini huku akimuamkia yule mama “shikamoo mama!!!
huku akigeuza uso wake kwa kuisikia sauti ya salamu akaitikia “marahaba mwanangu nisaidie!!!
yule mtoto akiwa ana vitamani vile vilivyoko kwenye sinia bila shaka ana njaa ya tokea jana usiku
Chanduka akatambua hilo akamsogea ile sahani nyingine huku akimwambia chukua hii ule mdogo wangu!!!
akavipokea kwa pupa na kuvi fakamia “kula taratibu mdogo wangu hivyo vyote ni vya kwako tu na ile sahani nyingine akamshikisha yule mama basi kila mmoja akala yule muhudumu kwa kitendo alicho kiona mchozi ukamdondoka akifikilia yupo kazini takribani miaka mitatu sasa hajawai kutoa hata shilling kumi yake kumpa ombaomba siku zote wateja wana bakisha vyakula bila kufikilia kwamba kuna watu wengine wana kihitaji chakula hiko hata kama ni makombo wao wanaenda kuvimwaga kwenye pipa la takataka
imani iko wapi hapo
Nusraty nae akafuta mchozi kwa kuona ni jinsi gani Chanduka alivyo na moyo kwa kidogo alicho kipata nae anajitolea basi baazi ya wateja kwa kuiga mfano tu wakatoka na sahani zao kwenda kujiunga kule nnje
“ongera sana kijana kwa kutufunza kitu siku zote tunakumbuka kujaza matumbo yetu tu na familia zetu
pasipo kukumbuka ya kwamba kuna watu wengine pia wana hitajika kuwa chini ya ungalizi wetu,
basi pongezi alizo pewa Chanduka ni nyingi mno mpaka wengine kudiriki kusema popote amuonapo ombaomba atamsaidia hata kumnunulia maji ya kunywa,
“hivi baby ni akili gani au wazo gani lilikushika
mpaka ukatenda kitu kama kile?"
“unajuwa nini
baby siku zote katika maisha tajili kumsamini masikini ni ngumu sana yani masikini kawa kama mtumwa vile tucheki pia kwenye swala zima la wale kuwa ombaomba je wamependa kuwa vile au vipi?“
Nusraty akajibu “hapana baby hawa kupenda kuwa vile yote ni mipango ya Mungu tu, “vizuri sana baby kwa
kuweza kuliona hilo sio kila ombaomba amependa kuwa vile na sio kila changudoa amependa kuwa changudoa au jambazi ni ugumu wa maisha tu inawabidi kujitosa katika njia zisizo sahihi utakuta mtu mwingine ni mzima kabisa anajifanya kirema anakaa kwenye msongamano wa magari akiomba omba usikute kila day ana tafuta kazi hapati nae kuiba au kukaba hawezi ndio ana mkufuru Mwenyezi Mungu kwa kujifanya kirema,
“Chanduka baby binafsi sikuweza kufikilia wala kuwaza ya kwamba una maneno ya busara hivi,
basi wakaongea mambo mengi sana kuna kauli
Nusraty aliongea ikamstua sana
Chanduka ila akaificha hofu yake baada kusema “Chanduka naomba utambuwe ya kwamba nimetokea kukupenda kwa dhati kabisa na nahitaji uje kuwa mume wangu ila sipendi kushare mapenzi na kidudu mtu yeyote
yule iwapo nikigundua nahisi kitu nitakacho mfanyia huyo malaya dunia nzima ita stuka!!!
Chanduka akauliza “kitu gani hiko baby?"
“siwezi kukwambia kitu gani ila subili mfano tu maana sinaga masikhara kabisa
ohoo baby kaa mbali na watoto wawatu!!!
huku akitetemeka Chanduka akasema
“binafsi baby kabla ya kuonana na wewe tayali nilikuwa katika mahusiano na binti mmoja hivi,
Nusraty akatabasamu na kusema “kwa hilo sishangai wewe ni handsome baby ila umefanya vizuri kusema ukweli ila naitaji kumfahamu huyo mke mwenza nisije kumuuwa kibahati mbaya
Chanduka akavuta pumzi kwa ndani na “opsiii baada kuiyona bastora
ikiwa kwenye kiti cha gari kwa pembeni hivi
Nusraty akamtoa hofu kwa kumwambia baby usijali na wala usi niogope dear siwezi kufanya chochote kibaya juu yako ni bora niji dhuru mimi kuliko kukudhuru wewe basi wakapigana kiss
kabla ya kushuka kwenye gari na kuingia zizzou fashion pale Africa sana basi Chanduka akaambiwa achaguwe chochote atakacho
dahaa mbona zali la mentali
maana alichukuwa pamba na supra za ukweli vibaya mno baada ya hapo akapelekwa saloon kuweka kichwa sawa mustach ukachongwa ilipo fika mida ya Runch waka jitoma kwenye kimgawa flani hivi pande za posta town
yani ilikuwa siku ya kula bata
kwa Chanduka
baada kutimu kama saa kumi na mbili jioni hivi
tunamuona Chandu akiwa anarudi tandale “mmh shost yule si Chandu?"
“yuko wapi?"
“si yulee kuleee!!! basi kila mmoja akageuka kumtizama huyo anae semekana ni Chanduka,
“duhuu kweli maisha yana chenji kawa kama Criss brown jamani!
kwa mwendo wa kujidai Chanduka akapita na kuwapa hi “how are you?"
yani zote mbwembwe tu!
walioweza kuitikia wakaitia I'm fine!!!
wenzangu na mimi wakaishia kuguna tu mmh!
“hivi shogaangu Salome si nilikwambiaga mimi Chanduka
akikutongoza mkubali tu wee ukadengua unaona sasa alivyo mambo safi sio yule bwanaako muuza supu kila siku anakusugua tu hata pesa ya sabuni ufuwe chupi akupi?"
“wee koma aliye kwambia sifui chupi nani?"
“ndio ufui kwani uwongo!!!
“nikuonyeshe kama sifui?"
vijana wa kiume walio kuwa maeneo yale wakicheza karata wengine draft na bao wakadakia kwa sauti “onyeshaaa!!!
Salome akabetua midomo na kusonya huku akisema “nyokooo nendeni mkaone za mama zenu!!!
tukija pande hizi wakina mama wakiwa wamekaa kila mmoja na ishu yake huyu anakuna nazi yule anawasha jiko wengine wana sukana na kupiga michapo ya hapa na pale
“hivi shogaangu zile pesa alizo kuja nazo jana Chanduka kazitolea wapi?"
“mmh! hata najuwa shogaangu ila mi nahisi kaokota fuko la pesa huko si unajuwa tena ishu za wazoa takataka,
gafla kuna msichana akapiga yowe la ukelele kama vile kaona nyoka
“Mungu wangu!!!
kila mmoja akastuka na kutaka kukimbia “nini tena Ratifa?"
“embu angalieni kule kila mmoja akageuza shingo yake kuangalia na kubaki midomo wazi baada kuliona zinga la tozi nyangema shalobaro akija kwa mwendo wa kudank dank baada kufika akawapa hi na kuingia ndani
“mmh! kwa mapigo haya Chanduka lazima awe wangu ni kauli ya Ratifa akisema hivyo basi mama
Salma akadakia kwa kumwambia
“weee tena ukome ukomae ushike mimba uzae nyoko zako
huo Ukimwi wako ukausambaze huko huko sio kwa mwanangu mie Chanduka
Ratifa akamjibu “sijui mijitu mingine ikojee kwanza huo ukimwi ulinipa wewe au tumegawana double double tokea lini
Chanduka akawa mwanao kama unamtaka si useme tujuwe mojaa phuu Ratifa akawashwa zinga la kofi akayumba huku akiona nyota nyota kabla hajakaa sawa akaongezwa lingine akahisi network kukata kabisa maana akawa anasikia Zzzzzzz
mama Salma akapaza sauti “weee Salma muachee utakuja kumuuwa mtoto wawatu!!!
“mama niache nimuonyeshe hawezi kukutukana hivi kumbe wakati wanaongea hivyo Salma
nae ndio anaingia kutoka kazini akasikia maneno ya shombo kutoka kwa
Ratifa akamvamia na kuanza kumtandika makofi Ratifa nae baada kupata balance akaanza kujibu mapigo ikawa piga nikupige watu wakajazana kuamulia wapi wengine wakapaza sauti “waacheni waonyeshane!!!
Chanduka akatoka nnje kwa speed akamshika Salma akawa hataki basi akamtia kofi moja tu na kumwambia ndani!!!
Salma mwenyewe akafata mkia chezea
Chanduka wewe
kimbembe kikawa ndani Salma alidondosha kilio hiko kama kafiwa vile
“hivi shost mbona mwanao kaenda kulilia chumbani kwa
Chanduka?"
“mi mwenyewe nashangaa, “basi usishangae ushapata mkwe nyamiera
basi wakacheeka na kugongesheana mikono,
“baby nisamehe hasira tu zile,
“hasira gani ndio unitandike kibao namna ile kama vile unavunja nazi mbona
Ratifa hukumpiga wakati tulikuwa tukipigana wote!!!
Salma akaendelea kulia tu,
“baby basi nirudishie! “ndio nakurudishia ila sikupigi kibao nataka nikung'ate!!! “khaa! uning’ate tena?"
“ndio mi mkono wangu hauna nguvu ya kukupiga nikikung’ata ndio vizuri,
“sasa baby meno na kofi
wapi na wapi?"
“wee weka mdomo nikung’ate lasivyo mi stakii!!! basi
Chanduka akaweka mdomo ang'atwe haikuwa hivyo
Salma akapitisha urimi wake kwenye kinywa cha Chandu na kuanza kunyonyana denda ahaaaaaa,,,,ass
sssss,,,ohoooo kilicho endelea mi simo tukutane next
Je nini kitaendelea?"
 
CHANDUKA (6)
Age 18
by hafidhi j ikram
Cm 0675082390
----------------
“baby nisamehe hasira tu zile,
“hasira gani ndio unitandike kibao namna ile kama vile unavunja nazi mbona
Ratifa hukumpiga wakati tulikuwa tukipigana wote!!!
Salma akaendelea kulia tu,
“baby basi nirudishie! “ndio nakurudishia ila sikupigi kibao nataka nikung'ate!!! “khaa! uning’ate tena?"
“ndio mi mkono wangu hauna nguvu ya kukupiga nikikung’ata ndio vizuri,
“sasa baby meno na kofi
wapi na wapi?"
“wee weka mdomo nikung’ate lasivyo mi stakii!!! basi
Chanduka akaweka mdomo ang'atwe haikuwa hivyo
Salma akapitisha urimi wake kwenye kinywa cha Chandu na kuanza kunyonyana denda ahaaaaaa,,,,ass
sssss,,,ohoooo,,,,,,asssssssssiiii
SONGA NAYO SASA PALE TULIPO
ISHIA
basi kila mmoja akawa anampapasa mwenzie huku na kule Salma kwa sauti ya kukata kata akatamka “baby naomba nisugue sana kama siku ile baada ya kunitoa Bikra yangu nina nyege sana!
Chanduka akamjibu “hiko sio cha kuomba,nitakutendea haki baby mpaka kiwake moto huku akianza kumvua nguo moja baada ya nyingine Salma,alipomali
za kumsaula za nje,alibakiza ile ya ndani,mtoto kuiga kwingi,alivalia bikini,yaani ungekiona kile kisehemu cha mbele kilichotuna,we mwenyewe ungedindisha msomaji bila hata kupewa mwaliko basi
Chanduka baada kumvua nguo zote Salma na kumuacha na tait tu kitumbua kiliumuka vibaya mno mpaka dudu la Chandu likatuna vibaya mno na kutaka kuchana boxer
basi akamlaza chali pale kitandani na kuivua na ile Tait akampanua mapaja ikawa mguu pande mguu sawa
akainama na kukiramba kwa kukinyonya kile kiarage mtoto wawatu akawa anapiga mayowe tu ya utamu
,,,aaaaaaaaah,,mmmmmmmh,,,,aa
aaaaaaaaaah,,,alilalamika Salma kwa sauti ya mahaba huku akijinyonganyonga tumbo lake kama anataka kugeukia pembeni vile,vindevu vilimchoma China na kumsisimua vyema Chanduka sasa,alihamia kwenye chuchu na kuanza kuzinyonya,basi mtoto wa watu aliongeza sauti ya kulia kimahaba,alikik
umbatia kichwa cha Chandu kama ndio hatokuja kukiachia tena,ulimi wa Chandu ulifanya vyema kwenye chuchu hizo zilizosimama ambazo kiumbo zilikuwa za wastani asssssss,,,,,mmmmmmh,,,,,
mmmmmmmmmmmh,,,aaaaaaaassssss
ssssssssss,,,,oooooooooooh,,,
,,alilalamika kwa sauti Salma huku akikileta kiuno chake juu kabisa kwa utamu aliouhisi Chandu alimjulia vyema Salma zaidi ya yeye alivyokuwa anajijua kuhusu wapi pa kumchezea mpaka mtoto anajisikia raha duniani,kwenye matiti yake ndipo ambapo Salma alikuwa akisisimka sana,alishindwa kuongea bali Chandu alijua udhaifu wa Salma na ndio uliompa nafasi siku ya kwanza kumtoa Bikra yake...
yapata kesho yake hasubuhi tunamuona Chanduka akiwa anapiga mswaki huku kila mpangaji wa nyumba hiyo kubwa yenye vyumba takribani kumi na mbili pamoja na mabanda ya uwani
ilikuwa ni siku ya wikiendi kwa maana wengi wao hawaendi makazini “oyoo Chandu mambo vipi?"
huku akiendele kupiga mswaki akaitikia salamu ile kutoka kwa binti mmoja hivi shombe shombe “poa tu niambie kishtobe!!!
“ninalo basi hasubuhi hii
ila nilikuwa nina shida kaka yangu!!!
basi Chandu akasukutua kwanza maji kisha akaya tema na kumuuliza
“shida gani tena?"
“hapa nilipo nimeamka sina hata sentano ya kununua andazi kwahiyo nilikuwa naomba unikopeshe shilling elfu tano mwisho
wa mwezi nitakulipa kaka yangu!
“nikukope au nikupe?
“mmh! vyovyote utakavyo wewe ukinipa sawa ukinikopa sawa,
huku akiingia ndani
Chanduka akatamka “binafsi unajuwa nyie wanawake mna vitega uchumi ila hamjui tu!
yule binti akamuuliza Chanduka hivyo vitega uchumi viko wapi?"
“ina maana bado hujastuka tu kama una kitega uchumi?" ndio sijui unazani ningejijuwa nina kitega uchumi ningekaa hapa siku zingine kuvizia ugari wa mama Salma,
Chandu bila aibu wala haya akamwita yule binti kwa kumwambia “embu njoo nikuonyeshe hiko kitega uchumi,
yule binti akamsogerea Chandu alicho kifanya ni kukiandaa kidole chake cha kati na kikigusa kitumbua cha yule binti masikini sijui hasubuhi ile binti hakuvaa kitu chochote ndani zaidi ya kujifunga kanga tu
maana kidole kikazama kwenye mmbonyeo sauti ya kuguna ikasika kwa yule binti ohoooiiiii,,,ahaaaa
Chandu akalizungusha dole lake binti akatamani asikichomoe
ila ikasikika sauti ikiita “Prisca!!! yule binti akaitikia kwa sauti ya kuzidiwa na utamu “abeee!!!ahaaa,,,
“embu njoo basi akatoka kwenda kule alipo itwa huku kwa macho ya kurembua na kujiramba midomo akimwambia Chandu “nisubili nakuja sasa hivi,
kule alipo itwa akapewa kazi ya kufagia uwanja na kudeki choo na dada yake “ahaa dada bwana yani kazi zote nizifanye mimi kwani Emmy anafanya nini?"
“mwenzako Emmy kafanya kazi zote jana kwa hiyo leo zamu yako!
“lakini Dada mwenzako nina dili hasubuhi hii!!!
“dili gani tena hilo mdogo wangu?"
“embu njoo nikunong'oneze basi akaweka sikio na kumnong'oneza hata mie sikuweza kusikia zaidi ya Dada yake kushika ufagio na kumwambia “basi fanya haraka uwende shost!
Prisca akatoka mbio kuwai kwa
Chanduka ile anafika tu akakutana nae ndio kashatinga pamba zake anatoka “mmh vipi tena mbona unaondoka?"
“dahaa kuna sehemu moja hivi naenda!
“ahaa basi vipi sasa kuhusu ule mtonyo?"
“dahaa nilitaka kusahau basi akaingiza mkono mfukoni na kutoa shilling elfu kumi akampatia huku akimwambia usirudishe chenji ila ukumbuke kitega uchumi chako muhimu!
“basi
Chanduka akatoka zake kwa mwendo wa kudundika zaidi “sasa Chandu leo usiku nije chumbani kwako au?"
“wee umuogope Salma ehee?"
“Salma ndio nani bwana ehee we niambie tu nije mi natimba maana kidole ulicho niingiza kitamu balaa je dudu si nitajamba kabisa!
Chandu akamwambia “nitakujibu nikirudi!!!
tukiwa maeneo ya mbagala rang3 tunamuona Chandu akiwa ndani ya benzi macho ya paka yenye rangi nyeusi akiwa na Nusraty bila shaka ni safari ya kwenda kijijini kwao kimanzi chana “hivi baby wazazi wako wata nikubali kweli mimi?"
ni kauli ya Nusraty akimuuliza Chandu
“sizani kama kuna masikini anae weza kumkataa tajili hofu yangu kwako ni kukataliwa mimi tu
maana nyie waarabu nasikia ni wabinafsi sana tu!
“kivipi baby mpaka unafikia kusema hivyo?"
“inavyo semekana nyie mnaowana wenyewe kwa wenyewe tu ili mali zenu zisiende kwa watu weusi kama sisi na ukiona mtu mweusi kaowa mtoto wa kiarabu hapo
kuna mambo mawili inawezekana nae tajili au kasoma sana elimu ya dini juzuu 30 zote kameza!!!
“mmh! baby usiseme hivyo bwana
hizo ni itikadi za watu tu yani wanaishi kwa kukalili tu
tambua ya kwamba mapenzi
haya chagui dini kabira tajili wala masikini mapenzi ni hisia iliyo jificha ndani ya nafsi baby
Chanduka nakupeenda baada kusema
vile wakajikuta wanagusanisha ndimi zao kwa kunyonyana denda midomo lainiii ya Nusraty kama vile sufi jamanii
tukija pande flani hivi tunamuona jamaa mmoja hivi akiwa maskani akiwapa mchongo washikaji wa kijiwe kile kijana huyu mwenye asiri ya kiarabu akasema “sasa sikieni wana hii ishu nimeamuwa kuwapa nyie kwa sababu nawaaminia ni wazee wa kazi huyu binti ni demu wangu ila kwa siku za hivi karibuni simuelewi elewi ujuwe nikajribu kufatilia kumbe kuna boya flani hivi anamzingua kwa hiyo naitaji huyu jamaa mukimuona tu popote pale mumteke kisha mleteni kule mafichoni tumuangamize au sio wanna!!!
“ndio kaka mia mia!!!
basi akawapa baazi ya picha kuicheki ni ya Nusraty dahaa basi
Chanduka kaingia njia mbaya na vijana walio kabiziwa hiyo kazi ni wapale kinondoni wanao jiita kikosi cha mizinga,
kijana huyu anaye kwenda kwa jina la
Abdully majidi kutoka nchini Morocco ni mmoja kati ya watoto wa tajili mmoja nchini Oman kutokana na jeuli ya pesa basi ashindwi kufanya jambo lolote lile yani alikuwa mnywa pombe hasa zile kali huku akichanganya na madawa ya kulevya
alibadirisha wasichana kama nguo kibaya zaidi akawa ametegesha camera ndogo hivi chumbani kwake basi anavyo lala na mwanamke kila kitu kina jirecord baadae anazituma zile video nnje ya nchi na kujipatia pesa nyingi sana
kwa hiyo katika ujanja wake woote akaja kuzimika kwa
Nusraty akajuwa akitumia pesa zake atampata kuiurahisi kumbe
sivyo yeye mwenyewe binti kwao mambo safi baba yake ana miliki visima kazaa vya mafuta nchini Pakistan tukija Dubai ana viwanda kama njugu
“binafsi huyu nguchiro anaye sababishwa nisikubaliwe ombi langu nitamuonyesha mimi ni nani wee subili aingie kwenye kumi na nane zangu tu!!!
ni maneno aliyo yatamka Abdully majidi,
“karibu sana my dear huyu ndio mama yangu kipenzi na huyu ni baba yangu na huyu ni Dada yangu Farida na hawa ni wadogo zangu mama na baba huyu ndio mpenzi wangu anaitwa Nusraty,
ulikuwa utamburisho kutoka kwa
Chanduka baada kufika kijijini kwao huku wana kijiji wakibaki kushangaa kwa jinsi Chanduka alivyo badirika na kuja na mzungu ndivyo walivyo juwa wao wengine wakilishangaa gari.
kama kuna kipindi kijijini kwetu kuna jamaa alikuja na gari kwa kuwa ilikuwa mara ya kwanza kuliona gari basi wana kijiji wakawa wanauliza huyu mnyama anakula chakula gani mpaka ana tembea yule jamaa akajibu anakula mahindi kama magunia kumi hivi basi kila mwana kijiji akaingia ndani na kutoka na gunia la mahindi basi jamaa akafungua buti mahindi yakamiminiwa mule mpaka yakajaa akaambiwa haya mwambie atembee jamaa akawaambia subilini si akapanda kwenye gari na kuiwasha hiyo speed aliyo toka nayo hapo si mchezo wana kijiji wakabaki kushangilia tu “oyoooo!!! kiumbe kimeshiba sana mpaka kinakimbia sana kumbe tushaibiwa jamaa nyoko zake Ha!ha!ha!ha!
duhuu nimetoka kwenye story ya Chandu
Je nini kitaendelea?
 
CHANDUKA (7)
Age 18
by hafidhi j ikram
Cm 0675082390
----------------
“karibu sana my dear huyu ndio mama yangu kipenzi na huyu ni baba yangu na huyu ni Dada yangu Farida na hawa ni wadogo zangu mama na baba huyu ndio mpenzi wangu anaitwa Nusraty,
ulikuwa utamburisho kutoka kwa
Chanduka baada kufika kijijini kwao huku wana kijiji wakibaki kushangaa kwa jinsi Chanduka alivyo badirika na kuja na mzungu ndivyo walivyo juwa wao wengine wakilishangaa gari.
SONGA NAYO PALE TULIPO ISHIA JANA
Kila mwana kijiji akaongea lake vijana “kumbe mjini kuna maisha mazuri ehee!!!
yani Chanduka kaondoka hapa juzi tu akiwa hana hata kitambi mwili wake wote una ukurutu nywele zimejaa chawa leo hii anakuja akiwa na kitambi yuko smart kama vile wale wana muziki tunao waonaga kwenye video,
“sikia Issa kila mmoja ana bahati yake kimaisha mbona Yazidu alitoka hapa akaenda mjini kusaka maisha kakaa huko miaka kibao tu kaishia kuuza pipi karanga mwisho wa siku akaenda jera baada kukutwa na bange karudi hapa kachoka sio kila anae enda mjini atakuwa kama Chanduka
“ehee Issa hapo umesema kweli ndugu yangu juzi kati tu Ankor wangu kaja kutoka huko town nikamuomba anichukuwe niende kuishi nae alicho niambia nikaogopa hata kwenda yani kasema bora ubaki huku kijijini upambane na Jembe tu kuliko kwenda uwanja wa vita ukiwa huna siraha ya kupambana nayo town kuna mambo mengi mabaya yana tendeka ukabaji uporaji uwaji kisa tu kusaka pesa,
ni vijana wa kijiji kile alicho zaliwa
Chanduka na akakulia hapo hapo binafsi ni marafiki zake aliocheza nao utotoni mpaka kuja kusoma wote shule ya msingi “oyoo!!! mambo vipi ndugu zanguni?"
ilikuwa salamu kutoka kwa
Chandu baada kutimba maskani kuja kuwapa hi masera wake,
basi kila mmoja akamlaki kwa kumpa mkono maana waliogopa kumkumbatia wasije kum chafua ilibidi wengine wajifute mikono yao “ahaa Mudy nini unafanya sasa?"
“subili ninawe kwanza nije kukusalimia kaka “ahaa acha zako bwana yani salamu mpaka unawe basi
Mudy baada kunawa akajifuta futa maji na T-shirt yake iliyo choka na kumpa mkono Chanduka binafsi yeye akamkumbatia tu
“ayaa kaka nitakuchafua bwana!!!
“wewe embu acha ushamba wako aliye kwambia mi msafi nani,
basi wakapiga story huku wakinywa kahawa maana Chandu alitoa ofa kwa vijana wote kunywa kahawa na kashata
kwa jinsi mpaka birika libaki tupu!
“ehee Chanduka kaka embu tupe siri ya mafanikio yako!!!
“mafanikio gani tena?"
“si hivi ulivyo toka chicha umekuja na mzungu mkiwa na gari kali kinoma yani!
Chanduka akacheka kwanza baada kusikia Nusraty anaitwa mzungu kisha akawajibu
“binafsi yule binti sio mzungu ni muafrica kama tulivyo sisi tu isipokuwa yeye ni muarabu kingine siwezi kusema nina siri yeyote kuhusu maisha yangu labda niseme tu maisha ni kama ndoto wengi tumelala kila mmoja anaamka kimpango wake au riziki mafungu saba,
Chandu alipiga story na jamaa zake mpaka ilipo timu saa kumi alasiri akaagana nao huku kila mmoja akiwapa shilling elfu kumi akisema kama mambo yake yata kuwa safi zaidi hatoacha kuwa kumbuka
akiwa anafika nyumbani kwao akaweza kumuona Nusraty nae anatoka kisimani kuteka maji ameongozana na Dada yake Chandu aka tabasamu tu
baada hapo Nusraty akaingia kwenye kichumba kimoja hivi kwa ajili ya kujiandaa kuondoka
akiwa ndani gafla mlango ukasukumwa akastuka maana alikuwa uchi wa mnyama basi akajificha matiti yake kwa viganja vya mikono aliye ingia hakuwa mwingine ni
Chanduka nae akabaki kuduwaa tu maana hakuwai kumuona mwanamke aliye umbika kama huyu yani ngozi nyeupee haina hata doa hizo chuchu sasa kama konzi japo alizificha kwa viganja mi niliziona tukija macho ya duara pua mchongoko mdomo sijui kama nini kitovu chake kilicho ingia kwa ndani hivi kimezungukwa na garden love Chanduka mzuka ukampanda na kujikuta akimsogerea
Nusraty nae akawa ana rudi nyuma kwa uwoga ila akafika mwisho wa ukuta
akajikuta mikono ya
Chandu ikikamata kiuno chake na kuanza kumtekenya asssssss,,,,mmm
mmmh,,,,,opsiiiiiiii,,,,,babiiiii,,,,s,,,iooo
oo,,,leoooo,,,,ahaaa,,,,Chanduuuuu,,,,
Nusraty akabaki kubwabwaja maneno baada Chandu kupiga magoti na kuunyanyua mguu wake mmoja akauweka begani alicho kifanya
Chanduka ni kuanza kukiramba kitumbua kwa ustadi wa hali ya juu Nusraty akabaki kujinyonga nyonga tu huku akikishika kichwa cha Chandu na kukikandamiza kwa ndani yani kama vile anaitaji kichwa kizame kwenye kitumbua chake ,,,,mmmmmmmmmmmh,,,aaaaaaaassssssssssssssss
,,,,oooooooooooh,,,,,alilalamika kwa sauti Nusraty huku akikileta kiuno chake kwa mbele utamu wa kunyonywa kiarage chake ulimkolea vibaya mno basi kwa kuwa kila mmoja alikuwa mzuka
Nusraty akajigeuza na kuangalia ukuta huku akimuachia mgongo na makalio yake yaliyo tona Chanduka akawa akiyashika shika kwa kuyaminya minya akainama na kuya ramba ramba yani
mtoto akazidi kuchanganyikiwa tu baada urimi kupita ukitalii kwenye ikweta ,,,,mmmmmmmmmmmh,,,aaaaaaaass
ssssssssssssss,,,,ooooooooooo
h,,,,,,,ohooooo,,,,
yani ilikuwa full burudani ndani ya kijumba kile cha udongo juu kimeezekwa nyasi tu jamani mapenzi popote Chandu kaja kukizindua kitumbua kijijini kwao juu
ya kitanda telemka nikukaze
tuyaache hayo tuje town sasa pande za mbezi beach katika super market moja hivi kuna familia moja yani baba mama na watoto wao kama watatu hivi wawili wakiwa wakike mmoja wa kiume
“mume wangu hivi lile swala la kumtafutia mume mwanetu Nusraty limefikia wapi?"
“mke wangu bwana haya mambo ya kukaa na kuzungumza nyumbani sio huku super market au unataka kila mtu afahamu tuna mtafutia mwanetu mwanaume wa kumuowa sio?"
“sio hivyo mume wangu unajuwa muda mwingine moyo wangu unanidunda yasije kutokea kama yaliyo tokea miaka miwili iliyo pita!!!
“subili nikwambie kitu mama
Nusraty kwa kitendo alicho mtendea mtoto wetu yule kijana kita mghalimu maisha mwanaume yeyote yule atakaye kuwa nae maana
yule Khatibu alijifanya ni mtu mwema sana kwa mwanetu tukajuwa tumepata mkwe kumbe
matatizo tu siku ya siku akamuacha mwanetu baada kumchezea vya kutosha akaenda kuoa mzungu yani lait kama yule mwana haramu angekuwa anaishi nchi hii ningeshamwaga ubongo wake
yani nilisikia tu yupo nchini uengereza katika jiji la Manchester nikatuma majasusi wangu wakamkosa huku macho yakiwa yamemuiva Mzee furqan ni mmoja kati ya watu tishio sana hapo alikuwa anaongea kitendo cha binti yake kufanyiwa kitendo cha kinyama yani kusaritiwa katika swala zima la mapenzi
basi wakafika nyumbani kwao na kubaki gari mbere ya geti jeusi hivi kisha akapiga honi mlinzi akaja kufungua gari ikaingia ndani
kwa upande wa Chanduka hali ilikuwa tata zaidi
Nusraty alitamani kuomba poo kwa jinsi alivyo kuwa amebanwa na kukunjwa kama samaki chuchunge vile huku akisukumiziwa mashuti balaa
ohoooooo,,,,babiiiiii,,,,assssss,,,,uwiiiiiii
iiii,,,Chanduka akawa anampampu mtoto wawatu kama vile kaambiwa hatokipata tena uuuuuuuhaaaa,,,,Nusraty akajikuta anapiga bao lake siku zote ukitaka mwanamke asikusahau katika maisha yake ni pindi unapo msugua akataka kumwaga huku ukiendelea kumsugua kamwe hatokusahau maana hizo raha anazo zipata usimpimie basi mtoto akaja kwa juu kumsindikiza
Chandu nae apige bao lake akiwa kaukalia msumari akawa anazungusha kiuno tu mpaka Chandu akahisi dudu linataka kuchomoka akabaki kugugumia kwa raha tu ohooohg,,,
ndani ya dakika kama ishirini hivi kila mmoja akalizika wakaenda kuoga uzuri wa vijijini sio wambea wambea kama town maana huku sauti kidogo tu kimahaba watu wanataka
kwenda kupiga
chabo mtafuka macho ohoo
“oyaa Abdully vipi kaka mbona unakunywa pombe nyingi kwa kiasi hiko nini shida mdogo wangu?
alikuwa kaka yake Abdully baada kutoka zake msikitini akamkuta mdogo wake sebureni kalewa chakali huku akiwa bado kaushikilia mzinga wa pombe kwa sauti ya kilevi akamjibu kaka yake
“wee si unamuamini Mungu?"
kaka mtu akabaki kusikitika tu pasipo kujibu kitu akamuuliza tena “si nakuuliza wewe unamuamini Mungu?"
sasa kama unamuamini muombe anisaidie kumpata mwanamke wa maisha yangu gafla akaivunja glass na kujikata nayo mkononi kaka mtu akastuka japo ni haramu kuikalibia pombe kwa muislamu kama yeye anaye timiza vipindi vyote vya swala tano tena ya jamaa pasipo kuchelewa hata rakaa akamshika mdogo wake huku akiita “Abduuuuuully!!!
ile sauti ikawastuwa watu wengine wanao ishi ndani ya mjumba ule wa kifahari wakatoka mbio mbio kuja kuangalia kuna nini hakukuwa na muda wa kuchelewa zaidi ya Abdully kuwa hishwa hospital yote Abdully anafanya vile kisa mapenzi tu jamaa kapenda mpaka anafikia hatua ya kujikata na chupa dahaa
“baby nikuulize kitu?"
