MAKANJAMNA
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,138
- 1,510
Hebu fafanua hapo uliposema wanatokea Misri.
Hahahaaa kwa hiyo hapo ndio akawa ameshatongoza? Sisi huwa hatuna maneno mengi mengi ndio maana.Washari sana hawa watu! wana mkono mwepesi wa kupiga: yaani hata kutongoza kwao mmmmh! kuna mmoja eti aliniambia jana nimeota tuko wote tuna...., sasa naomba basi hii ndoto yangu iwe kweli!!!!
hahaaha Tatigha, kama ulikuwepo na akawa anataka muda huo huo twende tuka "duu" hata sijamjibu kuwa nimempenda au laa!!!!! alitaka shoo ya kibabe tehe tehe teheHahahaaa kwa hiyo hapo ndio akawa ameshatongoza? Sisi huwa hatuna maneno mengi mengi ndio maana.
Hahahaaa sisi kuongea ni sifuri kabisa,uongo uongo hatuwezi ila ukikubali kumpa mchezo kakumaliza, maana kama ulikua humpendi utaanza kumganda sasahahaaha Tatigha, kama ulikuwepo na akawa anataka muda huo huo twende tuka "duu" hata sijamjibu kuwa nimempenda au laa!!!!! alitaka shoo ya kibabe tehe tehe tehe
Wewe ni Muongo. Mkurya Sio Kama Mnavyodhani. Mkurya Huwa Hachokozi Mtu na Ni Mtu Mkarimu Sana. Mkurya Hataki Dhuluma, Kuonewa etc - Hucharuka Pindi Anapotetea Haki Yake Ila Kamwe Sio Mchokozi Kama Unavyodai. Mimi ni Mchaga, Nina Marafiki Wakurya na Sijawai Kuona Wako Hivyo UnavyosemaWashari sana hawa watu! wana mkono mwepesi wa kupiga: yaani hata kutongoza kwao mmmmh! kuna mmoja eti aliniambia jana nimeota tuko wote tuna...., sasa naomba basi hii ndoto yangu iwe kweli!!!!
mbe!Hahahaaa sisi kuongea ni sifuri kabisa,uongo uongo hatuwezi ila ukikubali kumpa mchezo kakumaliza, maana kama ulikua humpendi utaanza kumganda sasa
sawa, naona umetumia nguvu kubwa kuchangia comment yanguWewe ni Muongo. Mkurya Sio Kama Mnavyodhani. Mkurya Huwa Hachokozi Mtu na Ni Mtu Mkarimu Sana. Mkurya Hataki Dhuluma, Kuonewa etc - Hucharuka Pindi Anapotetea Haki Yake Ila Kamwe Sio Mchokozi Kama Unavyodai. Mimi ni Mchaga, Nina Marafiki Wakurya na Sijawai Kuona Wako Hivyo Unavyosema
hapana mimi ni MPAREDuuuuu wewe sio wa nyumbani kweli?
Naishi Mwanza, huwa ninawaona sana, japo wengi wanaishi Bugarika, Bugandonkali na kwingineko,hahahahahahaah kwa hiyo huwa nawasikia na hicho kihisishi cha "mbe!"Sawa maana nilivyoona mbe! Nikashtuka kidogo
Ni wayahudi asili yao we si waona si watu wa utani utani
Washari sana hawa watu! wana mkono mwepesi wa kupiga: yaani hata kutongoza kwao mmmmh! kuna mmoja eti aliniambia jana nimeota tuko wote tuna...., sasa naomba basi hii ndoto yangu iwe kweli!!!!
Ni kweli uyasemayo hatupendi blah blah nyingiNimecheka Sana.
Tatizo la wakurya hawapendi maneno mengi, yaani "just to hit the point" Ila akikupenda hana tatizo kabisa, hasa ukiwa siyo kabila lake.
Jamani, mtu asitoke povu la omo nimetoa maoni yangu na kutokana na nilichowahi kukiona!