China Shuts Down Christian Churches, Destroys Crosses, Burn Bibles

Bila marekani hii dunia ingelikua salama sana usjitoe ufahamu, MBWA MAREKANI ANA DAMU ZA MAMILIONI YA WATU, ANAWAGAWA WATU KIDINI, KISIASA NK, ANATENGENEZA MIGAWANYIKO DUNIANI CHUKI, ANATENGENEZA VIKUNDI NA KUVIPA SILAHA, NA KUVIFADHILI KWA HELA NYINGI SANA, ANGALIA IRAQ, LIBYA,AFGHAN NK hahahahhahaa nafkiri umeathiriwa na umagharibi, alaf kwa nn mnakuawaga waongo kiasi ambacho mambo yako wazi, UCHAFU UCHAFU UCHAFU UCHAFU.....
Mkuu, endelea ku-struggle. you're too young to understand this...
 
Wawatimulie mbali majahili hao - washenzi kweli na wanapo ona China inakuja juu kiuchumi na kijeshi basi wanabuni mbinu za kuchochea colour revolution kwa kupitia NGO mshenzi na taasisi za kidini,wanataka ya Ukraine yakirudie nchini Uchina - taasisi za kijasusi za Marekani na Uingereza ni watu hatari sana kwa amani ya Dunia wako self centered kweli kweli,wanajifanya wao ndio wenye hata miliki ya kuhamua nani wa kukaa madarakani katika kila Taifa hapa Duniani ili wawalindie maslahi yao.

Mataifa yenye uwezo kijeshi kama China, Urusi,India, Iran,Korea Kasikazini na Ituruki zinapaswa kuwa na jeshi la pamoja kukomesha ufedhuli wa Nchi za magharibi specifically Amerika na Uingereza - leo hii kwa mfano nasikia waasi wa Syria wamekwisha pewa Chlorine gas na Uingereza ikishirikiana na Marekani wamekwisha wapata waigizaji watakao jifanya wamekufa kutokana na mabomu ya sumu yaliyo lipuliwa na jeshi la Asaad - wamewaketa wapiga picha wa MSM wakiongozwa na CNN video zitasambazwa kwenye vyombo vya habari na mitandaoni kuonyesha ukatiri wa Asaad,lengo la maagizo yote haya ni kutafuta visingizio vya ndege na makombola ya US,Ufaransa na Uingereza kushambulia majeshi ya Syria nia yao no kutaka kudhoofisha jeshi LA Assad ili waweze kumuondoa madarakani - hata akili za kuona kwamba ushezi wao wa kutaka kuvamia Syria unaweza kufumua WW3 - akili hizo hawana - majivuno tu na kujisikia, hawajui kwamba Mataifa mengi yenye uwezo kijeshi wana usongo nao ili wawakomeshe. - NATO wakiongozwa na kinara wao (USA) wakifanya miscalculation wakashambulia Airbases za jeshi la Urusi nchini Syria wata tandikwa kweli kweli ndege zao kutunguliwa vile vile meli zitakazo husika kurusha Cruise missiles zitazamishwa ili kushikishwa adabu; Warusi si binadamu wa kuchezea no wakimya lakini wanapo sema enough is enough utaona matokea take,ukweli ndio huo - NATO/US wakijitia kutumia silaha za nuklia na wao Mataifa yao yatangamizwa.

Back to the main point kuhusu Uchina na Makanisa - we angalia mleta taarifa hizo anajifanya kutumia jina la kichina kuzuga watu akili! Mleta habari hizo anakili kwamba kumbe yuko based in the USA/makazi yake - taasisi inayo let's propaganda zote hizo makao yake ni huko huko Matekani - hii inaleta picha gani, na akiangalia kwa umakini picha zinaonekana ziko digitally manipulated/photoshopped kuanzia misalaba ilivyo kaa kaa,magari ya kubomolea majengo hivi Wachina wanawezaje kutumia tingatinga la JBC linalo undwa Uingereza wakati Wachina wana ya kwao kibao - njia ya muongo ni fupi sana - hata hilo awakuliona which means picha hizo zimepigwa huko Uingereza au Marekani kuongeza chumvi kwenye propaganda zao. Sikatai kwamba Uchina ina angalia kwa umakini mkubwa sana nyenendo za taasisi za kidini has a za kikikristo for a good reason mentioned above namely usala was Taifa lao - lakini hili la taasisi ya Kimerikani kutujia hapa na picha zenye walakini mkubwa kiufundi zinatia shaka sana - my opinion.
Hearsay....,
Kwani wameshindwa kuingia kupitia taasisi za kiislam....??????
 
Bila marekani hii dunia ingelikua salama sana usjitoe ufahamu, MBWA MAREKANI ANA DAMU ZA MAMILIONI YA WATU, ANAWAGAWA WATU KIDINI, KISIASA NK, ANATENGENEZA MIGAWANYIKO DUNIANI CHUKI, ANATENGENEZA VIKUNDI NA KUVIPA SILAHA, NA KUVIFADHILI KWA HELA NYINGI SANA, ANGALIA IRAQ, LIBYA,AFGHAN NK hahahahhahaa nafkiri umeathiriwa na umagharibi, alaf kwa nn mnakuawaga waongo kiasi ambacho mambo yako wazi, UCHAFU UCHAFU UCHAFU UCHAFU.....
Umeanza kuijua dunia lini?
 
Wawatimulie mbali majahili hao - washenzi kweli na wanapo ona China inakuja juu kiuchumi na kijeshi basi wanabuni mbinu za kuchochea colour revolution kwa kupitia NGO mshenzi na taasisi za kidini,wanataka ya Ukraine yakirudie nchini Uchina - taasisi za kijasusi za Marekani na Uingereza ni watu hatari sana kwa amani ya Dunia wako self centered kweli kweli,wanajifanya wao ndio wenye hata miliki ya kuhamua nani wa kukaa madarakani katika kila Taifa hapa Duniani ili wawalindie maslahi yao.

Mataifa yenye uwezo kijeshi kama China, Urusi,India, Iran,Korea Kasikazini na Ituruki zinapaswa kuwa na jeshi la pamoja kukomesha ufedhuli wa Nchi za magharibi specifically Amerika na Uingereza - leo hii kwa mfano nasikia waasi wa Syria wamekwisha pewa Chlorine gas na Uingereza ikishirikiana na Marekani wamekwisha wapata waigizaji watakao jifanya wamekufa kutokana na mabomu ya sumu yaliyo lipuliwa na jeshi la Asaad - wamewaketa wapiga picha wa MSM wakiongozwa na CNN video zitasambazwa kwenye vyombo vya habari na mitandaoni kuonyesha ukatiri wa Asaad,lengo la maagizo yote haya ni kutafuta visingizio vya ndege na makombola ya US,Ufaransa na Uingereza kushambulia majeshi ya Syria nia yao no kutaka kudhoofisha jeshi LA Assad ili waweze kumuondoa madarakani - hata akili za kuona kwamba ushezi wao wa kutaka kuvamia Syria unaweza kufumua WW3 - akili hizo hawana - majivuno tu na kujisikia, hawajui kwamba Mataifa mengi yenye uwezo kijeshi wana usongo nao ili wawakomeshe. - NATO wakiongozwa na kinara wao (USA) wakifanya miscalculation wakashambulia Airbases za jeshi la Urusi nchini Syria wata tandikwa kweli kweli ndege zao kutunguliwa vile vile meli zitakazo husika kurusha Cruise missiles zitazamishwa ili kushikishwa adabu; Warusi si binadamu wa kuchezea no wakimya lakini wanapo sema enough is enough utaona matokea take,ukweli ndio huo - NATO/US wakijitia kutumia silaha za nuklia na wao Mataifa yao yatangamizwa.

Back to the main point kuhusu Uchina na Makanisa - we angalia mleta taarifa hizo anajifanya kutumia jina la kichina kuzuga watu akili! Mleta habari hizo anakili kwamba kumbe yuko based in the USA/makazi yake - taasisi inayo let's propaganda zote hizo makao yake ni huko huko Matekani - hii inaleta picha gani, na akiangalia kwa umakini picha zinaonekana ziko digitally manipulated/photoshopped kuanzia misalaba ilivyo kaa kaa,magari ya kubomolea majengo hivi Wachina wanawezaje kutumia tingatinga la JBC linalo undwa Uingereza wakati Wachina wana ya kwao kibao - njia ya muongo ni fupi sana - hata hilo awakuliona which means picha hizo zimepigwa huko Uingereza au Marekani kuongeza chumvi kwenye propaganda zao. Sikatai kwamba Uchina ina angalia kwa umakini mkubwa sana nyenendo za taasisi za kidini has a za kikikristo for a good reason mentioned above namely usala was Taifa lao - lakini hili la taasisi ya Kimerikani kutujia hapa na picha zenye walakini mkubwa kiufundi zinatia shaka sana - my opinion.
Kweli kabisa mkuu. mimi mwenyewe mkristu lakini siwaungi mkono. Maana kuna lundo la ma spy na majasus ndo maana mchina anakuwa makini. This time Putin amesema hatambui ISIS wala jeshi la marekani kuendesha operasheni zozote za kijeshi nchini syria. Yeye(russia) amekuwa authorized na serikali ya asad kumsaidia kijeshi.
 
Hearsay....,
Kwani wameshindwa kuingia kupitia taasisi za kiislam....??????

Hearsay - my foot! Labda nikulize swali dogo: Hivi wewe katika maisha yako umewahi kuishi Mataifa gani zaidi ya TANZANIA!!!

Tangu lini taasisi za Kiislam zikiwa in good books na Serikali za UK au USA - kwa taarifa yako idara za kijasusi za Mataifa tajwa hapo juu haziwezi ku-recruit Muslims katika masuala ya overt na covert operation ndani ya Taifa la China wata anzia wapi, narudia kukumbusha kwamba Chinese Moslems are no threat kwa usalama wa Taifa la China unlike some skewed and unpredictable Christians.h
 
Sipendi nikukosee heshima, lakini naweza kusema kuwa umeji-expose na kuonyesha ni jinsi gani ulivyo na uhaba wa maarifa. Sioni kama umeambatanisha evidence just to support your condemnation. Chuki dhidi ya USA/UK imekufanya kipofu and can't even use your brain to think..C'mon brother! In nutshell, the common enemy wa NCHI za ULAYA NA MAREKANI ni CHINA na RUSSIA. Kila mmoja anataka kushinda, hata kama kwa faulo. Dunia imebadirika sana and only those strong will survive this. kuna hujuma, vitisho vya kiusalama, ugaidi etc na vyote hivi vikimlenga MAREKANI. Ungekuwa wewe ungefanyaje?

Nini Kifanyike
Instead of bragging and cursing the unafflicted, kama waafrika haitusaidii. tufanye kazi kwa bidii na tujenge taifa la Tanzania.
Point less. Inaonekana unaota.
Sasa unaanza kuwakumbatia wamagharibi hivyo, huku kwetu ndo utamuunga mkono magu kweli? au ndo nyie mamluki weenyewe?
 
Mmarekani hawezi kuwa mwema hata siku moja.kamdanganye nyau.Japo na mchina ana matatizo yake mengi tu.Hata ubaya wa utumwa analaumiwa mwarabu lakini chanzo kilikuwa muzungu.
 
Bro ukisema hivyo utakua unakosea.Kama kigezo unachotumia ni kututawala waafrika bhasi unakosea sana,binafsi niseme kwa kifupi tuu kwamba sisi waafrika hatujitambui na siku tutakayojitambua tutaondokana na huu utumwa uliopo kichwani mwetu,Usiniambie kuwa leo mchina atakua na maana kwetu usiniambie mzungu hakua na maana na hatakua na maana kwetu sio kweli kabisa.Kwa kifupi tunamhitaji mzungu pamoja na mchina ila tunazihitaji akili zetu zaidi ya hao watu means tunavyoenda kwao twende na akili zetu zaidi ya kuwapa akili zetu

1.Tunamhitaji mzungu au mchina atupe technology.Hapa hatuhitaji kelele wala majadiliano bali tunahitaji watu ambao wako ladhi kuijenga Afrika bora.

2.Tunamhitaji sana mzungu kuliko mchina kupitia masoko yetu.Nikupe mfno mdogo tuu sisi leo tunaweza kulima matunda na mboga mboga na tukaimport ulaya and amerika lakini hatuwezi kuimport chochote nchi ya china coz wamejitosheleza kwenye swala la chakula.

3.Tunamhitaji zaidi mzungu kwnye technologia kubwa kuliko coz mchina kaendelea lakini sio kama mzungu alivyo mbali kitechnologia.

4.Mchina ni mnyonyaji tena unyonyaji wake ni wakipumbavu kuliko hata ule utumwa wa kiarabu leo mchina anadhulumu haki ya Wazambia kwaajili ya tamaa ya viongozi wachache waliokopa kwaajili ya matumbo yao,nenda Srilanka mchina kachukua bandari kwa zaidi ya miaka 80 ili kufidia madeni anyoidai,Lakini mzungu atakwambia kiasi ulichofikia huwezi kukopesheka mfn Ugiriki alifikia hatua hiyo na akasaidiwa na sahivi anauguza majeraha ya mwisho mwisho.

UJINGA WA KIAFRIKA NI KUAMINI KWAMBA KUNA WATU/NCHI ZINAPASWA KUTUSAIDIA BADALA YASISI WENYWE KUKAZA MSULI NA KUFANYA KAZI,SAHIVI TUNAMFURAHIA MKOLONI MPYA AFRIKA MCHINA,ni swala la muda tuu huyu mchina mnaemsifu leo mtakuja kumtukana zaidi ya huyo Mmarekani mnaemwona hafai
Tatizo sio kuhitaji mzungu wala mchina tatizo ni kuwa kati ya hao nani anaeuchafua ulimwengu na kuwagawa watu, mbona mnajitoa ufaham nyinyi au hamuoni kuwa mamilioni ya watu wameuwawa kwa sababu ya huyo mnaesema mdemocrasia mkuu, ACHENI UNAFKI JAMANI KUWEN WAKWELI
 
Watu watamtafuta sana shetani misikitini na makanisani bila ya kuelewa kwamba waliowajengea hizo nyumba za ibada ndio mashetani wenyewe.Mzungu hasa muamerika kwa sasa ni tishio kwa dunia.
Tena ni tishio kubwa bro, yaani nchi kubwa kama Urusi na China ndio maana zikawa makini, shetani mnyonyaji damu
 
Back
Top Bottom