“niulize tu!!! hivi hizi ambulance kila muda zinakuwa na wagonjwa au?"
“mmh! kwa nini umeuliza hivyo Chandu my dear?"
“hili ndio tatizo la wabongo yani kuulizwa swali baada alete jibu nae anauliza swali, basi
Nusraty akacheeka huku akimuegemea Chanduka “ha!ha!ha!ha!
baby bwana unanifurahisha tu
oky nisamehe basi ngoja nikujibu
kwa kifupi hizi gari sio kila muda zinakuwa zimebeba wagonjwa kuna muda na muda maana muda mwingine dareva labda anawahi sehemu flani kumchukuwa mgonjwa basi atawasha king'ora asiweze kukaa kwenye foreni ila vile vile madereva wengine wana zingua tu hawana ruti ya kwenda kokote kwa kutaka sifa za kijinga ndio hivyo anawasha mikelele njia nzima,
yalikuwa mazungumzo kati ya wapenzi wawili kati ya Chanduka
na
Nusraty wakiwa pande za kinondoni njia panda ya kigogo
“hapo nimekupata baby yani natamani nikipata mshiko gari ya kwanza kuinunua ni hii ambulance yani sikai kabisa kwenye foreni
Nusraty akazidi kucheka mbavu ana “Chandu bwana yani
ununue Ambulance kisa utaki kukaa kwenye foreni hizi gari ni spesho kwa ajili ya hospital yani kazi yake kubeba wagonjwa,
ilikuwa full story zilizo ambatana na vicheko tu
mpaka gari ikapaki maeneo ya tandale kwa tumbo anapo ishi Chanduka basi akashuka huku akimlazimisha
Nusraty nae ashuke “baby shuka basi nawe ukakione chumba chako!
“usijali baby nitakuja siku nyingine unajuwa kwa sasa nimechelewa kurudi nyumbani ukizingatia mama kanipigia cm nahisi kesho nitadamka kuja kukutandikia kitanda kufua kukupikia yani kesho baby usifanye kazi yeyote ile!!!
“sawa baby Nusraty akawasha gari na kuondoka
Chanduka akaingia ghetto kwake na kumkuta Salma ndio anaweka weka vitu sawa akaguna na kujiuliza je
Nusraty angekubali kuingia ndani ingekuwaje?"
akajijibu mwenyewe “wee Chanduka huna akili utakuja kusababisha majanga kwa mtoto wawatu bure
huwezi juwa wala kufahamu kipi anacho kiwaza
Nusraty juu ya Salma kitendo cha kutamka kumkubali kuwa mke mweza sio kipimo cha wewe kujiamini je Salma umemwambia akiwa anafikilia hivyo akastushwa na Sauti ya Salma baby whaooo!!!.
wakakumbatiana na kupigana mabusu motomoto ila Salma akaitaji dudu
“ahaa baby mwenzako leo nimecho si mchezo! “sasa baby kazi gani uliyo ifanya leo mpaka uchoke hivyo nipe hata kimoja basi nijisikie mwepesi
alicho kifanya Chandu
mi simo tukutane next kesho
Je nini kitaendelea?
 
CHANDUKA (8)
Age 18
by hafidhi j ikram
Cm 0675082390
-----------------
akajijibu mwenyewe “wee Chanduka huna akili utakuja kusababisha majanga kwa mtoto wawatu bure
huwezi juwa wala kufahamu kipi anacho kiwaza
Nusraty juu ya Salma kitendo cha kutamka kumkubali kuwa mke mweza sio kipimo cha wewe kujiamini je Salma umemwambia akiwa anafikilia hivyo akastushwa na Sauti ya Salma baby whaooo!!!.
wakakumbatiana na kupigana mabusu motomoto ila Salma akaitaji dudu
“ahaa baby mwenzako leo nimecho si mchezo! “sasa baby kazi gani uliyo ifanya leo mpaka uchoke hivyo nipe hata kimoja basi nijisikie mwepesi
alicho kifanya Chanduka
SONGA NAYO PALE TULIPO ISHIA JANA ENDELEA SASA
Alicho kifanya Chandu ni kumshika Salma kwa nyuma na kuanza kuya pikicha pikicha matiti yake basi
Salma akawa anagugumia huku akiwa ana likatikia dudu la Chandu likiwa bado ndani ya jeanse ohooooooassssss
ssmmmm,,,,assssssssss,,,,Chanduka mtaalamu huku akiwa anairamba ramba shingo ya Salma na kuingiza urimi wake ndani ya sikio Salma akazidi kuwe huka kwa utamu binafsi
Salma hakuwa amevaa kitu chochote ndani zaidi ya kujitanda kanga moja tu basi ikamdondoka na kumbakisha kama alivyo kuja duniani shukhuri ilikuwa faster faster tu
Chanduka kashatoa dudu lake na kulichomeka kwenye kitumbua cha
Salma kilicho kuwa kikidondosha mchozi muda tu baada kuchezewa kiarage chake
ahaaaaaaa,,,babiiiiiiii,,,taratiiiiiiiiibu,,,
ossssssssss,,,Chandu akawa anampampu kwa speed ile ile ya utakoma leo mpaka mtoto wawatu akawa anaongea kirugha ohoooooo,,,,nya
mwileeeeeeeee,,,komshongoooooo
,,,,,,uwiiiiiiiiiiiii,,,,mmmmmmh,,,,
basi wote kwa pamoja wakapiga bao na kujitupia kitandani wakiwa hoi maana mechi ilikuwa ikichezwa wima wima hiyo “hasante sana baby baada kushukuru
Salma akanyanyuka atoke ila
Chanduka akamwita “Salma bby!!!
“abee kipenzi changu,'
“embu njoo ukae hapa kuna kitu muhimu sana naitaji kukwambia!
basi Salma akaketi huku akiwa kaegemeza kichwa chake kifuani kwa mpenzi wake, “haya baby niambie jambo gani hilo?"
Chandu akakohoa kidogo na kusema “siku zote dunia imejaa siri nzito sana hakuna aijuwae kesho zaidi ya Mwenyezi Mungu binafsi kuna jambo naitaji nikwambie ya kwamba kuanzia leo mimi na wewe basi!!!
Salma akastuka na kutoa macho pima kwa mshangao akauliza “embu rudia tena kusema!
“amini usiamini huo ndio ukweli mtupu
Salma ikabidi acheke “ha!ha!ha!ha! kecheko kikawa kilio hihihihihi Salma akaangusha kilio huku akisema
“lipi kosa langu Chanduka mpaka unaamuwa kunitendea hivi why?
mpaka uamuwe kuniacha niambie nijuwe!!! huku akimpiga piga mabegani Chanduka, yeye binafsi hakuwa na jibu lolote zaidi ya kudondosha mchozi tu thamani ya Salma anaijuwa tokea kipindi anatoka kijijini na kuja kupata chumba maeneo hayo Salma ndio alikuwa rafiki yake wa kwanza aliye kuwa mfariji wake kwenye shida na raha zote alizo kumbana nazo na alijuwa ni ngumu kwa yeye kuachana na Salma ila kashaingia kwenye mikono ya Nusraty atafanyaje yuko njia panda tu
Salma akazidi kuongea kwa jaziba hakuna kitendo cha kinyama kilicho pitiliza kama kutamkiwa na yule umpendae “sikutaki sikupendi kuanzia leo mi nawe basi tena iwe gafla kama alivyo fanya
Chanduka “baby niambie kosa langu nini au kwa sababu mimi ni masikini nimeshindwa kuyabadili maisha yako ehee?"
nijibu basi sijawai kukulizisha katika mapenzi nikitu gani unacho kitaka niambie nipo tayali kukupa mpenzi wangu!!!
Salma akamshika Chanduka usoni na kubaki kutizamana tu ila Chanduka akaitoa mikono ile na kutamka kwa sauti “Salma nisha kwambia sikutakiiii!!!
toka nnje ya chumba changu!!!
Salma akamuwasha kofi Chanduka mpaka akaenda kujibamiza kwenye tendegu ya kitanda baada kufanya vile huku akiwa analia akasema “binafsi hii ni ndoto tu naimani kutakapo kucha nitaamka na kujikuta nipo nawe mpenzi wangu Chandu tukinywa chai pamoja na kama ikawa sio ndoto sito kubali kinyago chochote kininyang'anye Chandu wangu Wallahi nitauwa mtu akatoka nnje huku akiubamiza mlango kwa nguvu,
binafsi kuna binaadamu wenye mapenzi ya kweli hapa duniani sio wenzangu na mie ukitamkiwa sikutaki utasikia poa mwanamke au mwanaume upo peke yako hapa duniani au usinibabaishe bado nadai nina tongozwa kila siku hivi jiulize utaachwa na wangapi hivi umekuwa shimo la taka au pango kila nyoka aingie tu
usiku ulikuwa mrefu sana
Salma usiku kucha analia tu Chanduka nae akiwaza na kuwazua alijiuliza alicho kitenda ni haki kweli au vipi?"
Salma nae katikati ya kilio chake akawaza kujiondoa duniani yani thamani yake haipo tena walio sema mapenzi yanauwa yanaliza yanaumiza yana tesa na kufurahisha hawa kukosea basi akajiapia kabla hajajiuwa
lazima nae auwe
Nusraty akiwa hana hili wala lile akadamka hasubuhi yani alfajir na kwenda uwanja wa mazoezi uliomo humo humo ndani ya nyumba yao akaanza kufanya mzoezi ya kufa mtu hapa ndipo tuna poweza kumuona
Nusraty harisi alikuwa akifanya mazoezi ya ajabu kama vile yule mwana dada Angelina Jolie akiwa katika movie zake kama tomb Ryder au Mr &Mrs smith
Nusraty alikuwa anaruka mashowart ya ajabu na kucheza na majambia binafsi alikuwa na pumzi za kutosha huku akiruka hewani kama vile anavutwa na kamba kumbe ni mautundu tu hayo pahaa pahaa ilikuwa sauti ya makofi
Nusraty akageuka kucheki ni baba yake akiwa anampigia makofi huku akija maeneo yale basi baada kufika wakapeana salamu na kuomba kucheza sparing bila kuchelewa wakaanza kuzipiga baba na mwana
ila Nusraty alijivuta na kufyatua double kick zikampata baba yake za kifua akarushwa hewani kabla ya kudondoka chini
Nusraty kama umeme vile akawai kulala chini baba yake akadondokea juu ya mgongo wake asinge fanya hivyo mzee wake kiuno angekuwa hana kabisa....
“opsii Mungu wangu wee mtoto utakuja kuniuwa siku ya siku alitamka hivyo Mzee furqan huku akiwa amejishika kiuno Nusraty akabaki kutabasamu tu
na kusema “pore sana baba yangu nilikuwa nataka nikuonyeshe ni jinsi gani nilivyo kuwa fiti
kule nchini Thailand sikwenda kuchuma mchicha! “ni kweli mwanangu wee noma yani una mapigo ya hatali sana leo unatoka kwenda kokote au?"
“ehee umenikumbusha kitu
Nusraty akatoka mbio kwanza akaingia bafuni akaoga kisha akatoka akaingia chumbani kwake akavaa tait kwanza kwa nnje akapiga track suit na jacket lake zote zikiwa rangi nyeusi akavaa na raba nyeupe akatinga na groups yani kwa jinsi alivyo vaa utasema spider man akatoka mpaka sebureni yani mtoto ana manjonjo huyu mavazi yame muwamba balaa akafungua friji akachukuwa kama pakti tatu hivi moja juice mbili za maziwa akaenda hadi chumbani kwa wazazi wake hakuchelewa akatoka na kwenda moja kwa moja kwenye maegesho ya magari akaingia ndani ya hammer na kutoka zake,
“Salma mwanangu ni kitu gani kilicho kusibu unaumwa au?"
binafsi Salma akabaki kuwa kimya tu hakuwa na jibu la kumpa mama yake
akabaki kama bubu mchozi ukimtoka alishatambua hii sio ndoto tena yeye na Chanduka ndio basi!!!
“Salma mwanangu mbona unaniweka roho juu mama yako
usipo niambia mimi tatizo lako utamwambia nani?"
“dada Salma simu yako inaita hii!!! ilikuwa sauti ya mdogo wake akitoka chumbani na simu mkononi Salma akaishika simu bila kuangalia mpigaji ni nani akaikata na kuiweka pembeni
simu ikawa inaita tena akaikata ilipo ita tena mama yake akaiwai kuipokea kumbe mpigaji alikuwa boss wake
Salma ikabidi ampe simu kwa kumwambia “Salma mwanangu anaye biga ni boss wako huyu ehee embu ongea nae alicho kifanya Salma ni kuiweka sikioni ile simu kwa sauti ya jaziba akatamka “pumbavu zako nyau wee kuanzia leo sitaki kazi mshenzi wee kisha akaibamiza ile simu ukutani
bila shaka
Salma ameshakuwa chizi wa mapenzi dunia akaiyona chungu akanyanyuka na kwenda chumbani kwake
bahati nzuri simu ikaendelea kuita “hallo Adam sijui nini kilicho mkuta dada yako maana usiku kucha analia tu macho yamemvimba kila nikimuuliza nini tatizo hataki kusema
sauti ikasikika upande wa pili “dahaa yani kanitukana mi mshezi mpumbavu ataki kazi yani siamini kabisa ila nakuja sasa hivi kujuwa tatizo nini hasa!!! simu ikakatwa maswali kibao yakajengeka kichwani kwa mama Salma
“sijui nini kimemfika mwanangu au karogwa nini maana uswahilini hawachelewi wasione mtu anakula kuku kila siku wataanza chokochoko
akastushwa na sauti ya salamu “shikamoo mama!!! akaitikia “marhabaa mwanangu hujambo!
“sijambo nilikuwa namuulizia
Chanduka!
“ahaa Chanduka ingia hapa chumba cha mwisho upande wa kushoto ndio cha kwake ukifika wee gonga tu maana sijamuona leo kutoka
Nusraty akajitoma hadi ukumbini moja kwa moja mpaka kwenye chumba cha Chanduka akabisha hodi pasipo kuchelewa
mlango ukafunguliwa basi
Nusraty akamrukia kwa furaha huku akimpiga mabusu motomoto lait angejuwa
kama kuna mtu ndani ya nyumba hiyo yupo katika maumivu makali sana
“baby una onekana kama hauna furaha vipi?"
au hukupenda ujio wangu?"
