Chombezo: Apple Limepevuka

Chombezo: Apple Limepevuka

APPLE LIMEPEVUKA

EPSODE YA XX

Saa kumi za jioni juu ya alama, simu ya J ikaunguruma. Akaivuta kutokea kwenye meza maalumu ya kulandia, akatazama mpigaji kabla ya kuiweka sikioni.
"niambie mke wangu" alisema J.
"siyo niishie kuwa mkeo wa mdomoni tu, unioe kweli J" alideka msichana aliyepiga simu hiyo.
"hakuna mwingine wa kuwa na nafasi yako kwangu, wewe ni wa ukweli zaidi na nakupenda zaidi ya nikisema nakuhitaji" alizidi kuchombeza J.
"ok, tuachane na hilo, leo usiku ni mgeni wako,
ENJOY

nikitoka hapa hospitali napitia hapo nataka nilale na wewe hadi asubuhi mume wangu nimekuzunguusha kwa muda mrefu. Sasa nataka uje unifaidi usiku kucha"
"ooooh! Siamini ujue"
"amini tu mpenzi si unajua wewe ndiyo ua la pekee ulioota kwenye moyo wangu" alisema huyo dada kisha simu ikakatwa kuashiria kuwa makubaliano yamepita. J alirusha mikono hewani, hakuamini kama Batuli mtu aliyekuwa akimpa ahadi za uwongo na muda mwingine kumzunguusha eti, usiku ndiyo anakuja kuukalia. Alikuwa kichaa kwa muda mfupi sana. Mawazo kuwa alitakiwa kuoa pia yalipeperuka lakini wakati akiwa na furaha, kuna ugeni uliingia mahala hapo kimyakimya.
"ahaa, karibu sana kaka, nilikuwa nakusubiri wewe tu tuanze mazungumzo" alikaribisha J. fundi. Yule bwana akakaribia pale na kuchukua nafasi.
"nimesha karibia bwana. Kwa jina mimi ni Said maana hukuwa ukilijua jina langu kaka" alijibu ukaribisho huyo bwana aliyejitambulisha mahali hapo.
"ndiyo bwana Said" alianza maongezi J.
"mapenzi ni ya ajabu sana ndugu yangu na hadi hivi sasa mimi na wewe tunaongea, hakuna mtaalamu wa mapenzi aliyekuja na mbinu mpya ya kuyamudu mapenzi. Unaweza kujiona kama kituko tu kwenye dunia hii kama hujampata mtu mwenye kuithamini hali yako ya kimapenzi. Sijui kama utakuwa umenielewa?" aliweka alama ya kuuliza J, ili kuona kama ameeleweka. Saidi akatikisa kichwa kukataa kuwa hakumuelewa hata kidogo japo amemsikia. J hakutaka kurudia na hii ni taratibu yake, si mtu wa kurudia mara nyingi, alichokifanya ni kutumia njia rahisi yenye kueleweka vizuri zaidi.
"naomba nikuulize maswali mawili kabla sijaendelea. Moja litajitegemea ila la pili litalitegemea la kwanza" alisema kisha kumtazama bwana huyo usoni. Saidi alikuwa yupo tayari kuyapokea maswali hayo bila shida.
"naomba usinielewe vibaya, kazi ninayoifanya hapa ni kuingia ndani kabisa, sifanyi kazi ya kugusa juu juu kama wafanyavyo wanasihi wengine.....ah!, ah!,.....mimi siyo mnasihi lakini ninalengo pia la kuiweka ndoa yenu katika usalama hivyo usinielewe vibaya kwa kukuuliza maswali ya ndani"
"usijali kaka wewe kuwa huru kuuliza chochote kile ninachotaka kujua mimi ni wapi nakosea labda" J akapewa rungu, akaamua kuingia moja kwa moja kwenye maswali yake.
"hivi unapotaka kufanya mapenzi na mkeo, namaanisha unapotaka kupata haki ya ndoa kwa mkeo, ni kitu gani unamuonesha mkeo au unamuambia ambayo ni kama ishara ya kumtaka unyumba?" akatulia hapo kwa hilo swali la kwanza, hakutaka kumpa maswali yote mawili kwa wakati mmoja. Said akasema kuwa hakuna ishara anayoionesha kwa mkewe au kitu kingine anachokifanya zaidi ya kumwambia kwa amri kuwa anahitaji kufanya mapenzi.
"kosa" akasema J huku akiunganisha na swali la pili papo hapo.
"kuna maanadalizi yoyoye unayoyafanya ili kumuweka tayari kimwili mkeo?" hapa Said alitikisa kichwa kukataa kisha akasema kuwa kikubwa anapokuwa anahitaji penzi la mkewe au mtu yeyote yule asiye hata mkewe, ni kuhakikisha bakora yake imesimama, basi hapo yeye ni kulenga tundu na siyo kitu kingine.
"hili pia kosa Said......unachokifanya wewe ni mapenzi ya karne ya kumi na nane kumi na tisa, mapenzi yaliyokwisha kupitwa na wakati. Mapenzi ya leo Said yanamambo mengi, mapenzi ya leo yanahitaji mbwembwe na maandalizi. Usitake mapenzi ya kifalme Saidi ya kulala na mkeo hadi ukiwa na hitaji la kumuingilia kimwili. Kitu cha kwanza unachotakiwa kukifanya kabla ya yote, ni kumuandaa mkeo/mwenzi wako kiakili. Nasema hivi kwa sababu gani?" akatulia kidogo J kama anayengoja jibu kutoka kwa Said. Haikuwa hivyo, akarudi pale alipoishia na kuendelea.
"nasema hivi kwa sababu maalumu na ya msingi kabisa. Ni vema umuandae mwenzi wako kiakili kwanza. Muoneshe mkeo kuwa sasa uko katika kumuhitaji hata kama hutamuambia kwa lugha zoelefu. Unaweza ukajenga mazoea ya kuwa nyumbani tu siku hiyo au unaweza kuwa mchokozi tu kwake kwa muda huo ambao unamhitaji, liwe ni jambo tofauti lakini lenye kumjengea picha kuwa kwa muda huo, mpenzi wake anamuhitaji. Msifie sana, mwambie mzuri, ukimtazama kila wakati unatamani uwe naye tu kitandani, unatamani hata usiende kazini na ulale naye tu ukila mambo. Penda kuushikashika mwili wake, hata kama kumpigapiga makalio yake au kumkumbatia na kuyaminyaminya matiti yake kwa chati kidogo kisha unamuachia, mwambie unapenda kuyapata mate yake. Mwambie macho yake ndiyo yanayokuuwa kila akutazamapo hasa anapokuwa ameyalegeza hapo ndipo unapokuwa huna hali. Mwambie unapenda zaidi akiwa kwenye kanga moja tu bila chupi ndani, yani unapenda tu kuyaona makalio yake yanavyopambana na kanga hiyo nyepesi. Mwambie tu." akakomea hapo kisha akatulia tena kwa muda kabla ya kumuuliza swali la msingi sana ili kujua kama mpaka hapo wako pamoja.
"ulishawahi kumfanyia hata moja kati ya haya ninayokuambia hasa pale unapokuwa unataka kufanya tendo la ndoa na mkeo?" Said alijibu kuwa utaratibu huo kwenye maisha yake huwa haupo kabisa. J akamwambia sasa huo ndiyo muda wa kuyatumia hayo maneno ili tu kumuweka mkeo katika akili ya kukutamani au kutamani tendo.

Ndugu msomaji, mapenzi yanamambo sana na hapa ndipo unapokubaliana na maneno ya kuwa mapenzi ni utoto au maneno ya msanii wa kizazi kipya anayekwenda kwa jina la Darasa, kuwa mapenzi uchizi na kile unachokidharau wewe mwenzako kinamnyima usingizi. Mapenzi yanahitaji vitu vidogovidogo lakini vyenye mantiki kubwa sana. Wanawake ni kama watoto kwenu enyi wanaume na enyi wanawake, wanaume ni kama watoto kwenu pia. Msisite kuwafanyia michezo ya kitoto pale mnapohitajiana. Mnaweza hata kukimbizana ndani ya nyumba yenu kama bado hamjawa na familia kubwa kama mnayo basi mwaweza kufukuzana ndani tu ikiwa ni katika michezo na mwisho wa siku mkutane kwenye mpango wa kupeana haki ya kuitana wapenzi. Usiwe mbabe kwa mwenza wako eti, tu kwa sababu ni mtoto wa kike, hapo utakuwa hupati ladha ya ndoa au penzi tamu la mwenza wako kwa sababu atakuwa hayupo nawe kiakili bali atakuwa anakupa kwa sababu umemlazimisha na yeye ni mwanamke au mkeo, afanye nini sasa.

"ukishakuwa tayari katika harakati za kumuandaa mwenzi wako kiakili na tayari yuko kifuani kwako ama pembeni yako kwa mahitaji zaidi. Hapo ndipo unapoingia kwenye upande wa pili wa sarafu, hapa ndipo unakuja ule muda wa kumuandaa kimwili yaani hapa namaanisha kumuweka mkeo katika hali ya kuwa sasa anahitaji kuingiliwa nawe. Uandae mwili wake uwe tayari kukupokea kwa ajili ya kuustarehesha na kukustarehesha pia. Tumia viungo vya mwili wako kuhakikisha mwenzi wako anakuwa hana ujanja tena kwako. Tumia mikono yako kuhakikisha mwili wake unaongea nawe kihisia, ondoa nguo zako za juu kabisa ukipenda kisha msogelee mkeo eidha kitandani ama popote pale, anza kuitoa nguo yake ya juu kama utapenda kufanya hivyo. Usisubiri mkeo avue nguo mwenyewe, kumvua nguo wewe kunafaida kubwa sana moja kuu ikiwa ni kuwa karibu zaidi kinwili na inapelekea wewe kuwa na mzuka mwingi kila unapoyaona maungo yake kwa wakati huo. Ukisha kuitoa nguo yake ya juu, anza kumpapasa mwili wake, usipende hisia zikuendeshe kwani kama hisia zitakuongoza na siyo wewe kuziongoza hisia hakika utashindwa kufanya haya. Utumie mwili wake vile utakavyo ili tu uhakikishe umemroga mazima. Fanya kila kitu kwa utaratibu mkubwa tembea na viungo vyako kwenye mwili wake, shika kila panapotakiwa kushikwa ikiwezekana tumia hata vidole vyako kumtekenya kwenye tamu yake. Kama unaweza pia, tumia ulimi wako kumtia nyege kwa kunyonya chuchu zake, kulamba kitovu chake na kama unauwezo zaidi nyonya hadi chini huko chumvini, hapo lazima mkeo alie hata kama hajawahi kulia kwenye mapenzi abadani. Ukishaona sasa mwili wake uko tayari kwa kuingiliwa, unaweza sasa kumuingilia na kufaidi tunda tamu la mkeo. Kwenye kumuingilia pia usingoje mkeo akatike kaka, wewe ndiyo usukani kwenye tendo hilo, hivyo wewe ndiyo unatakiwa umsugue tena umsugue kwelikweli, usilalamike kuwa eti, kiuno cha mkeo kigumu mara ooh mke wangu hakatiki. Wewe nenda kamsugue ukishamfanyia kila kitu nilichokuelekeza hapo juu, utakuja kuniambia kitakachotokea" alimaliza J kwa kukomea hapo, Said akashukuru sana na kuahidi kuwa ni lazima atafanya kila alilomuelekeza mahali hapo na atakuja kumpa majibu kwa itakavyokuwa. Akaondoka zake. J. fundi akajua kwa hapo kidogo atakuwa ametengeneza kimtindo, mkewe atakapokuja ndipo atamuambia umuhimu wa kutumia kiuno chake awapo kwenye uwanja wa fundi seremala. Alitabasamu kidogo kisha kutazama muda kwenye simu yake. Daaah! Muda ulikuwa umekimbia sana, aliamka na kujiuliza kuhusu mteja wa lile sofa kwanini anachelewa kuja kulichukua wakati amekwisha kulimaliza tayari lakini wakati anawaza hayo, jamaa huyo alifika hapo na kumwambia kuwa kwa muda huo amechelewa sana na usafiri wa kulibebea hana hivyo anaomba libaki hapo hadi kesho asubuhi. J akamuomba wasaidiane kuliingiza ndani. Walipomaliza, alifanya usafi wa hapa na pale na kutulia kumsubiria Batuli. Muda wa kusubiri haukuwa mrefu sana, msubiriwa akawa ameshawasili mahali hapo. J akamkaribisha ndani mgeni wake
"karibu sana mke wangu?" alikaribisha namna hiyo J.
"nimeshakaribia mume wangu, niambie lakini, mambo yanasemaje?" alijibu ukaribisho huo Batuli kisha kuendelea na salamu. J akajibu kuwa hapo ni buheri kabisa. Yakafuatia maongezi mengine ya kunogesha muda kisha wote wakaelekea jikoni kuandaa chakula cha usiku. Kilikuwa ni chakula chepesi hivyo hakikuchukua muda mrefu kuwa tayari wakala na walipomaliza. Batuli akasema kuwa anakwenda kuoga, J akamchokoza na kumwambia kuwa anaonaje kama watakwenda kuoga wote, Batuli akaona aibu kidogo na kushindwa kulijibu hilo swali lakini ishara zilionesha kuwa yupo tayari kama akipenda kufanya hivyo. J akajifanya kuvunga kwanza kidogo kisha akasema moyoni mwake,
"wacha atangulie kwanza afanye yote ya awali kisha namvamia huko huko. Alitulia hapo hadi muda ambao alipanga kufanya hilo shtukizi. Alichukua taolo jingine kisha kuvua nguo zake zote, akajifunga taulo hilo na kuelekea bafuni ghafla bin vuu. Kitendo kile cha kuvamia bafuni kilimshtua sana Batuli, alikuwa hana nguo yoyote mwilini mwake.

ITAENDELEA
 
APPLE LIMEPEVUKA

EPSODE YA XXI

J akajifanya kuvunga kwanza kidogo kisha akasema moyoni mwake,
"wacha atangulie kwanza afanye yote ya awali kisha namvamia huko huko. Alitulia hapo hadi muda ambao alipanga kufanya hilo shtukizi. Alichukua taolo jingine kisha kuvua nguo zake zote, akajifunga taulo hilo na kuelekea bafuni ghafla bin vuu. Kitendo kile cha kuvamia bafuni kilimshtua sana Batuli, alikuwa hana nguo yoyote mwilini mwake......
ENJOY

na alikuwa tayari ameshajimwagia kopo moja la maji mwilini mwake, mwili ulikuwa ukinyurutika si kawaida. Batuli alihangaika kuhakikisha anajiziba mwili wake lakini hakujua azibe wapi kwa wakati huo maana akiziba mbele, nyuma na kifua kilichobeba matiti safi ya kuvutia vilikuwa wazi. Akataka kusema kitu lakini akajikuta anabaki kuachama mdomo tu baada ya kumuona mvamizi wa bafu hilo akiwa analitoa taulo lake na kulitundika kwenye msumari. J akabaki kama alivyokuja duniani, alifanana na batuli. Batuli akakosa kitu cha kuongea ikabidi hata yeye aitoe mikono iliyokuwa imeziba mbele kwenye kitumbua chake cha utamu na kumgeukia kabisa J tayari kumpokea. J akajisogeza zaidi hadi akamkumbati kwa nguvu huku akimnong'oneza masikioni.
" mpenzi unakifua kitamu kweli"
"asante J hata wewe mpenzi unakifua cha kulala mpenzi wako nikiwa na usingizi, halafu sijaamini kama J utakuwa na dudu zuri kiasi hicho" alinong'ona Batuli huku akizidi kumkumbatia J kwa nguvu nyingi pamoja na kukisugua kitumbua chake kwenye muhogo wa J. Msifie mpenzi wako bwana ndiyo raha ya mapenzi, usichelewe mpaka asifiwe na wenzako.
"mbona dudu langu la kawaida sana, nyie wanawake mnapendaga madudu marefu na yaliyo manene, sasa la kwangu mimi fupi lakini nene"
"J mpenzi mimi kiukweli kabisa kwako nitainjoi mara dufu kwanza dudu fupi ndio huwa linanipa raha kuliko, madudu marefu,......aka, siyataki kwanza kina changu kifupi"
"mmm! kweli mpenzi?"
"kweli niamini mpenzi wangu halafu la kwako nene hadi raha. oooo yaaaa, linanipa moto mpenzi, dudu lako lina moto sana mpenzi" alilalama Batuli J akazidi kulisugua dudu hilo kwenye tamu ya Batuli.
"naomba nioge kwanza mpenzi kisha tufanye" aliomba Batuli.
"no, mpenzi ngoja nipate kimoja cha mkwezi kwanza kisha uoge" alibembeleza J.
"ok, sawa nimekuelewa basi subiri kidogo" alisema Batuli kisha akachukua maji na sabuni na kuanza kujiosha kwa utaratibu mzuri. Alikuwa yupo kazini muda mrefu hivyo jasho na nini, hakutaka J amuingilie hivyohivyo na alijua kuwa kijana huyo hatotaka kumuingilia kienyeji tu. Wakati huo J alikuwa amesimama akiwa amelishika dudu lake huku akilisugua kidogo kama anayelichua kiaina. Kifaa kilikuwa kiko hewani si utani. Batuli alijiosha kisha akajifuta vizuri na kusimama hapo akiwa mkavu kabisa.
"karibu sasa mpenzi nipo tayari kwa chochote kile" alisema Batuli. J akamkumbatia na kuanza kumnyonya, walipeana ladha ya mate kwanza kwa muda huku wakipapasana hadi pale walipotosheka ndipo wakahamia sehemu nyingine ya maandalizi hayo hayo.
"mpenzi tutafanya mengi tukifika kitandani, hebu ingiza dudu ndani kwanza linipe utamu, sijasuguliwa ninamiaka kibao nahisi tangu nitoke chuoni sijafanya mapenzi" alilalama Batuli kisha akainama kidogo kwa nyuma. J akayatazama makalio mazuri ya Batuli yasiyo makubwa wala madogo yenye saizi ya kati lakini yanaleta utamu wa aina yake ukiyatazama. J akapitisha mkono kwenye mstari wa mkalio akapeleka kidole kwenye kitumbua cha Batuli na kuingiza kidole cha kati kwenye kisima hicho cha utamu. Batuli akawa anagugumia kwa mautamu ya dole hilo la J lililokuwa linazama ndani. J alilitikisa kidogo dole hilo na kukisugua kidogo kinanihii chake, batuli alikuwa akiomba tu J amle kwani alikuwa yupo kwenye hali mbaya sana ya uhitaji wa kifaa hicho cha utamu kiingiea tunduni mwake. J akaweka ulainisho wa asili kwenye kichwa ya kazi na kuanza kusugua juu juu na kukisugua kinanihii kwa ile kichwa.
"nipe mpenzi, nipe baba, nipe raha" alikuwa akilalama hivyo Batuli. J akauzamisha wote ndani hapo ndipo alipojua kuwa kwa Batuli hakukosea njia, kile kitendo cha J kuizamisha nanihino ndani, Batuli alivurumisha mauno ya nyumanyuma kwa kasi ya hatari. J akajikuta akiachama kwa utamu huo wa ghafla. Batuli alikuwa akikata kwa utaalamu mkubwa na wa aina yake sana. J alijikuta akiwa ni mtu wa kujitega tu huku Batuli akiwa mshugulikaji wa kazi hiyo. Walienda hivyo kisha mtoto huyo wa kike akachomoa na kugeuka kwa mbele. Akampa mguu mmoja na J akaudaka kisha akamvutia karibu akaingiza tena kimiani. Hapo ndiyo J alikuwa akikata shauri na kujua mwindani amepata kitoweo kitakachomfanya aache kabisa kuwinda kwa muda mrefu sana. J alikuwa akipiga kelele kama mtoto wa kike. Alipiga kelele kwa mahaba makubwa kabisa lakini zisizovuka mipaka, hadi anafika mshindo.
"J naomba usiniache mpenzi, naomba unioe, nimeonja kidogo tu lakini utamu wako siyo mchezo.....tuoge mpenzi tuhamie kitandani" alisema Batuli.
"siwezi kuacha huu utamu wako unipite Batuli, nitakuoa ili nizidi kupata vitu vyenye akili zaidi" alijibu J. Wakahamia kwenye maji kisha kurudi kitandani wakiwa na mzuka mpya kabisa wa kukesha.

Saa kumi na mbili asubuhi, J na Batuli ndiyo walikuwa wanaamka kutokana na shughuli pevu ya usiku kucha.
"za asubuhi baby?" alisalimia Batuli mara baada ya kufumbua macho.
"ahaa, umeamka mpenzi?.....za asubuhi ni nzuri tu baby sijui wewe my queen"
"mimi nimeamka poa tu, kilichozidi ni uchovu wa kazi ya usiku....ulitaka kuniuwa J, haaa! We mwanaume ni shida....ila nimefarijika sana maana nimemaliza hovu yangu yote ya kufanya mapenzi"
"pole sana mke wangu hata wewe jana ulinimudu maana kuna muda nilikuwa najiona kama nafeli hivi" alisema J, wote wakaangua kicheko cha haja sana lakini ghafla kicheko chao kikakatishwa na simu ya J. J akaishika simu yake na kuangalia mpigaji.
"haaa! Saa hizi jamani.....si asubuhi hii jamani!" aliongea J kwa taharuki kidogo.
"nini tena honey?" aliuliza Batuli akiwa anamtazama mpenzi wake aliyeshtushwa na simu hiyo.
"baba huyu....sasa asubuhi hii....hebu....eeeenh, ni baba kweli anapiga" alijikuta akiwa muoga wa kupokea simu hiyo. Batuli akamwambia kuwa mbona ni kawaida tu, baba amemmisi kijana wake hivyo anahitaji kumsabahi hofu ya nini sasa. J akamtazama mrembo huyo kwa chati sana kisha.
"basi ataona raha akisikia kuwa baba anataka nioe halafu muolewaji ni yeye....cheki kijisura chake kilivyo kizuri, si atafurahi huyu hadi anipe cha asubuhi" alijisemea moyoni.
"baby mpokelee baba basi jamanii" alisema Batuli na J alipotaka kuipokea simu hiyo, simu ilikuwa imeita vya kutosha hivyo ilichoka ikakatika. Muda si muda simu hiyo ikaita tena. J akaipokea.
"shikamoo baba?" alisalimia J.
"marahaba au ndiyo hutaki tukupigie maana unajua tutakusumbua kuhusu suala la ndoa?" ilisikika sauti hiyo bila chenga, J akamuangalia Batuli, Batuli naye akakenua tabasamu huku akimuangalia J kwa macho ya kumtaka ajibu simu hiyo.
"hapana baba, nilikuwa mbali na simu kidogo"
"sawa hakuna shida kidume changu, haya tuambie ulipofikia, umeshampata huyo mchumba?"
"niseme tu nashukuru Mungu baba....." akanyamaza kidogo J, akameza mate kisha akaendelea.
"nimepata mchumba baba na ananipenda nami nampenda pia na sitaki suala hili lichukue muda mrefu maana sitaki muniwazie tena mimi kuhusu ndoa. Fanyeni kila kinachotakiwa sasa kazi kwenu" alijibu kwa ufasaha kabisa J kisha akashusha pumzi nyingi akamgeukia Batuli ambaye alikuwa akijiweka vizuri kitandani. Simu ilikuwa bado haija katika J akaamua kuiweka mtindo wa sauti ya nje. Furaha za wazazi wake zote walikuwa wakizikia. walisikia Sauti ya mzee huyo ikimuita mkewe na kumwambia kuwa dume lake la mbegu limefanikisha. J na Batuli ilibidi wacheke tu kwa furaha hiyo kisha akaamua kuikata simu hiyo.
"dume la mbegu nakuona na nimepata kweli kidume. Nakuja tena mpenzi kifuani kwako nikuage" alisema kwa mahaba mazito batuli kisha kupanda kifuani mwa J na kuanza kumgusa kifuani na chuchu zake.

******
******
Siku hazisukumwi kwa kiongozo chochote bali zinajisongesha zenyewe kwa amri za Muumba wake. Siku hazigandi, siku ile ikaisha kwa namna hiyo. Siku ya pili ikaingia kwa kasi kubwa nayo ikapita ikaisha. ikaja nyingine, nyingine na nyingine hatimaye wiki ikakita. J. fundi aliendelea na ufundi wake kama kawaida ikiwa ni moja ya sehemu yake ya kulijenga taifa. Siku hii hakuwa akifanya kazi kwa weledi sana. Alikuwa ni mtu wa kujiuliza sana, inamaana lile somo lake la siku moja tu kwa Said ndiyo limekwenda kuijenga ndoa hiyo? Hakutaka kuamini sana hivyo alichokifanya ni kusubiri tu japo hakupigiwa simu hata siku moja na ikiwa namba ya simu aliacha. Hakujali sana kama alichokifanya kimezaa matunda basi ni jambo zuri japo lengo lake la kumfundisha Balakais kwa videndo halikutimia.

Muda ukaenda lakini mara simu ikaita, akaipokea, ilikuwa ni namba mpya kabisa hivyo hakutaka kuongea kwanza, aliitega sauti hiyo kwanza.
"hallo?" ilikuwa ni sauti moja nyemnamba sana.
"hallo!" naye akajibu kwa mtindo huo huo kwa kutega zaidi.
"naongea na J. fundi?" aliuliza huyo dada.
"ndiyo, ni mwenyewe nani mwenzangu?" alijibu na kuuliza tena J.
"Balakais" alijibu dada huyo, J alitamani kuruka hewani kwani alichokuwa akikiwaza ndicho kimejileta kwa wakati huo. J alikuwa anataka kuoa lakini ukora ulikuwa ni ugonjwa mkubwa sana kwenye maisha yake.
"ni muda sasa tangu nikupe ile namba, vipi nilijua labda somo nililompa mumeo limejenga sana hadi ukawa kimya?" alisema J.
"oooh!, hapana nilikuwa nasubiri mume wangu asafiri ili nipate muda wa kufanya hilo.
 
CHOMBEZO: APPLE LIMEPEVUKA.

EPSODE YA XXII

"Ndiyo, ni mwenyewe nani mwenzangu?" alijibu na kuuliza tena J.
"Balakais" alijibu dada huyo, J alitamani kuruka hewani kwani alichokuwa akikiwaza ndicho kimejileta kwa wakati huo. J alikuwa anataka kuoa lakini ukora ulikuwa ni ugonjwa mkubwa sana kwenye maisha yake.
"ni muda sasa tangu nikupe ile namba, vipi nilijua labda somo nililompa mumeo limejenga sana hadi ukawa kimya?" alisema J.
"oooh!, hapana nilikuwa nasubiri mume wangu asafiri ili nipate muda wa kufanya...
ENJOY...

hilo somo kwa utulivu zaidi lakini nisiwe muongo J, Mume wangu amebadilika sana hadi naanza kuifurahia ndoa yangu sasa hongera sana kwa hilo" aliongea Balakais kwa urefu kidogo. J akaona hapo ndipo pa kuchomekea ili ammalize kabisa na yeye pia amle. Alijua ni lazima angekubali tu kupata somo hilo.
"uanatakiwa na wewe upate sehemu ya mafunzo yako ili mukichanganya mutengeneze kitu kizuri kwenye maisha yenu" alichomekea J. Balakais hakuwa mkaidi, alikubali na kumuuliza ni vema kama akienda nyumbani kwake kwa ajili ya mafunzo hayo, alimuomba sana lakini. J akasema hiyo haina shida muda mfupi tu atakuwa amefika.

