eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 15,660
- 13,808
Hearsay - my foot! Labda nikulize swali dogo: Hivi wewe katika maisha yako umewahi kuishi Mataifa gani zaidi ya TANZANIA!!!
Tangu lini taasisi za Kiislam zikiwa in good books na Serikali za UK au USA - kwa taarifa yako idara za kijasusi za Mataifa tajwa hapo juu haziwezi ku-recruit Muslims katika masuala ya overt na covert operation ndani ya Taifa la China wata anzia wapi, narudia kukumbusha kwamba Chinese Moslems are no threat kwa usalama wa Taifa la China unlike some skewed and unpredictable Christians.h
Ahaaa haaa haaa
n what about that maxim use Muslim to kill another Muslim!!?