Noted, mwenye kusikia na alisikie neno hiliUkitoka Yanga Kwa mbwembwe utaacha mpira Yanga
Azam imekuwa china ya bongo
Hivi Chirwa na Ngoma wana magoli mangapi kwenye Ligi?Azam wanapesa Ila hawajui kuzitumia,maana makombo yote ya Yanga yanafail,angalia Domayo,kavumbagu,saiz ngoma na chirwa,baadaye makambo naye watamchukua,huwa najiuliza wanshindwaje kununua wachezaji wazuri wakati pesa wanayo?
Kwa pamoja hawafiki 5
Kuna kiwanda cha 10% pale Azam.Azam wanapesa Ila hawajui kuzitumia,maana makombo yote ya Yanga yanafail,angalia Domayo,kavumbagu,saiz ngoma na chirwa,baadaye makambo naye watamchukua,huwa najiuliza wanshindwaje kununua wachezaji wazuri wakati pesa wanayo?
Aiseee,basi Plujin amejivunjia sana heshima ila simlaumu itakuwa genge alilolikuta hapo Azam ndio linalofanya haya mazingaombwe.Kwa pamoja hawafiki 5
Azam wanapesa Ila hawajui kuzitumia,maana makombo yote ya Yanga yanafail,angalia Domayo,kavumbagu,saiz ngoma na chirwa,baadaye makambo naye watamchukua,huwa najiuliza wanshindwaje kununua wachezaji wazuri wakati pesa wanayo?
Kuna kiwanda cha 10% pale Azam.
Sera zao za usajili ni comedy.
Nakubaliana nanyi ,Azam ktk suala la usajiri huwa wanabugi, ndio timu haijui inataka aina gani ya wachezajiAiseee,basi Plujin amejivunjia sana heshima ila simlaumu itakuwa genge alilolikuta hapo Azam ndio linalofanya haya mazingaombwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani kuna madalali pale chamaziNakubaliana nanyi ,Azam ktk suala la usajiri huwa wanabugi, ndio timu haijui inataka aina gani ya wachezaji
Mara waseme wanakuza vipaji kwa kupandisha vijana wao
Mara waje na hawa akina Ngoma
Inaonekana 10% pale lipo sana ,na Mzee Pluijm kaliona hilo anaenda nao sawa
MTC | 101|
Madalali na wapigaji wengiAiseee,basi Plujin amejivunjia sana heshima ila simlaumu itakuwa genge alilolikuta hapo Azam ndio linalofanya haya mazingaombwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Madalali kibaoKuna kiwanda cha 10% pale Azam.
Sera zao za usajili ni comedy.