Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Jamaa kaenda kumcheki mgonjwa wa kichina hospitali.Alipofika pembeni ya kitanda cha mgonjwa,kabla hata hajaongea neno,yule mchina akasema,'CHIN YAN YUN',halafu akafa baada ya dakika 5. Jamaa alipotoka nje ya hospitali akamwuliza mchina mmoja,nini maana ya CHIN YAN YUN?.Yule mchina akamjibu kwamba maana ya CHIN YAN YUN ni UMEKANYAGA OXYGEN TUBE!