Chanduka hakuwa na jibu zaidi ya kukaa kimya tu
Nusraty akazidi kudadisi ndipo Chanduka akampa ukweli wa kile kilicho tokea “ayiii baby kwa nini sasa ufanye hivyo huo unaitwa uuwaji wa kinyama kabisa baby siku kwambia umuache nilikuwa niko radhi niwe mke wa pili huku nikifahamu ni ngumu katika karne hii mtu kukubali kuwa mke mwenza binafsi ninacho kuomba mpigie simu umwite umueleze ya kwamba zote zile zilikuwa hasira baada kuchanga nyikiwa na mambo flani hivi
kaa nae taratiibu mueleze ukweli wote kuhusu mimi sina nia mbaya katika penzi lenu
labda nikwambie kitu baby katika maisha yangu nilishatendwa zaidi ya mara mbili mpaka ikafikia hatua ya kuwachukia wanaume wote story ilikuwa ndefu sana yenye kuhu zunisha na kusikitisha kila mmoja mchozi ukamtoka si wao tu kumbe hata Salma alikuwa mlangoni akisikiliza yote na kujiona hata yeye hakutaka kutumia maamuzi ya busara kisu alicho kishika akakiachia akachuchumaa chini huku akilia sauti ya kisu kudondoka ndio iliyo wastua Chandu na Nusraty wakatoka nnje na kumkuta Salma kajiinamia huku pembeni yake kukiwa na kisu alicho kifanya Chanduka ni kumnyanyua Salma na kumkumbatia
Nusraty nae akajiunga pamoja nao
duhuu yani ni ajabu
Salma akaweza kurudisha furaha yake hata boss wake alipo fika akamuomba samahani kwa yale yaliyo tokea
“binafsi nilidata ujuwe Salma maana wewe ndio mfanya kazi tunaye kutegemea pale kazini bila wewe kampuni haiwezi kwenda sawa ulipo nitamkia maneno yale nikahisi kichwa kuniuma dahaa!
“usijali boss kesho nitakuja kazini basi wakakumbatiana na boss wake kisha akaondoka
tukija pande za mbezi beach nyumbani kwa kina
Nusraty tunamuona
Chanduka akiwa sebureni pamoja na wazazi wa
Nusraty bila kukosa yeye mwenyewe hii baada kutoka kupatana na Salma kuwa atakuwa mume wao wote japo ni ngumu katika maisha ya sasa ila kwa wengine inawezekana
“karibu sana mwanangu hapa ndio nyumbani kwangu yani Mzee furqan je kijana unaweza kunielezea japo kwa ufupi tu elimu yako na unaji shughulisha na kazi gani hapa mjini?
“ndio mzee wangu kwa kifupi nimeishia darasa la saba
“what?" aliuliza kwa
mshangao Mzee furqan yani kijana umeishia darasa la saba unataka nikuozeshe binti yangu oky unafanya kazi gani?"
“ni mzoa takataka katika manispaa ya ilala, “Mungu wangu weee!!!
Nusraty ndio nini unatuletea humu ndani kijana toka nnje kabla sijakumwaga ubongo!!!
“baba huyu ndio chaguo langu mimi na hakuna hata mmoja atakaye weza kuzuia nisiolewe nae awe mzoa taka au hajasoma mi sijali siangalii elimu wala kazi ninacho angalia ni kupata mume bora tu kumbe Mzee furqani bastora alikuwa nayo kiunoni
basi akaichomoa na kumrenga nayo
Chanduka mlio wa risasi ukasikika pahaaa!!!
Je nini kitaendelea?
 
CHANDUKA (9)
Age 18
by hafidhi j ikram
Cm 0675082390
----------------
“karibu sana mwanangu hapa ndio nyumbani kwangu yani Mzee furqan je kijana unaweza kunielezea japo kwa ufupi tu elimu yako na unaji shughulisha na kazi gani hapa mjini?
“ndio mzee wangu kwa kifupi nimeishia darasa la saba
“what?" aliuliza kwa
mshangao Mzee furqan yani kijana umeishia darasa la saba unataka nikuozeshe binti yangu oky unafanya kazi gani?"
“ni mzoa takataka katika manispaa ya ilala, “Mungu wangu weee!!!
Nusraty ndio nini unatuletea humu ndani kijana toka nnje kabla sijakumwaga ubongo!!!
“baba huyu ndio chaguo langu mimi na hakuna hata mmoja atakaye weza kuzuia nisiolewe nae awe mzoa taka au hajasoma mi sijali siangalii elimu wala kazi ninacho angalia ni kupata mume bora tu kumbe Mzee furqani bastora alikuwa nayo kiunoni
basi akaichomoa na kumrenga nayo
Chanduka mlio wa risasi ukasikika pahaaa!!!
SONGA NAYO PALE TULIPO ISHIA JANA ENDELEA SASA
Mzee furqan baada kufyatua risasi kwa nia ya kumpiga
Chanduka mahesabu yake yakawa sio kwa speed ya ajabu
Nusraty akaenda kumsukumiza
Chanduka na risasi kutua moja kwa moja mwilini kwake sijui tumboni au ubavuni!
Nusraty huku aki pepesuka akadondoka chini kwa kishindo kizito damu zikimvuja kwa wingi “Nusraty!!! ni sauti ya baba yake kwani hakuamini kwa kile kilicho tokea bastora akamdondoka chini huku Chanduka akiwa tayali kashambeba Nusraty na kutoka nae nnje mama nae analia tu basi wakatoka nae mbio mbio mpaka kwenye gari safari ya kuwahishwa hospital ikaanza
tukija pande za hospital ya aghakan tunamuona Abdully akiwa anatoka ndani ya hospital hiyo akiwa mzima wa hafya huku mkononi kafungwa bandeji basi ndugu jamaa na marafiki wakamuuliza imekuwaje mpaka akajijeruhi vile akajibu ni mapenzi tu ila akastuka baada kuona gari moja wapo hivi ikisimama maeneo hayo kisha kumuona Nusraty akiwa kabebwa akatoka mbio kumuwai Mzee furqan huku akihema hata salamu hakukumbuka akauliza nini kimetokea mzee?" hakujibiwa kitu
basi wakaenda kukaa kwenye bench kumbe Abdully na Mzee furqan wana fahamiana vizuri baba yake Nusraty ikabidi amsimulie kisa na mkasa mpaka kufikia hatua ya
Nusraty kupigwa risasi basi Abdully akakunja ndita kwa hasira akamtizama
Chanduka akiwa ana mbembeleza mama yake Nusraty maana alikuwa analia tu “hiiiiiiiiii namtaka mwanangu Nusraty mwanangu!!!
“mama usilie hivyo usijali Nusraty atapona tu!
madoctor nao wakajitahidi kuokoa maisha ya Nusraty ukizingatia ni mtoto wa tajili mkubwa hapa nchini
ila kuna kijana akaja pale walipo kuwa wamekaa Chanduka na mama yake Nusraty na kumwambia Chanduka anaitwa mara moja na yule dada
Chanduka akamtizama huyo anaye mwita mbona sura yake ni ngeni machoni kwangu?"
ndivyo alivyo jiuliza Chanduka ila akainuka na kumfata yule Dada aliye kuwa akimpungia mkono Chanduka huku akitabasamu
basi baada kumfikia akapeana nae salamu aka jitambulisha “kwa kifupi naitwa Hanifa Ismail ni rafiki kipenzi na nusraty taarifa za yeye kufikishwa hapa nilizipata kwa mlinzi je tunaweza tukasogea kule ili unipe kisa na mkasa mpaka Nusraty akapigwa risasi maana mimi ni mwana sheria!!!
Chanduka huku akijifuta jasho akajibu “hamna shida basi wakaongozana ile wanafika tu gafla Chanduka
akajistukia anakabwa roba kwa nyuma
na mbavu moja ya maana akajitahidi kujitoa au kupiga kelele kuomba msaada akashindwa kitu kama sindano hivi ikapenya kwenye mishipa yake ya shingo
giza zito likatanda kwenye upeo wa macho yake hakujuwa kilicho endelea tena baada Chanduka kupoteza fahamu vijana kama watatu hivi walio shiba
bila shaka wanyanyuwa vitu vizito vizito wakam beba na kumuweka kwenye buti ya gari wakaondoka nae eneo hilo kwa speed
“hivi Salma mwanangu kumbe kulia koote kule kisa
Chanduka alikwambia hakutaki?"
“ndio mama Chanduka ndio kila kitu kwangu bila Chandu siwezi kufanya kitu chochote kile!!!
“sasa mwanangu mwenzako yupo na mwanamke wa kiarabu hivi unazani wewe atakuitaji tena?"
“unajuwa nini mama hata siku moja sikuwai kukaa nikafikilia ya kwamba katika dunia hii kuna watu wana maneno ya busara kwa kiasi hiki yule binti ni mmoja wapo maana kwa jinsi alivyokuwa akizungumza nikajikuta natokea kumpenda gafla mpaka nikatamani wanawake wote tungekuwa kama yule dada sizani kama watu tungejiuwa au kuuwana kisa mapenzi!,
Salma bwana yani maneno tu umelainika mwenyewe embu naomba nikuulize kitu katika familia yetu ushawai kumuona nani kakubali kuwa mke mwenza usitake kuutia aibu ukoo wetu yani kulia kote kule kisa Chanduka kwa kipi hasa alicho kuwa nacho mpaka ufikie hatua ya kumtukana boss wako baada kukubali Adam akuowe mtu mwenye pesa zake ana mijumba migari una mng'ang'ania huyo asie kuwa na mbele wala nyuma kapuku tu huyo!!!
“mama heshima kitu cha bure mtu anapo kuheshimu nawe muheshimu awe mdogo au mkubwa heshima ichukuwe nafasi yake nahisi kipindi cha ujana wako ulimkataa mwanaume asie kuwa na nyumba ukamkubali baba kisa tu kajenga kibanda hiki sasa kwa taarifa yako nishakunywa damu ya Chanduka na kwa taarifa yako tu huyo Adam asinisumbuwe akili yangu kama kazi naacha hata leo
na mkizidi kunifatilia na Chanduka wangu ipo siku nitamchinja mtu!!!
“basi mwanangu yaishe maana yamekuwa hayo tena?"
mama Salma akanyanyuka na kwenda zake ndani
“leo Chandu wangu akirudi tu cha kwanza kwenda bafuni kuoga pamoja nae baada hapo tule tushibe mtanange uanze naitaji kumuonyesha mautundu ya ajabu ili mke mwenzangu asije akanizidi maujanja,
Salma laiti angejuwa majanga yaliyo tokea huko asinge waza hivyo!!!
“mke wangu vipi madoctor wana semaje na yule kijana yuko wapi?"
kabla ya kumjibu kitu chochote mumewe akamkata jicho kali kisha akapayuka kwa kusema
“nani mkeo?" hivi unavyo fikilia naweza kuwa na mume muuwaji kama wewe yani kwa mkono wako mwenyewe unataka kumuuwa mwanao ulio mzaa!!!
“usiseme hivyo mke wangu wee mwenyewe uliona nilikuwa nataka kumpiga yule kijana,'
“nyamaza sitaki kusikia chochote kutoka kwako eti nilikuwa nataka kumpiga yule kijana kwa kipi hasa ulitaka kumuuwa kisa tu mzoa takataka au elimu yake ya darasa la saba kuanzia sasa nangojea majibu ya mwanangu tu asipo pona yani akifa huyu utaona nitakacho kufanyia!!!
Mzee furqan akashindwa kuzungumza chochote akabaki kimyaa tu
zikiwa zimepita siku mbili baada tukio lile kupita pasipo kufahamu kamanda wetu Chanduka kapelekwa wapi baada kutekwa
Nusraty akaweza kurudiwa na fahamu zake cha kwanza kuuliza “Chanduka yuko wapi?"
mama yake akamjibu “Chanduka tokea juzi tulivyo kuleta hapa hospital akuonekana tena!
“mama naomba simu yangu!
baada kupewa simu yake aka search number flani hivi akapiga akajibiwa simu haipatikani akajaribu tena majibu ni yaleyale Nusraty akataka kuinuka kwa kuzichomoa chomoa dripu kwenye kichwa chake akahisi moja kwa moja Chanduka yupo kwenye sehemu mbaya “tulia mwanangu unaenda wapi tena bado hujapona kidonda bado kibichi hiko yeye hakujali hilo akatoka tu madoctor wakajitahidi kuja kumzuia wapi wakaambulia kupigwa vifuti vipepsi vya maana walinzi nao wakaja kumkamata wapi akaruka kutoka gorofa ya tatu mpaka ya pili akadank na kutua ya kwanza kwa kitendo alicho kifanya hakuna aliye amini kwa mtoto wa kike kufanya vile kama commando
baada kutua chini akaingia kwenye gari yao sijui funguo alichukuwa muda gani ila anayo hapo akawasha gari na kusepa safari ikampeleka mpaka tandale baada kufika akapaki gari na kushuka akiwa katinga yale magauni ya wagonjwa
Salma alikuwa analia tu ila akastuka kwa ujio wa
Nusraty yeye ndio akawa wa kwanza kuuliza “Chanduka yuko wapi mbona hajarudi tokea siku ile ulipo ondoka nae
“Nusraty Dada yangu nini umenitendea kumbe yote uliyo niambia siku ile ilikuwa unanilisha asari kwa ncha ya kisu ukaondoka na Chanduka siku ya tatu sasa hajarudi na leo umekuja peke yako sijui kumchukulia vitu vyake!!!
wakati Salma anaongea huku akilia akashangaa kumuona
Nusraty damu zikimvuja na kudondoka chini maana alikuwa kaganda kama zuzu au zezeta
damu zikawa zikimtoka kwa wingi maeneo ya mbavu Salma akapiga kelele huku akiita “mamaaa!!!
basi nae akaja mbio “Mungu wangu wee Salma umemfanya nini mwenzio?"
“sijamfanya kitu chochote Mimi!!!
kabla hawaja juwa cha kufanya wazazi wa Nusraty hao washafika kwa kutumia GPS iliyo kuwa ndani ya gari aliyo ondoka nayo
Nusraty ikawa rahisi kwao kufahamu mtoto wao kaelekea wapi Nusraty akabebwa na kurudishwa hospital akiwa hajitambui “cha ajabu Salma na mama yake wakakamatwa na police na sasa wapo kituoni wakihojiwa
“unaweza kuniambia mmemfanya nini yule binti?"
lilikuwa swali kutoka kwa afande Mwita akimuhoji Salma, “kusema kweli afande sikumfanya kitu chochote kile yeye kafika pale akiwa kavaa mavazi ya hospital sasa nikawa namuuliza kuhusu mpenzi wangu aliye ondoka nae tokea juzi gafla akadondoka damu zikiwa zinamvuja!!!
kila mmoja aka hojiwa kwa nafasi yake kama ujuavyo ukiingia kituo cha police huwezi kutoka hivi hivi kama hauna pesa japo umeonekana hauna hatia yeyote ile siku hiyo mama na mwana wakaswekwa sero mpaka kesho hake alipo kuja Adam boss wake Salma ndio wakatolewa baada kutoa pesa
“Salma mwanangu unaona jinsi Chanduka anavyo tuletea majanga ehee?"
hakumjibu kitu mama yake zaidi ya kumwambia Adam naomba unipeleke aghakan si aliyaona mavazi aliyo vaa
Nusraty yameandikwa jina la hospital kwa kuwa Adam ana muheshimu sana
Salma ikabidi ampeleke wakaenda wote
baada kufika huko wakaweza kuongea na mama yake
Nusraty mbele ya mumewe kitendo cha kusemekana Chanduka ndani ya siku tatu hajaonekana kwao kila mmoja kilimchanganya sana “mume wangu ina maana umeona haitoshi mpaka umefikia kumteka mtoto wawatu sio
hivi una roho ya kinyama namna gani kwani?"
“hapana mke wangu mimi sijatenda kitu kama hiko nishajutia kwa kwa kosa lililo tokea gafla mlango wa wodini ukafunguliwa nesi akatoka na kusema mgonjwa karudiwa na fahamu zake anamwita Chanduka sasa kama yupo aende kumsikiliza!
wakajikuta wote wanaenda wodini baada kufika mama mtu akawai kitandani kwa mwanae huku akimuuliza “vipi mwanangu unajisikiaje?"