Hakuchukua muda mwingi kweli hadi kufika huko ambako alitakiwa kwenda, alikaribishwa ndani kisha mlango ukafungwa mara baada ya Balakais kugundua kuwa hakuna kiumbe aliyeona lile tukio. Alifika ndani kisha naye kuchukua nafasi ya kukaa ikiwa ni karibu kabisa na kijana huyo. Salamu za hapa na pale zikachukua hatua hadi pale walipoingiza mada husika iliyowafanya kukutania mahali hapo.
"nadhani sasa tunaweza kuingia kwenye mada yetu ya msingi Balakais" alisema J. Balakais akamwambia kuwa yupo tayari hivyo anaweza kuanza tu bila shida. J akaanza kwa maswali kama kawaida.
"kabla sijaanza chochote, naomba nikuulize maswali mawili kama siyo matatu" alisema J kisha akaunganisha kauli yake baada ya kuwa ameeleweka kwa ufasaha zaidi.
"hivi unakitu unakifanya au ishara yoyote ambayo unamuonesha mumeo pale unapokuwa unamuhitaji kimapenzi?" aliuliza namna hiyo J.
"hapana, hilo jambo huwa halijawahi kutokea, namaanisha sijawahi kulifanya abadani kwenye maisha yangu. Tukifanya mapenzi basi ujue yeye ndiye anahitaji...mimi si mtu wa kutoa maamuzi kwake bali huwa napokea amri kutoka kwake" alijibu kwa ufasaha kabisa Balakais. J akajua kumbe ndoa hiyo ilikuwa inaendeshwa kimila sana, ndiyo kimila, haiwezekani muwe mnafanya mapenzi halafu ni mmoja tu kati yenu ndiye anakuwa na sauti yenye mamlaka ya kuamua au kuomba penzi, inamaana hata anapokuwa hajaridhika, hawezi kusema kuwa hajaridhika labda kama mwanaume akiwa anahitaji kuendelea na mchezo huo.
"kwa mfano ukimwambia kuwa unahitaji kufanya naye mapenzi anasemaje?" alizidi kuuliza J. Balakais akasema hapo unaweza kuzuka ugomvi mkubwa kama ule ambao mmekuja kuuamulia asubuhi ya siku ile. J akatulia sana, alikuwa akitafakari mengi sana kwa muda huo, tafakari hiyo ndiyo iliyopelekea kuamua nini cha kufanya kwa wakati huo. Alimtazama binti huyo mrembo kisha akamwambia.
"leo nataka nikufundishe mbinu za kumuingiza mpenzi wako kwenye mtego wa kufanya mapenzi bila ya kumuomba au kumbembeleza. Mbinu hiyo itamfanya mumeo atamani kuwa karibu na wewe zaidi" alisema J kisha akaanza kazi hiyo kwa mtindo ule ule wa kutumia maswali.
"ni kitu gani huwa unamfanyia mumeo pale mnapoanza kufanya mapenzi?"
"hakuna kitu cha zaidi kaka yangu zaidi ya kumpanulia mapaja na yeye kuniingilia basi labda hizi siku mbili baada ya kutoka kwako ndiyo nilianza kuona mabadiliko japo si sana lakini nilikuwa nahisi raha. Nilitamani sana kukutana na wewe pindi mume wangu akisafiri ili na mimi niweze kupata mafunzo ya kunogesha zaidi" alisema Balakais. J akashusha pumzi nyingi na kujiweka vizuri pale kwenye kochi kisha akasema.
"usijali Balakais, hapa umefika na nakuhakikishia kuwa nitakupa au nitakufundisha ujuzi wote ambao naujua" alisema kisha akaendelea na somo hilo.
"kuna vitu vingi huwa tunavifanya katika mapenzi, tunajiona tuko sahihi sana wakati wa kufanya kile tunachokifanya na wapenzi wetu. Wengi hawapendi kujifunza ili kuingiza vitu vipya. Ni vizuri sana kujifunza Balakais katika mapenzi, kubali kuelekezwa pale mpenzi wako anapoamua kukuelekeza. Pale anapokuambia fanya hivi, fanya tu na jisikie faraja kwa kuelekezwa bora tu kile kinachofundishwa kiwe hakina madhara kwako. Penda kuingiza kitu kipya kila wakati unapokuwa katika mapenzi, usipende mpenzi wako akuzoee kwa aina moja ya penzi au mapenzi kila siku, kuwa mpya kila unapokutana na mpenzi wako. Nakuhakikishia Balakais, endapo utabadili utaratibu na kuamua kuwa mtu wa kupenda kujifunza na kubadilika na si kubadilika tu bali hata kumbadilisha mumeo, ndoa yenu itakuwa imara na yenye furaha kila wakati" aliweka kituo J baada ya kuongea kwa muda mrefu kidogo. Balakais akajisogeza karibu zaidi ya kijana huyo na kuuliza.
"ni kweli J napenda kubadilika kaka yangu lakini ni nani wa kunibadilisha, naamini kabisa kama kweli mimi nitabadilika, basi hata mume wangu atabadilika kwa jinsi ambavyo nitajua jinsi ya kufanya"
"kwanza kabisa hakikisha kabla ya kufanya yote hayo. Kuna kitu cha kufanya ili mumeo ajihisi uhitaji wa kuwa na wewe kila akuonapo. Kwanza kikubwa ni usafi Balakais, usafi ni kitu cha msingi sana kuliko kitu kingine. Unapokuwa msafi wa mwili kila muda na kila wakati, hakika mumeo hawezi kukubali uwe mbali. Ninapozungumzia usafi, simaanishi kwamba eti, ugeuke bata maji kila mara uoge laa! unaweza kuoga mara mbili sana sana mara tatu, ukatumia muda mwingi kutumia manukato yale ambayo mumeo atatokea kuyapenda. Si lazima manukato tu pekee, unaweza ukatumia vitu vya kawaida na vya asili ambavyo vinaweza kukufanya ukawa na mvuto mkubwa kwa mumeo na kumfanya akuone mpya kila akuonapo. Nini unatakiwa kufanya sasa mara pale tu unapomuona mumeo au mwenzi wako anaingia ndani ya nyumba yako? Unajua....?" akauliza J. Balakaisi akabaki kimya asijue nini cha kujibu, alikuwa hajui chochote cha kufanya, alibaki kimya tu pasipokujibu kitu chochote. J alijua kuwa huko anakokwenda binti huyo ndiyo hatajibu kabisa maana alijua anakoingia ni kugumu zaidi.
"tumia sauti yako kuhakikisha unamchanganya mpenzi wako, tumia mwili wako vizuri, kwa mtoto mzuri kama wewe sitegemei kama unashindwa kutumia mwili wako kumuweka mpenzi wako katika hali ya kumchanganya kihisia. Andaa mazingira mazuri ya kumfanya akiingia tu anajikuta anahamasika. Tandika kitanda vizuri, pulizia na uturi kama upo kama hakuna tumia hata kitu chochote kitakachomfanya ahisi utofauti. Mvalie nguo ya kumtega. Wanawake mnakosea sana kuvaa nguo nyingi wakati unajua fika kuna kitu unakihitaji mwilini mwake, unatumia muda mwingi kumhamasisha wakati kumbe kuna njia nyepesi tu ambayo hupaswi kutoa hata jasho. Vaa kanga nyepesi inayoonesha kila kitu ndani, watoto wa mjini wanaita kanga ndembendembe. Weka pozi la aina yake kila uwapo karibu naye. muulize 'mume wangu utakula kwanza au utanila kwanza?' fanya hivyo huku ukiwa hata umekaa pembeni yake tena huku ukizichezea ndevu zake kwa kuzishika kimahaba.....huachi kumwambia, hivi mume wangu jamani unamuda gani tangu umenyoa hizi ndevu, kama anazo ndefu kama hana au ni ndogo waweza kumwambia...jamani mume wangu napenda sana kushika kidevu chako, kinanipa raha sana. Hujakaa sawa, umeshusha mikono yako kwenye shingo yake kisha kuanza kuipapasa kinamna namna, tumia mikono yako laini kumpagawisha mumeo Balakais. Kuna vitu vingine si lazima ufundishwe au mtu akuelekeze, vingine vinakuja tu automatic. Hapo ni lazima utamsikia Mumeo akikuuliza.....kwani hakitapoa hicho chakula. Basi nawe mjibu kwa kumtega mwambie.....hakipoi mume wangu kwani si unakula muda huu. kwa sauti inayotokea puani kabisa huku kichwa chako kikiwa kifuani kwake. Utamsikia akikwambia...hapana mke wangu naona hali si hali nataka kidogo tu niuchangamshe mwili....ujue hapo tayari umeshashinda mchezo" alimaliza kuongea J, Balakais alikuwa tayari ameshaanza kuelewa somo, jicho lilikuwa limezidi kumlegea, hakuamini kama mtoto wa kiume atajua mambo yote yale huku yeye akiwa hajui. Kuna kitu alikitaka Balakais lakini ni kama alishindwa kufunguka kwa kijana huyo sasa akabaki kuwa mtazamaji na msikilizaji hadi mwisho wa somo hilo ili ajue mwalimu wake ni kitu gani atatumia kama mafunzo kwa vitendo. J alishagundua kuwa binti huyo muda si muda anakula mzigo maana tayari dalili za kunyesha kwa mvua zilishajionesha mahali hapo.
"mumeo akiwa tayari kwenye hatua ya kukuhitaji sasa hapo hakuna haja ya kupoteza muda, tumia ujuzi wako ambao utakwenda kumdatisha kabisi mumeo au mpenzi wako. Kwanza usingoje jamaa avue nguo zake mweyewe laa, mvue, mpe muda wa kujiona mfalme, ondoa nguo moja baada ya nyingine mwilini mwake huku ukiwa unamtazama kwa matamanio makubwa sana. Tumia hata maneno ya ushawishi mahali unapotaka kumvua nguo au unapomvua nguo, mwambie....baby leo nina nyege sana nataka uzimalize mpenzi, sitaki uniguse tu halafu basi nataka unisugue kweli maana nataka nami nikupe kadiri ya uwezo wangu. ooooo yaaa, napenda hata kukilamba kifua chako mpenzi wangu....sema hivyo ukiwa unamvua nguo ya juu mpenzi wako kisha unapohamia ya chini hakikisha na wewe umetoa nguo kadhaa mwilini mwako, kama ulikuwa umevaa khanga tu na chupi ndani basi hakikisha khanga umeitoa mwilini mwako kisha ndipo umvue na yeye nguo zilizobakia. Kwa kufanya hivyo utakuwa unazidi kumpagawisha zaidi na unapozitoa nguo hizo za chini pia usisite kuhakikisha unazidi kumliwaza mwenzi wako kila upatapo nafasi hiyo, mwambie.....jamani baby mbona kama kila siku dudu lako linazidi kuwa zuri, jamani natamani nilikalie ili nilipate joto lake, oooo mpenzi jamani...cheki lilivyosimama. Mwambie huku ukiwa unalisugua na mkono wako, hakika nakuambia lazima atakuona umekuwa wa pekee sana. Hapo ndipo unapokuta mumeo analalama kwa utamu anaoupata. Kila kitu kinaladha yake Balakais. Hakuna kitu kitamu kama kile ambacho umekifanyia maandalizi mazuri, hakuna mchezo mtamu kama ule ambao mmeuandaa kwa kupashana joto. Kisha hapo, tumia sasa viungo vyako vya mwili, hakikisha unavitumia kweli. Tumia mikono yako kuupapasa mwili wake, tumia ulimi wako kuulamba mwili wake kama unaweza pia tumia mdomo wako kunyonya dudu lake Balakais. Usiogope Balakas, usiyaachukulie yale maneno ya watu wengi waliowahi kusema eti mapenzi ni uchafu, uchafu wa mapenzi ni nyinyi wenyewe kushindwa kujiandaa. Fanya kile akili yako inataka ufanye, fanya kile moyo wako umekutuma ufanye kwa wakati huo. Kumbuka kuwa maandalizi ya mapenzi huleta muamko mkubwa sana wa kuamsha kila kilicholala katika mwili/miili yenu. Hisia zinapouvamia mwili, zinaondoka na ufahamu wa kawaida ambao umezoeleka. Tumia hiyo nafasi na usipende kujishauri au kufanya kile kitu cha sitaki nataka" yalikuwa ni maelezo marefu mno ambayo yalimfanya Balakais kuwa hoi kabisa, mikono yake ilikuwa ikikichezea kifua chake kwa mtindo wa pekee mno, alikuwa tayari yuko katika hali ya hatari.

