facebook , twiter , hi5... zimepigwa ban ndani ya china, google.com imechujwa ndani ya china inatoa results wanazotaka wao wenyewe... hawa jamaa wanataka contol tu, yasitokee yaliyotokea north africa
Wacheze mbali wachekwe AD!? Kila wakiona opportunity ambayo wanajua watatengeneza basi wanachangamka...Pia labda wanataka kuhakikisha wanakuwa na control ya aina fulani hasa ndani ya nchi yao.
muda si mrefu wata control dunia...