“mama niitie Chanduka!!!
kila mmoja akabaki kutoa macho tu Salma ndio akachoka kabisa akamkazia macho Mzee furqan akaenda kumkunja na kumwambia “wee mzee utataja alipo Chanduka hakujali ni tajili kwa kiasi gani ana heshimika vipi Nusraty nae akapaza
sauti
“baba binafsi unafahamu ni jinsi gani nilivyo nitakapo pona nitauwa kila mtu aliye husika kumuuwa Chanduka wangu
katikati ya bahari ya hindi tunaiyona meri moja wapo kubwa hivi ikiwa mwendo kasi sijui kuelekea wapi hapa tunamuona Abdully akiwa na yule mwana Dada aliye mwita Chanduka kule hospital wakiwa wanakula bata tu kwa furaha “oyaa Rugome embu mtoe nnje yule mbuzi! “sawa mkuu Rugome akaingia kwenye kichumba kimoja hivi na kutoka na kijana aliye choka vibaya mno huku akiwa na majeraha kila maeneo usoni kafungwa kitambaa cheusi baada kufunguliwa hakuwa mwingine ni Chanduka dahaa
akiwa kafungwa kamba kwa nyuma Abdully akanyanyuka tena kwa dharau kabisa akamsogerea Chanduka na kumwambia
“wewee unajifanya kidume cha shoka kabisa mpaka unafikia hatua ya kujiamini kutembea na mke wangu mimi sasa basi hiki kinacho fatia mbele yako ndio zawadi yako kitendo bila kuchelewa Chanduka akampiga kichwa cha nguvu Abdully akayumba na kwenda chini huku
Chanduka akichumpa na kuzama kwenye maji ya bahari kama ujuavyo maji ya chumvi na vidonda ni maumivu kiasi gani aliyo yapata
Chanduka akashindwa kupiga mbizi zaidi ya kujivuta vuta tu kidume kikaibuka juu kucheki mashariki magharibi kusini kaskazini hakuna kitu hajui wapi aende akajitahidi kufungua kamba wapi ilikuwa imekazwa vibaya mno akiwa bado ana shangaa shangaa gafla akahisi kama kuna kitu kina mnyemelea eneo lile akatupa macho yake kwa mbaali akaona upanga wa papa ukiwa unamfata yeye kwa kasi
Chanduka akajitahidi akimbie kwa kupiga mbizi lakini kafungwa hakuwa na jinsi zaidi ya kusali sala zake za mwisho kawaida ya papa akifika haulizi kama hajakupitia kwa kasi na kukutawanya kiuno na kiwiliwili viwe kivyake basi atakutafuna tu
kuja kutahamaki papa huyo hapo mbele yake
Chanduka akafumba macho
wakati Chanduka akiwa katika hatua za mwisho wa uhai wake huku hospital police nao washafika kuzuia mtiti wa Salma hakutaka kumuachia Mzee furqan mpaka amtajie Chanduka yupo wapi kwa heshima aliyo kuwa nayo Mzee furqan Salma akajikuta anapigwa pingu ila Nusraty akazuia kwa kunyanyuka kitandani na kusema “wee nesi funga mlango huo humu hatoki mtu hata mmoja nitauwa kila mtu kuna police mmoja akazarau yale maneno alipo jaribu kusogea akajikuta mkasi ukitua moja kwa moja kwenye shingo yake akaenda chini damu zikimvuja kama kuku kishingo
Nusraty akawa keshabadirika
watu hofu ikawapanda mikojo ikiwatoka afande mmoja aka tahamaki na kuuliza binti unaitaji tufanye nini?"
“huyo binti muachieni kamata huyo!!!
kila mmoja hakuamini akamatwe baba yake
kwa kuokoa maisha ya wengine basi Mzee furqan kwa aibu akanyoosha mikono afungwe pingu yule afande akawahishwa kupewa huduma kumbe mkasi ulikita juu ya bega mi nilijuwa shingoni dahaa
Je nini kitaendelea?
 
CHANDUKA (10)
Age 18
by hafidhi j ikram
Cm 0675082390
-----------------
wakati Chanduka akiwa katika hatua za mwisho wa uhai wake huku hospital police nao washafika kuzuia mtiti wa Salma hakutaka kumuachia Mzee furqan mpaka amtajie Chanduka yupo wapi kwa heshima aliyo kuwa nayo Mzee furqan Salma akajikuta anapigwa pingu ila Nusraty akazuia kwa kunyanyuka kitandani na kusema “wee nesi funga mlango huo humu hatoki mtu hata mmoja nitauwa kila mtu kuna police mmoja akazarau yale maneno alipo jaribu kusogea akajikuta mkasi ukitua moja kwa moja kwenye shingo yake akaenda chini damu zikimvuja kama kuku kishingo
Nusraty akawa keshabadirika
watu hofu ikawapanda mikojo ikiwatoka afande mmoja aka tahamaki na kuuliza binti unaitaji tufanye nini?"
“huyo binti muachieni kamata huyo!!!
kila mmoja hakuamini akamatwe baba yake
kwa kuokoa maisha ya wengine basi Mzee furqan kwa aibu akanyoosha mikono afungwe pingu yule afande akawahishwa kupewa huduma kumbe mkasi ulikita juu ya bega mi nilijuwa shingoni dahaa
SONGA NAYO PALE TULIPO ISHIA JANA ENDELEA SASA
“Hivi mzee yule binti ni nani yako?"
ni swali alilo ulizwa Mzee furqan baada kufikishwa kituo cha police.
kabla ya kujibu akatabasamu na kusema “hivi una fahamu mpaka sasa umenifunga pingu?"
yule afande anae kwenda kwa jina la Beka akastuka na kutoa funguo haraka haraka na kumfungua pingu Mzee furqani na kusema “nisamehe mkuu nilijisahau tu, basi Mzee furqan akauliza swali “oky tuyaache hayo ni binti gani unaye muulizia wewe yule aliye nikunja au aliye sema hatoki mtu hata mmoja mule atauwa kila mtu?"
“ehee huyo aliye sema atauwa kila mtu!
“binafsi yule ni mwanangu yani mboni yangu chochote kibaya kikimpata yule ni sawa kimenipata mimi...
“sasa kama mwanao mbona kasema ukamatwe wewe?"
“kuna makosa kidogo yalitokea ndio hivyo ana nichukia ila naimani kila kitu kitakuwa sawa!
“makosa gani mkuu?"
“bwana eee nishakwambia makosa na ni mambo ya kifamilia tu kwahiyo nishachoka na maswali yako naitaji kuondoka eboo!!!
Mzee furqan akanyanyuka na kutoka zake basi akasindikizwa mpaka nnje kuna gari ilikuja kumfata akapanda na kuondoka zake eneo hilo siku zote tajili ni tajili tu kituoni anaitwa mkuu
Nusraty na Salma walikuwa wapo hospital wakipanga hili na lile kwa jinsi walivyo kuwa utasema wajane walio fiwa na mume wao maana kila mmoja alikuwa analia tu huku waki farijiana “Salma Dada yangu usijali ukweli utajulikana tu Chanduka yupo hai au amekufa tutajuwa tu na kama amekufa nahisi nami utakuwa ndio mwisho wa maisha yangu!
“Nusraty usiseme hivyo utakuwa unamkufuru Mwenyezi mungu binafsi mi nahisi Chanduka yupo hai ila kwenye mateso makubwa sana,
ndani ya bahari papa akiwa tayali kashajiandaa kumtafuna Chanduka kumbe kuna kiumbe kingine kinakuja kwa kasi ya ajabu baada kufika eneo lile akamvamia yule papa huku Chanduka akipigwa kikumbo kizito na kurushwa mbaali na eneo lile hiki kiumbe yupo kama nyoka aina ya anaconda kichwa chake kina mapembe makuubwa basi ndani ya maji ikawa vurugu mechi kati ya papa na kile kiumbe mawimbi nayo yakazidi kumpeleka mbaali kamanda wetu akiwa hana fahamu kabisa
kile kiumbe baada kumuangamiza yule papa akageuza kwa kasi kumfata Chanduka
baada kumfikia akafungua mdomo wake na kummeza kisha huyoo akaondoka nae siwezi kujuwa wala kufahamu hiki kiumbe cha aina gani maana kikatoka nchi kavu kisha akamtema Chanduka kwenye kisiwa kimoja wapo hivi akarudi baharini na kuondoka eneo hilo hazikupita hata dakika tano Chanduka akazungukwa na kikundi cha shirishawa wote wakiwa ni wakike wakambeba na kuondoka nae
siku zikazidi kusogea wiki miezi hatimae miaka mitatu sasa pasipo kufahamu Chanduka yupo wapi
mauwaji ya kinyama yakazidi kutendeka pasipo kujulikana sababu hasa ni nini jeshi la police wakazidi kuchanganyikiwa maana kila wanapo fika eneo la tukio wanakuta tayali mtu kesha uwawa kibaya zaidi muuwaji anaacha ujumbe ulio andikwa CHANDU
wenye maandishi makubwa
Abdully akazidi kuumia kwa yale yanayo tokea maana walio kuwa wakifa miongoni mwao ni ndugu zake rafiki zake hakujuwa ni nani anaye tenda hivi
ndani ya nyumba ya Mzee furqani kulikuwa na vilio siku hiyo kulikuwa na msiba baada mdogo wake Mzee furqan kukutwa amechinjwa ndani ya guest moja hivi huko manzese tena muuwaji akiwa kaondoka na sehemu za siri za marehemu miongoni mwa waliaji alikuwepo Nusraty akilia vibaya mno
huku tunamuona Salma akiwa nyumbani kwao anakaanga chapati yeye binafsi baada kuacha kazi kaamuwa kufungua hoteli yani mama ntilie akishilikiana na mama yake basi maisha yanasonga tu..
“Salma mwanangu kuna msiba!!!
“msiba wa nani tena mama?"
“kwa kina Nusraty...
“Mungu wangu nani tena kafariki?"
“mie hata sijui tufanye fanye hapa twende!!!
ndani ya kisiwa kimoja hapo hivi cha bama nchini Brazil tunamuona kijana mmoja hivi mkakamavu akiwa anafanya mazoezi ya kufa mtu kwa kuruka mashowart ya ajabu yani anadaki mti mmoja kwenda mwingine huku akiwa tumbo wazi jasho likimtoka sauti ikasikika kutoka kwa mtoto wa kike akiita Chandu!!!chandu!!!
gafla yule kijana akaruka na kutua mbele ya yule msichana aliyekuwa akiita “whao!!! naona sasa uko vizuri sana, hakuwa mwingine ni kamanda wetu Chanduka yani amebadirika kwa kiasi kikubwa sana basi akakumbatiana na yule binti wakaongozana na kurudi kijijini
naweza kusema sijawai kuona kijiji cha ajabu kama hiki yani kijiji kizima wanao ishi hapo ni wanawake watupu hakuna mwanaume hata mmoja zaidi ya Chanduka tu,
“vizuri sana Chandu kwa hatua uliyo fikia unacho takiwa ni kushukuru Mungu kwa kuweza kuokoka kwenye kifo kilicho kuwepo mbele yako ila kupitia kioo changu niliweza kukuona na kumtuma Shoray aje kukusaidia binafsi kijiji hiki choote hakuwai kuishi kiumbe cha jamii yako wewe maana wengi tuliwaangamiza tu kwa kuwatupa baharini wakaliwa na papa au Shoray sasa basi tunakuomba uishi kwa amani usivunje sheria za kisiwa hiki, yalikuwa maneno kutoka kwa Malkia wa kisiwa hiko basi Chandu akaitikia kwa kutoa heshima
“Hisra!!!
“naamu Chandu, “hivi unaweza kuniambia mimi ni nani na nimefikaje hapa?"
“binafsi siwezi juwa ulipo tokea ni wapi ila kama alivyo kuelezea malkia ndivyo ilivyo kuwa!
“sasa Hisra imekuwaje kwani?"
“sijui chochote mimi kumbe kutokana na misukosuko yote ile Chanduka kapoteza kumbukumbu za maisha yake ya nyuma hajikumbuki yeye ni nani katokea wapi! dahaa mbona majanga
Hisra ni msichana mmoja wapo kati ya wasichana wanne walio chaguliwa kuwa pamoja na Chandu popote aendapo mpaka kufikia kulala chumba kimoja muda mwingine Chandu anakuwa katika wakati mgumu sana pindi wale wasichana wanapo vua mavazi yao ya ngozi za wanyama na kubaki uchi pasipo kumu hofia Chandu ni usiku mmoja hivi Hisra akiwa anajiandaa kulala basi Chandu akanyanyuka kitandani kwake na kumnyatia Hisra baada kumfikia akaanza kumshika shika kwenye maungo yake binti wawatu akaanza kujinyonga nyonga kwa hisia huku akitoa miguno ahaaaaaaa,,,assssssss,,,,ohooo
oooo,,,,Chandu hakuishia hapo akamlaza chali binti hakuleta upinzani wowote akabaki kusikilizia raha tu basi akampanua mapaja yake na kuanza kucheza na msitu maana huku viwembe hakuna basi Chandu akachomoa kisu kidogo hivi na kuanza kufyeka zile nyasi nyeusi ili aweze kukipata kairage vizuri baada hapo akamsafisha vizuri na kuanza kukiramba kitumbua jamani ohoooooooo,,,,weeeeeeeeechandu
uuuu,,,,,,,ahaaaaaaaammmmmmm,,
,,mtoto wawatu sijui ilikuwa ndio mara yake ya kwanza kufanyiwa hivyo basi alikuwa hatulii ana tatalika kila pande baada kuona sasa njia imekuwa fresh kwa nyoka kuingia pangoni Chandu aka litoa dudu lake kubwa na jeusi yule binti akastuka kwa kupiga yowe “nyokaaa!!! jamani nyokaaa!!!
huku akitaka kukimbia nnje ikabidi Chandu amdake na kumziba mdomo “wee Shivu huyu sio nyoka bwana" “kumbe nini?"
“hii inaitwa ice cream, “muongo wewe ice cream kumbe ipo kama nyoka!
“ndio zina fanana tu ila majina tofauti wee njoo uinyonye utaona utamu wake!!!
basi Shivu akalainika kwa maneno ya Chandu kwa tahadhali kubwa akalishika dudu na kuanza kulinyonya huku akisitasita
“hivi Salma unaweza kuniambia ya kwamba Chanduka bado yupo hai na ndie anaye tenda mauwaji yote haya?"
“Nusraty mi binafsi siwezi juwa wala kufahamu ila nasikia tu muuwaji kila anapo uwa anaacha ujumbe wa kikaratasi kilicho andikwa Chandu na hilo jina kirefu chake ni Chanduka,
“basi nakuomba tufanye jambo moja!!!
“jambo gani tena?
“ifikapo kesho hasubuhi kuna sehemu naitaji twende mimi na wewe,
“wapi huko tena?"
“kijijini kwa kina Chanduka huko kimanzi chana tukifika tu kuna upelelezi naitaji kuufanya mi nahisi Chanduka yupo sehemu amejificha tu na ndie anaetenda mauwaji haya cha kujiuliza baba yangu mdogo kamtendea kosa gani mpaka kamuuwa
Nusraty machozi yakaanza kumdondoka upya japo ishapita wiki sasa tokea wamzike baba yake mdogo
“usilie dada yangu kumbuka yote ni mipango ya Mungu tu mbele yake nyuma yetu!!!
