Makampuni mengi ya kimarekani sasa yanapanga kuondoka China kwenda kuwekeza Vietnam, Thailand, Malaysia, Mexico, Argentina nk, wewe bado unaiwaza China.
China sasa uchumi wao uliokuwa ukibebwa na Marekani sasa unaelekea kaburini, ulikuwa kwa asilimia 6.8 mwaka jana na mwaka huu utakuwa kwa 6% na mwakani utaporomoka hadi -6%.
Nchi yeyote utakayo itaja bado haita isaidia india yani hata viwanda vikipelekwa ufilipino unadhani hao wafilipino hawata chukua hiyo tech na kama wasipochukua watakua wajingaPlease, sijaitaja India.
Wote hawa wata athirika mkuu tena usa ita athirika kupitia company zake kubwaKuna kitu wengi hamwelewi, kuna components za Apple tena nyingi tu zinatengenezwa Marekani na kusafirishwa China na kufanyiwa assembly huko China na suppliers kama Foxconn na Pegatron na baadaye finished products kusafirishwa kwenda kuuzwa tena Marekani.
Chips nyingi kwa ajili ya utengenezaji wa simu za iPhone za Apple hutengenezwa Marekani na baadaye kusafirishwa hadi China kwa ajili ya kuunganishwa.
Tatizo la China na US sio trade balance tu that favours the former but Intellectual Property Theft and unfair trade practice by China.
Na kama Chinese exports to the US worth over USD 500 billion will be barred from entering US then the China's economy will decline dramatically.
Anafikiri ni kama kuhamisha soko la mwanjelwa kulipeleka iyungaNinaomba unitajie hayo makampuni mkuu, unadhani kuhamisha viwanda ni mchezo mchezo?
Unafair kivipi na wakati walikubaliana kwenye mikataba na haya mambo ya soko huria na sheria za WTO zote zimetungwa na marekani leo hii naona anaziona ni mwiba kwake.Kuna kitu wengi hamwelewi, kuna components za Apple tena nyingi tu zinatengenezwa Marekani na kusafirishwa China na kufanyiwa assembly huko China na suppliers kama Foxconn na Pegatron na baadaye finished products kusafirishwa kwenda kuuzwa tena Marekani.
Chips nyingi kwa ajili ya utengenezaji wa simu za iPhone za Apple hutengenezwa Marekani na baadaye kusafirishwa hadi China kwa ajili ya kuunganishwa.
Tatizo la China na US sio trade balance tu that favours the former but Intellectual Property Theft and unfair trade practice by China.
Na kama Chinese exports to the US worth over USD 500 billion will be barred from entering US then the China's economy will decline dramatically.
Mfumo wa maisha wa china na usa ni vitu viwili tofauti kabisaLengo la Trump ni kutaka kukimbiza viwanda china kwenda mataifa ya jirani kama Taiwan, Vietnum, Korea Kusini, Japani, Malaysia, india na nimemsikia rais wa Taiwan anavikaribisha viwanda haraka iwezekanavyo maana wao hawanaa mgogoro na USA.
China anauza high tech industrial products nyingi Marekani kuliko nchi yoyote Duniani, sasa kama USA akiweka vikwazo China atauza wapi? Vidanda vingi vikubwa China vinapanga kuhamia mataifa ya jirani ili wasizurike na huu mgogoto.
Kwa hapa USA kawashika wachina vibaya, ana genuine claims, China amekua akitumia one sided world trade organization kwa faida yake ndio maana USA ilijitoa baada ya Trump kuingia.
Marekani anailam China kwa kusubsidize wakulima wake, money manipulation, ujanja ujanja, sasa Trump anataka ufike Mwisho.
Katika hili Trump has ana upper hand. China must bow to USA demands otherwise they will suffer kwa sababu USA ana uwezo wa kutokuuza China na bado asidhurike ila sio China.
Marekani kawabana vibaya.
Hilo sio lengo kwa mujibu wa yeye mwenyewe anataka viwanda vilirudi usaLengo la Trump ni kutaka kukimbiza viwanda china kwenda mataifa ya jirani kama Taiwan, Vietnum, Korea Kusini, Japani, Malaysia, india na nimemsikia rais wa Taiwan anavikaribisha viwanda haraka iwezekanavyo maana wao hawanaa mgogoro na USA.
