cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
aliiba mke wa mtu humu, nasikia wamemtoa busha, mi nipo pending kidogo, naangalia upepo unavyovuma! anahitaji sala Asprin, ukaguzi umemcost!
Last edited by a moderator:
aliiba mke wa mtu humu, nasikia wamemtoa busha, mi nipo pending kidogo, naangalia upepo unavyovuma! anahitaji sala Asprin, ukaguzi umemcost!
oooh puliiiiiz.......Muleba bana......
Mi msWahili wa MurEba
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
ndio twajuana.....
Tena twajuana kwa vilemba....loh
ndio twajuana.....
Tena twajuana kwa vilemba....loh
mwajuana ama mwafahamiana? :biggrin1:
ahahahhaahhahahhha watakuumiza kichwa tu humu best!humu kuna wake wenza cacico na BADILI TABIA,kuna hommies Kaizer na Asprin,kuna mwalimu snowhite na wanafunzi wake kina Kaizer,kuna Mtambuzi na binti zake,kuna mawifi humu,kuna mashangazi,waliorudiana kama sweetlady na nitonye basi mradi raha tu humu bila kumsahau miss wetu Madame B,bila kumsahau buddy wetu Boflo mzee wa takooooooooz!ahahahahhahhaha
ahahahhaahhahahhha watakuumiza kichwa tu humu best!humu kuna wake wenza cacico na BADILI TABIA,kuna hommies Kaizer na Asprin,kuna mwalimu snowhite na wanafunzi wake kina Kaizer,kuna Mtambuzi na binti zake,kuna mawifi humu,kuna mashangazi,waliorudiana kama sweetlady na nitonye basi mradi raha tu humu bila kumsahau miss wetu Madame B,bila kumsahau buddy wetu Boflo mzee wa takooooooooz!ahahahahhahhaha
hii thread itakuchanganya .. Alhakuna anayemjua mwenzake hapa .. Tunatoa stress na kurelaksisha mind zentu. ila unakaribishwa
Aiseee jumuia kabisaaa
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums