CHOMBEZO: Baba kama Punda

CHOMBEZO: Baba kama Punda

Shusha nyingine


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
❪Part. 62❫
*KISA CHA KWELI, CHENYE KUSISIMUA*
Umri ni miaka nakuendelea.
❮SEHEMU YA 62❯
TULIPOISHIA..<<<
Sikuamini nikaona kitanda cha Koga kikisukumwa
nakusogezwa jilani na Pastor Stefansson, ambaye
yeye katoka Canada, akamsogerea huku akiwa
haonyeshi kukerwa na ile halufu ya Koga ata
kidogo.... Waandishi wa habari za udaku, blogs, na
viombo vikubwa kabisa vya habari vilikuwepo pale
vikifuatilia matukio mbalimbali yanayoendelea ila ili
la Koga ndio liliwavuta wengi maana walianza
kulisikia muda mlefu tangu kuzariwa kwa Punda.
Basi Pastor Stefansson akamfunua usoni Koga
tayari kwa kuanza kumombea...lakini ile anataka tu
kufungua mdomo wake.... Ghafla....!!!
____ENDELEA___
Ile Pastor Stefansson kutaka kuweka mkono juu ya
mwili wa Koga, mala ghafla Koga akafumbua
macho yake huku akiwa kayatonoa.. ..!! Pastor
Stefansson hakujali akamuwekea mkono ivyo ivyo
daah!!
Nilimshuudia koga aliyekuwa anaumwa na hawezi
kutembea zaidi ya mwezi sasa, lakini alisimama
huku sura yake nzuri yakuvutia kama malaika
ikabadirika nakuwa kama zombie ...Alikuwa
anatisha wahudumu na walinzi wa mkutano
wakajaribu kumshika ili wamzuie hasije kumgusa
Pastor Stefansson lakini ilikuwa ngumu sana sababu
aliwatupa huku na huko kama maembe yaliyooza
hali ambayo ilifanya waandishi wa habari wenye
roho nyepesi kuanza kutimua mbio..Koga alibadilika
kabisa kama nilivyokwambia uso wake ulikuwa
Kama jini au shetani basi hali ikawa si hali tena
maana ata yule mkalimani wa Kiingereza kuja
kiswahili wa Pastor Stefansson alikimbia jukwaa
maana Koga alipofungua mdomo wake nilishangaa
kuona meno yake mawili ya mbele yakiwa malefu
kuliko mangine..basi jukwaa likabaki jeupe
japokuwa police walisogea karibu kabisa lakini
wachungaji wangine wa kibongo wakasema
tafadhali tafadhali ndugu zetu askari naomba
msipige Risasi yoyote maana endapo mkifanya ivyo
ndio mtamuua kabisa uyo binti alafu ayo mashetani
yataondoka zake...!! Koga yeye alikuwa anamkabili
tu Pastor Stefansson wale askari wakasogea
nakumshika Koga kisha wakafanikiwa kumtia
pingu..katika hali isiyokuwa ya kawaida Koga
alizikata zile pingu Kama uzi tu kisha akamdaka
mmoja nakumng'ata mkono wake ndipo askari
mwingine akajibu mapigo kwa kumpiga risasi
kwenye paji la uso lakini iliteleza tu ata alama
haikubaki...watu walishangaa nakusema kweli ili ni
jini Makata kama sio maimuna...!!
Askari wakatoka nduki pale jukwaani akabaki Pastor
Stefansson peke yake akainua mikono yake juu
muda uo walokore wote waliokuwepo pale walikuwa
wakiomba kila aina ya maombi huku wakilia na
mikono yao wameielekeza kule jukwaani. Basi
wakati Koga akimfuata kwa kasi Pastor Stefansson,
yeye alikuwa kainua mikono yake pamoja na uso
wake juu. Basi mpaka Koga akamfikia kabisa
nakumvaa kwa kumkumbatia huku mdomo wake
akiupeleka shingoni tayari kwa kumng'ata...watu
wote pale jukwaani hawakuamini kama Pastor
Stefansson aliyeponya vipofu walemavu visukari n.k
anakuja kushindwa kwa mwanamke tu tena kijana
Mdogo Kama Koga.. Walibaki kushika midomo tu
huku wangine wakisema yeye si alijifanya YESU WA
PILI aya sasa kakumbana na jini makata ilo tuone
Kama atachomoka hapo..ilikuwa ni taaruki...!!
Mara ghafla...Pastor Stefansson akawaka moto..
..ambao ulimnasa na Koga.. Ikabidi Koga
amuachie Pastor Stefansson kisha akaanza
kukimbia huku akipiga kelele waaaaahh!!
Yaaaaaahh!!
Katika hali yakushangaza Pastor Stefansson akiwa
anawaka moto vile vile akashika mike nakuanza
kukemea;
"Fireeeeeee..!! Fireeeeeeee..!! In the name of
Jesus.. I say Fireeeeeeeeeee.... Out..out..lapa
papapa..Yaweeeeehhhh!! Out Out Out...Fireeeeee
e... I burning you.!!!"
"Motoooo..!! Motoooo..!! Katika jina la
Yesu..nasema motoooo...Toka..!! Toka..!!
Lapapapapa.. Toka..Toka..!!"
Sikuamini kabisa nilijikuta napiga magoti.. Peke
yangu jamaa aliyekuwa karibu Yang naye akapiga
magoti basi tukajikuta wote pale uwanjani tumepiga
magoti huku tukiogopa maana yule Pastor alikuwa
anawaka moto alafu bado anatembea nakuendelea
kukemea pepo Kama kawaida. Koga wangu aliwaka
moto Kama dakika kadhaa ivi kisha akaondoka
chini pale jukwaani, na ndipo nikamuona Pastor
Stefansson naye akiacha kuwaka moto...!!
Akamsogerea Koga kisha akamwambia kwa
kiingereza;
"Stend up please, you're free now!!"
(Tafadhali inuka, upo huru sasa)
Jamani, Jamani, Jamaaaaaaaaani..sikuamini macho
yangu nilipomuona Koga akisimama huku
anamelemeta Kama bibi hatusi yani moto wote ule
ulimuwakia haukumdhuru kabisa.
Pastor Stefansson akachukua wakati uo waandishi
wamesha sogea tena wakati Koga ameshika mike
tayari kwa kujibu maswali toka kwa Pastor
Stefansson;
"What is your name..?"
(Jina lako nani)
"Naitwa Koga"
Kwa mala ya kwanza nikasikia sauti laini ya Koga
ikiwa katika ubora wake Kama nilivyo isikiaga
miaka miwili nyuma, Koga alimjibu Pastor kwa sauti
nzuri huku akitabasamu..!! Naye Pastor aliendelea
kumuuliza maswali mangine kisha akafikia
kumwambia kuwa Yesu kamponya je atamlipa nini
kwa kumpa Uzima uo bure ndipo nikamuona Koga
akishika Mike nakuanza kulia kwanza.. Alilia sana
na fundi wa viombo au wengi uwaita DJ, akaweka
wimbo wa Dada Jennifer M. ;
"Naliaaa pole, naliaa pole Sana mmh naliiiiaa pole
naliaaaa pole Sana.
Mimi nilijiona nimepata kuumbe nimepatikanaeeh,
Mimi nilijiona ni mzuri kumbe nina poteaa,
nikajifanya nimrembo kumbe naaribikiwa hee.
Mimi nalia pole naliaa pole Sana, hiiii nalia pole
mmmmh naliaaaa pole eehiiiheheheheee!!
Koga alilia sana tena sana kiasi kwamba kila mmoja
pale uwanjani alitokwa na machozi huku wanawake
wakishindwa kujizuia nakujikuta wakilia pamoja na
Koga. Basi baada yakutulia ndipo Pastor Stefansson
kama kawaida akamuuliza;
"Binti tayari Yesu kakupa nafasi nyingine yakuishi je
unataka kufanya nini hapa duniani katika muda huu
machache aliokupa..??"
Ndipo Koga akasema huku akimtazama Pastor
Stefansson usoni;
"Nataka nimtumikie yeye mpaka siku yangu ya
mwisho, na kwakuthibisha ilo naanza na rafiki yangu
mpendwa aliyenivumilia katika hali zote na ndio
aliyenileta hapa mpaka saizi nimesimama hapa
naonekana kama binadamu kumbe tayari nilikuwa
ni;
"The walking Died"
(Maiti inayo tembea)
Basi haraka nikasogea mpaka pale juu ya jukwaa,
nikamfuata Koga nakumkumbatia lakini niliungua
vibaya sana nikamuachia ghafla nakusogea pembeni
huku nikimtazama kwa woga..!! Pastor
Stefansson huku akitabasamu akasogea karibu
kisha akaniwekea mikono kichwani kisha akasema
upo tayari sasa maana mwanzo wewe ulikuwa
tofauti kabisa na uyu..!!
Basi tukakumbatiana vizuri na Koga wangu kisha
nikamsogerea Pastor Stefansson akatuambia;
"Kuweni tayari kesho tunaondoka pamoja kuelekea
Canada ili muanze lasmi kazi ya MUNGU, kila kitu
mtakikuta huko Ottawa
MUNGU awabariki sana nilifurahi Sana huku
nikiondoka zangu pamoja na Koga wangu kurudi
nyumbani kwaajili ya maandalizi.
Tukafika kwa Dada yake koga....!!
 
❮SEHEMU YA 63❯
TULIPOISHIA..<<<)
Basi haraka nikasogea mpaka pale juu ya jukwaa,
nikamfuata Koga nakumkumbatia lakini niliungua
vibaya sana nikamuachia ghafla nakusogea pembeni
huku nikimtazama kwa woga..!! Pastor
Stefansson huku akitabasamu akasogea karibu
kisha akaniwekea mikono kichwani kisha akasema
upo tayari sasa maana mwanzo wewe ulikuwa
tofauti kabisa na uyu..!!
Basi tukakumbatiana vizuri na Koga wangu kisha
nikamsogerea Pastor Stefansson akatuambia;
"Kuweni tayari kesho tunaondoka pamoja kuelekea
Canada ili muanze lasmi kazi ya MUNGU, kila kitu
mtakikuta huko Ottawa
MUNGU awabariki sana nilifurahi Sana huku
nikiondoka zangu pamoja na Koga wangu kurudi
nyumbani kwaajili ya maandalizi.
Tukafika kwa Dada yake koga....!!
____ENDELEA TENA____
Kila mmoja alipigwa na butwaa hakuamini anacho
kiona mbele yake, koga akasema;
" Ni Mimi Dada, ni Mimi Koga Mdogo wako, ila sio
koga yule unayemjua wewe bali ni Koga mpya
kabisa ambaye ni binti sayuni"
Basi Dada akaja mbio nakumkumbatia Koga Mara
ghafla akamuachia huku akisema wewe mbona una
moto mwilini mwako;
"Dada sio moto ila guvu za damu ya Yesu ndio
zinazo fanya uone kama nina moto mwilini mwangu
lakini sivyo kabisa..!!
Basi tukakaa huku nikimwambia Dada kuwa kesho
naondoka Mimi na mume wangu Jofu tunaelekea
nchini Canada, kwa ajili ya maisha na tutakuwa
huko kama Wainjilisti ambao tutakuwa tukiifanya
kazi ya MUNGU mpaka pale tutakapo kamilisha
kazi yake MUNGU nakwenda kuketi mkono wake
wakuume..!!
"Weee Jofu ivi unaelewa anachoongea mkeo, maana
anazungumza vitu ambavyo havipo kabisa, maana
nasikia sijui Canada mala mkono wakuume wa Baba
MUNGU sielewi kabisa ujue, ebu nisaidie wewe..!!"
Nilimshangaa sana Shemeji yangu ananiona Mimi
Mjinga sina akili, kabla Jofu hajajibu nikamwambia
Dada kuwa inatosha nilicho ongea kimeeleweka
uzuri hakuna mtoto hapo. Ndipo Dada akasema
huku akionyesha wasiwasi kidogo;
*Kwaiyo Mdogo wangu Koga Ndio unaondoka
kwenda Canada kweli..!??"
"Ndio ivyo"
"Mbona ghafla sana Mdogo wangu, Mimi nashukuru
umepona nilitaka tule bata Mdogo tufungue ukurasa
Mpya wa maisha yetu, sababu ata Baba tayari
kafariki kwaiyo nilidhani wewe unaenda
kumsimamia Mama kuzipangilia zile Mali kule
kijijini..Koga husiende Canada Mdogo wangu..!!"
"Dada Mimi nilisha kufa sawa ndio maana wote
mliukimbia mwili wangu, akabaki binadamu mmoja
tu Mwenye roho ya ajabu ambaye ni Jofu, lakini
yote ayo nimesha wasamehe kwa dhati kabisa
kama Mimi alivyo nisamehe Baba yangu Yesu
Christo, sasa ujio Wangu huu au kuziliwa kwangu
huku mala ya pili ni special kwa ajili ya kazi moja
tu hapa duniani ambayo nikuakikisha wewe na
familia yangu yote mnaenda mbinguni na iyo kazi
ndio ajila yangu. Kwaiyo ukura unaotaka wewe
nifungue Mimi tayari nimeshafungua ukurasa Mpya
tena wa HOLY BIBLE (Biblia takatifu) kwaheri Dada
yangu naomba kesho mnisindikize airport hapa
naomba tu process za Passport zikamilike vizuri, ila
katika jina la Yesu itawezekana..!!
Basi ilipofika jioni wahudumu walikuja mpaka
tunapoishi tukafanya maombi kwenye kile chumba
kisha Yule mbwa wetu Nasri alichukuliwa na Dada
na jioni iyo iyo tukaondoka mpaka New Africa Hotel
ambapo Ndio alikuwa amefikia Pastor Stefansson,
tukalala hapo na hasubuhi tulipanda ndege
mahalumu iliyotumwa na serikali ya Kenya. Tulifika
Kenya na huduma ikaanza, tulifanya maombi
mfululizo kama siku tatu tu na safari ikaanza
kuelekea Uganda, maana Pastor Stefansson alisema
ngoja afanye maombezi East Africa yote kuliko
kufanya Tanzania tu na Kenya, basi baada
yakumaliza kufanya mombezi katika jiji la Kampala
nchini Uganda, tukachukua ndege ya;
AIR CANADIAN WORSHIP
Tulipopaa tu angani nikamwambia Jofu;
❛Jofu Nasikitika kukwambia kuwa sirudi tena
Tanzania au nyumbani.. ❜
Kisha machozi yakaanza kunitoka, kwakuwa tulikuwa
tumekaa seat moja basi Jofu akanikumbatia huku
akiniambia;
"Upo sahihi kabisa Mama hakuna sababu yakurudi
tena nyuma kuna nini cha maana kilicho baki
kwanza zaidi ya maasi na maovu yanayofanywa kila
siku twende Mama twende tukamtumikie MUNGU ili
tuishi maisha ya furaha na amani.!!"
Tulifika salama kabisa nchini Canada na baada ya
mwezi mmoja tukiwa chini ya Pastor Stefansson
ambaye kwa pale Ottawa yani mji mkuu wa Canada
waumini wamempa jina la The Second Jesus (Yesu
wa pili) jina ambalo yeye ulikataa katu katu kabisa
maana anaamini kuwa Hakuna wakufanana na Yesu.
Basi tulifunga ndoa na siku ya kwanza kufanya
mapenzi na Jofu yani toka nipone huwezi amini
kabisa maana nilijishangaa kuona kuwa nimerudi
kuwa bikra kabisa yani jamani kweli MUNGU
mkubwa aisee...mume wangu mwenyewe ambaye
ni Jofu alishangaa kabisa akabaki kaduwaa tu
baada yakuona damu kibao huku nyuzi nyuzi za uke
Wangu zikikatika yani inaonyesha ni bikra original
kabisa tena ambaye sijawahi ata kujiosha na vidole.
Tulipomaliza kufanya tukapiga magoti nakumuomba
MUNGU atusamehe, maisha yakaendelea pale
Canada huku Pastor Stefansson akisafiri nchi
mbalimbali pamoja na mume wangu Jofu nashukuru
MUNGU maana nguvu za MUNGU zilimmshukia
naye akaanza kutoa mapepo nakuwaponya watu
wenye magonjwa madogo madogo. Baada ya muda
mlefu kidogo nikafanikiwa kupata mtoto wakiume
ambaye tulimpa jina Stefano ili awe wajina wa
Pastor Stefansson, baada ya miaka mitano nilikuwa
tayari nina watoto watatu yani Stefano, Leah, Na
Kenan. Bahati nzuri Pastor Stefansson aliitwa na
MUNGU ivyo alilala usingizi mzito nakupokelewa
mbinguni na Baba yetu...Basi nafasi yake
ikachululiwa na mume wangu Jofu. Tulipata taarifa
kuwa Mama yangu ni mgonjwa sana..na Mimi
sikutaka kabisa ndugu zangu wafe bila kuona nguvu
na uwezo wa MUNGU alionifanyia. Basi nikafunga
safari ya ghafla Mimi pamoja na familia nzima
Kama lilivyokuwa enzi za Pastor Stefansson tukafika
mpaka Dar es salama kwa bahati nzuri kumbe
Mama alikuwa yupo Hospital ya Agakhan kalazwa
anasumbuliwa na kisukari, miguu, pamoja na
macho, sawa umri ulikuwa umeenda lakini
ikumbukwe kuwa kwa MUNGU hakuna Bibi wala
Babu..tukaenda pale pale hospital tukamfanyia
maombi akasimama mwenyewe nakutembea mpaka
ilipokuwa imepaki gari..!!
Kwa tukio ilo tulipofika tu nyumbani Dada na
Shemeji pamoja na mtoto wa Dada Shinje wote
wakapiga magoti nakumpa Yesu maisha yao baada
ya siku kadhaa ndugu zangu na rafiki zao wote
wakampa Yesu maisha yao na jambo la Ajabu
nikwamba Munah rafiki yake Jofu alikuwa nchini
India akimuuguza Baba yake aliyekuwa
akisumbuliwa na moyo, Basi Jofu akampigia Simu
rafiki yake Munah nakumwambia kuwa ampe Simu
Baba yake ili amfanyie maombi maana hakuna
umbali katika maombi, kweli Jofu alifanya ivyo..
Dakika chache tu Jofu ikapiga Simu akidai Baba
yake kasimama nakuzitoa mashine zote za oxygen
kwakweli ilikuwa ni furaha ilioje Baba yake Munah
aliporudi toka India akatoa godauni lake moja liwe
kanisa kisha na yeye akawa mkristo pamoja na
familia yake yote..!!
Taarifa za Baba yake Munah kuasi uisilamu nakuwa
mkristo zilifika Pakistan ambako ndiko chimbuko la
ukoo wake kwaiyo jumapili moja tukiwa ibaadani
Mimi nilikuwa pamoja mume wangu Jofu tukisibiri
tupewe nafasi ili tuwaage maana kesho ndio
tulitakiwa kurudi Canada Sasa sijui ni kitu gani
maana Jofu aliwaambia watoto wetu waende nje
kuleta zawadi ndani ya gari la Baba yake Munah
kweli Stefano alienda na wadogo zake wote wawili
wakaenda nakuleta briefcase ya ajabu kisha watoto
wetu wakaenda tena nje ghafla ulitokea mlipuko
mkubwa sana na kanisa lote likashika moto wakati
moto unaendelea kuwaka mala nikamuona Jofu
akiwa na mabawa akanishika mkono kisha tukaanza
kupaa kwenda mbinguni na watu wangine nao ivyo
ivyo..!!
Tulifika mbinguni tukamuona Pastor Stefansson
akiwa pamoja na Yule mtume wa Yesu Stefanie
aliuwawa kwa kupigwa mawe mwaka 106 AD.
Tukasogea na kupokelewa huku watu wote
wakiimba nakusujudu.
NIKATAZAMA DUNIANI NILIONA MAOVU YOTE
YANAYOFANYIKA NIKALIA SANA MIMI KOGA,
NILITAMANI NIRUDI KUWACHUKUA NA WATOTO
WANGU LAKINI HAIWEZEKANI.
PASTOR STEFANSSON AKAJA NAKUSEMA
UMECHELEWA HAUWEZI KUZUIA.
 
❮SEHEMU YA 63❯
TULIPOISHIA..<<<)
Basi haraka nikasogea mpaka pale juu ya jukwaa,
nikamfuata Koga nakumkumbatia lakini niliungua
vibaya sana nikamuachia ghafla nakusogea pembeni
huku nikimtazama kwa woga..!! Pastor
Stefansson huku akitabasamu akasogea karibu
kisha akaniwekea mikono kichwani kisha akasema
upo tayari sasa maana mwanzo wewe ulikuwa
tofauti kabisa na uyu..!!
Basi tukakumbatiana vizuri na Koga wangu kisha
nikamsogerea Pastor Stefansson akatuambia;
"Kuweni tayari kesho tunaondoka pamoja kuelekea
Canada ili muanze lasmi kazi ya MUNGU, kila kitu
mtakikuta huko Ottawa
MUNGU awabariki sana nilifurahi Sana huku
nikiondoka zangu pamoja na Koga wangu kurudi
nyumbani kwaajili ya maandalizi.
Tukafika kwa Dada yake koga....!!
____ENDELEA TENA____
Kila mmoja alipigwa na butwaa hakuamini anacho
kiona mbele yake, koga akasema;
" Ni Mimi Dada, ni Mimi Koga Mdogo wako, ila sio
koga yule unayemjua wewe bali ni Koga mpya
kabisa ambaye ni binti sayuni"
Basi Dada akaja mbio nakumkumbatia Koga Mara
ghafla akamuachia huku akisema wewe mbona una
moto mwilini mwako;
"Dada sio moto ila guvu za damu ya Yesu ndio
zinazo fanya uone kama nina moto mwilini mwangu
lakini sivyo kabisa..!!
Basi tukakaa huku nikimwambia Dada kuwa kesho
naondoka Mimi na mume wangu Jofu tunaelekea
nchini Canada, kwa ajili ya maisha na tutakuwa
huko kama Wainjilisti ambao tutakuwa tukiifanya
kazi ya MUNGU mpaka pale tutakapo kamilisha
kazi yake MUNGU nakwenda kuketi mkono wake
wakuume..!!
"Weee Jofu ivi unaelewa anachoongea mkeo, maana
anazungumza vitu ambavyo havipo kabisa, maana
nasikia sijui Canada mala mkono wakuume wa Baba
MUNGU sielewi kabisa ujue, ebu nisaidie wewe..!!"
Nilimshangaa sana Shemeji yangu ananiona Mimi
Mjinga sina akili, kabla Jofu hajajibu nikamwambia
Dada kuwa inatosha nilicho ongea kimeeleweka
uzuri hakuna mtoto hapo. Ndipo Dada akasema
huku akionyesha wasiwasi kidogo;
*Kwaiyo Mdogo wangu Koga Ndio unaondoka
kwenda Canada kweli..!??"
"Ndio ivyo"
"Mbona ghafla sana Mdogo wangu, Mimi nashukuru
umepona nilitaka tule bata Mdogo tufungue ukurasa
Mpya wa maisha yetu, sababu ata Baba tayari
kafariki kwaiyo nilidhani wewe unaenda
kumsimamia Mama kuzipangilia zile Mali kule
kijijini..Koga husiende Canada Mdogo wangu..!!"
"Dada Mimi nilisha kufa sawa ndio maana wote
mliukimbia mwili wangu, akabaki binadamu mmoja
tu Mwenye roho ya ajabu ambaye ni Jofu, lakini
yote ayo nimesha wasamehe kwa dhati kabisa
kama Mimi alivyo nisamehe Baba yangu Yesu
Christo, sasa ujio Wangu huu au kuziliwa kwangu
huku mala ya pili ni special kwa ajili ya kazi moja
tu hapa duniani ambayo nikuakikisha wewe na
familia yangu yote mnaenda mbinguni na iyo kazi
ndio ajila yangu. Kwaiyo ukura unaotaka wewe
nifungue Mimi tayari nimeshafungua ukurasa Mpya
tena wa HOLY BIBLE (Biblia takatifu) kwaheri Dada
yangu naomba kesho mnisindikize airport hapa
naomba tu process za Passport zikamilike vizuri, ila
katika jina la Yesu itawezekana..!!
Basi ilipofika jioni wahudumu walikuja mpaka
tunapoishi tukafanya maombi kwenye kile chumba
kisha Yule mbwa wetu Nasri alichukuliwa na Dada
na jioni iyo iyo tukaondoka mpaka New Africa Hotel
ambapo Ndio alikuwa amefikia Pastor Stefansson,
tukalala hapo na hasubuhi tulipanda ndege
mahalumu iliyotumwa na serikali ya Kenya. Tulifika
Kenya na huduma ikaanza, tulifanya maombi
mfululizo kama siku tatu tu na safari ikaanza
kuelekea Uganda, maana Pastor Stefansson alisema
ngoja afanye maombezi East Africa yote kuliko
kufanya Tanzania tu na Kenya, basi baada
yakumaliza kufanya mombezi katika jiji la Kampala
nchini Uganda, tukachukua ndege ya;
AIR CANADIAN WORSHIP
Tulipopaa tu angani nikamwambia Jofu;
❛Jofu Nasikitika kukwambia kuwa sirudi tena
Tanzania au nyumbani.. ❜
Kisha machozi yakaanza kunitoka, kwakuwa tulikuwa
tumekaa seat moja basi Jofu akanikumbatia huku
akiniambia;
"Upo sahihi kabisa Mama hakuna sababu yakurudi
tena nyuma kuna nini cha maana kilicho baki
kwanza zaidi ya maasi na maovu yanayofanywa kila
siku twende Mama twende tukamtumikie MUNGU ili
tuishi maisha ya furaha na amani.!!"
Tulifika salama kabisa nchini Canada na baada ya
mwezi mmoja tukiwa chini ya Pastor Stefansson
ambaye kwa pale Ottawa yani mji mkuu wa Canada
waumini wamempa jina la The Second Jesus (Yesu
wa pili) jina ambalo yeye ulikataa katu katu kabisa
maana anaamini kuwa Hakuna wakufanana na Yesu.
Basi tulifunga ndoa na siku ya kwanza kufanya
mapenzi na Jofu yani toka nipone huwezi amini
kabisa maana nilijishangaa kuona kuwa nimerudi
kuwa bikra kabisa yani jamani kweli MUNGU
mkubwa aisee...mume wangu mwenyewe ambaye
ni Jofu alishangaa kabisa akabaki kaduwaa tu
baada yakuona damu kibao huku nyuzi nyuzi za uke
Wangu zikikatika yani inaonyesha ni bikra original
kabisa tena ambaye sijawahi ata kujiosha na vidole.
Tulipomaliza kufanya tukapiga magoti nakumuomba
MUNGU atusamehe, maisha yakaendelea pale
Canada huku Pastor Stefansson akisafiri nchi
mbalimbali pamoja na mume wangu Jofu nashukuru
MUNGU maana nguvu za MUNGU zilimmshukia
naye akaanza kutoa mapepo nakuwaponya watu
wenye magonjwa madogo madogo. Baada ya muda
mlefu kidogo nikafanikiwa kupata mtoto wakiume
ambaye tulimpa jina Stefano ili awe wajina wa
Pastor Stefansson, baada ya miaka mitano nilikuwa
tayari nina watoto watatu yani Stefano, Leah, Na
Kenan. Bahati nzuri Pastor Stefansson aliitwa na
MUNGU ivyo alilala usingizi mzito nakupokelewa
mbinguni na Baba yetu...Basi nafasi yake
ikachululiwa na mume wangu Jofu. Tulipata taarifa
kuwa Mama yangu ni mgonjwa sana..na Mimi
sikutaka kabisa ndugu zangu wafe bila kuona nguvu
na uwezo wa MUNGU alionifanyia. Basi nikafunga
safari ya ghafla Mimi pamoja na familia nzima
Kama lilivyokuwa enzi za Pastor Stefansson tukafika
mpaka Dar es salama kwa bahati nzuri kumbe
Mama alikuwa yupo Hospital ya Agakhan kalazwa
anasumbuliwa na kisukari, miguu, pamoja na
macho, sawa umri ulikuwa umeenda lakini
ikumbukwe kuwa kwa MUNGU hakuna Bibi wala
Babu..tukaenda pale pale hospital tukamfanyia
maombi akasimama mwenyewe nakutembea mpaka
ilipokuwa imepaki gari..!!
Kwa tukio ilo tulipofika tu nyumbani Dada na
Shemeji pamoja na mtoto wa Dada Shinje wote
wakapiga magoti nakumpa Yesu maisha yao baada
ya siku kadhaa ndugu zangu na rafiki zao wote
wakampa Yesu maisha yao na jambo la Ajabu
nikwamba Munah rafiki yake Jofu alikuwa nchini
India akimuuguza Baba yake aliyekuwa
akisumbuliwa na moyo, Basi Jofu akampigia Simu
rafiki yake Munah nakumwambia kuwa ampe Simu
Baba yake ili amfanyie maombi maana hakuna
umbali katika maombi, kweli Jofu alifanya ivyo..
Dakika chache tu Jofu ikapiga Simu akidai Baba
yake kasimama nakuzitoa mashine zote za oxygen
kwakweli ilikuwa ni furaha ilioje Baba yake Munah
aliporudi toka India akatoa godauni lake moja liwe
kanisa kisha na yeye akawa mkristo pamoja na
familia yake yote..!!
Taarifa za Baba yake Munah kuasi uisilamu nakuwa
mkristo zilifika Pakistan ambako ndiko chimbuko la
ukoo wake kwaiyo jumapili moja tukiwa ibaadani
Mimi nilikuwa pamoja mume wangu Jofu tukisibiri
tupewe nafasi ili tuwaage maana kesho ndio
tulitakiwa kurudi Canada Sasa sijui ni kitu gani
maana Jofu aliwaambia watoto wetu waende nje
kuleta zawadi ndani ya gari la Baba yake Munah
kweli Stefano alienda na wadogo zake wote wawili
wakaenda nakuleta briefcase ya ajabu kisha watoto
wetu wakaenda tena nje ghafla ulitokea mlipuko
mkubwa sana na kanisa lote likashika moto wakati
moto unaendelea kuwaka mala nikamuona Jofu
akiwa na mabawa akanishika mkono kisha tukaanza
kupaa kwenda mbinguni na watu wangine nao ivyo
ivyo..!!
Tulifika mbinguni tukamuona Pastor Stefansson
akiwa pamoja na Yule mtume wa Yesu Stefanie
aliuwawa kwa kupigwa mawe mwaka 106 AD.
Tukasogea na kupokelewa huku watu wote
wakiimba nakusujudu.
NIKATAZAMA DUNIANI NILIONA MAOVU YOTE
YANAYOFANYIKA NIKALIA SANA MIMI KOGA,
NILITAMANI NIRUDI KUWACHUKUA NA WATOTO
WANGU LAKINI HAIWEZEKANI.
PASTOR STEFANSSON AKAJA NAKUSEMA
UMECHELEWA HAUWEZI KUZUIA.
 
