chilambo chavanuvanahe
Member
- Jul 12, 2017
- 10
- 12
Wakuu mimi ni 1st year UDSM/COET.
Kama title inavyojieleza naomba nifahamishwe sehemu za kwenda kupata msosi pale mabibo hostel,siwezi kaa campus hata nikipangiwa napenda kaa mazingira mbali na chuo hivyo ni mabibo hostel.
Naomba nifahamishwe machimbo ambayo naweza pata chakula quantity 1st then quality inafuata au kama kuna sehemu naweza weka hata bill ya ukoko mnijuze tafadhari
Sema hata kama kuna sehemu kuna msosi mkali nijuzeni maana siku moja moja kula vizuri si vibaya.
Nawasilisha
Kama title inavyojieleza naomba nifahamishwe sehemu za kwenda kupata msosi pale mabibo hostel,siwezi kaa campus hata nikipangiwa napenda kaa mazingira mbali na chuo hivyo ni mabibo hostel.
Naomba nifahamishwe machimbo ambayo naweza pata chakula quantity 1st then quality inafuata au kama kuna sehemu naweza weka hata bill ya ukoko mnijuze tafadhari
Sema hata kama kuna sehemu kuna msosi mkali nijuzeni maana siku moja moja kula vizuri si vibaya.
Nawasilisha

