China imevunja moyo wangu

China imevunja moyo wangu

Nawatafakarisha. Vipi kama ile ndege haikuwa imembeba Pelosi kama ilivyotangazwa. Then China wakaishusha kama walivyokuwa wamepania. Then ghafla paaap Pelosi anaibukia Singapore na kurudi zake Washington?

Unaambiwa sasa huko Taiwan hakuna ndege wala yai kuondoka. China keshaamua sasa tangu jana usiku, liwalo na liwe. Maana kila wakati Xi alipokuwa anasoma ujumbe humu JF alikuwa anatokwa machozi balaa.

Ngojeeni kipigo cha Mmarekani!
 
Nawatafakarisha. Vipi kama ile ndege haikuwa imembeba Pelosi kama ilivyotangazwa. Then China wakaishusha kama walivyokuwa wamepania. Then ghafla paaap Pelosi anaibukia Singapore na kurudi zake Washington?

Unaambiwa sasa huko Taiwan hakuna ndege wala yai kuondoka. China keshaamua sasa tangu jana usiku, liwalo na liwe. Maana kila wakati Xi alipokuwa anasoma ujumbe humu JF alikuwa anatokwa machozi balaa.

Ngojeeni kipigo cha Mmarekani!
Hahaha
 
Yani ni ujinga kuanzisha vurugu kwa sababu ya mbibi , watu wamechoka kuishi unaanzisha fujo
 
China ni mandonga aliyechengamka😃

Anyway; tumwombe Mungu dunia ibaki kuwa salama. Vita siyo jambo la kushabikia au kuombea
 
Nawatafakarisha. Vipi kama ile ndege haikuwa imembeba Pelosi kama ilivyotangazwa. Then China wakaishusha kama walivyokuwa wamepania. Then ghafla paaap Pelosi anaibukia Singapore na kurudi zake Washington?

Unaambiwa sasa huko Taiwan hakuna ndege wala yai kuondoka. China keshaamua sasa tangu jana usiku, liwalo na liwe. Maana kila wakati Xi alipokuwa anasoma ujumbe humu JF alikuwa anatokwa machozi balaa.

Ngojeeni kipigo cha Mmarekani!
wee unachekesha sasa lol.
 
Nawatafakarisha. Vipi kama ile ndege haikuwa imembeba Pelosi kama ilivyotangazwa. Then China wakaishusha kama walivyokuwa wamepania. Then ghafla paaap Pelosi anaibukia Singapore na kurudi zake Washington?

Unaambiwa sasa huko Taiwan hakuna ndege wala yai kuondoka. China keshaamua sasa tangu jana usiku, liwalo na liwe. Maana kila wakati Xi alipokuwa anasoma ujumbe humu JF alikuwa anatokwa machozi balaa.

Ngojeeni kipigo cha Mmarekani!
Kuna mgombea urais moja kule Kenya anafagilia sana bangi eti akiwa rais ataihalalisha ilimwe nafikiri utakuwa wa kwanza kuhamia Kenya.
 
Nawatafakarisha. Vipi kama ile ndege haikuwa imembeba Pelosi kama ilivyotangazwa. Then China wakaishusha kama walivyokuwa wamepania. Then ghafla paaap Pelosi anaibukia Singapore na kurudi zake Washington?

Unaambiwa sasa huko Taiwan hakuna ndege wala yai kuondoka. China keshaamua sasa tangu jana usiku, liwalo na liwe. Maana kila wakati Xi alipokuwa anasoma ujumbe humu JF alikuwa anatokwa machozi balaa.

Ngojeeni kipigo cha Mmarekani!

Dah nimecheka ksge.
JF sihami.
 
Back
Top Bottom