“hapana Salma hakuna vifo vya namna hiyo yani kila kifo tuseme kapanga Mungu siwezi kukubali kudadeki zake Chanduka nikimpata nitamuuwa kwa mkono wangu!!! hapa sasa una zihirika ukweli ya kwamba damu nzito kuliko maji yani kumtetea kote kule leo hii Nusraty ana tamka maneno ya kumuuwa Chanduka
ile kauli ikamfanya Salma astuke na kuuliza mara mbili mbili
“Nusraty unasemaje?" kwa hasira akajibu “ulivyo sikia ndivyo itakavyo kuwa subili na uwone, “sikia nikwambie wee muarabu koko sitokubali kumuona Chanduka wangu akifa hivi ukumbuki ya kwamba wewe ndio ulio sababisha yote haya ungemuacha awe mzoa takataka na umasikini wake yote haya yasinge tokea afu una tamka tu
nitamuuwa chunga sana mdomo wako sijali ulienda Thailand au mtoto wa tajili mbele ya Chanduka wangu tutapambana nasema baada
Salma kusema vile akaondoka zake huku Nusraty
akibaki kuita “Salma!!!salmaaa!
hakuweza kuitikiwa akabaki kujilaumu tu ni kweli yeye ndio msababishaji mkubwa asinge mpenda Chanduka na kumuacha kwenye kazi yake leo hii kila mmoja angekuwa katika mipango yake
tukija nchini Brazil katika kisiwa kile Shivu alikuwa kakaa na wasichana wenzake akiwasimulia kitu
“mmh subilini niwaambie kitu shoga zangu! “ehee embu tupe umbea huo"
“umbea wapi ni story tu mnampata Chandu?"
“ndio tunampata si yule mgeni?
“yes! ndio huyo basi sehemu ya mbele ya nguo yake kwa chini ana zinga la dudu jeusiii afu kubwaa hilo kama nyoka sema lenyewe sio nyoka inaitwa ice cream ni tamu hiyoo wee mpaka kisogoni, “Shivu kwahiyo iyo ice cream unapewa unakula au?"
“hapana auli hiyo inaingia huku, huku akionyesha ishara sehemu ya kitumbua chake,
“kwahiyo na sisi tukitaka hiyo ice cream atatupa?"
“ndio atawapa ila siku ya kwanza akiwapa inaumaa utamu ukija kuizoea utaomba usiiyache sasa akiwapa mkiona maumivu mvumilie tu kama mie
wakati huohuo Chanduka alikuwa katika mapambano makali sana yeye na majangili waliokuwa wakivamia kijiji hiko kwa nia ya kutaka wanawake na kwenda kuwabaka ikawa sauti ya mapanga kwa vishoka vikilia tu watu wakichinjwa kama kuku baada kuona wanazidi kuangamia baazi yao wakakimbia huku mmoja wao akikamatwa kwa kuwekewa jambia shingoni akaongozwa moja kwa moja mpaka kijijini akapewa hukumu ya kuchinjwa mbele ya hadhara
usiku ulipo fika kawaida ya kisiwa kile ifikapo mida kama hiyo basi malkia utoa hadithi za kale ila siku hiyo akasimulia historia ya kijiji hiko
“binafsi naomba mtambuwe ya kwamba katika kijiji hiki enzi hizo watu waliishi kwa furaha na amani sana ilikuwa wake kwa waume wakiowana ila furaha ya kijiji ikaingia doa baada vijana watatu kumkamata msichana mmoja na kum baka hawakuishia hapo tu wakayakata maziwa yake na matako yake waka yabanika na kuyala nyama taarifa ilipo fika kwa mfalme akawatetea ila malkia hakukubali na kusema vijana hao wauwawe vinginevyo watangaze vita basi kilicho tokea ni mapigano yani bila kujali huyu mkeo au mwanao au baba yako kilicho hamasishwa hapo ni kutetea jinsia yako mwisho wanaume wakashindwa vita na kukikimbia kijiji na kwenda kuanzisha cha kwao ila wanapokuwa na matamanio ya kimwili ndio wanakuja kuvizia wasichana wakiwa wanaenda kukata kuni au kuteka maji na kuwabaka pindi msichana akipata ugonjwa wa tumbo mpaka anazaa akizaliwa mtoto wa kike tunamlea mpaka anakuwa ila akiwa wa kiume tunaenda kumtupa na anaokotwa na jamii yake
Chanduka akasimama na kunyanyua jambia lake juu huku akisema “binafsi nipo tayali kuwatetea kwa kupambana mpaka tone la mwisho la damu yangu kuhakikisha hakuna uvamizi wowote utakao fanyika!!!
basi watu wakapiga makofi kwa furaha kisha malkia akasema
“vizuri sana Chandu binafsi kijiji kinajivunia kwa kuweza kumpata shujaa kama wewe maana ushafuzu mafunzo yote uliyo pewa na mlinzi wetu mkuu Shoray anae ishi baharini tu Hisra!!! “abee malkia,
kumbuka kutokukaa mbali na Chandu!
“sawa malkia siwezi kukaa nae mbali nitamlinda popote aendapo!!!
kigoma kikapigwa watu wakacheza na kunywa hakuna vyakula maarumu zaidi ya matunda yaliyo changanyika ndizi machungwa maembe na nyama za kuchoma kama vile sungura au nyati
“pumbavu zenu!!!
wajinga kabisa nyie yani kwa akili zenu kabisa mmeshindwa kurudi na mtoto wa kike hata mmoja huo ni ujinga na upumbavu!!!
“sio hivyo mkuu!
“sio hivyo kumbe nini?"
“kule kuna kiumbe yupo kama sisi yani jamii yetu ndio aliye watetea!
“unasemaa?" “ni kweli mkuu kuna mwanaume kulee tena anapiga vibaya mno!,
Mfalme akabaki kuduwaa tu na kujiuliza huyo mwanaume katokea wapi mpaka kakubalika kwenye jamii ile wakati kila mwanaume akifika kwenye mikono ile lazima auwawe,
huku ndani ya kijumba cha nyasi kulikuwa na mtanange kati ya Chandu na Hisra ukipenda muite Shivu yote majina yake mtoto alikuwa kakalia ice cream anaikatikia ohoooooo,,,,ass
sssss,,,,mmmmmmmhaaaa,,,,,,u-u-u-u-u-
ahaaaaaaaaa,,,,mtoto akawa anakatika tu huku akijizuia ice cream isingie yote na kuzama basi
Chanduka akam bidua na kumfanya mtoto wawatu akiwa kakaa mkao wa bong'oa huku makalio yamekuja kwa juu akaichomeka ice cream kwenye friji lenye joto huku kidole kikichokonoa froze ooooooohooo,,,,yani mpaka kitu kikawa kinalia fyokoofyoko
Shiva mpaka udenda ukawa unamtoka chezea dudu wewe,
Je nini kitaendelea?"
Chanduka atajikumbuka je atarudi tena Tanzania na je anaye sababisha mauwaji ni nani kauli ya Nusraty itakuwa kweli majibu yote utayapata hapa hapa
 
CHANDUKA (11)
Age 18
by hafidhi j ikram
Cm 0675082390
----------------
huku ndani ya kijumba cha nyasi kulikuwa na mtanange kati ya Chandu na Hisra ukipenda muite Shivu yote majina yake mtoto alikuwa kakalia ice cream anaikatikia ohoooooo,,,,ass
sssss,,,,mmmmmmmhaaaa,,,,,,u-u-u-u-u-
ahaaaaaaaaa,,,,mtoto akawa anakatika tu huku akijizuia ice cream isingie yote na kuzama basi
Chanduka akam bidua na kumfanya mtoto wawatu akiwa kakaa mkao wa bong'oa huku makalio yamekuja kwa juu akaichomeka ice cream kwenye friji lenye joto huku kidole kikichokonoa froze ooooooohooo,,,,yani mpaka kitu kikawa kinalia fyokoofyoko
Shiva mpaka udenda ukawa unamtoka chezea dudu wewe,
SONGA NAYO SASA TULIPO ISHIA ENDELEA
Ohooooooo,,,,asssssssss,,,ilikuwa kilio cha utamu kutoka kwa Hisra baada kusuguliwa kisawa sawa na Chanduka ahaaaaaa,,,bassssssss,,,,uwiiiiiiiii,,,,to,,,
aaaaaaaaaaaa,,,,bwanaaa,,,
Hisra akawa anakipeleka kiuno chake mbele ili Chandu aweze kuchomoa dudu basi Chandu akazidi kumsokomeza tu mpaka mtoto wawatu anatia huruma dahaa utazani jamaa siku hiyo alikunywa supu ya pweza pipa zima au kameza Viagra kumbe hakaa kaamuwa tu
akiwa katika hatua ya kupiga bao lake akastukia wale mabinti wengine wanaingia nao wakiwa wanataka ice cream basi usiku huo ikawa kichapo mpaka kuchee
tukija nchini Tanzania Nusraty aliweza kufika mpaka nyumbani kwa kina Chanduka huko kijijini kimanzi chana na kuitaji kufahamu
je Chanduka yupo pande hizo amejificha majibu aliyo pewa hakuna anaye fahamu Chanduka alipo jeshi la police nao wakazidi kuweka mitego yao pasipo kuambulia chochote kile,
Nusraty akaona ni vyema kwenda kumuomba samahani Salma ili waweze kuungana kumtafuta Chandu
“hivi mama kwani baba yangu ni nani?" alikuwa ni mtoto mdogo sana ila anaongea kama mtu mzima vile hakuwa mwingine ni mtoto wa Salma mwenye umri wa miaka mitatu kamili sijui kazaa na nani tutajuwa huko mbele “wee Saidi nishakwambia baba yako amesafiri akirudi utamuona kwani wasiwasi wako nini hasa?"
“ahaa mama yani kila siku atarudi tu wakati wenzangu kila siku wana nilingishia baba zao mi naona wivu bwana!!! baada kusema
vile Saidi akaingia ndani akiwa na kibegi chake cha shule anasoma nursery
“mmh! huyu mtoto ana maswali utafikili marehemu baba yake vile!
Salma akiwa anaongea hivyo akastuka baada kusikia mlio wa honi basi akaangalia na kumuona Nusraty ndio anaye telemka ndani ya gari lile “naona huyu mwehu kaamua kuja mpaka huku sasa akijipendekeza nitamtoa utumbo bure huku akichukuwa kisu na kukificha vizuri
Nusraty akaingia kwenye hoteli ile akiwa ana tabasamu na kusalimia Assalam alaykum?"
japo kwa sauti ya kulazimisha Salma akaitikia “Waaleykum ssalam,
Nusraty akaenda kuketi kwenye kiti na kusema “najuwa jinsi gani nilivyo kuuzi kwa maneno yangu siku ile nimekuja hapa kukuomba samahani tuyamalize tu,
“usijali sister mi sina kinyongo nawe kabisa nilijuwa tu siku ile ulikuwa upo na hasira kutokana na kifo cha baba yako mdogo!
“ni kweli sister maana nili changanyikiwa tu, basi wakaweza kupatana na kuwa kitu kimoja
“sema nini shost kuna kitu naitaji nikuombe sa sijui kama utanikubalia au?"
“kitu gani hiko sister?"
“naitaji unifunze mapigano nami niwe m babe hapa tandale,
Nusraty akacheeka “ha!ha!ha!ha! yani nikufunze kung fu si utapiga kila mtu wewe!!!
“ahaa nifundishe bwana maana hapa hotelini kuna wateja wengine watata sana kama juzi kuna mkaka mmoja kala chakula bila kulipa nikamkunja anipe pesa yangu akaninasa zinga la kofi isingekuwa mama sijui ingekuwaje!!!
“poa nimekupata shost wangu kama kweli una nia ya kufahamu nitakufunza kila kitu sijui unaitaji tuanze siku gani?"
“hata sasa hivi!
“yani una kimuhe muhe cha kutaka kufahamu ehee?"
“ndio yani nikijuwa tu leo hii namzukia yule jamaa nimpe vidochi,
“ha!ha!ha! Salma bwana acha kunichekesha yani ujifunze leo leo ujuwe duhuu hiyo kali
ila tambua ya kwamba kongfu haipo kwa ajili ya kulipa kisasi au kupiga watu hovyo
siku zote kongfu ipo kwa ajili ya kulinda watu na mali zao na kujihami wewe mwenyewe kwa kuweka mwili wako sawa sasa wewe unataka kujifunza kwa kisasi tu!!!
Salma akabaki kimya tu na kumsikiliza Nusraty kiumakini sana, “kingine utakapo jifunza utakiwi kujionesha hata kidogo vitu kama dharau hivi havitakiwi kama uko tayali njoo nyumbani kesho asubuhi uanze mazoezi,
mazungumzo yao yakakatishwa baada kuingia wateja flani hivi wakiwa kama wanne watatu wakiume mmoja wa kike
“oyaa mama ntilie chakula kipo?"
“ndio kipo karibuni sana!
basi kila mmoja akahudumiwa kile alicho kiagiza na kuanza kula
“akhaa mambo gani tena haya mbona chakula chenyewe cha baridi hivi?"
ni sauti ya mteja mmoja wale wenzake wakasema “wee kula tu kwani unalipia si unakula bure tu!
“hata kama bure kilitakiwa kuwa cha moto bwana,
yale maneno Nusraty akachukulia kama mzaha tu Kumbe kweli jamaa wamekuja kula bure maana baada kumaliza kila mmoja akanawa na kutaka kutoka zao
Salma alipo jaribu kudai pesa akapewa majibu ya kashifa kubwa “wewee aliye kwambia kundi la Gangwe mob tandale hii wanalipia chakula nani sisi ndio manunda tunailinda tandale nzima hii kama unabisha nenda manzese darajani kaulize utapewa majibu
mtoto wa malaya!!!
tena una bahati sana yani umetulisha chakula cha baridi
tume kusamehe tu vinginevyo tungekata masio yako wakatoka nnje kumbe Nusraty alikuwa keshatoka nnje kitambo tu anawangojea “hivi nyie ndio kina nani zaidi katika nchi hii
mpaka ifikie kula vyakula bure kwenye vibanda vya mama ntilie?"
“hahaha msikilizeni huyu mrembo anavyo tuuliza,
“unataka kujuwa sisi ni kina nani sio kwa kifupi tu nakupeenda, yule jamaa baada kutamka hivyo akataka kumpiga busu kilazima basi alicho kifanya Nusraty ni kumtwanga kifuti yule jamaa akaenda chini huku damu zikimtoka mdomoni mwengine nae akachomoa kisu na kusema “kudadeki zako unajifanya ong bak sio nakata shingo yako!!!
akajaribu kumchoma kisu cha bega mkono ukadakwa kwa kitendo cha haraka sauti ya kama mfupa hivi ikasikika ukivunjika jamaa akaenda chini huku akipiga kelele ya maumivu “mamaa mkono wangu!!!
“Chidy nenda basi! “nenda wewe ni wawili walio bakia kila mmoja akawa ana msakizia mwenzie aende “nenda bwana yule ni mwanamke mwenzio utampiga tu!
“wee wakati Dazi tu kavunjwa mkono mimi si nitavunjwa kiuno kabisa kwa speed ya umeme mateke mawili double yakatua kwa kila mmoja usoni mwao
Nusraty alikuwa yuko chapu mno,
wakati yote yana endelea Salma akabaki kutoa macho tu
hapo ndio akapata nafasi ya kumsoma
Nusraty kuwa sio wa kuchezea hata kidogo basi watu wakajazana kila mmoja akimshangaa Nusraty yani mtu mmoja kuwapiga watu wanne tena mtu mwenyewe wa kike tu,
Nusraty hakutaka kuuza sura saana akaingia kwenye gari yake na kuondoka eneo hilo
Nchini Brazil
tunamuona Chanduka akiwa kashika mkuki huku akinyata kwenye vichaka bila shaka alikuwa akiwinda kitoweo basi kwa mwendo wa kuvizia vizia kwenye nyasi zilizo kauka akatizama kwa mbele na kuweza kuona kundi kuubwa la wanyama aina ya Nyumbu basi akauwandaa mkuki wake kwa nguvu mno akauwachia Nyumbu waka tawanyika kukimbia huku na kule lakini mkuki ukaenda kukita kwa Nyumbu mmoja sehemu za mbavu akaenda chini puhuu!!!
Chandu akaruka ruka juu kwa kushangilia maana kupata kitoweo si mchezo akamchinja na kum beba akaweza kurudi kijijini
yani siku hiyo ulikuwa ni mwendo wa nyama choma tu usiku ulipo fika kama kawa mmmmmmh,,,,,osssssssss!!!,,,as
sssm...Chanduka alikuwa kashikilia kiuno cha binti mmoja wapo na kuzidi kumpampu aaaaaaahaaahaaa
a,,,ch,,,,,ooooomoaaa,,,,,uwiiiiiiiiii,,,inau
maaaaaa,,,,,basi Chanduka kama vile kaweka pamba kwenye masikio yake kwa speed aliyo kuwa akimpelekesha yule binti huku damu zikimtoka kwenye kitumbua chake mwisho binti akawa kimyaa maumivu aliyo yapata katika mtanange ule si mchezo ohoooo,,,,ahaaa
agh,,,,Chanduka akapiga bao lake na kuchomoa mtarimbo wake binti akadondoka kama zigo basi
Chanduka akachukuwa maji ya moto haraka haraka na kuanza kumkanda yule binti taarifa zikazidi kusambaa katika kisiwa kile ya kwamba yule mgeni ana kitu kinaitwa ice cream ni tamu sana kila msichana wamama kwa wazee wakawa wanaitaka hiyo ice cream kila mmoja kwa wakati wake yani ikawa full raha kwa kamanda wetu Chanduka
kwa kuzi chomoa bikira za wanawake wote taarifa zikafika kwa malkia nae akataka hiyo kitu basi nae akapewa kitu Chandu akaona asipo angalia anaweza akafa kwa kukosa nguvu yani kwa siku kuwa hudumia wanawake zaidi ya ishillini si mchezo
ilipo timia miezi kama mitatu hivi kijiji kikavamiwa na ugonjwa usio julikana umetokea wapi chanzo chake ni nini malkia akaitisha kikao kumbe siku zote yule aliye pambana siku ile na papa na kumuokoa Chanduka ndio Malkia mwenyewe basi akatoka baharini na kuja kuzungumza na wananchi wake basi kila mmoja akaingiwa na hofu kwa sauti ya kuunguruma utazani radi akasema “ahahaha binafsi mmeweza kukikosea sana kisiwa hiki yani wote mmebeba mimba ya mwanaume mmoja tu kisha mnasema ugonjwa wa matumbo nyambafu zenu sasa naitaji kijana akamatwe haraka sana auwawe na nakihitaji kichwa chake hapa
wana kijiji waka tawa nyika na vitumbo vyao kwenda kumsaka Chandu wakati mwenzao ame shakimbia kabla ya kikao kuitishwa wakamsaka kila kona kila maeneo hawa kuweza kukiona hata kivuli chake,
katikati ya msitu tunamuona mtu mmoja hivi akitimua mbio balaa huku akihema akajikuta anajikwaa na kuporomoka kwenye makorongo hatimae akadondokea kwenye mto mkubwa wenye mamba wa hatari sana Chanduka baba umeruka majivu na kukanyaga moto
basi akiwa na michubuko baazi ya sehemu za mwili wake akajikuta anajivuta ili aweze kutoka ndani ya mto ule huku baazi ya mamba wakiwa washastukia nyama na kuanza kumfatilia kidume akajitahidi kujitoa hatimae yupo nnje akiwa anapiga hatua kazaa tu akastukia kitu kina mgonga
mguuni kucheki ni nyoka
dahaa akaanza kuona kizungu zungu kihindi hindi ila aka jitahidi kupiga hatua mwishoe akaenda chini giza zito likatanda kwenye upeo wa macho yake
“twende round ya mwisho hii!
“ahaa mi nimechoka bwana,
yalikuwa mazoezi ya kukimbia kati ya Nusraty na Salma kama alivyo ambiwa Asubuhi aje ndio kaja hivyo sasa kukimbia round tatu tu yuko hoi urimi nnje nnje,
“sasa master mazoezi gani haya wakati mi nataka kujuwa kupigana wewe unanifundisha kukimbia si kutaka kuuwana huku!
“kabla ya yote unaitajika kujenga stamina ya mwili wako kwa kufanya mazoezi ya viungo kwanza nyanyuka twende bwana!!!
“lakini hii iwe ya mwisho ikiongezeka mi sikimbii tena “mmh! kwa mwendo huu mwanafunzi ana mashart balaa yani kama mwalimu nitashindwa darasa!
basi kiubishi ubishi mazoezi yakasonga mbele
katikati ya msitu hali ya Chanduka ilizidi kuwa mbaya zaidi huku akiwa hajitambui baada kupoteza fahamu zake hakuwa mbali na maeneo ya mto ule kwa mbaali mamba anaonekana akija ulipo lala mwili wa Chanduka
Dahaaaaaa,,,,
Je nini kitaendelea?
 
CHANDUKA (12)
Age 18
by hafidhi j ikram
Cm 0675082390
----------------
“twende round ya mwisho hii!
“ahaa mi nimechoka bwana,
yalikuwa mazoezi ya kukimbia kati ya Nusraty na Salma kama alivyo ambiwa Asubuhi aje ndio kaja hivyo sasa kukimbia round tatu tu yuko hoi urimi nnje nnje,
“sasa master mazoezi gani haya wakati mi nataka kujuwa kupigana wewe unanifundisha kukimbia si kutaka kuuwana huku!
“kabla ya yote unaitajika kujenga stamina ya mwili wako kwa kufanya mazoezi ya viungo kwanza nyanyuka twende bwana!!!
“lakini hii iwe ya mwisho ikiongezeka mi sikimbii tena “mmh! kwa mwendo huu mwanafunzi ana mashart balaa yani kama mwalimu nitashindwa darasa!
basi kiubishi ubishi mazoezi yakasonga mbele
katikati ya msitu hali ya Chanduka ilizidi kuwa mbaya zaidi huku akiwa hajitambui baada kupoteza fahamu zake hakuwa mbali na maeneo ya mto ule kwa mbaali mamba anaonekana akija ulipo lala mwili wa Chanduka
Dahaaaaaa,,,,
SONGA NAYO TULIPOISHIA
JANA ENDELEA
Chanduka akiwa bado yupo pale chini amelala ikiwa haifahamiki ni mzima au amekufa maana aligongwa na nyoka mwenye sumu kali sana,
yule mamba alikuwa tayali keshamsogerea kamanda wetu gafla mlio wa kama bunduki ukasikika eneo lile huku yule mamba akirushwa mbali na eneo lile baada risasi kutua kwenye mdomo wake hapa tunamuona Mzee mmoja hivi akija kwa tahadhali kubwa eneo lile,
baada kuufikia mwili wa Chanduka akatizama kila pembe bila shaka alitambua eneo lile ni hatari sana,
akamkagua kwa kusikilizia mapigo ya moyo baada kupata majibu akajikuta ana mmbeba na kuondoka nae eneo hilo,
alitembea umbali mrefu kidogo hatimae akaweza kuufikia usafiri wake wa kitorori ukiwa una kokotwa na farasi akampakiza Chanduka nae akapanda na kuamriza farasi watembee, huyu Mzee anaye kwenda ka jina la Sir Ernest ni mmoja kati ya wawindaji hodali kabisa nchini Brazil katika kijiji kimoja wapo kinacho kwenda kwa jina la be sour kucheza na viumbe hatari kama mamba anaconda kwake ni kitu cha kawaida tu baada kufika nyumbani kwake mkewe pamoja na watoto wake wakamkimbilia baba karudi na kitoweo!"
ndio kitoweo alikuwa nacho ila kingine wakashangaa baada kumuona binaadamu akiwa amelala huku ajitambui basi Mzee Ernest akaamrisha watumishi wake wammbebe yule mtu haraka sana akapatiwe huduma,
ndani ya nyumba ya kina Nusraty ni sauti ya mapanga yakilia ndio yaliyo sikika ngwee!!!ngwaa!!! yalikuwa mapambano naweza kusema ni sparing kati ya Nusraty na Salma wakiwa wanaruka kutoka sehemu hii na kwenda sehemu nyingine utazani popo vile,
ila siku zote master ni master tu atakufundisha style zoote moja atabaki nayo ndivyo ilivyo kuwa kwa Nusraty wakiwa wanadanki juu juu kama popo vile na kutua chini mapanga yakawekwa pembeni, sasa mkono kwa mkono zikaanza kupigwa “yahaa!!!yaha!!!
yani ikawa piga nipanchi Nusraty akatumia style ambayo Salma akajikuta anapigwa kongfu za maana akaenda chini damu zikiwa zinamtoka mdomoni “khaa! samahani shost?"
“toka zako huko mbona hii haikuwepo kwenye mafunzo yetu?"
huku akimfuta damu shost wake akamjibu “hii ndio style ya akiba niliyo bakia nayo maana siku ukinizingua tu nakuchapa na hii!" basi wote kwa pamoja wakacheeka ha!ha!ha!ha! “poa master hamna shida!" kwa furaha wakakumbatiana na kwenda kuoga kwenye swimming pool yenye kuvutia iliyoko ndani ya mjumba huo wa kitajili kwa jinsi walivyo kuwa utazani mapacha vile, “Salma!"
“abee master!"
“ahaa usiniite master bwana unaweza kunichoresha kwa watu!"
“haya niambie shost!
“binafsi kuna siri nzito sana naitaji nikwambie please naomba unifichie siri hii mpaka siku nitakayo ingia kaburini!"
“siri ipi hiyo Dada?"
“binafsi mimi ndie muuwaji!"
“what?"
unasema nini Nusraty usiongee kitu kama hiko sio kizuri Dada yangu!"
“amini usiamini nafanya yote haya kwa uchungu wa kupotezewa Chanduka wangu binafsi hata baba yangu mdogo niliweza kumuuwa mie mwenyewe baada kumfuma akiongea kwa simu akiamrisha vijana wake wafanye kila njia wamsake Chanduka na wamuuwe na kila mwanaume ninaye muuwa nakata sehemu zake za siri!"
Salma hakuamini maneno ya
Nusraty akabaki kupigwa na bumbuwazi tu,
“Salma naomba nitunzie siri hii!"
kila mmoja mchozi ukimbujika wakajikuta wakikumbatiana Salma akatamka,
“usijali mke mwenzangu niko pamoja nawe kwa kila jambo kama kutenda hilo jambo niko tayari tuungane tuwaangamize watu wote walio sababisha kwa namna moja ama nyingine kupotea kwa Chanduka wetu!"
basi wakatoka kuoga na kujifuta futa maji na kwenda ndani kupata chai nzito
BRAZIL
tunamuona kidume cha shoka akiwa anacharanga kuni huku akiwa yupo kifua wazi mwili ulio jengeka kichwani kajifunga kitambaa cheupe hakuwa mwingine ni Chanduka kusema kweli Mungu anampenda zaidi,
baada kumaliza akazikusanya na kwenda kuziweka kwenye banda moja hivi akasikia anaitwa “Chanduka baba a!"
“naamu" akaenda haraka kule alipoitwa na kumkuta Mzee Ernest, “shikamoo mzee!"
“marhabaa kijana wangu naona sasa hafya inazidi kutengemaa siku hadi siku mwanangu?"
“ndio mzee wangu vipi safari ya mimi kurudi Tanzania?"
“ahaa Chandu safari ndio nakufanyia mipango ya passport ikishapatikana utaenda tu!"
“sawa Baba binafsi nimeimiss sana nchi yangu!"
kumbe Chanduka aliweza kujikumbuka yeye ni nani na katokea wapi!
siku hiyo Chanduka akiwa amekaa kwenye kinjia flani hivi akiwaza na kuwazua kwa mbaali akaweza kumuona binti mrembo akija maeneo hayo akabaki kumtizama mrembo yule alipofika maeneo yale akatoa salamu za saa hizi kaka yangu?"
kwa sauti ya kubabaika Chandu akaitikia sa-ala-ma!"
yule binti akatabasamu tu na kuondoka zake huku Chandu akisaminisha mzigo nyuma “mmh huyu mtoto kazaliwa au kashushwa!"
kwa bahati mbaya yule binti akadondosha Pete bila kufahamu akaendelea na safari yake ila Chanduka aliona akanyanyuka kwenda kuiyokota kabla hajaifikia akatokea kuku na kuidonyoa akakimbia nayo ikawa mkimbize mkimbize kati ya Chandu na kuku nae hakutaka kuiyachia ile Pete cha ajabu akaimeza kabisaa Chandu akachukuwa jiwe na kumpiga nalo yule kuku la mguu basi akachechemea na kuingia kwenye miba Chanduka akashindwa kumkamata na kuamua kuondoka zake,
zikiwa zimepita siku mbili Chanduka akaweza kusikia tangazo kutoka kwa mwenyekiti wa kijiji akisema “tangazo tangazo kwa yeyote yule kijiji kizima mnaitajika nyumbani kwa mfalme,
kuna tatizo kubwa sana limetokea,
basi watu wakakusanyika na kuanza kuulizana maswali jamani kuna nini tena kimetokea mpaka mfalme kaitisha kikao cha gafla hivi,
siku zote la mgambo likilia basi ujuwe kuna jambo kila mmoja akabaki na maswali “hayaa jamani mfalme anaingiaa!!! watu wote wakasimama wima kila mmoja akawa kimyaa kusikiliza mfalme atasema nini, basi baada kufika akakaa kwenye kiti chake na kusema “bila shaka kila mmoja wenu amestushwa kutokana na wito huu!" binafsi napenda kuwatangazia ya kwamba Husnaty binti yangu mpendwa ameweza kudondosha Pete sehemu isiyo fahamika na hiyo Pete ni muhimu sana sasa basi natoa zawadi kwa yeyote atakaye ipata nitampatia zawadi kubwa sana ya kumpa nusu ya utajili wangu na kumuozesha binti yangu huyu Husnaty!"
basi vijana kwa waganga wakaanza kuisaka ile Pete kila kukicha waganga wanapiga ramli pasipo kuambulia chochote mfalme akakata tamaa bunafsi Chanduka hata kwenye kikao hakwenda kwa kifupi tu hakujuwa kinacho endelea
“oyaaa washikaji mfalme katoa zinga la dili dahaa,
Chanduka akauliza, “dili gani hilo kaka?"
“khaa! kumbe hujui kaka wee upoupo tu hapa maskani sasa ni hivi binti wa mfalme kapoteza Pete kwa yeyote atakaye iyona anapewa nusu ya utajili wake na kuozeshwa binti yule!"
“duhuu unasema kweli?"
“ndio!"
Chanduka akatoka mbio kwenda kwa mfalme baada kufika akajitamburisha yeye ni mganga na anajuwa Pete ilipo, basi akaamrisha kuku wote wakamatwe waletwe pale amri ikatekelezwa faster kuku wote wakaletwa Chanduka akaanza kumtafuta yule kuku kwa kuwapiga piga na fimbo kuku mmoja wapo akawa ana chechemea alicho kifanya Chanduka ni kumkamata akamchinja kwa meno kisha akamchana kati kwa kati na kuitoa ile Pete hakuna aliye amini kelele za vifijo na nderemo zikasikika “Chanduka mganga!!!chanduka mganga!!!
weweeeeeeee!!!mgangaaaamgangaaaa!!!
Tanzania
katika viwanja vya kinondoni studio siku hiyo Machangudoa walikuwa wamejazana balaa tupu, kila mmoja akinadi mwili wake kwa namna anayo ijua yeye miongoni mwao yupo Nusraty na shost wake Salma sio kama wanajiuza hapana, wamekuja hapo kwa lengo moja tu kuwawinda vijana kutoka kikosi cha Mizinga kama unakumbuka hiki kikosi ndio kilikabiziwa kazi ya kumteka Chanduka na wahakikishe anakufa, “sasa shost naona mmoja huyoo anakuja!"
“una uwakika kama ni mmoja wao?"
