kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,633
- 7,021
Kilichopo ambacho watu wengi hasa vijana hawataki kuamini ni kwamba............kwawale woote walisoma shule za msingi kabla ya 1992....kulikuwa na siku maalumu katika wiki wanafunzi wanaapishwa kiapo cha kuitii na kuitumikia TANU/CCM kwa moyo na nguvu zote...........huku mwihoni tukisema ''eehhh Mwenyezi Mungu Nisaidie''..........kiapo hiki waliapa pia akina Slaa,Mtei,Lipumba,Mrema nk......so ni ngumu kuwa wapinzani wa kweli kutokaana na viapo walivyofanya awali ndio maana kila kukicha ni kufukuzana , kuitana wasaliti nk..........ukweli ni kwamba vijana wengi wenye miaka chini ya 25 wanaweza kuwa wapinzani wa kweli ila viongozi wengi wa upinzani sio wa kweli...........!
Kuna wakati kama hujui kitu ni bora kunyamaza kuliko kusema kwa hisia na kuonyesha up.um.bavu wako.Wako watu wengi hawajawahi kuiamini ccm kabla hata ya vyama vya upinzani kurudi mara ya pili.Suala la mtu kununuliwa na ccm ni la kibinafsi.Huyo Chitanda si ndiye kundi lenu na huyo zitto?Kwa nini wewe hujaenda wakati unaonekana unawatamani wasaliti?Huwezi kuleta confusion CDM kwa maneno yako! kanuni ambayo shetani huitumia ili watu washindwe kujua Mungu ni nani na ndiyo kanuni mnayotumia wafuasi wa zzk ili watu wasijue tofauti kati ya ccm na vyama vya upinzani chitanda akiwa mmoja wao na kwa mchango wako naona hata wewe ni mmoja wa😵le wako basi!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums