sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Last edited by a moderator:
Dume tena la mbegu
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
af kama maneno yako yana ukweli vile ila toka aende kupima nahisi kama ameadimika humu ndani!ila mi simo na wala sijasema shaurilo shosti!akija hapa hayo mapovu yake!
Kune baadhi twafahamiana, kuna wengi twajuana
Umeonae? Masikini sijui majibu yake hayakuwa mazuri lol
Jana nilikuwa naupitia ule uzi wake alokuwa akiomba sala zetu......nahisi sala zilidunda mpendwa.......mie pia simo hahahaha!
Haaahahahahah hahahaha ahahaha atetetete ryt tetete!!!!!1
Siyo ya kucheka haya sweetlady lakini nashindwa kujizuia... Check hapo pembeni The secretary anamtafuta.
Sina lawama nilimuimbia sana aache akawa mbishi kama nini............... Asiuesikia la mkuu ndio hivyo tena sweetlady.
Nway ngoja aje hapa atoe taarifa rasmi ili tujue. Si unakumbuka hata majibu alikataa kuyaweka hadharani akisema mjadala klosed?
umemsahau Mentor akiwa dady yake eversmiling,catherine mkewe mentor,beibe nasty akiwa aunt na wifi yake catherine,arabela akiwa dada yake eversmiling zubedayo miss u shem cjui ban bado haijaisha
Kune baadhi twafahamiana, kuna wengi twajuana
Hapo kwenye kujuana mtampa mwenzenu mawazo jamani...lol
Hapo kwenye kujuana mtampa mwenzenu mawazo jamani...lol