“yeah uwakika ninao wee tizama hii picha!" basi Salma akaicheki ile picha kwenye Cm na kulizika nayo kuwa ndio yeye, akatoka mbio kumuwai yule jamaa “hi baby nipo hapa kwa ajili yako!"
yule jamaa aliye valia kitozi hivi akabaki kumsaminisha Salma huku Changudoa wengine wakimshika shika yule jamaa,
“Aber leo utaondoka na mimi nitakupa mambo matamu kama juzi!" ilikuwa kauli ya Changudoa mmoja hivi huku akimkatikia yule jamaa muda wote macho kwa Salma aliye kuwa kasimama hatua kazaa tu, jamaa akawashiti wale machangu na kumfata Salma baada kumfikia akaanza kumshika shika makalio yake makubwa yaliyo tuna huku akimnyonya denda dahaa mitihani hii mwishoe wakaondoka eneo hilo huku wakionyesheana ishara ya ushindi yeye na Nusraty
“hivi Amida mbona kijiwe chetu kinavamiwa tu?"
“mi hata sijui kama yule malaya aliye ondoka na Aber ndio kwaanza namuona leo sijui katokea wapi!"
“ila mi naomba tufanye kitu kimoja tu!"
“kitu gani tena Ziada?"
“kila malaya anaye kuja kwenye kijiwe chetu tumtoze ushuru!" “mmh! sizani kama watakubali" “wakikataa tunawatimua kijiweni tu wee haiwezekani sisi waazilishi wa kijiwe tunakosa hata shilling kumi kwa siku wakati hawa wakuja wanaondoka na mabwana zaidi ya watano kwa siku!"
“oky tufanye hivyo embu tizama kule yule mpemba anaondoka na Amidu!"
“aii jamani si unaona dada!"
Nusraty kwa mwendo wa kujidai akiwa kashikwa kiuno na huyo Amidu akatokomea nae gizani
Je nini kitaendelea?"
Chanduka atarudi nchini Tanzania na jee atamuowa mtoto wa mfalme mi sijui
 
CHANDUKA (13)
Age 18
by hafidhi j ikram
Cm 0675082390
---------------
“ila mi naomba tufanye kitu kimoja tu!"
“kitu gani tena Ziada?"
“kila malaya anaye kuja kwenye kijiwe chetu tumtoze ushuru!" “mmh! sizani kama watakubali" “wakikataa tunawatimua kijiweni tu wee haiwezekani sisi waazilishi wa kijiwe tunakosa hata shilling kumi kwa siku wakati hawa wakuja wanaondoka na mabwana zaidi ya watano kwa siku!"
“oky tufanye hivyo embu tizama kule yule mpemba anaondoka na Amidu!"
“aii jamani si unaona dada!"
Nusraty kwa mwendo wa kujidai akiwa kashikwa kiuno na huyo Amidu akatokomea nae gizani,
SONGA NAYO SASA ILIPOISHIA
INDELEA
Kesho yake Asubuhi vyombo vya habari vikatangaza taarifa ya kukutwa kwa mwili wa mwanaume aliye uwawa kinyama mno kwa kutolewa sehemu zake za sili katika uchochoro mmoja hivi ndio mwili wake ulipo kutwa, mapolisi pamoja na wananchi wakabaki kushika vichwa wasiamini kwa kile walicho kiona, “mmh! Mama Stumai inabidi watoto wetu tuwachunge mwaya maana huyu mwanao Nassoro kila siku kazi kubadirisha wanawake tu isije siku ya siku akaingia kwenye mikono ya muuwaji!"
“ni kweli shogaangu Mama Baraka mwenzako kila siku namuonya hasikii yani ni bora apate gonjwa la ukimwi kuliko kuja kufa kinyama hivi yani sijui huyu muuwaji katendewa kitu gani kibaya mpaka anauwa hivi?" “hakuna anaye weza kufahamu maana hata jeshi la police nchini bado wanakuna vichwa tu!"
yalikuwa mazungumzo kati ya marafiki wawili walio shibana baada kushuhudia mwili wa marehemu anaye kwenda kwa jina la Amidu katika kumbukumbu jana usiku aliondoka pamoja na Nusraty baada kufika kichochoro flani hivi jamaa akaitaji kumaliza mchezo hapo hapo akatolewa roho yake, “shenzi zenu wapumbavu kabisa sasa mmevaa magwanda ya kazi gani si bora muyavue tu muende kucheza rede na wake zenu, yani wananchi wanapoteza imani na jeshi la police kabisa matokeo yake tunaambiwa saizi yetu ni mateja, huu ni ujinga tu kazi kufumuka vitambi tu wakati mauwaji yanazidi kuongezeka hakuna kinacho fanyika!" yaliku mazungumzo ya mkuu wa jeshi la police akiwaambia vijana wake cm yake ikaita akaipokea na kustuka “khaa! unasema!"
wapi hiyo?" ohoo shit!" mkuu wa jeshi akapiga ngumi meza tena kwa hasira, “vipi mkuu kuna tatizo au?" “acha kuuliza maswali ya kijinga wewe wakati unafahamu fika tuna majanga embu fanyeni haraka sana muwai eneo la tukio basi maafande wakiwa na mitutu wakakwea ndani ya Defender na kuondoka kwa kasi kuelekea Mwananyamala komakoma,
ukawa ni msako nyumba hadi nyumba mtaa kwa mtaa kumsaka muuwaji kumbuka siku zote mwizi au jambazi hana arama, wakati yote hayo yanatokea ndani ya jumba la kifahali kulikuwa na vicheko vya kishambenga kati ya wake wenza bibie Nusraty na Salma “ehee shost embu nipe mchapo ilikuwaje jana baada kuondoka na yule jamaa?"
“mmh! wee acha tu yani ulikuwa ni zinga la mtihani kama sio mafunzo uliyo nipa mwenzako ningekufa mie!"
“hee ikawaje sasa?"
“yule jamaa baada kuondoka nae pale tukaingia vichochoro kazaa hivi huku akinishika shika makalio yangu yani mkono wake haukuwa na adabu kabisa akazidi kunichamba midole njia nzima nikaanza kurembua macho kwa utamu maana hizo nyege zikawa zimenizidia basi tukaingia kwenye guest ya pale komakoma nikaitaji jamaa anichomeke ili nikojoe hata kimoja kisha niifanye kazi yangu cha ajabu akawa anataka mpododo nikamwambia aka mwenzangu mambo hayo mi siyajui kidume kikaja juu kwa kusema malaya gani wewe usie uza nyuma pumbavu zako utanipa tu ikawa purukushani nikachomoa kisu na kumchinja pale pale!" “unajuwa nini shost ulitanguliza tamaa mbele siku zote katika kazi hii utakiwi kuwa na huruma na mtu au tamaa za kimwili, “lakini mwenzako nilizidiwa miaka mitatu si mchezo!"
wakiwa katika maongezi yao simu ya Nusraty ikawa inaita akaipokea na kusema sawa nakuja, “nisubili naenda kumsikiliza baba kwanza!"
“sawa mke mwenza,' “mmh nawe bwana mke mwenza kama tayali Chanduka amesha tuowa vile!" ha!ha!ha!ha!
ni mabinti wawili wenye roho ya ajabu sana yani wameamua kuungana na kuwa kitu kimoja siwezi juwa wala kufahamu kama kitendo wanacho kitendo ni sahihi au?"
“Assalam alaykum ya Abii!"
“Waaleykum ssalam yaa ibnaiyaa,'
“naona Baba umeniita gafla vipi kuna tatizo au?" “hapana mwanangu mpendwa yani nikikuita tu unahisi kuna tatizo tu!" “sio hivyo Baba bwana!" “oky mwanangu embu njoo ukae hapa nikwambie nilicho kuitia!
Nusraty akaenda kukaa karibu na Baba yake ili aambiwe alicho itiwa, “Nusraty mwanangu! “abee Baba,'
“binafsi unatambua ya kwamba wewe ndio mtoto wangu kipenzi kuliko wenzako kina Hairaty Nafsa na Khatibu!"
“ndio Baba nafahamu hilo, “basi vizuri kama unafahamu ninacho taka ni kukuagiza nchini Brazil kwa mjomba ako ukanichukulie mzigo wangu!"
“mmh! Baba yani mimi niende Brazil tena?" “ndio mwanangu hutokawia kurudi nazani mpaka wiki ijayo utakuwa tayali usharudi,'
Nusraty akafikilia kisha akapata jibu na kusema “sawa nitaenda ila ukate ticket za watu wawili!"
“wawili tena na nani?"
Nusraty akapaza sauti kwa kuita “Salmaa!!!
“abee!!! “embu njoo huku kwanza!
Salma akatoka, Mzee furqan akatoa macho tu maana anamkumbuka huyu binti ni balaa siku ile hospital alimkunja “ndio huyu baba ni rafiki yangu kipenzi anaitwa Salma, “ohoo namkumbuka sasa kama mko tayali mjiandae safari iyanze kesho Asubuhi na mapema!"
Salma akauliza “safari ya kwenda wapi tena?" “tunaenda Brazil kesho shost!"
Salma hakuamini basi akaruka juu juu akishangilia huku akisema “wee yani siamini kwahiyo kesho napanda ndege?"
“ndio, “naenda ulaya?"
“ndio, “kumuona Ronaldo de lima,
Ronaldinho, basi wakacheeka na kukimbilia chumbani Mzee furqan akabaki kutabasamu tu,
Brazil
kila mwananchi alishikwa na shahuku ya kutaka kufahamu kwa kile kitakacho tokea kwa Chanduka na binti mfalme baada kuweza kuipata ile Pete watu weweee Chanduka mganga!" kitu cha ajabu mfalme akasema “najuwa ni jinsi gani mlivyokuwa na kimuhemuhe cha kutaka kuona jambo hili likitendeka ila nabatirisha uwamuzi wangu kwa kusema ndoa hapa hamna kabisa!" watu wote “ahaaa!!!
“mnajuwa kwa nini nasema hivi ni kwa sababu huyu kijana sio mganga wala nini nilijaribu kumuuliza binti yangu kuhusu jambo hili akadai ya kwamba siku aliyopoteza Pete ndio siku aliyoweza kukutana na kijana huyu basi hapa kuna walakini ila hatuvunji ahadi hivi hivi kijana tunakupa mtihani mwingine
kesho usiku kutakuwa na tamasha kwenye viwanja vya Jagwa tunacho kitaka utuletee kichwa cha Simba ukiweza kufanikisha hilo utaweza kuozeshwa binti Husnaty bila shaka pamoja na kukabiziwa nusu ya mari zangu!"
Chanduka aliondoka eneo hilo huku akicheka ni kweli yeye si mganga dahaa “hivi kichwa cha Simba nitakipataje mbona majanga usiku kucha hakulala anawaza na kuwazua tu hatimae kesho yake akajiandaa kwenda porini kumsaka simba
“Chanduka mwanangu!" “naam Mzee wangu!" “binafsi naomba nikwambie kitu kimoja tu huko porini unapo kwenda kuna wanyama hatali sana na sizani kama utaweza kupata kichwa cha Simba huo mtihani hakuna aliye fahuru hata kidogo zaidi ya kuishia kufa kwa kuliwa na wanyama hatari tu!" “usijali Mzee wangu niaminie mimi kidume cha shoka, basi
Chanduka akasepa kwenda porini,
Tanzania
Katika jengo moja kuubwa hivi maeneo ya postal kulikuwa na kikao kizito sana kikiongozwa na muheshimiwa Raisi akasema “sasa nchi zote zinaiyangalia Tanzania kwa jicho la tatu, unajuwa kwa nini ni kwasababu nchi haina wapelelezi wa kutumainiwa kabisa yani wapo kiect zaidi maneno mengi vitendo hakuna mpaka inafikia hatua kuitaji kuajili wapelelezi kutoka nchi za jilani huu ni ujinga na upumbavu kabisa!"
hamna kazi mnayo ifanya ya maana zaidi ya kukimbizana mitaani na vibaka tu wenzenu wanapanda vyeo
kwa kazi za maana nyie mnalilia vyeo kwa kukapata daladala
sasa kuna kamanda kutoka nchini Brazil ndio anaandaliwa nazani ndani ya miezi sita au saba hivi atakuja hapa nchini kuifanya hiyo kazi
ila itabidi wakati kamanda wa kutumainiwa akiwa anasubiliwa kazi hii akabiziwe commando Devi akiwa na pacha wake commando Device
kila mmoja akapiga makofi kutokana na uteuzi ule kutoka kwa muheshimiwa Raisi
ni usiku alioutumia Salma kuongea na Mama yake juu ya safari yake,
basi akaombewa duwa aweze kwenda salama arudi salama
kesho yake Asubuhi tunamuona Nusraty akiwa na Salma katika uwanja wa ndege Juliasi kambarage nyerere
kwa jinsi walivyo valia utasema ni macommando flani hivi kutoka nchini Vietnam
basi wakakwea pipa na kusepa zao!
Brazil
Sherehe ilikuwa imepamba moto watu wakichizika na vigoma vya kapwera
kigoma maarufu nchini humo
upande wa porini tunamuona kamanda wetu Chanduka
akiwa anazunguka zunguka tu kumsaka Simba gafla akasikia sauti ya kitu kuunguruma ikitokea kwa nyuma yake akastuka na kushikwa na kitete akageuka taratiibu na kutizama nyuma hamadi Simba dume aliye shiba yupo nyuma yake Chanduka akapiga mahesabu ya faster na kutoka mbio yule Simba nae akaanza kumkimbiza Chanduka kwa speed akawa anakimbilia kulekule kwenye sherehe kitendo cha kufika tu walinzi wakaanza kumshambulia yule Simba na kumuuwa watu wakaanza kushangilia kwa
"Chanduka mgangaa!!!
kaambiwa alete kichwa cha Simba yeye kaleta Simba mzima, mganga mganga!!!
basi wakambeba juu juu na kumrusha rusha na kusema tunatakaaa mke wetuu!!!
binafsi mfalme hakuvutiwa na lile jambo zaidi ya kusema
“kijana bado hakuna ulicho kifanya sasa basi huwezi kupata mke nenda nyumbani tu!"
watu ahaa ujinga huu mfalme vipi huyu!"
Chanduka akasema
“ndio muheshimiwa nakubaliana na maamuzi yako
najuwa bado hutaki kuniamini ila ni siku moja tu utaniamini,
akaondoka zake wanchi wengi walichukizwa sana na kitendo cha mfalme kutotimiza ahadi yake kwa kijana yule
Husnaty nae akajisikia vibaya pia na kuitaji kumfata Chanduka akampe haki yake,'
“Ashka!" “abee malkia, “hivi unaweza kufahamu yule kijana anaishi wapi?" “kijana yupi ewe malkia wangu?"
“ni yule aliyeweza kuiyona Pete yangu na kumleta Simba kwenye sphere he!"
“ndio napafahamu ewe malkia!" “basi nilikuwa nahitaji unipeleke!"
“mmh! nilijuwa tu malkia huwezi kutoka kwa kijana handsome kama yule yani sijawai kuona handsome kama yule!"
“Ashka nawe ila kweli maana mi mwenyewe siku ya kwanza kumuona kijana yule nikahisi mapigo yangu ya moyo kudunda yani nikajikuta nadondosha Pete pasipo kujitambua yani!"
“lakini malkia mbona kijana anaonekana kama sio taifa hili “sio taifa hili kivipi wakati anazungumza lugha yetu! “lugha sio tatizo huwenda amejifunza tu!"
“oky tuachane na hayo naomba twende unipeleke basi wakatoka
safari kwenda kwa Chanduka
siku hiyo Chanduka hakuwa na amani kabisa ndani ya moyo wake mawazo tele yakamsonga kikubwa alichokuwa akikiwaza ni kurudi nchini Tanzania basi ili
na huku mfalme akiwa amekaa na wapambe wake wakinywa kahawa gafla mfalme akamuona mdudu akiwa anatambaa tambaa tu basi alipofika karibu yake akamfunika na kikombe cha kahawa na kuwauliza wapambe wake “ekhee je mnaweza kunitajia kile ambacho nimekifunika hapa?"
kila mmoja akasema hapana mfalme, basi naomba mkaniitie yule kijana aje anitajie na kama kweli akipata basi Wallahi nitaamini yeye ni mganga vinginevyo akikosa nitamchinja mtumishi mmoja akatoka mbio kwenda kumwita Chanduka,
Je nini kitaendelea?
 
Back
Top Bottom