TULIPOISHIA..<<<
Nilipomaliza kuongea nikamuona Shemeji akitoka
CHUMBANI, sikufikiri kama atakuwepo hapa ndani
basi akamgeukia Jofu nakuanza kumwambia kwa
mtindo wakuuliza;
"Wee Jofu ivi unaelewa anachozughumza uyu mkeo,
maana anaongea vitu ambavyo havipo kabisa
maana nasikia Mara Canada Mara sijui kulipwa na
MUNGU, kwakweli Mdogo wangu kapona ila nahisi
akili zake bado hazipo sawa.!"
Kwanza nilimshangaa Sana Shemeji yangu kwa
kuniona Mimi Mjinga na mpuuzi nadhani hajui nani
kaniponya, ila kabla Jofu hajamjibu chochote
Shemeji nikamkatisha kwa kusema..!!
_____ENDELEA NAYO______
Nilimshangaa sana Shemeji yangu ananiona Mimi
Mjinga sina akili, kabla Jofu hajajibu nikamwambia
Dada kuwa inatosha nilicho ongea kimeeleweka
uzuri hakuna mtoto hapo. Ndipo Dada akasema
huku akionyesha wasiwasi kidogo;
"Kwaiyo Mdogo wangu Koga Ndio unaondoka
kwenda Canada kweli..!??"
"Ndio ivyo Dada, acha niende nikamtumikie Mungu
maana bila yeye ningekuwa maiti..!"
"Sawa, lakini mbona imekuwa ghafla sana Mdogo
wangu, Mimi nashukuru umepona nilitaka tule bata
kwa uzima uliopata ivyo nilitegemea utasubiri Mama
arudi tufurahi Pamoja ndio uende huko Canada sasa
Mdogo Wangu. Pia Mimi nimesha kusamehe kabisa
naomba husiondoke ili ikiwezekana tufungue
ukurasa Mpya wa maisha yetu, sababu ata Baba
tayari kafariki kwaiyo nilidhani wewe unaenda
kumsimamia Mama kuzipangilia zile Mali kule
kijijini..Koga husiende Canada Mdogo wangu
nakuomba.!!"
Alipomaliza kuongea nilimuangalia sana Dada yangu
maana nilimuona mpaka sasa hajui Mimi ninani, na
ndipo nikamjibu;
"Dada Mimi nilisha kufa sawa ndio maana wote
mliukimbia mwili wangu, akabaki binadamu mmoja
tu Mwenye roho ya ajabu ambaye ni Jofu, lakini
yote ayo nimesha wasamehe kwa dhati kabisa
kama Mimi alivyo nisamehe Baba yangu Yesu
Christo, sasa ujio Wangu huu au kuzaliwa kwangu
huku mala ya pili ni special kwa ajili ya kazi moja
tu hapa duniani ambayo nikuakikisha wewe na
familia yangu yote mnaenda mbinguni na iyo kazi
ndio ajira yangu kwa sasa. Kwaiyo ukurasa
unaotaka wewe nifungue Mimi tayari
nimeshaufungua ukurasa Mpya tena wa HOLY BIBLE
(Biblia takatifu) kwaheri Dada yangu naomba kesho
mnisindikize airport hapa naomba tu process za
Passport zikamilike vizuri ili kesho niondoke zangu,
ila katika jina la Yesu itawezekana..!!
"Mmh! Sawa Mdogo wangu naona umeamua Mimi
sina neno zaidi..!!"
Basi ilipofika jioni wahudumu walikuja mpaka
tunapoishi tukafanya maombi kwenye kile chumba
kisha wakatuambia kuwa taratibu zote za Passport
zimekamilika kwaiyo safari ipo tayari, kwaiyo kama
tupo tayari basi tujiandae kwa safari yakwenda
alipofikia Pastor. Basi nikamfuata yule mbwa wetu
Nasri aliyeokoa maisha yangu nikafumba macho
huku nimemshika kichwani nikamuombea maombi
ya kumtakia maisha mema na uzima tele, baada ya
hapo alichukuliwa na Dada nakuondoka naye
kuelekea kwake.
Tukapanga panga nguo nakuweka vizuri chumba
chetu na jioni iyo iyo tukaondoka mpaka New Africa
Hotel ambapo ndio alikuwa amefikia Pastor
Stefansson, alifurahi sana kutuona alikuwa
akinitazama kwa shauku kisha akasema;
"I don't know why people they don't realize the
name Jesus, the only healing name.!!"
(Sijui kwanini watu hawalitambui jina la Yesu, jina
pekee linalo ponya.!!"
Aliongea Pastor huku tukipeana mikono akaniambia;
"Groly to God"
(Utukufu kwa Mungu)
Nami nikamjibu huku nikivunja goti kuonyesha
heshima kwa uyu Pastor;
"Amen"
Tukiwa hapo Hotelini tulikula Chakula kizuri kabisa,
tuliongea mengi sana na jopo zima la wahudumu
wa Pastor Stefansson. Muda wakulala ulupofika
Mimi sikulala na Jofu kutokana nakuwa sio mume
wangu ivyo nililala na wanawake wenzangu.
Tukalala hapo na asubuhi ya saa moja tulichukuliwa
na gari mahalumu la hapa hotelini mpaka airport,
ambapo kwa mara ya kwanza nilipanda ndege
mahalumu nikiwa na kundi zima la Pastor Pamoja
na Jofu wangu. Ndege iyo iliyotumwa na serikali ya
Kenya, ili Pastor akafanye huduma kwenye nchi yao.
Tulifika Kenya na huduma ikaanza, tulifanya maombi
mfululizo kama siku tatu tu watu walifunguliwa
vilema walitembea wapagani mamia kwa mamia
walimpa yesu maisha kwakweli ilikuwa ni utukufu
kwa Mungu.
Baada ya huduma iyo nzuri ya hapo Kenya atimaye
safari ikaanza kuelekea Uganda, maana Pastor
Stefansson alisema ngoja afanye maombezi East
Africa yote kuliko kufanya Tanzania tu na Kenya.
Basi kwakuwa tulifanya huduma kubwa sana nchini
Uganda huku Mimi nikiwa busy kuwasadia
wagonjwa wa aina zote ata awe kajinyea Mimi sijali
kabisa, maana naijua hali niliyokuwanayo Mimi hapo
awali. Sasa waganda wakawa wananishangaa
nakuniona Mimi ni msichana wa ajabu sana wasijue
nilikuwaje;
"Wow! this is a wonderful woman!"
(Aisee! Uyu ni mwanamke wa ajabu sana)
Nilimsiki mtu mmoja aliyekuwa karibu yangu
akiongea, baada ya Mimi kumshikilia mmoja ya
mgonjwa aliyekuwa anaumwa moto wa Mungu,
nadhani kilichomfanya uyu mganda kunishangaa
nikutokana na ugonjwa uo ulivyo mmbaya na hatari
sana yani bora uugue Ukimwi na magonjwa mangine
mangine unaweza kuishi maisha ya kawaida kabisa
lakini sio kwa huu ugonjwa ni hatari sana.!!
Basi baada yakumaliza kufanya maombezi katika jiji
la Kampala nchini Uganda, atimaye ndege
mahalumu kabisa toka nchini Canada ilifika Entebbe
International Airport nakutusubiri hapo. Tulifika
uwanja wa ndege mapema alfajiri nikaiona ndege
kubwa yenye maandishi ubavuni mwake yanayo
someka
AIR CANADIAN WORSHIP
Tukatazama usoni Jofu alafu kila mmoja akauvuta
mdomo wake pembeni nakutengeneza tabasamu
changa. Zikafanyika taratibu kadhaa hapo kisha
tukaingia ndani ya ndege iyo kubwa sana tayari kwa
safari ya kuelekea ulaya au America ya kasikazini.
Lakini huwezi amini maana ghafla nili...!!!
 
