Chini ya GPA 3.5 tunaweza ruhusiwa kusoma?

Chini ya GPA 3.5 tunaweza ruhusiwa kusoma?

new fish

Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
10
Reaction score
5
Habari zenu jamani sisi Wa diploma tulio kuwa chini ya Gpa3.5 je? Tunaweza ruhusiwaa kurudia tena? Kusoma diploma au utaratibu upoje.
 
Two ways ahead of you
1. Siti paper ya six tafuta DD kwa kikao kimoja ila kumbuka ipi usiti lazima uwe na credit zaidi ya mbili kwenye tahasusi yako
Au rudia diploma
nenda uganda watakupoea kwa mikono miwili
 
acha kupoteza muda kurudia tena diploma miaka miwili/mitatu risking all that time kutafuta kitu ambacho bado kinaweza kuja kuwa challenge kwako, ushauri tafuta kazi kwa kutumia cheti chako cha diploma au hata hiyo pesa unayotaka kurudia tena ungeenda soma Degree nje ya Nchi
 
Kwa wadogo zangu mliomaliza kidato cha sita ,diploma na wa kidato cha nne mnaohitaji info kuhusu vyuo vya china(kozi,ada na admission process) kwa mwaka 2016 ninaweza kuwasaidia na i can help with admission process too.tuwasiliane kupitia +8613065131363 whatsapp only.na kwa wale form 6 science waliokosa sifa za kujiunga shahada foundation courses zipo za mwaka 1.Karibuni huduma inatolewa bure
 
Habari zenu jamani sisi Wa diploma tulio kuwa chini ya Gpa3.5 je? Tunaweza ruhusiwaa kurudia tena? Kusoma diploma au utaratibu upoje.
Siyo lazima usome kwenye mfumo wa elimu wa Tz ambao haueleweki mfumo unaoyumba kila siku.

Kasome nchi nyingine unachagua unachotaka watu wenye mifumo yso thabiti wanajua elimu ni nini na nani anastahili kiti kipi
 
Usirudie Kusoma Diploma! Bali Tafuta Kazi Kupitia Hicho Cheti Cha Diploma Then Fanya Kazi Kwa Miaka 5 , Baada Ya Hapo Utaingia Chuoni Kupitia RPL (Recognition Of Prior Learning).

Note:
RPL ni Kufanya Mtihani Maalum Kwa Watu Wenye Uzoefu Makazini Zaidi Ya Miaka 5 Ambao Hawana Qualifications Za Kuingia Chuo! Na Mtihani Huu Unaifanyia Hile Fani Unayoifanyia Kazi, Ukifaulu Kwenye Huo Mtihani Basi Unaingia Chuo
 
Usirudie Kusoma Diploma! Bali Tafuta Kazi Kupitia Hicho Cheti Cha Diploma Then Fanya Kazi Kwa Miaka 5 , Baada Ya Hapo Utaingia Chuoni Kupitia RPL (Recognition Of Prior Learning).

Note:
RPL ni Kufanya Mtihani Maalum Kwa Watu Wenye Uzoefu Makazini Zaidi Ya Miaka 5 Ambao Hawana Qualifications Za Kuingia Chuo! Na Mtihani Huu Unaifanyia Hile Fani Unayoifanyia Kazi, Ukifaulu Kwenye Huo Mtihani Basi Unaingia Chuo
itabidi ubadili upepo ila wapo na bodi wakijadili namna ya kuzirudisha gpa zenu 2.7 kwani kuna vyuo vitapata watu wachache sana
 
Tatizo litakuwepo tu akirudi hapa coz ili aitumie hiyo award ya Uganda huku itabidi TCU wamatch kama inameet vigezo vya huku.
ni kweli pasua kichwa sana wakasome wapate chet zen warud wapige postgraduate
 
itabidi ubadili upepo ila wapo na bodi wakijadili namna ya kuzirudisha gpa zenu 2.7 kwani kuna vyuo vitapata watu wachache sana

Unafikiri wenzako wanajali hilo la kupata wanafunzi wachache?!NACTE wapo kwenye mchakato wa kurudisha pesa za watu ambao hawakufikisha 3.5 na waliapply kabla ya viwango vipya vya TCU
 
haah hv 3.5kitu gn tulia mwaka kesho uone hz gpa kuna vyuo havichukui form six mfano MUST,DIT,NIT NA ATC HAPA PIA ST JOSEPJ XO HII YA 3.5 ITAKUA NGUMU CZ WANAFNZ WATAKUWA GAWANA VGEZO XO VYUO VTAKUA EMPTY INA MAANA VIFUNGWE KTU AMBACHO HAKIWEZEKANI
 
Back
Top Bottom