ITAENDELEA
 
APPLE LIMEPEVUKA

EPSODE YA XXIII

Kumbuka kuwa maandalizi ya mapenzi huleta muamko mkubwa sana wa kuamsha kila kilicholala katika mwili/miili yenu. Hisia zinapouvamia mwili, zinaondoka na ufahamu wa kawaida ambao umezoeleka. Tumia hiyo nafasi na usipende kujishauri au kufanya kile kitu cha sitaki nataka" yalikuwa ni maelezo marefu mno ambayo yalimfanya Balakais kuwa hoi kabisa, mikono yake ilikuwa ikikichezea kifua chake kwa mtindo wa pekee mno, alikuwa tayari yuko katika hali ya hatari, kila ambacho J alikuwa anakizungumza mahali hapo kilikuwa kinaingia ndani kabisa ya ubongo wake ambako aliamsha kitu ambacho si cha kawaida kabisa. J hilo aliliona mapema sana akajua tayari mwanafunzi somo limeshamshinda, hataki tena kubaki darasani kusoma theory na alikuwa akihitaji practical pekee.
"Balakais!" aliita J.
"abee" akaitika Balakais.
"unanini tena jamani mbona hivyo?" alihoji J.
"sijui hata ni nini kaka J najikuta tu Chuchu zinaniwasha" alijibu.
"ilishawahi kukutokea hiyo hali labda hata mara moja?"
"hapana J ni leo ndiyo nashangaa,.....J kweli vile chuchu zinaniwasha jamani" alianza kabisa kulalama na hatimaye hiyo kanga pia akaitoa na kuitupilia mbali kabisa. Balakais mtoto mweupe mwenye jina la kirangi akabaki kifua wazi. Chuchu zisizonyonywa zikanyonyeka zilikuwa zimetuna hasa. J alizitazama mara funda kubwa la mate likapita kooni kwa fujo, lilikuwa ni funda la uchu wa kuyanyonya matiti hayo.
"Balakais kumbe bado kabisa mzigo uko dede huo, ama kwa hakika mumeo hakutendei haki, chuchu zimesimama sana hizi" alisema J huku akipeleka mkono kwenye kilele cha ncha ya chuchu moja na kuiminya kidogo na kidole.
"aaaaiiiiisssssssss!!!" alilalamika Balakaisi, mzuka alioupata ulikuwa wa pekee sana. J akamtazama na kuwaza moyoni mwake juu ya mtoto huyo mke wa mtu aliyetaka kupewa somo la kuifurahia ndoa yake. Usishangae ndugu msomaji. Siyo J. fundi tu hata mimi huwa siwezi kutoa somo bila vitendo.
"Balakais ukumbuke kuwa tuko kwenye somo hivyo siwezi kufanya mapenzi na wewe ungali ni mke wa mtu si jambo jema hilo" alisema J.
"hapana J, hapana, utakuwa hunitendei haki nahitaji kujua vingi zaidi kutoka kwako, sidhani kama kuna athari yoyote utaiyacha kwenye ndoa yangu J bali kuna kitu utakwenda kuniongezea ili niifurahie ndoa yangu zaidi" alisema Balakais. Kumbuka kuwa binti huyo alikuwa amevaa khanga pekee sasa kitendo cha kuitoa khanga hiyo, kila kitu kikawa katika uwazi, hakuna kilichokuwa kimejificha. Balakaisi alikuwa ni mzuri sana tatizo alikuwa bado hajaitambua thamani ya uzuri wake na jinsi ya kujiweka. Balakais alikuwa ana nywele nyingi sana zilizozunguuka kitumbua chake cha utamu, hiyo ilidhihirisha kuwa anamuda mrefu sana hajaufanyia usafi uwanja wake wa nyumbani. Hakuwa na aibu yoyote na muda huo wakati anaongea, alikuwa akiyapanua mapaja yake kiaina. J aliingalia ile nanihino ya binti huyo kitu yake ya kazi ikaongeza kasi ya kupiga kwa nguvu kubwa sana ki, ki. Hakuwa amewahi kula mwanamke mwenye uke uliojaa manyoya ya dizaini hiyo, mengi alikuwa akiyasikia tu kwa watu wakiongea kuwa kula mwanamke mwenye manyoya kunako utamu si mchezo, tena umpate msafi anayejua kuyaosha na kuyaacha katika hali ya usafi. Wakati Balakais akiwa analalamika apewe utamu kwa vitendo kutokana na maneno ya J kumuingia vizuri, J alikuwa akipiga hesabu jinsi ya kumpa elimu ya vitendo ambayo haitampa raha tu bali akitoka hapo awe na kitu cha kujivunia hata akiwa na mumewe. Alimsogelea taratibu na kumuuliza kama alishawahi kunyonywa mate, akatikisa kichwa akisema kuwa hajawahi. Usishangae haya mambo yapo na ni mengi mno. unakuta unakuwa na demu wako faragha, ile unamuomba mate tu, mtoto anafumba mdomo na kugeukia pembeni halafu anakuambia sijazoea, wengine wana act lakini wengine ni kweli kabisa isiyopingika.
"naomba basi leo nikunyonye mate tafadhali" aliomba J. Balakais akausogeza mdomo karibu, J akaupokea na kuanza kumnyonya bila fujo, ilikuwa ni taratibu sana. Alifanya hivyo kwa muda kidogo kisha kuuingiza ulimi wake ndani ya kinywa cha binti huyo lakini alikuwa makini sana kwani kosa moja linaweza kumpa kilema cha maisha. Aliogopa endapo utamu ungemzidia binti huyo ni wazi angeweza hata kuondoka na ulimi wake. Aliutoa ulimi huo uliokuwa unampa baridi fulani binti huyo na kujikuta akiwa anapumua kwa kasi sana. Alipoutoa, akawa anautembeza ulimi wake juu ya lipsi zile ndogo za kuvutia wengi lipsi hizi ndiyo wanaziita za kunyonya japo kwa J si kitu anachokipenda sana. Ubovu wa J ni lipsi nene kama za Saumu. Akalamba na kunyonya J hadi alipozifikia chuchu mkito za binti huyo. Akaanza kuitia mdomoni moja baada ya nyingine, alinyonya kwa ustadi mkubwa. Kitu cha ajabu J alichokiona kwa Balakais ni kwamba alikuwa hapigi kelele hata za utamu, yeye kikubwa utasikia aaaaiiiissss na kujinyonganyonga kama mtoto mdogo aliyeshikwa na tumbo la kuendesha. J hili hakulipenda lakini hakutaka kumwambia mapema, alijua mahali pa kumkamatia hivyo hakutaka kuwa na presha naye. Kuku wako mwenyewe manati ya nini bwana. Cha himayani ni chako hata kama ni kwa muda. Alikumbuka hiyo misemo J. Chuchu hizo zilikuwa zikimpa mzuka sana na alizinyonya kwa muda mrefu mno. Balakais alikuwa yupo katika raha ya aina yake.
"B, unatakiwa siku nyingine umwambie mume wako kile ambacho kinakupa raha zaidi au umwambie nyege zako zilipo" aliongea J huku akiwa anapeleka mkono chini na kuanza kuichezea baraza safi iliyozunguukwa na nyasi laini kwa kuzishika.
"kwanini jamani J" aliuliza Balakais kwa sauti iliyojaa nyege sana. J akasema kuwa, unaonekana kwenye titi lako la kushoto ndiyo kuna mzizi wa raha zako kwani kitendo cha kuinyonya tu hiyo chuchu, uliruka na nilipoleta mkono huku chini nikakuta kuna loa kwa kasi sana, nikajua nimekugusa mahala pako"
"aaaaaashhh.....ni kweli J, ni kweli J" alisema B, kwa kurudia rudai, hapo dole la kati la J lilikuwa linatafuta maficho ya wadudu haribifu ndani ya pango hilo la ajabu.
"hivi mumeo alikuwa anakuchapa nao kweli kweli au alikuwa anakuonja tu maana naona tamu yako inabana halafu nwadu kweli, hizi ndio zile ambazo ukisugua sana zinalia dwa dwa dwa! kwa utamu" Aliposema hivyo J, Balakais akatabasam kwa chati kidogo. J alikuwa anacheza na dole lake si kawaida, Balakais bado alikuwa anajifanya mgumu hataki hata kunung'unika kwa kuonesha amefikishwa.
" hizi kabila nyingine hizi, shida tupu kabisa" alisema J huku akipania kuwa na hizo nywele zilivyojaa, mbona ataomba poo maana kamwili kake kalivyo katamu, alipanga kukakunja kweli kweli na kukasugua hadi kasahau jina la mumewe kwa muda. Mambo yakanoga zaidi sasa ukafikia muda ambao ndiyo sehemu pekee aliyokuwa akiipigia kelele mumewe. Hapo ndipo ambapo alitaka kuona je, kweli hakuwa akijua kukatika ama ni maneno tu ya mwanaume huyo. J alitaka kuona mambo yote hayo kwa mapema zaidi hivyo akajitega vizuri kwa kujilaza pale kwenye kochi miguu ikiwa chini huku akiwa amelalia mgongo kidogo tu. Akawa analishika dudu lake na kumwambia binti huyo akalie. B akapanda kwa juu, akasimama na kusogea juu kidogo ya kiuno, dudu akiwa ameliacha kwa nyuma kidogo. Hapo J akamwambia ndiyo penyewe, hivyo akalengeshe, mtoto hakufanya makosa, alilengesha na kuikalia yote hadi shina halafu akawa kakaa kabisa hafanyi kitu chochote yaani hata kujitikisa pia alishindwa. J akasema subiri nimpe funzo moja la aina yake ambalo litakuwa likimsaidia mbele ya safari.
"Balakais, mtu yoyote asikuambie, uzuri wa mwanamke ni hapa. Kama mwanamke kitandani hakuna kitu, usitegemee kwa Jiriwa utapata nafasi. Hili ni somo naomba uwe na kichwa chepesi sana kushika maana sitorudia tena hili darasa na kama nikirudia basi siyo somo la kukatika tena......naomba mikono yako yote miwili uikite kifuani kwangu au ukamate mapega yangu" alisema J na Balakais akafanya kama alivyoelekezwa.
"umeshashika vizuri hapo kifuani....ok, simamisha vizuri miguu yako kisha naomba utumie mikono yako kwa kuikita kwa nguvu kifuani kwangu kisha mimi nakikamata kiuno chako kwa juu kidogo hapa zinapoanzia mbavu. Naomba usicheze mwili, cheza kiuno tu sitaki ucheze mwili mzima" alisema. J akakikama kiuno vizuri kisha binti yule hakuwa na neno ni kama alishapotezewa akili na mawazo yake. Alikuwa yupo katika uhitaji wa kupewa utamu lakini hapo alitajiwa naye atoe utamu. J alikikamata vizuri kiuno cha dada huyo kisha B akaanza kukata kwa mtindo ule wa juu chini au ingiza toa kama wengi wanavyopenda kuuita.
"aaaaaaaaaa!, mmmmmmmmm, ooooooooo!" Balakais kwa mara ya kwanza tangu analianza somo hilo ndiyo alikuwa anatoa milio.
"vipi Balakais?" akauliza J huku akiwa katika raha ya aina yake kutokana na dudu lake kuzama kwenye kitu kinachobana si utani. Balakais alikuwa ni kama ndiyo anaanza kufanya mapenzi kwa jinsi alivyo mtamu na uke wake unavyobana. Alizidi kumuhimiza aongeze kasi kila baada ya muda fulani. Balakais alijitahidi kadiri ya uwezo wake japo muda mwingine alikuwa akisimama mithili ya mtu anayeusikilizia utamu. J alikimakata kiuno barabara na kukilazimisha kukata. Alifanya hivyo kwa muda mchache tu na alipomuachia, Balakais akawa kama amechochewa moto, alikuwa akikikata kwa mtindo ule alioanza nao kwa speed ya pekee sana. J alikuwa akipata raha ya aina yake kwani alikuwa akifanya mambo mawili kwa wakati mmoja. Alikuwa akizichezea chuchu za B zilizokuwa zimesimama haswa na kuwa ngumu mno. B alikuwa haelewi, alifumba macho huku akiupata utamu huo. J alikuwa akiifuatilia mashine yake ya kazi jinsi inavyozama na kutoka. Muda mwingine B alikuwa kama akiikalia kabisa na kuifanya fimbo ya J kufichwa kwenye manyoya mengi ya tupu hiyo.
"Balakais mumeo hawezi kukuacha tena niamini mimi, kama utakuwa unajituma kwa mtindo huu, talaka isikie kwenye bomba" alisema J. B alikuwa haongei kitu badala yake alikuwa akizidi kupiga kelele tu mtindo mmoja. J akamwambia anyanyuke, akamwambia kuwa asijisahau kwenye aina moja tu ya mchezo bali awe mtu wa kubadilika kama alivyokuwa amemwambia. B akatoka na kuliacha dudu hilo likiwa limesimama kinoma noma.
"onja ladha adimu kwa kuunyonya huo mpingo kisha nikupe mtindo mtamu zaidi ambao utakojoa hadi ukome" alisema J na Balakais kwa jinsi alivyokuwa amedatishwa na huo mchezo, hakuuliza moja kwa moja akainama kwa pembeni na kubinuka akaitia mdomoni na kuanza kuinyonya kwa fujo nyingi. Wakati akiwa ananyonya hivyo, J nae alikuwa akifanya yake. alikuwa akikichezea ki-harara cha mtoto huyo kwa utaratibu maalumu. J akajikuta akizidi kuidindisha mambo yake kisawasawa kabisa. Balakais alikuwa akigugumia mdomoni kama bubu. J muda mwingine akawa anatia hata vidole na kuvitikisa kwa ndani, hapo ndipo ambapo uzalendo ulipokuwa unamshinda B. Alijikuta akilitema dudu na kupiga kelele ambazo hakuwahi kuzipiga kabla katika maisha yake.
"pandisha miguu hapa kwen.ye kochi" alielekeza J. B akafanya kama alivyoelekezwa.

ITAENDELEA....
 
APPLE LIMEPEVUKA

EPSODE YA XXIV

alikuwa akikichezea ki-harara cha mtoto huyo kwa utaratibu maalumu. J akajikuta akizidi kuidindisha mambo yake kisawasawa kabisa. Balakais alikuwa akigugumia mdomoni kama bubu. J muda mwingine akawa anatia hata vidole na kuvitikisa kwa ndani, hapo ndipo ambapo uzalendo ulipokuwa unamshinda B. Alijikuta akilitema dudu na kupiga kelele ambazo hakuwahi kuzipiga kabla katika maisha yake.
"pandisha miguu hapa kwenye kochi" alielekeza J. B akafanya kama alivyoelekezwa,
ENJOY

J akaendelea kutoa maelekezo hayo.
"kunja miguu na ukalie hiyo mambo yani fanya kama unakalia kigoda" B akafanya hivyo. Akajikuta anapiga kelele nyingi vibaya.
"uuuuuuuuuuuuuiiiiii!" hiyo ilikuwa ni baada ya kukaa kwa pupa na kitu hicho kikazama kwa kasi sana tena chote.
"oooouuuu yaaa" J aliongea kizungu baada ya dudu lake kumezwa lote tena ghafla sana. J baada ya kumuona binti huyo amekaa tayari, akamwambia kuwa anamuonesha mfano wa anachotakiwa kukifanya. B akaitikia kwa kichwa huku amezing'ata lipsi zake za juu kwa utamu mwingi sana. J akayashika mapaja ya binti huyo na kuanza kumpandisha na kumshusha kwa utaratibu mkumbwa sana. Raha za kinamnanamna zikakivaa kichwa cha B, akawa anaanza kufukuta kwa sauti zake kama anakula ugali wa moto na mboga moto. Alifanyishwa hivyo kwa muda kidogo hata alivyokuja kuachiwa alijua ni nini cha kufanya.

Ndugu msomaji mtindo huu J aliuchagua kwa lengo moja, kwanza alijua kuwa mtindo huu ni kwa lengo la mtoto wa kike kujipimia mambo mwenyewe, sasa kwa Balakais asiyejua kujipimia ni nini inamaana hapo atakuwa ananesa bila kujua kipimo chake ni kipi inamaanisha kuwa mambo yake itamezwa yote mwanzo mwisho na kumpa raha mrembo huyo huku na yeye pia akiipata ya kuzidi. Pili ni kwamba atakuwa anausanifu uke wa Balakais kwa kuutazama unavyomeza na kutema rungu hiyo ya kazi. Ilikuwa inampa raha sana kitu hiyo. Mchezo huo ulikuwa wa furaha sana hadi walipomaliza, B alishukuru sana kwanza kwa kupewa utamu wa aina yake, pili ikiwa ni kupewa mafunzo ambayo yatakuwa ni kitu cha pekee sana kitakachompa faraja ya maisha yake katika ndoa ama mapenzi. J naye alimpa heko kwa kumpa utamu wake kwa moyo mkunjufu bila ya kinyongo.
"kwaiyo sitakupata tena nikiwa nakuhitaji J?" aliuliza Balakais.
"wewe ni mke wa mtu B hivyo si sana au si kila wakati, tuifanye kama ni bahati mbaya tu kwenye maisha na haiwezi kujirudia tena au kama ikijirudi pia iwe ni bahati mbaya na isiwe ni mazoea" jibu hilo la J. fundi lilimfanya Balakais acheke kwani lillimuaminishia kuwa anaweza kurudia nae mapenzi kwa bahati mbaya tena. Wakaagana kisha J akatoka. Wakati anatoka tu ndani ya chumba hicho, ndiyo muda ambao Muba alikuwa akirudi kutoka kwenye mihangaiko yake. Mshtuko mkubwa ukamkumba Muba na kuamua kumuuliza kabisa jamaa huyo, kwanini atoke ndani ya chumba cha huyo mtoto wa kike na ikiwa mume wake amesafiri. J akamvuta jamaa yake huyo hadi mlangoni. Wakafungua mlango na kuingia ndani kisha akamwambia kuwa alikuwa akimfundisha jinsi ya kumridhisha mumewe ili malumbano yasiwepo tena. Muba alimaindi kinoma.
"mwanangu we unamichongo ya ajabu kinoma, sasa kwa nini hukuniambia kama leo unakuja huku kufanya ufundishaji. Mi najua umemla, sasa ungenishtua hata mwanao basi nikayaona maujuzi yako angalau mkubwa" aliongea kwa hisia sana japo ilikuwa ni kwa sauti ya chini ambayo dada huyo hakuweza kuiskia.
"nisikilize Muba, tabia yako usidhani labda mimi naifagilia au vipi, mwanangu unanikera....hivi wewe unadhani punyeto itakusaidia kwenye maisha haya. Mademu wengi mwanangu hadi wanaume hatutoshelezi, leo ngoja nikuchane jembe langu. Achana na punyeto Muba, sasa ili ujue punyeto mbaya leo fanya kitu kimoja. Jamaa wa huyu demu si amesafiri?"
"ndiyo," Muba akajibu.
"sasa huyu demu ni mke wa mtu lakini anaonesha kabisa ni mwingi kinoma. Unajua kwa nini nasema hivyo? Siku ile ya ugomvi na mume wake, ile picha mlioionesha pale haifai kabisa na yule mtoto alidata kabisa. Najua kuwa ninyi watu wa nyeto/kujichua huwa hamna ujasiri wa kuwakabili wanawake na kuwaeleza hisia zenu. Cha kufanya vaa bukta yako nyepesi ile wakati wa usiku kama saa moja au moja na nusu, jifanye unaenda kuomba moto ndani kwake au hata kibiriti ili ukoke moto. Lazima utamkuta amevaa eidha kanga ya kulalia au nguo yoyote nyepesi. Kwa ninavyokujua lazima utaenda mnara....lazima udindishe tu, nyeto haina adabu. Sasa kwa kuwa tayari alishawahi kulipata joto lako, lazima macho yake yatahamia kwenye bukta mbele, hapo utamla iwe isiwe." alikomea hapo J.
"sasa si umemla leo J, unafikiri atakuwa na hamu tena?" alihoji Muba.
"nisikilize mimi Muba, huyu mtoto ni malaya tu anaonesha na ulivyomkojolea kwenye makalio siku ile lazima alilipenda bao lako sasa atataka umkojolee ndani, we fanya hivyo na ukishindwa nakuruhusu uendelee na nyeto zako, ukiweza nakupa ushauri wa wapi uende ili uachane na hilo jambo kisha nakutafutia mtoto mzuri utulie naye. Haiwezekani unamkwanja fuleshi kabisa halafu huzitumii kwa haki zinalala tu bank bwana. Ngoja na wewe uwe na familia, mimi nikioa na wewe mwanangu unaoa" alisema J akiwa anamaanisha kabisa, wakaagana na J akachukua mia zake.

