Chit-Chat ndo nini?

Kuwa mtulivu,humu ndani kila mrembo ana mtu wake,ka vipi jiandae kupewa za uso.
Kopi: Kongosho......huyu bwana ole wake atongoze mtu hapa

PANcrease nae wa kwako?
Kama jibu ndiyo basi amemuflisika!
 
Last edited by a moderator:
ni makutano ya magumegume na magubegube

laiti kama maneno yangekua yanaua, basi tungezika wengi...haya naona ushajiridhisha kwa jibu lako.
Good thing hakuna ulicho-gain wala kupungukiwa.
 
ndo maana nilisema kama huna taulo ucje bafun
# via clasic maswal na mizinguo
 
angalia usije ukazalishwa mchana kweupe

kwani we mkunga mama? Ama una maana gani? Unajua hizi biashara za kutowauliza mama zenu vizuri unaweza kuta unabishana na babako mzazi humu, halafu tena uko Mwanza?? Muulize mamiyo kwanza, sawa mamaa?
 
kwani we mkunga mama? Ama una maana gani? Unajua hizi biashara za kutowauliza mama zenu vizuri unaweza kuta unabishana na babako mzazi humu, halafu tena uko Mwanza?? Muulize mamiyo kwanza, sawa mamaa?

tatzo la malez ya pande moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…