1. Tafsiri inatoka kwa Kiarabu fasr, maana "interpret". Mizizi mingi ya Kiarabu ina "ta" mbele (fikr->tafakari, adhim->taadhima, etc)
2. Mawasiliano ni neno la kibantu. Kutoka zizi wasili (kufika, arrive) inatoka wasilia na wasiliana, kwa maana ya "kufika mtu kwa mtu mwingine".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.