*****
USIKU.

Muba alikuwa akijishauri sana juu ya jambo aliloambiwa na rafiki yake, ni kweli alikuwa hapendi kujichua lakini hakuweza kujizuia kufanya hivyo na kilichopelekea yeye kutokuacha punyeto ni woga dhidi ya wanawake. Muba alikuwa hana ujasiri huo kabisa, ukitaka Muba akuone sumu, muitie demu, ataondoka na kwako hatakanyaga abadani. Kitendo kilichomfanya Muba kuabudu na kuihusudu nyeto ni kutokana na kuianza tangu wakati anaipata balehe yake ya kwanza. Alisikia hayo mambo yakizungumzwa na watu, alisikia raha ambazo mtu anapata kupitia nyeto. Pia alipata kusikia kuwa nyeto haina madhara kwa maisha ya mwanadamu kwani wapo hadi wanawake ambao wanafanya na kupenda kujichua. J akatamani kujaribu ili aone kile kinachosemwa na watu kama ni kweli, akatafuta muda mzuri kisha akachukua sabuni na kujificha chumbani. Alipojaribu tu huo mchezo, akajikuta akipata raha za ajabu na za pekee mno, akajikuta akiwa mlevi wa ule mchezo maisha yake yote. Hakuna mtu asiyemjua Muba kwa kupenda kujichua kila mtu alijua hata watoto nao walijua kuwa kaka yao hakuwa mtu wa kupenda wanawake bali ni yeye na sabuni au na mafuta. Aliwaza sana Muba mahali hapo. Umri ulikuwa unakwenda kwa kasi kubwa sana na uhitaji wa kuwa na familia ukiwa unakuwa siku hadi siku.
"nitafanyaje?" akajiuliza. Lakini ghafla tu alijikuta akinyanyuka na kuvua nguo zote kisha akakamata bukta yake nyepesi ambayo mara nyingi hupenda kuivaa akiwa anaangaalia muvi za ngono kupitia simu yake ya kisasa. Bukta ambayo inampa wasaa mzuri na mshawasha wa kupiga nyeto. Alipomaliza kuvaa, akahema kwa nguvu sana woga ulikuwa mkubwa kupita kawaida lakini hakutaka kuzidi kudili na masuala ya nyeto tena, kifupi ni kwamba alikuwa anahitaji tiba ya kuachana na mambo yale.
"liwalo na liwe huwenda huyu demu akawa ndiyo mtu pekee wa kuniachisha haya mambo" aliwaza Muba. Akatoka mule ndani na kitezo chake kwa ajili ya kujidai anahitaji moto. Alipiga hodi mara baada ya kufika kwenye mlango wa dada huyo.
"nani mwenzangu?" alihoji huyo dada.
"ni mimi jirani" alijibu Muba huku mapigo yake ya moyo yakiwa yanadunda kwa kasi sana. Balakais aliufungua huo mlango kisha akasimama pembeni ya huo mlango na kumwambia aingie ndani.
"nilikuwa ninashida na moto"
"kwaiyo umekuja tu kunisalimia maana shida yako imeshakwisha au?" ahoji huyo dada. Muba akakumbwa na aibu kwa kuongea kiswahili ama sentensi mbovu mbele ya dada huyo, ujasiri ukamkimbia zaidi na kubaki mahali hapo akijichekea cheakea kama fala fulani. Ndugu msomaji, Punyeto si kitu kizuri abadani, punyeto inaweza kukuondolea ujasiri wako kama mwanaume na kubaki kuwa mwanaume jina. Muba alikuwa akitetemeka sana.
"tena nilikuwa nataka niuzime naona ukiniletea joto tu na wakati nimeshamaliza kupika hata kula pia nimekwisha kula muda sana. Ingia uchukue mwenyewe mimi nimeshaoga na tayari nimevaa nguo ya kulalia sitaki kujitia majivu tena" alisema Balakais huku akigeuka na kuelekea ndani zaidi. Muba macho yake yakatua kwenye kalio la dada huyo mwenye nguo nyepesi inayoonesha hadi ndani. Dudu la Muba halikuongopa likapanda hewani na kushangilia kitu hicho cha kijinga kabisa. Balakais alipogeuka ili kumsubiri kijana huyo achukue moto atoke na yeye kufunga mlango, macho yakamtoka, mdomo ukabaki wazi. Hakutegemea kile alichokiona kwenye bukta ya jirani yake.
"jirani!" aliita kwa mshangao Balakais, Muba akagumia tu mmmh!.
"nini tena mbona hivyo?" swali hilo likawa gumu na badala ya dudu hilo kusinyaa kwa aibu, ndiyo kwanza likawa liko hewani tena likawa kama linalotaka kupiga sarakasi au linacheza viduku. Bukta ilikuwa inacheza pale mbele si kidogo. Balakais akalikumbuka joto la dudu hilo siku ambayo alikuwa akiamuliwa ugomvi na kijana huyo. Pia akakumbuka kuwa alikuwa akijisugua makalio yake juu ya dudu hilo hadi kaka huyo akapiga bao, bao ambalo lilikuwa la moto sana, B akatamani bao hilo akojolewe kwenye kitumbua chake cha utamu. Balakais akajivuta na kulishika hilo dudu na kulichezea kwa mtindo wa kulitia kasi. mh! aligumia Muba ni kama hakuamini kama dudu lake linashikwa na mkono wa kike. Kumbuka kuwa Balakais huyo si yule ambaye alikuwa akivua tu na kuinama kusubiri kushindiliwa, huyu alikuwa ni Balakais mpya anayefanya vitendo zaidi ili kuinusuru ndoa yake kwa kutoa penzi tamu kwa mumewe. Balakais alikuwa ni kama Apple changa lisilo na ladha ya aina yoyote ile sasa hapo Apple lilikuwa limepevuka na Apple lilipevuka kweli. Muba aliona kama anachelewa vile akaitoa ile bukta yake na kuionesha ndizi ya Juma mhuni ilivyokuwa imevimba.
"mh! Inaonesha hii itakuwa inasugua vizuri" alisema B baada ya kuiona mambo ya Muba ikiwa fupi halafu nene tena ilikuwa nene kweli si mchezo. B akataka apige magoti ili ainyonye, Muba akahisi hali ya hatari maana hata vile alivyokuwa akichezewa na mkono tu, alikuwa anahisi kama anataka kumwaga machicha ya mbata ije kuwa kunyonywa ah, ah! aligoma, alitaka bao lake la kwanza alimwage kwenye kitumbua ahisi raha yake siyo kila siku bao lake lianguke chini. Muba akamsukumia B kwenye kochi la hapo ndani na kulipandisha hilo vazi la kulalia, akamtanua miguu haraka haraka.

ITAENDELEA.
 
Apple limepevuka

Epsode ya XXV

Muba akahisi hali ya hatari maana hata vile alivyokuwa akichezewa na mkono tu, alikuwa anahisi kama anataka kumwaga machicha ya mbata ije kuwa kunyonywa ah, ah! aligoma, alitaka bao lake la kwanza alimwage kwenye kitumbua ahisi raha yake siyo kila siku bao lake lianguke chini. Muba akamsukumia B kwenye kochi la hapo ndani na kulipandisha hilo vazi la kulalia, akamtanua miguu haraka haraka
INJOY

Kivumbi kikawa kwenye kuingiza ndani. Muba alikuwa akitetemeka sasa akawa tundu kama halioni la kulenga, mara akapeleka sehemu nyingine yaani alitaka kuingiza mahali ambapo sipo.
"mh, mh!, jirani siyo huko bwana" alisema Balakais huku akibana miguu yake baada ya Muba kutaka kuingiza kusiko kwa kiwewe. Hakujua kuwa kubana kwake miguu mtu wa nyeto kama huyo angeweza kumalizia mambo mapajani. Akatanua kwa nguvu, joto la uke wa B u
lilishamzidi uwezo sasa hali ya hewa ikawa inataka kuharibika kabla hajaingiza ndani. Akawa anapumua kwa nguvu mno.
"panua basi mapaja vizuri" alisema Muba hadi B akashangaa, mapaja alipanua hadi mwisho iweje tena. Mara akafanikiwa kulenga. Muba akajipongeza kwa kufanikiwa kulenga. Joto la huko likaanza kumshambulia kwa kasi kubwa. Akapiga tako la kwanza, la pili la tatu haa! shughuli ikaanza.
"weweeeeeeeeeeee, haaaaaaaaaaaaaa! Mh! alipiga kelele mwisho akaguna tu mh! Hoi alikuwa tayari amefika mwisho. Kwa bao tu alijitahidi maana lilikuwa jingi kinoma kama nusu kikombe kidogo cha robo lita. Muba alikuwa anahema mbaya mbovu. Balakais akakumbwa na mshituko wa ajabu. Kelele zote zile mwanaume, inakuwaje.
" nashangaa sijui kwanini nimekojoa mapema hivi.....siko hivi mimi...tatizo we mtoto mtamu sana" alijiosha Muba lakini kiukweli yeye hayuko hivyo tangulini, labda huwa anachelewa kukojoa kwenye puchu. Balakais akamwambia usijali ngoja turudie ili unifaidi nami nikufaidi. Muba akalala kwenye kochi na B akaainama na kuanza kuipa kasi, hapo ndipo alikoma, aliichezea hadi akachezea tena hakuna majibu. Ngoma ililala hivyo hivyo. Balakais akanyonya hadi kunyonya tena lakini kitu kiligoma.
"inamaana nimeshakuwa hanithi!" aliwaza Muba huku kijasho chemabamba kikimtoka, alitamani ardhi ipasuke ili tu aingie na kuepukana na ile aibu. Balakais alifikia hatua akawa anaipiga piga kwenye kitumbua chake labda itasimama lakini wapi.
"nimechoka Jirani sina ujanja tena we nenda tu, ningejua hata nisingekubali kukupa ukaniacha na shombo kiasi hiki. Cheki ulivyonimwagia bao lako jingi halafu hata kulikausha kwa kulisugua huwezi. Ama kwa hakika B lilikuwa ni Apple lililopevuka kweli. Fedheha kubwa ikamkuta Muba, alinyongea vibaya sana, kwanini hali ile, wakati alikuwa na uwezo wa kupiga bao hata tatu kwa punyeto.
" vipi moto huchukui tena?" alihoji Balakais lakini Muba hata kujibu alishindwa.
"hii hali ndiyo nini sasa jamani.? Mbona nimeaibika sana mimi, siamini" aliwaza Muba baada ya kuingia ndani kwake kisha akavua nguo alizokuwa nazo mwilini mwake na kubaki uchi kabisa. Baada ya dakika chache tu Juma mhuni wake akaenda hewani, mh, sijui nirudi kule tena nikamle, lakini anaweza akanishtukia na kusema kuwa nimebust" alijiwazia namna hiyo kijana huyo. Nyeto nyeto, nyeto haina adabu jamani, unashindwa kuutendea haki mwili wa mwanamke lakini baadae unapokuwa mbali naye kitu kinainuka tena, omba sasa awe ni mkeo kuliko yule wa kuja na kuondoka, utalia mbona. JAMANI ACHENI HUU MCHEZO WA KUJICHUA, SI WADADA SI WAKAKA. MNAPOTEZA HAMU YA KUWA NA WAPENZI KABISA NA KUUNYIMA MWILI WAKO HAKI YA KIMSINGI.

Siku ikaisha, Asubuhi ikaingia asubuhi ambayo Muba aliamka asubuhi sana na kuelekea kwa J kwenda kumueleza kuhusiana na tatizo lake alilonalo. Ilikuwa ni aibu sana kwakweli, J alipoelezwa vile, alimchukua jamaa yake na kumpeleka kwa daktari ambaye anamuamini. Alipofika Muba akatakiwa aeleze kila kitu kuhusu maisha yake ya kimahusiano. Akahadithia mwanzo mwisho hadi daktari akamsikitikia. Akapewa ushauri wa kitaalamu lakini pia aliambiwa kwamba vijana wengi wamekuwa ni waathirika wa kujichua kutokana na utandawazi ulivyoenea. Vijana wengi wanashindwa kuachana na kitendo hicho cha uchuaji wa kiungo cha uzazi. Akaorodheshewa madhara ya jambo hilo, mwisho J akaambiwa amsaidie rafiki yake kupata tulizo ambalo litamuweka mbali na jambo la kujichua kabisa kisha atumie sana vyakula nilivyomuelekeza na atumie muda mwingi kufanya mazoezi au kusikiliza muziki kutazama michezo mbalimbali ili kuwa mbali na hisia ya kufanya haya mambo. Akaambiwa pia kama atajizuia kwa muda wa miezi mitatu hadi minne kwa kutokufanya huo mchezo mchafu na kula vile alivyoelekezwa basi atakuwa fiti zaidi huku akisisitiziwa zaidi mazoezi.

******
BAADA YA WIKI TATU.

Nderemo, vifijo na shamrashamra za hapa na pale, vilikuwa vimechukua nafasi kubwa sana. Ilikuwa ni siku ambayo J anachukua jiko. Sherehe ilikuwa nzuri sana japo hakukuwa na kigodoro wala ngoma lakini wa kale walisema shughuli ilifana na ilifana kweli. Wazazi wa J ni watu wa dini sana hivyo hawakuhitaji kitu chochote kinachohusiana na muziki kwenye harusi hiyo ya kijana wao. Batuli alipendeza sana kwenye shela lake la harusi huku J au Jiriwa tu kwa jina lake moja, akiwa ndani ya Kanzu safi ya rangi ya chokoleti ya kupendeza kabisa. Palisomwa maulidi, dua ya ndoa na hatimaye kijana huyo mkora akakabidhiwa jiko. mila zikafuatia, wakati J akiwa anamshika mkono mkewe baada ya kufunga ndoa hiyo, picha zilikuwa zikimweka mweka kwa kila pande ya eneo hilo. Mchele ukawa unamwagwa kula kona kwa kurushwa kidogo tu kwa maharusi hao. Wakasomewa risala ambayo ni kama muongozo kwenye maisha yao ya ndoa. Shughuli ikaisha na J kurudi na Batuli wake nyumbani kama utani, Batuli mtoto mzuri kupindukia, mtoto aliyetoa watu jasho kwa urembo wake leo kama kung'oa msumari kwenye silling board jinsi alivyomchukua. wanaume wengi walikuwa wakimuonea wivu J lakini wanawake wengi akiwemo Balakais, mama Joy, mama Chacha na wengine wengi, walikuwa wakimuone wivu mwanamke mwenzao kwa kupata mwanaume anayejua kukuna kwelikweli.
"ukienda nje ya ndoa ni hulka yako mama, hapo kidume cha kazi unacho" ilisikika kauli hiyo kutoka kwenye kikundi cha wanawake. J aliielewa hiyo kauli lakini sidhani kama Batuli aliielewa. Hakuna siku ambayo Chacha alifurahi kama hiyo, hakuna siku ambayo dogo huyo pamoja na vijana wake, walikula wali kama siku hiyo. Siku hiyo ilikuwa ni shangwe kubwa sana kila mmoja alikuwa na furaha lakini chacha alikuwa na furaha zaidi kuona Jembe lake linaacha kumtuma kwa videmu tena maana chombo hicho alichomtengenezea pande kilikuwa chombo kweli.
"naomba unikumbuke milele shimela langu" alisema Chacha wakati wa kwenda kutoa zawadi za kiana maana sherehe yenyewe ilikuwa kiimani zaidi kwahiyo mambo mengine yalikuwa kama yanalazimishwa tu. Na Chacha alisema hivyo huku akimkabidhi mwanaidi picha ya J akiwa amekula pozi safi nje ya nyumba yake. Ilikuwa ni vituko tu vya mtoto huyo ilimradi furaha ilitendewa haki hadi kuwa furaha kweli.

Siku zikakatika, ndoa ya J ikanawiri vizuri kabisa. Wiki mbili za kuifurahia ndoa yake aliyopewa kazini Batuli akawa ameitumia vizuri kabisa kuhakikisha kuwa anamaliza hamu zote alizokuwa nazo kipindi yuko bachela. Kitu pekee alichokuwa nacho Batuli ni wivu, alikuwa na wivu sana mwanamke huyo. Hakutaka kumuona mumewe akiwa mbali na nyumbani. J angekwenda wapi kwa kusingizia wakati alijenga ofisi yake kubwa kabisa inayomuingizia pesa za kutosha akiwa nyumbani. Alikuwa hana kitu cha kudanganya labda kama anakwenda labda kutembea kidogo hapo sawa lakini pia si kwa kila wakati. Batuli alijua kulinda mali yake bwana.

Kitu ambacho hakukijua Batuli ni kuwakera watu wengine juu ya kufanya matendo yake hayo ya kujifanya anajua sana kupenda. Miongoni mwa watu ambao alikuwa akiwakera na kuwaudhi kuliko kawaida alikuwa ni Mtoto mdogo au binti mdogo Sophia. Sophia alikereka sana kuhusiana na tabia ya Batuli. Aliamua kupanga mpango mbaya sana wa kuhakikisha anamharibu J pamoja na mkewe mazima. Mpango huo hakutaka uchukue muda, alianza ufuatiliaji wa kimya kimya hadi akajua muda ambao mke huyo wa J anatoka muda gani kwenda kazini na anarudi muda gani. Akaona kuwa muda ambao Mke wa J anakwenda kazini ndiyo muda ambao alitakiwa yeye kumvamia J na kuanza kumtega.

Siku isiyo na jina J alikuwa anaendelea kufanya shughuli zake za kujenga Taifa, mkewe akiwa ameelekea kazini, alishangaa kupata ugeni wa kimya kimya. Ugeni ambao ulimchanganya na kumuacha hoi.
"habari yako baba harusi" alisalimia mgeni huyo.
"baba harusi nani sasa" aliwaka kidogo J.
"kwaiyo unakataa kuwa wewe si baba harusi, ha ha haa! ok, tuachane na hilo......!"
"we mtoto najua umeshaanza kuleta mambo yako ya ajabu ajabu.....hebu ondoka bwana" alifoka J akiwa amemkatisha mtoto huyo alichotaka kuongea.
"J unanikosea sana, mimi kuniita mtoto, unajua J naweza kukubadilisha ukawa shetani wewe au unabisha" J alicheka sana baada ya kusikia kauli hiyo, eti, Sophia ambadilishe kuwa Shetani, yalikuwa ni maneno ya kuchekesha sana.
"huamini?"
"siyo siamini, mtoto mdogo kama wewe huwezi kufanya huo ujinga unaouwaza" alisema J.
kama huamini nataka ufanye mapenzi na mimi J" alisema Sophia huku akiwa amezidi kumsogelea kijana huyo.
"we mtoto hebu toka tena usahau kabisa mimi kufanya huo ujinga, ondoka basi kabla sijakubadilishia kibao....nenda husikii!" alikoroma J. Aliacha kila kitu alichokua akifanya na kudili na huyo mtoto wa kike aliyeshindikana ambaye ukimuita jina la mtoto anasema Apple limepevuka na si mtoto.
"usikasirike J ukafikia hatua ya kunipiga, naondoka bila hata fujo" alisema Sophia huku akimpa mgongo kijana huyo na kuondoka. Alipiga hatua tatu tu na kisha kurudi.

Itaendelea.
 
Apple limepevuka

EPSODE YA XXVI

"we mtoto hebu toka tena usahau kabisa mimi kufanya huo ujinga, ondoka basi kabla sijakubadilishia kibao....nenda husikii!" alikoroma J. Aliacha kila kitu alichokua akifanya na kudili na huyo mtoto wa kike aliyeshindikana ambaye ukimuita jina la mtoto anasema Apple limepevuka na si mtoto.
"usikasirike J ukafikia hatua ya kunipiga, naondoka bila hata fujo" alisema Sophia huku akimpa mgongo kijana huyo na kuondoka.
ENJOY

Alipiga hatua tatu tu na kisha kurudi, alikuwa ni kama kuna kitu cha umuhimu sana alikisahau.
"sasa mbona unarudi we mtoto!?"
"kuna kitu nimesahau J" aliongea Sophia huku akiingiza mkono kwenye mfuko wa sketi yake. Akatoka na vipande vya karatasi ambavyo alikuwa amevikunja, akachomoa kimoja na kukikunjua kisha kumuonesha J. J alishangaa kidogo kisha akacheka na kuyarudia maneno aliyokuwa ameyasoma kwa sauti ya chini.
"eti, J SIKU HIZI JOGOO HAPANDI MTUNGI.
"siyo hiyo tu, kuna hii" akasea Sophi huku akikikunja kile na kutoa kingine. Hiki nacho J alikisoma lakini bado hakuonesha kuwa na hofu. Sophi akamuuliza.
"unesoma na hicho, mbona sasa hujasoma kwa sauti ili nisikie, kama hutaki kusoma kwa sauti, ngoja nikusomee, J KAHARIBIWA, HAPANDI HADI APANDWE......hiyo ninakwenda kuibandika pale kwenye kituo cha magari ya kwenda Bombani, Amani na Misozwe hadi Maramba. Nadhani kwa wingi wa watu pale na unavyofahamika, utafedheheka sana." aliongea kwa utulivu mkubwa sana binti huyo.
"unataka nini Sophi kwangu, unajua si jambo zuri hilo unalokwenda kulifanya halafu litakwenda kuipoteza heshima yangu" aliongea J. Sophi alisogea hadi karibu na kumwambia.
"nataka leo ukathibitishe kuwa Apple limepevuka na si changa kama unavyoniita, kinyume na hapo karatasi hizi zilizoandika kwa wino wa kumwagika, zitakuwa gumzo kila kona ya hapa muheza" alisema kisha akatulia halafu akamalizia.
"basi sawa kama hunielewi mi naenda ila baada ya nusu saa tu utapigiwa simu na wanao kufahamu kama hutapata bahati ya kushuhudia mwenyewe, bye........!"
"he....he....hey....hebu ngo...ja Sophi" alimuita kisha akamkaribia na kumuwekea biti kuwa kama hatompa hizo karatasi, atamtambua. Sophi akamwambia kuwa wakati anaziandika yeye hakuwepo hivyo kama anazihitaji atampa lakini si kama atafanikiwa kuizuia azma yake. J akafikiria kwa muda, akajua ni kweli, akijifanya kujua ataaibika.
"sasa tunafanyaje" hatimae J kwa mara ya kwanza tangu kuingia kwenye ndoa, anatoka nje ya ndoa yake.
"najua unamke J hivyo sitaki nikupe jina baya bali nataka kila kitu kiwe siri kabisa. Mimi natangulia Kivulini Bar and guest, nalipia kila kitu wewe ukija utanikuta pale. Nimechagua kule kwa sababu hakuna mtu anaye kufahamu wewe" alisema Sophi, J akazichukua zile karatasi kisha akazitia moto. Akafunga ofisi na kutoweka kuelekea mahali ambako Kivulini ilipo. akatoweka na kupotelea barabarani.

Kuna muda mwingine unashindwa kujiuliza na kuipa fikra yako kitu au kauli moja na yenye maamuzi kwa kuhofia jambo fulani pengine linaweza kutokea na kuharibu kabisa uhalisia wako. Hivi ni kweli uhalisia wa mtu unaharibiwa kwa maneno ya kwenye karatasi? Ninachokijua ni kwamba watu watatembea na hisia tu za kuwa fulani anafanya hivi na vile lakini ukweli wa mambo unao mwenyewe. Najiuliza kitu kimoja kuhusiana na J. fundi. Sidhani kama kweli J amekwenda Kivulini Bar eti, kwasababu ya kuogopa maneno ya kutishiwa kudhalilishwa ambayo yananing'inia kwenye karatasi. Napata mashaka sana japo wahenga walisema ya kuwa mdharau mwiba guu huota tende lakini pia na mimi nasema ya kwangu kuwa siku zote asili na tabia, havitengamani maana asili hujenga tabia japo tabia ni vigumu kuijenga asili. Nijuavyo mimi, mwindaji hujipa mapumziko ya muda na si kuacha kabisa kuwinda. J amelidhihirisha neno lisemwalo sana na wenyeji wa mji huu wa Muheza ya kwamba Asili haiachi asili ama mkondo wa maji hauachi maji. J kilicho mpeleka Kivulini Baa siyo yale maneno na vitisho vya Sophi, nakataa. J alikuwa ni kama mwindaji tu aliyejipa likizo ya muda na kwa muda huo anarudi kazini tena. Mtu asikudanganye bwana eti, oooh!, mwanaume akioa au mwanamke akiolewa ndiyo nwanzo wa kuacha uhuni. Nani kasema mwenye chake hukiacha. Pia kilichompeleka J Kivulini ni kutaka kujua je, kweli asemayo Sophi? Ni kweli Apple si teke bali Apple limepevuka? Hiki ndicho kikubwa sana alichokifuata huko lakini hakujua na laiti kama angalijua basi asingalithubutu kabisa kumkaribia huyo Sophi. Sophi alikuwa ni laana huyo mtoto, Sophi alikuwa ni mdudu asiye na mbawa za kuruka lakini anaijua safari kuliko ndege apaaye angani, Sophi alikuwa ni sumu, tena sumu iliyofika mwisho wa muda wake wa matumizi kwa lugha safi inafaa zaidi tukiita sumu juu ya sumu. Sophi alikuwa anaubia na shetani kwenye hii dunia kwa kuendekeza michezo michafu ambayo ni yenye kumchukiza Mungu kwa asilimia mia na ushee. J hakujua kuwa kitendo cha kumfahamu mtoto huyo ama Apple limepevuka kama anavyo jinasibisha mwenyewe, ni kuiharibu kabisa historia nzuri ya maisha yake. Ndugu msomaji, ni bora uwe kiwembe kuliko kuwa kiwembe kisichofaa kutumiwa ama kupewa nafasi ya matumizi kwenye jamii.

Utulivu ulikuwa mkubwa sana majira hayo ya asbuhi ya saa 11:06 za asubuhi. Wakati J anaingia ndani ya hiyo baa, hakukuwa na mtu ambaye alikuwa akiwafuatilia kutokana na muda huo kila mjamuungwana kuwa katika hamsini zake. Pia hata kama kungekuwa na watu waliomuona asubuhi hiyo akiingia mahali hapo, sidhani kama kuna ambaye angejua kuwa kijana huyo anakwenda kuivunja amri ya sita kwa binti mdogo wa kupata miaka kumi na sita, binti ambaye kama anakutwa naye akimsulubu kitandani sidhani kama angeachwa huru na jamhuri hiyo. Lakini sidhani, nasema sidhani kwa sababu moja, Sophi si mtu wa kukubali kupikuliwa hata kama yuko na mtu aliyemzidi umri mara kumi. Sophi ni kama ana laana hivi, huyu mtoto.
"habari yako dada?' alisalimia J mara baada ya kufika mapokezi mwa nyumba hiyo ya wageni jina. Dada yule aliyejikubua kwa rangi kedekede za kuinyurutisha sura yake pana iliyobeba lipsi pana zilizoruhusiwa kuachia tabasamu mahali hapo ikiwa ni katika kuzifuata kanuni na taratibu za kukijengea nguzo imara kibarua chake, jicho lililojazwa wanja wa kungu, au wanja wa kibiriti, wa uswazi wenyewe wanajua.
" karibu kaka yangu naweza kukupa huduma" alihoji huyo dada huku tabasamu lake la urembo likiwa usoni vivo hivyo.
"asante kunamge.......yaaaa! ok, asante yule pale" alikuwa akijing'ata ng'ata meno J kwa kushindwa kutoa maelezo sahihi kuhusu mwenyeji wake lakini uzuri na wepesi zaidi, Sophi akajitokeza na kusimama nje ya chumba alichofikia. Kitendo kile cha kusema tu yule pale, tayari alikuwa ameinua mshangao mkubwa kutoka kwa yule dada. Macho yalimtoka na midomo kubaki wazi, mshangao ukamkumba dada huyo. Binti mdogo kama yule kutembea na kijana mzuri na mtanashati, lilikuwa ni jambo la ajabu sana. Mshangao wa yule dada ukaonekana na Sophi mwenyewe. Mdomo ukakunjwa mithili ya mwanamke aliyepewa mualiko wa harusi ya hasimu wake. Mdomo ulikuwa mrefu mithili ya filimbi ya mgambo. Likafuatia sonyo kali lililokwenda kumrudishia yule dada utulivu wa lazima na majuto ya kuingilia visivyomuhusu. J akazama ndani na yule mtoto, huku nje yule muhudumu wa gesti akaapa ni lazima aufuatilie ule mchezo ili ajionee jinsi kijana yule anayeonekana yuko tafu, atakavyo baka mtoto mdogo.
"karibu J wangu mwaya, ukihofia eti, ama kunyooshewa vidole huku wakisindikiza na maneno yao ya kejeli 'ni mwana ndai', huwezi kula vitu vizuri na vipya kwenye maisha yako maana vizuri na vipya vyote vimezunguukwa na mahasidi na wafisidi" alisema Sophi baada ya kutoa ukaribisho. J hakujibu kitu alikuwa akimkodolea macho tu mtoto huyo. Sophi akamuangalia kijana huyo kwa muda kisha akafikiri kwa haraka sana, akajua kama hatotumia mbinu za kumlaza ngamia kwa dua ili achinjwe, atakosa kile alichokisudia kukipata mahali hapo. J alikuwa hana mzuka kwa kweli, hakuwa akijua aanzie wapi kumgusa huyo mtoto ili aweze kumpa hisia. Hakupaona. Ni kweli Sophi alikuwa na kamwili ka majimaji, kamwili kenye nyama kwa maana nyingine. alikuwa na makalio fulani mbinuko kiasi ambayo ndiyo silaha aliyojuwa kuitumia kuwaumizia wanaume wakora barabarani. Makalio mtikisiko, makalio vibration, makalio ambayo ukiyatizama uwe rijali na mwenye tamaa, hapo utasimamisha tu. Muda wote huo Sophi alikuwa ameshausoma mchezo sasa alikuwa akitumia mbinu za ushawishi wa lazima. Aliitoa fulana yake ya juu kisha kuyaacha wazi matiti mchomo, matiti yaliyosimama dede kwelikweli, matiti hayo yalikuwa si ya mduara ila yalivimba kiasi kisha kutoa ncha mwishoni. rangi ya Sophi ilikuwa ni Chokoleti, sasa matiti yake yalikuwa yamebeba rangi tofauti na mwili wake, hayo yalikuwa na weupe wa kuumiza kama siyo kuharibu ngome ya ulinzi na usalama wa raia. J alishtukia tu funda kubwa la mate mazito likiingia kooni kisha kupotelea tumboni kwa kishindo kikubwa, yalikuwa ni mate ya tamaa. J alikiri moyoni kuwa hakuwahi kukutana na viembe nyonyo kama vile kwenye harakati zake za umegaji. Mara nyingi alikuwa akikutana na maembe bolibo, dodo ama muda mwingine mapapai yenye rutuba na yasiyo rutuba. Muda huohuo suruali yake ikasafirisha habari kwa mtikisiko wa kusukumwa na kitu chenye haja na kitu fulani. Macho makini ya Sophi yakaona, akatabasamu huku akimalizia kushusha skin jeans iliyombana vilivyo, mtoto akabakiwa na bikini ya rangi ya pinki iliyoyabana maungo yake ya siri haswa. Kwa jeuri na dharau, Sophi aliinama na kuziokota hizo nguo zilizokuwa chini kwa pozi kubwa huku akiwa kageukia upande mwingine na mgongo ukiwa umemtazama J. mtoto alikuwa akiokota hizo nguo huku akiwa anayatikisa makalio yake kwa kuzidi kuleta chachu zaidi kwa kijana huyo kisha akanyanyuka na kumtazama kijana kwa macho ya kumuuliza umeona mambo hayo. Sophi alitembea hivyo taratibu huku akiyatikikisa makalio hayo kwa sifa sana. J alisimamisha hadi akakoma mwenyewe, alijikuta akipata mshawasha wa kufanya ngono sasa na mtoto huyo. Lakini wakati wakiwa wanaringishiana humo ndani pamoja na kutamaniana, kwenye dirisha moja upande ambao ni baa, kulikuwa kuna mtu alikuwa akifuatilia ule mchezo bila chenga. Hakuwa mtu mwingine bali alikuwa ni yule muhudumu wa gesti hiyo. Sophi alirudi hadi alipo kijana huyo kisha akaanza mbwembwe za kumvua shati halafu akafuatiwa na suruali. Wakati akiwa anafanya hivyo huyo binti, J alikuwa tayari ameshaligusa kalio la huyo mtoto. Ulaini wa kalio hilo ukamtisha na kumshtua kabisa J. Lilikuwa ni kalio laini kuliko kawaida.
"aiseei una kalio zuri sana we mtoto" alishindwa kusifia moyoni tu J.
"siyo zuri tu J, sema ninakalio tamu. Ukiishia zuri tu utakuwa hujanipa mimi sifa" alijitapa huyo mtoto kwa deko kubwa. J hakuyatilia maanani hayo maneno, akili yake yote ilikuwa ni kwenye makalio akitoka makalio anahamia kifuani. Alikuwa tayari ameshaanza.

ITAENDELEA
 
Apple Limepevuka

EPSODE YA XXVII

J alikuwa tayari ameshaligusa kalio la huyo mtoto. Ulaini wa kalio hilo ukamtisha na kumshtua kabisa J. Lilikuwa ni kalio laini kuliko kawaida.
"aiseei una kalio zuri sana we mtoto" alishindwa kusifia moyoni tu J.
"siyo zuri tu J, sema ninakalio tamu. Ukiishia zuri tu utakuwa hujanipa mimi sifa" alijitapa huyo mtoto kwa deko kubwa. J hakuyatilia maanani hayo maneno, akili yake yote ilikuwa ni kwenye makalio akitoka makalio anahamia kifuani
ENJOY

. Alikuwa tayari ameshaanza kuzishambulia chuchu za matiti ya mtoto huyo huku Sophi akiwa analisugua dudu la J kwa mikono yake inayokimbia hata kazi za kuosha vyombo nyumbani kwao na kukimbilia kuisgua mitulinga ya wanaume. J alikuwa akipata raha ya kusuguliwa dudu lake ambalo lilikuwa limepakwa mate ili kupata ulaini mzuri wa kurahisisha kazi. Dudu hilo lilikuwa limetoa misuli kama wale jamaa watunisha misuli wa Marekani. Na hakuwa nyuma katika harakati za kutoa raha muruwa kwa kijitoto hicho ambacho kwa wastani kilikuwa kimeshaingia balehe ya kwanza kwa niaba ya sayansi. J aliupenua mkanda wa bikini ile kwa nyuma kisha kuuegesha pembeni, akaingiza mkono wake kwenye vungu za kalio zake na kuja kutokea kwenye kitumbua kilichokuwa kimebana sana.
"mmmh!" aligumia J. Sophi akatoa mdomo wake kinywani na kumuuliza J kulikoni mbona waguna. J akasema hakutegemea kukuta tamu kavu na inayobana namna hiyo.
"lazima ukute hivyo J, si mtumiaji sana wa kitumbua changu" alijibu Sophi. J akashtuka, akashangaa na kuuliza.
"unasema?" aliuliza lakini hakujibiwa na yeye pia hakupata nafasi ya kuuliza tena. Sophi alikuwa ameivamia kambi ya siri ya J kisha kuikamata silaha ya kijana huyo anayoitegemea kwa maangamizi, akanza kuimeng'enyua kwa kuimumunya. Aliimumunya kuliko alivyotegemea J hadi akajiuliza, inamaaba kila mwanamke na unyonyaji wake au? Kitu ilikuwa ikilambwa sana. J hakusubiri sana, alimsukumia mtoto huyo kitandani kisha kuanza kunyonya kifua lakini hakudhubutu kunyonya chini kwa sababu ya kuepuka hatari, hakumpa asilimia mia sana mtoto huyo hata kama alikuwa na tamu iliyoonesha kuto kuliwa sana kwa kiasi kikubwa. Alitumia ulimi wake kwa ustadi mkubwa hadi akawa anampa shida binti huyo. J hakuiacha tamu ya Sophi inyongee bali alitumia sana vidole ili kuzidi kuleta raha za namna yake.
"J nawashwa.....nawashwa J, yaani mimi sijui kwanini, nikipandishwa nyege tu huwa nawashwa....please J nawashwa kweli" alikuwa akilalama Sophi. J alikazana kutoa raha pasipo kujua nini maana ya maneno hayo aliyokuwa akiyatoa binti huyo sijui kama angejua ingekuwaje. Mchezo wa kunyegeshana uliendelea lakini kelele za Sophi kuwa anawashwa pia hazikukoma. J akaona hamtendei haki huyo mtoto. Akamtoa kitandani na kumwambia ainame akamate fumbati za kitanda hicho. Kutokana na kitanda hicho cha gesti kuwa kifupi sana, hivyo Sophi akawa kama anaokota kitu mchangani. J alilipigapiga dudu lake kwenye makalio laini ya mtoto huyo kisha akalipaka mate kidogo na kulengesha kwenye tundu la utamu.Wakati hayo yakifanyika, pale kwenye dirisha yule dada alikuwa akiuma lipsi zake kwa kuona dudu la J likienda ndani ili kumpa raha yule mtoto. Dada huyo alikuwa amefumba macho huku akivuta hisia kali akijiona kama vile ni yeye anayepewa ile mambo. J alikuwa akiingiza taratibu sana lakini Sophi hakungoja iwe ama iendelee kuwa taratibu hivyo. Alijisukuma kwa nyuma kisha kuganda kwa nyuma kidogo kisha akawa anasaidiana na J kucheza ule mchezo wa sukuma toa. Miguno ya mahaba ilikuwa imekamata hatamu humo chumbani si kidogo. J alimgeuza yule mtoto akamuweka mtindo mzuri na wa raha unaoitwa Cheketua. Mchezo huo hapo ndipo J alipouona raha, kwani hapo Sophi ni kama alipelekwa nyumbani. Alikuwa akikata kwa kuchetua yaani akitoka chini kuja juu huwa anakuja kwa kuchetua. Ndugu msomaji, mtindo huu unaweza ukawa na majina mengi sana mtaani lakini mimi acha niupe jina la Cheketua kutokana na jinsi mkatiko wake ulivyo. Mtindo huu mwanamke huwa analala chini lakini halali akajiachia bali hulala kiubavu kidogo huku mkono wake mmoja ukiwa juu kama adui anayeomba msamaha baada ya kupokea kipigo kikali. Mguu mmoja ambao huwa unalala, unakuwa umekunjwa kidogo na kutengeneza kama herufi V kwa nyuma halafu huu mwingine unakuwa juu ikielea. Mwanaume hapa naye atakuwa kama analala lakini hatolala badala yake atatumia mkono wake mmoja kukita chini ama kwenye godoro huku mguu wake uliolandana na mkono uliokita chini utalala juu ya ule mguu wa mwanamke ambao umetengeneza herufi V. Mguu mmoja, huu utakuwa umepita juu ya ule mguu wa mwanamke ambao utakuwa unaelea halafu mkono wa mwanaume ule ambao uko huru, huu utaushika ule mguu kwa chini kisha yeye ule mkono ulio huru na ataukamatisha shingoni ili iwe ni egemeo lake. Kwa umbo ambalo mtakuwa mmekaa ni kama watu wanaoshambuliana vikali.

Nikupe siri ya huu mtindo ndugu msomaji. Si mtindo mwepesi kwanza kwa mwanaume kuutumia, pili unahitaji uwe na balansi ya kutosha. Mtindo huu hauhitaji haraka kabisa. taratibu ndiyo siri ya huu mkao. Raha ya huu mkao ni kwamba mwanaume anakuwa huru kiasi kwa kufanta chochote anachojisikia kama kunyonya chuchu za mwanamke, kulana mate ama vingine vinavyohusiana na hivyo. Kwa upande wa mwanamke mtindo huu huwa hauna madhara kwake zaidi ya kumpa raha. Ni mzuri sana kwa wanawake ambao hawana uvivu wa kujituma kwani ni mtindo ambao una raha za pekee sana. J alijua kumuweka mtoto kwenye mtindo huo ni kutaka kumuonesha raha zinavyotolewa lakini alikutana na mtoto aliyepevuka kwa kila nyanja za pembe za kitanda. J wakati anashuka mtoto anapanda, watu wananakutania hapo katikati kisha mtoto kama anachetua kimtindo.
"oh,.......ooooooo yaaaaaaaa........ooooopp yaaaaaaa.....!" J alikuwa akimwagika kwa sauti mithili ya kunong'ona hivi kuashiria kuwa hapo alipo yupo katika raha kubwa lakini kitu kilicho anza kumtia mashaka J ni jinsi mtoto huyo anavyolia. Sophi kilio chake kilikuwa ni J nawashwa, nihurumie J nawashwa....kunaniwasha J. Lakini hakusema ni kitu gani kinawasha, hata huko kuwashwa hakujua ni kwa njia gani atakukuna kwani kila alivyokuwa akisugua bado ilikuwa ni J nihurumie nawashwa. Kila akimkunja, ilikuwa ni J mwenzako nateseka nawashwa, akiongeza neno basi ni J nikune nipone, kipele kimeiva tayari kikune kipasuke niondokewe na muwasho. J akaongeza kasi kwani alijua pengine ile polepole labda ilikuwa haimkolezi huyo mtoto. Alisugua, alisugua hadi akasugua tena wimbo wa J nawashwa ulikuwa palepale. J akajikuta anavunja dafu la kwanza akiwa bado hajagusa kipele muwasho. Mtoto Sophi akaikamata maiki vizuri kisha kujipa tester mwenyewe, aliunyonya kuliko kawaida hadi mpingo ukarudi tena kazini. Sophi akamwambia J subiri nikuoneshe inavyotakiwa kuwa. Sophi alishuka kitandani hadi kwenye kibegi chake kisha akaibuka na mafuta ya kuchuruzika, akafungua chupa ya hayo mafuta na kumwambia atulie. Sophi akaikamata shuka ile ya kitanda na kuitoa likabaki godoro likiwa uchi. Sophi akamimina mafuta kwenye mpingo wa J uliokuwa umesimama na kutuna kinoma. Alipohakikisha yanatosha, aliusugua vizuri sana. Mafuta yalikuwa yana joto kiasisi hivyo yakawa yanampa raha kijana huyo si utani.
"J nilikuwa nikiwashwa sana wakati ukinila huku ambako si kuliko na matumizi sana........J mi mwenzako tangu nianze huu mchezo na kufundishwa kuchokolewa shimo la Panya, na watoto wa kiarabu wale wa pale Genge, nimekuwa nikiuhusudu sana kuliko huku ulikokula wewe leo" alisema kwa pozi kubwa Sophi kama vile anachokiongea kina tija sana. J ni kama hakusikia vizuri.
"unasemaje Sophi?" aliuliza.
"ooooh! Hapana nataka unifanye bila kusikia maumivu maana pale ulipokuwa ukinisugua ni kama nilikuwa naungua kwa jinsi uke wangu ulivyokuwa ukiupa moto" alizuga Sophi baada ya kuona J amepatwa na mshangao, akajua kuendelea kuongea ukweli ni kukosa pwani na kupewa bara ambako ndiyo nyumbani. Sophi alichokifanya ni kulala kwa juu na kuisugua tupu yake kwenye dudu la J, joto la hapo likampeleka J maili nyingi sauti za kuunguruma alipokuwa akizitoa ndivyo alivyokuwa akizidi kumpa imani Sophi kuwa zoezi lake ni lazima litimie.
"ingiza basi ulikatikie unipe utamu, unakitunbua kitamu sana Sophi nilikuwa nikikudharau sana lakini kumbe ni ujinga tu" aliongea J. Sophi wala hakumjibu na pia hakujua dhima ama dhamira ya mtoto huyo wa kike. Sophi alichukua mafuta tena kisha akalilowesha dudu tena. Alichokifanya baada ya hapo ni kuchukua yale mafuta ambayo yalikuwa kweye mpingo akajishika kalio lake kidogo kisha akajipaka kwenye jicho na kujitia dole kabisa ili kuweza kuilowesha njia yote ikiwa ni kumzuga J asijue ni wapi inaingia. Alipoona kitu kimeloweka vizuri, alipanda kwa juu na kulikamata dudu la J akalipigapiga kwenye kitumbua chake halafu akajifanya kama analengesha mara anasugua matokeo yake mtoto akapeleka kwenye njia ya dharula. Akaizamisha na kuikalia yote huku akiwa anatikisika, ilikuwa ni tikisa ya kufa mtu, Sophi alikuwa kafumba macho huku akiwa hasemi tena kama anawashwa.
"J dudu lako limefika patamu J....nataka ukawahadithie mtaani huko na uwaambie Sophi si tunda teke bali ni Apple lililopevuka" aliposema hivyo Sophi, alikishika kifua Cha J kisha akaanza fujo. Kitu kilichomshtua J na kuona kuwa anakokula siko sahihi ni joto, joto lilikuwa kali sana kiasi cha kumfanya zile raha za mwanzo kuja maradufu. Pili ikiwa ni ule mbano wa awali kuwa wa tofauti sana, hii ya sasa ilikuwa ikibana zaidi na tatu ni kuuona uke wa Sophi ukiwa umejiachia/umetanuka bila kuwa na kitu kwenye njia yake. Hiyo aliona pale Sophi alipokuwa akiinuka na kukaa kabla ya kuchekecha.
"So....Sophi.....wa.....wawa...pi huko?" aliuliza J huku akigugumia kwa utamua wa pekee sana.
"wapi mpenzi?" aliuliza Sophi nae kanakwamba haelewi anachoulizwa, Sophi alikuwa akilia sana na kulalamika kuonesha kuwa hapo amefikishwa mara kadhaa alikiwa akimwambia J aachane na maswali ya kuuliza na afanye kwa nguvu ili aisikie mikito yake ikimkita kwenye kingo za ndani za soda yake ya kopo.
"huku ulikoingiza Sophi mbona kutamu sana tofauti na na.....nanna....oooooooyaaaaaaa?" yaani kama ungekuwa unamuona J. fundi, aisei ni lazima ungejua anaelekea kulia kwa utamu.
"huku ndiko wanakokutumia wanawake wote wajanja, wanawake mastaa huu ndiyo mchezo wao. Usione wanalilia kuwa na makalio makubwa ukajua ni kwa ajili ya kukaa kwenye nyimbo za wasanii wakubwa laa! wanainjoi sana wanapokuwa kitandani kwa kuliwa kama unavyo nila mimi J. Hapa unakula nyuma J kama ulikuwa hujui" alisema Sophi. J akajikuta njia panda hakujua atoe au aiache. Lakini wakati akiwa njia panda ya maswali, Sophi akasema.
"unataka nikutajie wanamuziki wa kiume wakubwa tena wanaopenda kuwageuza wanawake kinyume na mumbile, au nikutajie wanawake wanamuziki pamoja na video.

ITAENDELEA.
 
APPLE LIMEPEVUKA

EPSODE YA XXVIII

Usione wanalilia kuwa na makalio makubwa ukajua ni kwa ajili ya kukaa kwenye nyimbo za wasanii wakubwa laa! wanainjoi sana wanapokuwa kitandani kwa kuliwa kama unavyo nila mimi J. Hapa unakula nyuma J kama ulikuwa hujui" alisema Sophi. J akajikuta njia panda hakujua atoe au aiache. Lakini wakati akiwa njia panda ya maswali, Sophi akasema.
"unataka nikutajie wanamuziki wa kiume wakubwa tena wanaopenda kuwageuza wanawake kinyume na mumbile, au nikutajie wanawake wanamuziki pamoja na video queen wanaotamba sana wanaotumia huu mchezo mtamu?"
"sitaki hao wote bwana Sophi, toa ingiza kwenye njia ya kawaida" alijikakamua J na ondoa yake ambayo haina nguvu.
"ooooh!, jamani subiri mwanaume mzuri nikuoneshe kazi na utanisifia leo au hatakama hutonisifia basi hutatamani kuuacha tena huu mchezo" alisea Sophi kisha kuanza kuleta sauti za kuigiza, sauti zinazoumiza kuzisikia, sauti zinazoleta mshawasha wa kuzidi kula mambo muda wote. Hapo kwenye hizo sauti hata kasuku akatafute darasa la kujifunzia. Sophi akaanza kucheza kigodoro kwenye kifua cha J, J alianza kubafilika taratibu mwishoe akapagawa kwa utamu. Kusema kuwa Sophi mtamu alishindwa kwa aibu, kupiga kelele pia alishindwa kwa kuogopa kuonekana dhaifu mbele ya mtoto huyo japo kiukweli kabisa alikuwa yupo katika hali mbaya mno. Akawa hana jinsi J akabaki akigumia tu mh.......mh.......mh......mh.....mh!" kila mambo yalivyomuwia ugumu yeye ni mh! hakuwa na kibwagizo kingine.
Sophi sasa alikuwa anakwenda kumaliza ajira zote za wanaopenda kuliwa mbele kwa kuja na mtindo wa 'kama umeshajisaidia tayari njoo uchambie msoloboko' mtoto Sophi ilikuonesha kuwa tundu lake la nyuma ndilo alilokuwa na ufundi nalo zaidi, akawa kama anaruka hivi halafu anakuja kuzama na kufanya kama anasotea gunzi, J aliona hata kama akioneka chizi lakini si kuacha kuzitendea haki hizo raha, akawa anaonesha kuhamasika kwa mchezo ule. Sophi hakuacha kusifia kuwa dudu la J ni tamu kwa sababu halichoshi
, siyo kama madudu mengine. J nae hakuacha kusifia kwa kile alichokuwa akikipewa mahali hapo. J hakujua kama Sophi ameshachoka tayari na hapo alikuwa anamkojoza mtu kwa lazima, kweli haikupita muda J akanyanyua mikono kukubali kufika mwisho wa mchezo. walimaliza mchezo huo. J akaelekea bafuni kujimwagia maji, lakini hawakujua kama walikuwa wakisafiri kwenye ngalawa moja na shabiki aliyekuwa akifuatilia mchezo huo ambaye hadi mchezo kuisha, alikuwa tayari amejichafua chupi si chini ya maramoja. Nae kwa muda huo aliamua kuelekea bafuni, wakati yeye anaingia huko J alikuwa akivaa ngua kisha kutoka. Wakakutana kwenye mlango mkubwa wa kuingia bafuni humo, wakagongana. J akatoa pole na kujitetea kuwa giza la hapo limewachanganya. Lakini aliyepewa pole wala hakushughulika nayo na badala yake akashusha pumzi nzito kama mtu mwenye shinikizo la damu kisha kumtazama J kwa jicho legevu kabisa. J hakujua kama huyo muhudumu wa gesti hiyo alikuwa akiwachungulia na alikuwa ameshuhudia kila kitu na hapo alikuwa yuko hoi kwa nyege na pia mkononi alikuwa ameshika chupi ambayo alikuwa akienda kuifua kutokana na kuichafua na maji ya utamu. J hakujua kama huyo dada hapo alipo kama akisema twende ukanipe, dada huyo hapindui, pia hakujua kama hapo alipo alikuwa amevaa kanga moja tu isiyo na kitu ndani tena akiwa amefungasha mzigo mkubwa kama wa mama Chacha. Dada huyo alikuwa amemkaribia kabisa J bila kumpisha, alikuwa ni kama amekumbwa na jinamizi la kushangaa. J akampita kibishi lakini katika kule kupishana, J akaligusa kalio la yule dada kitendo kilichofanya yeye kugeuka kwa haraka kubwa sana. Alishuhudia mzigo wa maana.
"kumbe pale mapokezi alipokuwa kakaa alikuwa kauficha kwenye kiti.....mh! Hili ni bonge la bogi aisee" alisema J lakini hapo hapo akisikia mh! J,
alikuwa akiitwa na huyo dada kwa sauti ya kuhitaji hata kidogo. J tayari alisharogwa na huo mchezo wa kinyume na maumbile yaani muda huo mfupi tu alikuwa tayari ni mgonjwa wa hiyo kitu na tayari alikuwa ni mtu wa kufikiria kula nyuma tu na si sehemu nyingine.
"njoo basi na mimi unifanye kama ulivyokuwa ukimfanya yule mtoto" alisema yule dada kisha akalitikisa lile kalio lake na kuleta mtikisiko wa ajabu sana. J aling'ata meno kwa kutamani hayo mambo na dudu lisivyo na shukurani, eti, lilikuwa liko hewani likitaka kumla huyo dada pia. J kuna kitu akakikumbuka. ndiyo, alimkumbuka mkewe alijua kwa muda huo wa mchana, mkewe ndiyo alikuwa akirudi mara nyingi kutoka kazini.
"haaa!, siyo mchezo huo mzigo lazima niule, lini unakuwepo kazini na ni muda gani unakuwa huna wateja wengi ili nije kwa ajili yako tu?" aliuliza J akionekana kuwa na haraka kidogo.
"kwani leo vipi?" alihoji huyo dada bila kutoa majibu ya swali aliloulizwa.
"kuna mtu muhimu sana anakuja mida hii ofisini kwangu sasa si busara za kikazi mgeni kumsubiri mwenyeji" alijibu J kwa uzuri zaidi. "njoo kesho kutwa muda kama uliokuja leo" alisema huyo dada kisha J akapotea hapo na kuondoka zake hakutaka kumuuzi mkewe kwa kutomkuta nyumbani ukizingatia anakazi za watu zilikuwa zikitakiwa kuisha.

J aliondoka maeneo yale lakini alishaondoka na mabadiliko makubwa sana kichwani mwake. J. fundi huyu alikuwa mpya sana siyo J. fundi yule umjuae wewe. Huyu alikuwa kaharibikiwa kitabia, hakuwa akipenda mapenzi kwa njia ya kawaida tena alikuwa ni mtu wa kwenda kinyume kila akutanapo na wanawake. Alijitahidi kwa asilimia kubwa sana kuhakikisha kuwa hiyo tabia haiendi nyumbani kwake, hakutaka kumfanyia mkewe mambo hayo lakini wanawake wote aliwageuza. Kila aliyetaka penzi na J basi ujue ataliwa kinyume na kama hataki kuliwa kinyume ni kwamba labda akimbie. Ukumbuke kuwa kabla hajaoa J, alikuwa na wanawake kibao ambao alikuwa akiwachapa nao, sasa hata alipokuja kuwa kiumbe anayependa kufanya mchezo ambao Mungu anauchukia, alihakikisha hata wale wa awali anawafanyia huo mchezo. Wote walipitiwa kama Saumu, Maimuna mcharuko, mama Chacha na wengine wengi.Kila aliyekuwa akitamani kuwa na mapenzi na J, aliharibiwa na hawakuwa wakikataa kutokana na mbinu za kitaalamu alizokuwa akizitumia. J alifikia hatua hadi ya kutembea na mafuta kwa ajili ya kurahisisha mchezo huo wa kaumu ya Nabii Lutwi. Mchezo ambao ndio chanzo cha Mungu kuingamiza jamii ile ya Mtume Nuhu. Katika listi ya J ya kutaka kuwaingilia wanawake kwa mtindo huo ilikuwa imekwisha ila alibakisha mtu mmoja tu ambaye alikuwa ni mama Joy. Huyu mama alikuwa akitamaniwa sana na J lakini muda ndiyo ulikuwa ukimbana sana mama huyo. Mchana muda mwingi alikuwa na shughuli za kuandaa chakula kwa ajili ya biashara zake za usiku na ifikapo usiku J huwa anabanwa sana na mkewe hivyo kushindwa kuwa na ahadi nzuri japo walikuwa na mawasiliano mazuri tu. Siku moja mkewe alipatwa na matatizo upande wa kwao hivyo hiyo ndiyo akaiona ni njia ya pekee sana kuweza kumpatia mama Joy.
"leo haiwezekani mama Joy lazima unipe siwezi kukuacha" alisema J akiwa amekaa kwenye benchi kwenye eneo la kufanyia biashara mama huyo.
"mmh! Mkeo amesafiri nini maana naona si kawaida yako kwanza kukaa hadi saa hizi hapa kwangu!" aliuliza kwa kutia shaka kidogo mama Joy.
"yaa, hayupo amekwenda msibani huko kwao ndiyo maana niko hapa....kwanza hebu niwekee ugali samaki maana nime kimisi sana chakula chako" alisema J sambamba na kuomba chakula. Mama Joy alifanya kama alivyoagizwa huku akimwambia kuwa maneno yote atayamaliza yeye. Alikula taratibu huku akimsubiria mama huyo amalize biashara yake. Muda ulisonga kwa kasi hadi muda uliokuwa ukisubiriwa, ukawadia. Mama J akamwambia acha aondoke na vyombo kisha yeye afuatie kwani siku hiyo walipanga kuufanya huo mchezo nyumbani kwake kutokana na kutokuwepo kwa Joy. Ndiyo, Mama Joy alimaliza kuondoa vile vyombo na baada ya muda kidogo J akapiga hatua za taratibu kuelekea mahali ambapo mama huyo anaishi. Ilikuwa ni nyumba ya kupanga na kwa wakati huo hakukuwa hata na mtu mmoja nje, kila mtu alikuwa ndani ya chumba chake akiuchapa usingizi huku wenye kufanya yao wakifanya. J aliingizwa ndani na mama huyo akamuomba J akaoge kwanza kwani alikuwa na jasho sana mwilini mwake. J akamruhusu. Baada ya muda mfupi, mama huyo alifika mahali hapo akiwa amejitanda upande wa kanga tu. J hakumlazia damu alimvamia na kunza kumpa mdomo, wakalana mate kwa takribani dakika kadhaa kisha wakahamia kitandani kwa ajili ya michezo mingine. Mama Joy kama kawaida yake alikuwa kwenye ubora wake uleule wa kiutu uzima wa kufanya mambo kwa taratibu huku akiwa ni mburudishaji mzuri wa mambo hayo ya kikubwa lakini hakujua kuwa J aliyenaye kwa muda huo alishabadilika zamani sana na hapo anakwenda kufanyiwa mchezo mchafu. Mama Joy baada ya kuutoa mtalimbo wa J mdomoni, aliupeleka moja kwa moja kunako utamu wake na kuanza kumpekechea kwa Juu, miguno ya raha ikachukua nafasi yake kwa wati huo. Walisuguana kwa mtindo huo kwa muda kidogo hadi pale J alipomuweka mama huyo kwa mtindo wa kizamani, akaanza kumnyonya kwa pupa sana sehenu hizo za tupu ya mama Joy. J aliongeza kasi ya kunyonya hadi akajikuta amevuka mipaka kabisa ya kufanya hivyo, maana alimnyonya hadi kunako ndogo. Mama Joy alishituka sana kwa kitendo hicho kipya alichokuwa akifanyiwa na kijana huyo. Hakutaka kuuliza kutokana na raha za aina yake alizokuwa akizipata hakujua kama kimya si kitu kizuri, kimya chake ndicho kilichompa uhuru zaidi kijana huyo wa kuona kumbe anaweza kujaribu. J aliyachukua mafuta yake kisha kuyapaka vizuri kwenye mpingo wake na kwenye mkono kiasi ambayo alimpitishia mama Joy bila kujiele kutokana na jinsi alivyokuwa akinyonywa chuchu zake nene. Mama Joy hakujua kama njia ya haja kubwa imeshaloanishwa kwa mafuta ya mgando kitaalamu zaidi na kwa vile kulikuwa na giza hakukuwa na aliloling'amua kwa majira hayo. J alimtanua vizuri mama huyo kisha akavuta hisia ya kucheza na giza kwani alijua kosa moja la kukosea ni kukosa mchezo. Aliibana vizuri mikono yake yote ambayo alikuwa ameishika kimahaba kwa kutumia mkono wake mmoja kisha akalikamata dudu lake lililokuwa limedinda kisawasawa. Akapima kisha akalenga na kusukuma, kutokana na mashine kuipaka mafuta na tamu ya mama huyo kuguswa na mafuta kidogo, kitu ililenga. Mama Joy akagumia kwa nguvu mmmh!, mara baada ya kitu kuzama ndani. Kishapo J alimuachia ile mikono na kuubana mmoja huku na mwingine kule na kuanza kupampu kwa taratibu ili kumpa utamu.
"J umekosea mpenzi" alisema Mama Joy kwa kugugumia. J akasema
"hapana mama Joy sijakosea hapo ndiyo penyewe subiri nikupe utamu" mama Joy akashangaa kusikia hayo maneno, inakuaje dudu liingie kwenye njia ya haja kubwa halafu aseme hajakosea.
"hapana J umei....ngiza nyuma, toa bwanaaaa" alipiga kelele mama huyo. J akamwambia huko ndiko anakokutaka zaidi na atamsamehe kwa kuingiza bila kumtaarifu. Mama Joy alilalamika sana kwa kitendo hicho ambacho J alikuwa akimfanyia.

ITAENDELEA
 
Back
Top Bottom