❮SEHEMU YA 67❯
TULIPOISHIA..<<<
Basi baada yakumaliza kufanya maombezi katika jiji
la Kampala nchini Uganda, atimaye ndege
mahalumu kabisa toka nchini Canada ilifika Entebbe
International Airport nakutusubiri hapo. Tulifika
uwanja wa ndege mapema alfajiri nikaiona ndege
kubwa yenye maandishi ubavuni mwake yanayo
someka
AIR CANADIAN WORSHIP
Tukatazama usoni Jofu alafu kila mmoja akauvuta
mdomo wake pembeni nakutengeneza tabasamu
changa. Zikafanyika taratibu kadhaa hapo kisha
tukaingia ndani ya ndege iyo kubwa sana tayari kwa
safari ya kuelekea ulaya au America ya kasikazini.
____ENDELEA NAYO___
Tulipopaa tu angani nikamwambia Jofu;
❛Jofu Nasikitika kukwambia kuwa sirudi tena
Tanzania au nyumbani.. ❜
Kisha machozi yakaanza kunitoka, kwakuwa tulikuwa
tumekaa seat moja basi Jofu akanikumbatia huku
akiniambia;
"Upo sahihi kabisa Mama hakuna sababu yakurudi
tena nyuma kuna nini cha maana kilicho baki
kwanza zaidi ya maasi na maovu yanayofanywa kila
siku twende Mama twende tukamtumikie MUNGU ili
tuishi maisha ya furaha na amani.!!"
Safari ilikuwa ndefu sana na kilicho saidia ni
kwamba hii ndege ilikuwa ni special kwa safari za
nchi nne tu yani ikitoka Dar es salaam inaweka
kituo Ethiopia, ikitoka hapo inatua Egypt (Misri)
baada ya hapo inakuja Turkish alafu ndio inakuja
Emirates (Dubai) ikiluka hapo ndio moja kwa moja
mpaka Toronto au Ontario Canada.
Izo ndio route za hii ndege ivyo hakuna kusimama
simama ovyo njiani kama daladala.
Safari ilikuwa ndefu sana maana toka Dar mpaka
Toronto kwa usafiri wa ndege inatumia masaa 16
na dakika 26. Kwaiyo kwakuwa tulitoka saa moja
asubuhi ivyo Canada tunaingia kesho yake saa 4:00
asubuhi ambayo kwa masaa ya America itakuwa
sijui muda gani uenda ikawa usiku.
Ayo yalikuwa ni maongezi yetu Mimi na Jofu wangu,
Mimi nilianza kusinzia baada yakuluka toka Turkish
wakati Jofu yeye alikuwa kavaa headphones
anaendelea kusikiliza wimbo wa Fanuel Sedekia
Manukato.
Nikawa namsikia akijaribu kuigizia kuuimba uo
wimbo, ikabidi nimwambie;
"Jofu una sauti nzuri na yenye kuvutia, yavaa uanze
kumtumikia Mungu kwa njia ya uimbaji tukifika
huko Canada.!!"
"Nashukuru kwa ushuuda wako, itabidi nifanye
mazoezi sana maana uimbaji sio kazi ndogo."
"Ni kweli, ila ukimshirikisha Mungu utaweza na
itakuwa kazi lahisi sana.!"
Basi safari ikaendelea huku ma afisa wa ndege
wakipita huku na huko wakijaribu kuangalia usalama
wa abiria wao. Yeye Jofu alikuwa busy tu na kuigizia
uo wimbo, msikie kidogo;
Verse: 1.
Umeweka wimbo, kinywani mwaangu,
Bwana uliniumba, ili nikwabuudu
Nakuabudu nakuabuduu..
******
Chorus: ×2
Wewe uketiye juuu ya vyote,
Sifa izi zifike kinywani mwako,
Wimbo huu ukawe manukato,
***
Weeweeee, wewe uketiye juu ya vyote,
Sifa izi zifike kinywani mwako,
Wimbo huu ukawe manukato.
Verse: 2.
Wewe ni Niko ambaye n iko,
Milele iliyopita, na milele ijayo,
Sioni chakukulisha moyo wakooo,
Badala yakukuabudu mtakatiiiifuu.
Chorus:
Wewe uketie juu ya vyote,
Sifa izi zifike kinywani mwako,
Wimbo huu ukawe manukato.
Kama sadaka ya Aberi,
manukato.
Kama zaburi ya Daudi,
manukato.
Manukato, manukato, manukatoooh
Manukato
Aleluyaah Aleluyaah Aleluyaaaaah
Manukato
Nakuomba bwana wimbo huu, ukawee, manukato
Manukato, manukato, manukatooohh!
Manukato
Aleluyaah Aleluyaah Aleluyaaaaah
Manukato.
"Woow Jofu uyoo, akika lazima umwimbie Mungu
kabisa yani.!"
Nilimwambia Jofu baada yakumaliza kuimba uo
wimbo wa Fanuel Sedekia kama ulivyo, Jofu alikuwa
akitabasamu tu huku akinitazama.
Mwanzo nilipenda sana hii safari ya ndege lakini
tulipofika anga la juu zaidi nilianza kuogopa
japokuwa sio sana maana ata nikifa sawa tu Sababu
nipo na Yesu moyoni mwangu ivyo siogopi kifo,
maana kufa ni lazima nakuishi ni bahati.
"Mmh! Jofu kumbe America ni mbali ujue mpaka
numechoka kukaa yani.!"
Nilimwambia Jofu kisha akajibu;
"Pole Mama, subiri muhudumu akipita nimweleze ili
walau utembee tembee kidogo, sababu naona
system inaonyesha bado kuna miles kadhaa ndio
tufike Toronto..!!"
"Kwani Jofu, unajua umbali wa toka Dar mpaka
huko Toronto tuendako..?"
"Ndio najua, kwanini nisijue sasa wangu!?"
"Niambie basi na Mimi.!"
"Sawa, toka Dar Tanzania, mpaka Toronto Canada
kuna umbali wa 7,967miles ambazo ni sawa na
12,821Kilometers ni palefu sana.!"
"Mmh! Ongera yako bwana"
Basi baada ya mwendo mlefu na kmya kikuu
kuitawala ndege yote atimaye tuliamka wote na
taarifa ya kwanza kabisa alikuwa ni salam kisha
tukaambiwa tumefika nchini Canada ivyo tukae
tayari tufunge vyema mikanda yetu maana ndege
inaenda kutua sasa.
Baada ya ndege kutua tulitelemka huku
tukisalimiana hali ya hewa ilikuwa ni baridi sana,
nikatazama mbele ya jengo kubwa nikaona
maandishi Toronto Pearson International Airport.
Nikamuuliza Jofu kuwa kumbe bado kufika Canada
maana hapa ni Toronto, ila Jofu akcheka kisha
akasema hapana hapa ni Canada na huu mji wao au
Main City kama vile sisi kule Tanzania Dar, Arusha,
labda na Mbeya.
Tulifika salama kabisa nchini Canada na baada ya
mwezi mmoja tukiwa chini ya Pastor Stefansson
ambaye kwa hapa Canada waumini wamempa jina
la The Second Jesus (Yesu wa pili) jina ambalo
yeye ulikataa katu katu kabisa maana anaamini
kuwa Hakuna wakufanana na Yesu, hakuna
wakufanana naye..!!
Basi tulifunga ndoa na siku ya kwanza kufanya
mapenzi na Jofu yani toka nipone huwezi amini
kabisa maana nilijishangaa kuona kuwa nimerudi
kuwa bikra kabisa yani jamani kweli MUNGU
mkubwa aisee...mume wangu mwenyewe ambaye
ni Jofu alishangaa kabisa akabaki kaduwaa tu
baada yakuona damu kibao huku nyuzi nyuzi za uke
Wangu zikikatika yani inaonyesha ni bikra original
kabisa tena ambaye sijawahi ata kujiosha na vidole
 