China anauza high tech industrial products nyingi Marekani kuliko nchi yoyote Duniani, sasa kama USA akiweka vikwazo China atauza wapi? Vidanda vingi vikubwa China vinapanga kuhamia mataifa ya jirani ili wasizurike na huu mgogoto.
Kwa hapa USA kawashika wachina vibaya, ana genuine claims, China amekua akitumia one sided world trade organization kwa faida yake ndio maana USA ilijitoa baada ya Trump kuingia.
Marekani anailam China kwa kusubsidize wakulima wake, money manipulation, ujanja ujanja, sasa Trump anataka ufike Mwisho.
Katika hili Trump has ana upper hand. China must bow to USA demands otherwise they will suffer kwa sababu USA ana uwezo wa kutokuuza China na bado asidhurike ila sio China.
Marekani kawabana vibaya.
Kuna mahala nimezungumzia demokrasia?Mfumo wa maisha wa china na usa ni vitu viwili tofauti kabisa
USA ni capitalist na china ni political capatilism(mixed socialism) kwa hiyo lazima china wa control pesa yao kutokana na mfumo wao wa maisha na hawaja amua kufuata democracy na sio lazima kuifuata na kupanga ni kuchagua mkuu ndio maana usa kuna uchaguzi na china hakuna
Au kuna sehemu imeandikwa kila nchi lazima ifuate democracy?
Ndio, anataka viwanda virudi USA au nchi nyingineHilo sio lengo kwa mujibu wa yeye mwenyewe anataka viwanda vilirudi usa
Juzi hapa kuna kiwanda cha pikipiki kinaitwa davison kilitaka kihame usa kwa sababu ya gharama za uzalishaji trump akatia ngumu akasema wakihama atawagonga tarrifs za kutosha
Swali la kujiuliza kwa nini usa iliua viwanda vyake nyumbani na kupeleka china kulitokea mazingira gani usa mpaka wakaamua kuhamishia viwanda china au walishikiwa mtutu wa bunduki?
Na je walivyofika china walikua hawasomi hiyo mikataba ya technology transfer hao nao walikua kama mangungo wa msovero na carl peters?
Ni kweli, anataka vibaki huko USA au nchi kama Malaysia, Taiwan, Vietinam, India, Korea Kusini, Japan na nchi za jirani.Hilo sio lengo kwa mujibu wa yeye mwenyewe anataka viwanda vilirudi usa
Juzi hapa kuna kiwanda cha pikipiki kinaitwa davison kilitaka kihame usa kwa sababu ya gharama za uzalishaji trump akatia ngumu akasema wakihama atawagonga tarrifs za kutosha
Swali la kujiuliza kwa nini usa iliua viwanda vyake nyumbani na kupeleka china kulitokea mazingira gani usa mpaka wakaamua kuhamishia viwanda china au walishikiwa mtutu wa bunduki?
Na je walivyofika china walikua hawasomi hiyo mikataba ya technology transfer hao nao walikua kama mangungo wa msovero na carl peters?
China wana export more to US kuliko US wanavyo export china hebu tumia akiliHapo ni sawa na israel na palestina, mwenzako ameua watu wako ishirini wewe uliyeua mmoja ndiyo unashangilia ushindi, marekani wameweka tariffs za zaidi ya 460 billions of dollars na wamesema china wakilipa kisasi wataweka tariffs kwenye bidhaa zote za china sasa hapo nani ataumia
Kivipi mkuu sisi tunaumia. Waki sis ndio tuna advantage.Nilitarajia hii retaliation...Trump afahamu kwamba vita hii huwa haina mshindi wa wakati wote...na pinch ya hiki wanachofanya hawa wababe wawili tutakaofeel ni sisi huku developing nations.
Wataalamu gani hao, faux news?Kukiwa na vita ya kibiashara kati ya nchi mbili, kwa kutunishiana misuri kama ifanyavyo USA na China, basi asilimia kubwa yule ambaye amekuwa akiuza zaidi kwa mwenzake ndiye ataathirika zaidi.
Wabobezi wanasema USA ni mwagizaji mkuu wa bidhaa toka China. Pia hawahawa wataalamu wanasema pamoja na US kukaza msuri kwa China na kisha China kulipiza, bado dollar ya Kimarekani inazidi kupata nguvu. China hawezi kaza sana msuri kwa sababu yeye si mnunuzi mkubwa toka USA.
Wataalamu wanasema ingawa China inaweza kuathiri mauzo ya kampuni za USA zilizopo ndani ya China kama Apple na GM, bado iPhone zinazouzwa China zinazidi zile zinazouzwa USA na kampuni ya magari GM inauza magari zaidi nchini China kuliko USA.
Wataalamu waliomo humu labda watatujuvya zaidi.
Hiyo Kusema Marekani haitaumia ni nadharia tuu, nikiwa nimeishi hapa Marekani toka utawala wa Clinton, Bush, Obama na sasa Trump naelewa kiundani jinsi Marekani ilivyo. Watu wameongelea makampuni kama Apple kuathirika ila kiuhalisia ni zaidi ya hapo.Kwenye hii Vita wote wanaumia ila atakaeumia zaidi ni China sababu China anauza sana Marekani kuliko Marekani anavyouza China hapa tunaweza sema Marekani ni mnunuzi ilhali China ni muuzaji. Mnunuzi akikataa kununua bidhaa hapa atakaethirika zaidi ni muuzaji sababu mnunuzi anaweza kwenda kununua hizo bidhaa mahali pengine tofauti na muuzaji ambae itakua ngumu kwa yeye kupata solo lingine kama lile kwanza.
Tatizo la hizo nchi nyingine ni miundombinu ya kuendana na hivyo viwanda. Unapokuwa na kiwanda lazima uwe mlolongo wa viwanda vidogo vidogo vitakavyokusaidia kufanya kazi. Viwanda kama vya kukuletea screws, clips, nuts&bolts n.k, China wamejitosheleza ndiyo maana makampuni mengi yalikimbilia huko. Sasa utakuta nchi kama India, inakosa mifumo hiyo na kufanya gharama za uzalishaji kuongezeka na hivyo kupunguza faida kwa mwenye kiwanda.Mbadala wa mnunuzi ni mkubwa ukilinganisha na wa muuzaji.
Hizo bidhaa zinazozalishwa China wawekezaji wakiona hawapati faida wanaweza kuamua kuhamisha viwanda vyao kwenye nchi nyingine za karibu Kama vile India, Indonesia,Taiwan,nk zikaenda Marekani.
Je kwa China?!
Sasa kabisa.Wanaoumia zaidi ni wananchi wa marekani, kwa kuwa watapata bidhaa zile zile ambazo zinatengeneza china kwa gharama kubwa, production cost ya bidhaa per unit kwa marekani na china ni tofauti sana, china more cheap na matajiri wa US wamegoma kurudisha viwanda ndani kwa sababu ya gharama kubwa za uzalishaji, Marekani anaongeza tariff kwenye hadi malighafi za uzalishaji wkati mwenyewe hana uwezo wa kupata hizo malighafi kwa viwanda vya ndani...marekani hawezi kuepuka bidhaa za china
Hayo ni maneno ya wanasiasa tuu, kiuhalisia viwanda vya aina hiyo Marekani ni historia, sikuhizi biashara ya utoaji huduma ndiyo mpango mzima, ndiyo maana makampuni ya tekinolojia yanaota kama uyoga.Ndio, anataka viwanda virudi USA au nchi nyingine
Hizo nchi hazina miundombinu ya kiufanisi na kwa gharama nafuu kama China.Viwanda biendelee kuwekeza China vipambane na vikwazo au vihame kwenda nchi ambazo hazina vikwazo, nchi kama Taiwani inawakaribisha sana wawekezaji.
China atakuja kuwa taifa kubwa duniani
Hatuwezi kuwa na advantage anyhow...China na Marekani waki engage kwenye business battles fahamu kwamba trends za masoko maarufu ya hisa duniani ambayo ni Beijing SEM na NYSE la New York yana shake,pia chumi zao zitayumba...na huo myumbo wa stock exchange markets unatafsiriwa kwenye myumbo wa global economy japo kwa pasenti ya kadri suala ambalo moja kwa moja linatuathiri sie akina naomba naomba kwa sababu tunawategemea hao wababe kwa mikopo,ruzuku na misaada...wakidoda,tunadooda.Kivipi mkuu sisi tunaumia. Waki sis ndio tuna advantage.
Kwani mkuu unajua hayo masoko yanafanya kazi vipi. Kama mfano US wakiongeza tax kweny bidhaa za china, maana yake hizo bidhaa zitakuwa very expensive , that means consumers watashift kwenye bidhaa ambazo ni alternative (serve the same purpose), that means they create chance for others to sell the similar product in US assuming chinese products are now expensive. Pia ukija kwenye stock exchange, hizo kampuni za china whether in china or US, investors will no longer invest in those companies, therefore the new selling companies in US will now have more investors. Sisi hatutokua affected hapo.Hatuwezi kuwa na advantage anyhow...China na Marekani waki engage kwenye business battles fahamu kwamba trends za masoko maarufu ya hisa duniani ambayo ni Beijing SEM na NYSE la New York yana shake,pia chumi zao zitayumba...na huo myumbo wa stock exchange markets unatafsiriwa kwenye myumbo wa global economy japo kwa pasenti ya kadri suala ambalo moja kwa moja linatuathiri sie akina naomba naomba kwa sababu tunawategemea hao wababe kwa mikopo,ruzuku na misaada...wakidoda,tunadooda.
Nchi yeyote utakayo itaja bado haita isaidia india yani hata viwanda vikipelekwa ufilipino unadhani hao wafilipino hawata chukua hiyo tech na kama wasipochukua watakua wajinga
Yani ni sawa hapa aje muhindi afungue kiwanda cha pikipiki from scratching halafu tukae nae miaka kumi bila sisi ku acquire hiyo tech hata kama hawataki kutupa basi tutakua wapuuzi sana me nina kuambia hata kile kiwanda cha magari cha nyumbu cha kibaha kama taifa tungekua na akili leo hii tungekua tuna tengeneza magari yetu wenyewe from scratching kabisa,na ndio moja ya kazi ambayo watu wa usalama wanatakiwa wafanye ni ujajusi wa kiuchumi huo unafanya kila aina ya njia kuiba technology kutoka sehemu nyingine.
mataifa mengi ya ulaya ikiwepo na marekani na japan wote hawa wameiba tech ya kutengeneza magari kutoka ujerumani kwa carl benz
Tech ya satellite usa kaibia kutoka russia na russia nae tech rocket kaiba kutoka germany yani hapo mkuu ni ujajusi tu wa kiuchumi ukikaa nyuma kama sisi waafrika unaachwa kwenye kila sector huwezi amini wazungu wametuzidi mpaka ujinga
Tumekalia tu kuwaminya wapinzani wale wazee wa vitengo ilitakiwa wasambae kwenye nchi zilizo endelea wawe wanaiba tech tukisambaza watu smart inawezekana kabisa na wanaweza kwenda kwa gear hata ya kusoma na ndio dunia inavyoenda hivyo
Usishangae china kuchukua/kuiba tech kwa USA maana na USA nae kaiba sana tech toka nchi za ulaya hasa Germany na UK.
The world is a circle mkuu.
Hilo sio lengo kwa mujibu wa yeye mwenyewe anataka viwanda vilirudi usa
Juzi hapa kuna kiwanda cha pikipiki kinaitwa davison kilitaka kihame usa kwa sababu ya gharama za uzalishaji trump akatia ngumu akasema wakihama atawagonga tarrifs za kutosha
Swali la kujiuliza kwa nini usa iliua viwanda vyake nyumbani na kupeleka china kulitokea mazingira gani usa mpaka wakaamua kuhamishia viwanda china au walishikiwa mtutu wa bunduki?
Na je walivyofika china walikua hawasomi hiyo mikataba ya technology transfer hao nao walikua kama mangungo wa msovero na carl peters?
Ma huawei yameshapigwa ban USAChina atanyoosha mikono kwenye hili kabisa nakwambia, kwanza wewe angalia mwenzio kaweka B200 yeye analipiza B60,,majibu yanayofuata hapo ni B500, pia jamaa kashasema sio lazima kufanya business na china, na ndio hass analotaka...kwenye hili kwa kweli china akubali tuu yaishe