❮SEHEMU YA 67❯
TULIPOISHIA..<<<
Basi baada yakumaliza kufanya maombezi katika jiji
la Kampala nchini Uganda, atimaye ndege
mahalumu kabisa toka nchini Canada ilifika Entebbe
International Airport nakutusubiri hapo. Tulifika
uwanja wa ndege mapema alfajiri nikaiona ndege
kubwa yenye maandishi ubavuni mwake yanayo
someka
AIR CANADIAN WORSHIP
Tukatazama usoni Jofu alafu kila mmoja akauvuta
mdomo wake pembeni nakutengeneza tabasamu
changa. Zikafanyika taratibu kadhaa hapo kisha
tukaingia ndani ya ndege iyo kubwa sana tayari kwa
safari ya kuelekea ulaya au America ya kasikazini.
____ENDELEA NAYO___
Tulipopaa tu angani nikamwambia Jofu;
❛Jofu Nasikitika kukwambia kuwa sirudi tena
Tanzania au nyumbani.. ❜
Kisha machozi yakaanza kunitoka, kwakuwa tulikuwa
tumekaa seat moja basi Jofu akanikumbatia huku
akiniambia;
"Upo sahihi kabisa Mama hakuna sababu yakurudi
tena nyuma kuna nini cha maana kilicho baki
kwanza zaidi ya maasi na maovu yanayofanywa kila
siku twende Mama twende tukamtumikie MUNGU ili
tuishi maisha ya furaha na amani.!!"
Safari ilikuwa ndefu sana na kilicho saidia ni
kwamba hii ndege ilikuwa ni special kwa safari za
nchi nne tu yani ikitoka Dar es salaam inaweka
kituo Ethiopia, ikitoka hapo inatua Egypt (Misri)
baada ya hapo inakuja Turkish alafu ndio inakuja
Emirates (Dubai) ikiluka hapo ndio moja kwa moja
mpaka Toronto au Ontario Canada.
Izo ndio route za hii ndege ivyo hakuna kusimama
simama ovyo njiani kama daladala.
Safari ilikuwa ndefu sana maana toka Dar mpaka
Toronto kwa usafiri wa ndege inatumia masaa 16
na dakika 26. Kwaiyo kwakuwa tulitoka saa moja
asubuhi ivyo Canada tunaingia kesho yake saa 4:00
asubuhi ambayo kwa masaa ya America itakuwa
sijui muda gani uenda ikawa usiku.
Ayo yalikuwa ni maongezi yetu Mimi na Jofu wangu,
Mimi nilianza kusinzia baada yakuluka toka Turkish
wakati Jofu yeye alikuwa kavaa headphones
anaendelea kusikiliza wimbo wa Fanuel Sedekia
Manukato.
Nikawa namsikia akijaribu kuigizia kuuimba uo
wimbo, ikabidi nimwambie;
"Jofu una sauti nzuri na yenye kuvutia, yavaa uanze
kumtumikia Mungu kwa njia ya uimbaji tukifika
huko Canada.!!"
"Nashukuru kwa ushuuda wako, itabidi nifanye
mazoezi sana maana uimbaji sio kazi ndogo."
"Ni kweli, ila ukimshirikisha Mungu utaweza na
itakuwa kazi lahisi sana.!"
Basi safari ikaendelea huku ma afisa wa ndege
wakipita huku na huko wakijaribu kuangalia usalama
wa abiria wao. Yeye Jofu alikuwa busy tu na kuigizia
uo wimbo, msikie kidogo;
Verse: 1.
Umeweka wimbo, kinywani mwaangu,
Bwana uliniumba, ili nikwabuudu
Nakuabudu nakuabuduu..
******
Chorus: ×2
Wewe uketiye juuu ya vyote,
Sifa izi zifike kinywani mwako,
Wimbo huu ukawe manukato,
***
Weeweeee, wewe uketiye juu ya vyote,
Sifa izi zifike kinywani mwako,
Wimbo huu ukawe manukato.
Verse: 2.
Wewe ni Niko ambaye n iko,
Milele iliyopita, na milele ijayo,
Sioni chakukulisha moyo wakooo,
Badala yakukuabudu mtakatiiiifuu.
Chorus:
Wewe uketie juu ya vyote,
Sifa izi zifike kinywani mwako,
Wimbo huu ukawe manukato.
Kama sadaka ya Aberi,
manukato.
Kama zaburi ya Daudi,
manukato.
Manukato, manukato, manukatoooh
Manukato
Aleluyaah Aleluyaah Aleluyaaaaah
Manukato
Nakuomba bwana wimbo huu, ukawee, manukato
Manukato, manukato, manukatooohh!
Manukato
Aleluyaah Aleluyaah Aleluyaaaaah
Manukato.
"Woow Jofu uyoo, akika lazima umwimbie Mungu
kabisa yani.!"
Nilimwambia Jofu baada yakumaliza kuimba uo
wimbo wa Fanuel Sedekia kama ulivyo, Jofu alikuwa
akitabasamu tu huku akinitazama.
Mwanzo nilipenda sana hii safari ya ndege lakini
tulipofika anga la juu zaidi nilianza kuogopa
japokuwa sio sana maana ata nikifa sawa tu Sababu
nipo na Yesu moyoni mwangu ivyo siogopi kifo,
maana kufa ni lazima nakuishi ni bahati.
"Mmh! Jofu kumbe America ni mbali ujue mpaka
numechoka kukaa yani.!"
Nilimwambia Jofu kisha akajibu;
"Pole Mama, subiri muhudumu akipita nimweleze ili
walau utembee tembee kidogo, sababu naona
system inaonyesha bado kuna miles kadhaa ndio
tufike Toronto..!!"
"Kwani Jofu, unajua umbali wa toka Dar mpaka
huko Toronto tuendako..?"
"Ndio najua, kwanini nisijue sasa wangu!?"
"Niambie basi na Mimi.!"
"Sawa, toka Dar Tanzania, mpaka Toronto Canada
kuna umbali wa 7,967miles ambazo ni sawa na
12,821Kilometers ni palefu sana.!"
"Mmh! Ongera yako bwana"
Basi baada ya mwendo mlefu na kmya kikuu
kuitawala ndege yote atimaye tuliamka wote na
taarifa ya kwanza kabisa alikuwa ni salam kisha
tukaambiwa tumefika nchini Canada ivyo tukae
tayari tufunge vyema mikanda yetu maana ndege
inaenda kutua sasa.
Baada ya ndege kutua tulitelemka huku
tukisalimiana hali ya hewa ilikuwa ni baridi sana,
nikatazama mbele ya jengo kubwa nikaona
maandishi Toronto Pearson International Airport.
Nikamuuliza Jofu kuwa kumbe bado kufika Canada
maana hapa ni Toronto, ila Jofu akcheka kisha
akasema hapana hapa ni Canada na huu mji wao au
Main City kama vile sisi kule Tanzania Dar, Arusha,
labda na Mbeya.
Tulifika salama kabisa nchini Canada na baada ya
mwezi mmoja tukiwa chini ya Pastor Stefansson
ambaye kwa hapa Canada waumini wamempa jina
la The Second Jesus (Yesu wa pili) jina ambalo
yeye ulikataa katu katu kabisa maana anaamini
kuwa Hakuna wakufanana na Yesu, hakuna
wakufanana naye..!!
Basi tulifunga ndoa na siku ya kwanza kufanya
mapenzi na Jofu yani toka nipone huwezi amini
kabisa maana nilijishangaa kuona kuwa nimerudi
kuwa bikra kabisa yani jamani kweli MUNGU
mkubwa aisee...mume wangu mwenyewe ambaye
ni Jofu alishangaa kabisa akabaki kaduwaa tu
baada yakuona damu kibao huku nyuzi nyuzi za uke
Wangu zikikatika yani inaonyesha ni bikra original
kabisa tena ambaye sijawahi ata kujiosha na vidole
 
TULIPOISHIA..<<<
Kweli Jofu alifanya ivyo.. Dakika chache tu Munah
akapiga Simu akidai Baba yake kasimama nakuzitoa
mashine zote za oxygen kwakweli ilikuwa ni furaha
ilioje Baba yake Munah aliporudi toka India akatoa
godauni lake moja liliopo maeneo ya Tabata ili liwe
kanisa kisha na yeye akawa mkristo pamoja na
familia yake yote..!!
Ikumbukwe ni waarabu....!!
____ENDELEA NAYO___
Taarifa za Baba yake Munah kuacha uisilamu
nakuwa mkristo (Mrokole) zilifika Pakistan ambako
ndiko chimbuko la ukoo wake, kwaiyo misugiano na
migongano ilianza baina yao huku bahadhi ya
wafanyakazi wake toka huko Pakistan na India
wakiacha kazi nakuondoka zao kurudi kwao wakidai
uyu Mzee kawa kafiri.
Siku ya jumamosi alikuja Mjomba wake na Munah
toka huko Pakistan akiwa kaongozana na vijana
wake wakazi, hakufikia kwa ndugu yake ila alifikia
hotelini.
Na siku ya jumapili tukiwa ibadani Mimi nilikuwa
pamoja na mume wangu Jofu tukisubiri tupewe
nafasi ili tuwaage maana kesho ndio tulitakiwa
kurudi Canada Sasa sijui ni kitu gani maana Jofu
aliwaambia watoto wetu waende nje kuleta zawadi
zilizokuwa ndani ya gari la Baba yake Munah kweli
Stefano alienda na wadogo zake wote wawili
Kenany na Leah wakaenda nakuleta briefcase ya
ajabu..!! Kila mmoja alishangaa maana iyo Briefcase
hatuitambui kabisa kisha watoto wetu wakaenda
tena nje ambako ata sikujua walifuata nini huko nje.
Tukiwa tunasubiri kuona labda kuna mgeni
wamempokea iyo briefcase, na sasa wamerudi
kuchukua izo zawadi. Lakini hali alikuwa tofauti
kabisa, maana aliingia kijana mmoja akiwa kavalia
kanzu na skafu aliyoizungusha shingoni mwake
mpaka mdomoni akasema;
"ALAHU AKBAR..!!"
Kisha nikamshuudia akitoa remote nakubonyeza
Twiiiiiiiiiiiiiiihh..!!!
Mara ghafla ulitokea mlipuko mkubwa sana
.BUUUUUUUUUUUUUUUUHHH na
kanisa lote likashika moto wakati moto unaendelea
kuwaka huku ukiwa umeenea kila maahali hapo
mara nikamuona mume wangu Jofu akiwa na
mabawa akanishika mkono na Mimi niligundua nina
mabawa pia..!! kisha tukaanza kupaa kwenda
juu mbinguni na watu wangine nao ivyo ivyo..!!
Baadhi ya wenzetu walibaki wakilia nakusaga meno
maana moto uliwachoma vibaya sana pale kanisani
tulipaa watu wachache sana nasikitika Dada yangu
na Shemeji walibaki wakilia nakusaga meno wasijue
nani atawakoa toka kwenye lile dimbwi la au ziwa
la moto.
Tulifika mbinguni tukamuona Pastor Stefansson
akiwa pamoja na Yule mtume wa Yesu Stefanie
aliyeuwawa kwa kupigwa mawe mwaka 106 AD.
Tukasogea na kupokelewa huku watu wote
wakiimba nakusujudu. Wakiwa na mavazi meupe na
malefu yakupendeza sura zao zinawaka nakung'ara
kama jua. Sote tulikuwa sawa hakuna mlefu wala
mfupi mweupe wala mweusi, mnene wala
mwembamba, mzuri wa sura wala mmbaya,
kionhozi wala hasiye kiongozi, mkubwa wala
Mdogo, tajiri wala maskini, msomi wala hasiye
msomi. Hakika MUNGU ni wa ajabu sana maana
hakujulikana mwanaume wala mwanamke, hakika
sote ni sawa. Hapo ndio nikaamini kweli binadamu
tunaishi kwa kubaguana sana.
Nikaomba nitazame kidogo duniani, ndipo malaika
mmoja akanipeleka sehemu mahalumu kabisa
yakutazamia duniani. Aisee nilipotazama duniani
kwanza nilikutana na halufu kali na mbaya ya uozo
wa binadamu na maovu yao, nikajikaza nikaendelea
kutazama. Nilijikuta nalia Sana nilitamani nirudi
kuwachukua watoto wangu ili wasiingie kwenye
mtengo na matamanio ya muovu ibilisi shetani,
lakini Yule malaila akasema haiwezekani kabisa
maana imeandikwa kuwa KILA MMOJA ATABEBA
MSARABA WAKE MWENYEWE.
Nilipoendelea kulia nakumsihi uyu malaika anipe
nafasi iyo niwafuate watoto wangu, alikataa kabisa
kisha akafunga na ile sehemu kisha akaniacha Mimi
nalia yeye akaondoka zake. Punde kidogo
nikamuona Pastor Stefansson akiwa Pamoja na
Ester pomoja na wateule wangine,waliponifikia
Pastor Stefansson akasema;
"UMECHELEWA HAUWEZI KUZUIA, MAANA
IMEANDIKWA KUWA NI LAZIMA KILA
MWANADAMU APITIE MAJARIBU NA AYASHINDE
YEYE MWENYEWE KWA KUJIKANA NAKUBEBA
MSARABA WAKE MWENYEWE NA AMFUATE YESU
KRISTO. KWAIYO WEWE SAFARI YAKO IMEISHA
HAPO NA KITABU CHAKO TAYARI KIFUNGWA
MAMBO YA DUNIANI AYAKUHUSU TENA."
________M....W....I....S...H...O________
"Shukrani za dhati kwa rafiki zangu niliokuwanao
Pamoja mwanzo wa hadithi yetu mpaka leo
tumefika tamati, tusameheane kwa makosa madogo
madogo yakibinadamu. Kama ungependa kuipata
yote kuanzia mwanzo unaweza kuchangia kidogo
chochote kisha nitakutumia kwa njia yoyote inayofaa
kwako.
 
TULIPOISHIA..<<<
Kweli Jofu alifanya ivyo.. Dakika chache tu Munah
akapiga Simu akidai Baba yake kasimama nakuzitoa
mashine zote za oxygen kwakweli ilikuwa ni furaha
ilioje Baba yake Munah aliporudi toka India akatoa
godauni lake moja liliopo maeneo ya Tabata ili liwe
kanisa kisha na yeye akawa mkristo pamoja na
familia yake yote..!!
Ikumbukwe ni waarabu....!!
____ENDELEA NAYO___
Taarifa za Baba yake Munah kuacha uisilamu
nakuwa mkristo (Mrokole) zilifika Pakistan ambako
ndiko chimbuko la ukoo wake, kwaiyo misugiano na
migongano ilianza baina yao huku bahadhi ya
wafanyakazi wake toka huko Pakistan na India
wakiacha kazi nakuondoka zao kurudi kwao wakidai
uyu Mzee kawa kafiri.
Siku ya jumamosi alikuja Mjomba wake na Munah
toka huko Pakistan akiwa kaongozana na vijana
wake wakazi, hakufikia kwa ndugu yake ila alifikia
hotelini.
Na siku ya jumapili tukiwa ibadani Mimi nilikuwa
pamoja na mume wangu Jofu tukisubiri tupewe
nafasi ili tuwaage maana kesho ndio tulitakiwa
kurudi Canada Sasa sijui ni kitu gani maana Jofu
aliwaambia watoto wetu waende nje kuleta zawadi
zilizokuwa ndani ya gari la Baba yake Munah kweli
Stefano alienda na wadogo zake wote wawili
Kenany na Leah wakaenda nakuleta briefcase ya
ajabu..!! Kila mmoja alishangaa maana iyo Briefcase
hatuitambui kabisa kisha watoto wetu wakaenda
tena nje ambako ata sikujua walifuata nini huko nje.
Tukiwa tunasubiri kuona labda kuna mgeni
wamempokea iyo briefcase, na sasa wamerudi
kuchukua izo zawadi. Lakini hali alikuwa tofauti
kabisa, maana aliingia kijana mmoja akiwa kavalia
kanzu na skafu aliyoizungusha shingoni mwake
mpaka mdomoni akasema;
"ALAHU AKBAR..!!"
Kisha nikamshuudia akitoa remote nakubonyeza
Twiiiiiiiiiiiiiiihh..!!!
Mara ghafla ulitokea mlipuko mkubwa sana
.BUUUUUUUUUUUUUUUUHHH na
kanisa lote likashika moto wakati moto unaendelea
kuwaka huku ukiwa umeenea kila maahali hapo
mara nikamuona mume wangu Jofu akiwa na
mabawa akanishika mkono na Mimi niligundua nina
mabawa pia..!! kisha tukaanza kupaa kwenda
juu mbinguni na watu wangine nao ivyo ivyo..!!
Baadhi ya wenzetu walibaki wakilia nakusaga meno
maana moto uliwachoma vibaya sana pale kanisani
tulipaa watu wachache sana nasikitika Dada yangu
na Shemeji walibaki wakilia nakusaga meno wasijue
nani atawakoa toka kwenye lile dimbwi la au ziwa
la moto.
Tulifika mbinguni tukamuona Pastor Stefansson
akiwa pamoja na Yule mtume wa Yesu Stefanie
aliyeuwawa kwa kupigwa mawe mwaka 106 AD.
Tukasogea na kupokelewa huku watu wote
wakiimba nakusujudu. Wakiwa na mavazi meupe na
malefu yakupendeza sura zao zinawaka nakung'ara
kama jua. Sote tulikuwa sawa hakuna mlefu wala
mfupi mweupe wala mweusi, mnene wala
mwembamba, mzuri wa sura wala mmbaya,
kionhozi wala hasiye kiongozi, mkubwa wala
Mdogo, tajiri wala maskini, msomi wala hasiye
msomi. Hakika MUNGU ni wa ajabu sana maana
hakujulikana mwanaume wala mwanamke, hakika
sote ni sawa. Hapo ndio nikaamini kweli binadamu
tunaishi kwa kubaguana sana.
Nikaomba nitazame kidogo duniani, ndipo malaika
mmoja akanipeleka sehemu mahalumu kabisa
yakutazamia duniani. Aisee nilipotazama duniani
kwanza nilikutana na halufu kali na mbaya ya uozo
wa binadamu na maovu yao, nikajikaza nikaendelea
kutazama. Nilijikuta nalia Sana nilitamani nirudi
kuwachukua watoto wangu ili wasiingie kwenye
mtengo na matamanio ya muovu ibilisi shetani,
lakini Yule malaila akasema haiwezekani kabisa
maana imeandikwa kuwa KILA MMOJA ATABEBA
MSARABA WAKE MWENYEWE.
Nilipoendelea kulia nakumsihi uyu malaika anipe
nafasi iyo niwafuate watoto wangu, alikataa kabisa
kisha akafunga na ile sehemu kisha akaniacha Mimi
nalia yeye akaondoka zake. Punde kidogo
nikamuona Pastor Stefansson akiwa Pamoja na
Ester pomoja na wateule wangine,waliponifikia
Pastor Stefansson akasema;
"UMECHELEWA HAUWEZI KUZUIA, MAANA
IMEANDIKWA KUWA NI LAZIMA KILA
MWANADAMU APITIE MAJARIBU NA AYASHINDE
YEYE MWENYEWE KWA KUJIKANA NAKUBEBA
MSARABA WAKE MWENYEWE NA AMFUATE YESU
KRISTO. KWAIYO WEWE SAFARI YAKO IMEISHA
HAPO NA KITABU CHAKO TAYARI KIFUNGWA
MAMBO YA DUNIANI AYAKUHUSU TENA."
________M....W....I....S...H...O________
"Shukrani za dhati kwa rafiki zangu niliokuwanao
Pamoja mwanzo wa hadithi yetu mpaka leo
tumefika tamati, tusameheane kwa makosa madogo
madogo yakibinadamu. Kama ungependa kuipata
yote kuanzia mwanzo unaweza kuchangia kidogo
chochote kisha nitakutumia kwa njia yoyote inayofaa
kwako.

Safi sana...

Mwanzo wa simulizi una mambo ya ajabu na maneno makali sana/ Matusi matupu...

Ila mwisho wake mzuri...


Chapter Closed...


Cc: mahondaw
 
Kuna watu wenye roho kama ya mzee Shigela yaani huwatafuna binti zao bila kigugumizi wasukuma washirikina ndivyo walivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom