Biashara za kariakoo ni ngumu zana feki ndio zinatawalaKariakoo....kunafitina kubwa sanaaaaa juu ya baishara hizo unazosema, umeshawahi kujiuliza maswali yafuatayo?
Je wote wanauza kariakoo jumla, wanaenda China kweli?
Je wangapi wanaenda China kwa kariakoo, na kuwauzia wenzake?
Je wanajiita kuuzia jumla je nao wananunua wapi? China au kwa wabongo wenzio
Point NI hiii hapaa, wapo mason wachache hawazidi kumi ndio wanauza jumla, waliobaki wote NI fake Tu......na ili uwajue lazima upelekwe na wakongwe WA biashara hiyo........wakushike MKONO....
Na hapoo ndio linapokuja somi la mwam a mmoja anaitwa CONTRORAL.... Kuhusu kumkwepa middleman, japo wengi hawakumuelewaaaaBiashara za kariakoo ni ngumu zana feki ndio zinatawala
Mi mwanzo nilipata hasara ambayo siji kuisahau kwenye biashara yangu
Ila nilivyo zidi kwenda nilianza kupata kutoka kwa mawakala moja kwa moja ndio nikaanza kuona faida ya kuchukua mzigo hapo
Sio kwamba wanaroho mbaya.....hapanaa biashara inataka uwe hivyo,maana kwenye biashara,mkoa supplier wachache......demand ni kubwa,na pia kwenye biashara wachache wanataka kuwe giant kwenye gemu......ukitaka kujua Futuna ya biashara kamuulize lady jaydee.....jinsi wahindi wauzamaji na juis walivyompiga piniiiiii.....alitaka kuanzisha maji yake hapa dar,..........Aise ni kweli msenayo ndio mana tu huja humu kuomba msaada katika hilo la kupata wakala original, ila kibaya zaidi ni kwamba watanzania hatupendani, mimi nikishamjua wakala halisi wa bidhaa za aina fulan siwez kumuambia mwingine sababu sitak afanikiwe au afaidike.
Ndo utusaidie na sisiIla nilivyo zidi kwenda nilianza kupata kutoka kwa mawakala moja kwa moja ndio
Kabisa Maana Huwezi kuwafikia Wateja wote Kwa wakati mmojaNi kawaida watu ku justify roho za kwanini na uchoyo kwa explanation za demand and supply, hata siku moja huwez kufanya biashara unayofanya peke yako, kila mtu kaandikiwa rizki yake..ila bahat nzuri Mungu naye hua hawi mbali na waja wake, nyuzi ya machimbo ya kariakoo umo humu na wengi wamefaidika na zaidi kuna watu wametoa chimbo za maana, binafs nimefanikiwa sana kupitia huo uzi na pia naamin hiki nachoulizia nitapata pia soon. ...
Mkuu unajua kwa sasa wengine tupo huku mkoani mambo Mengi ya mebadilika walikuwa mawakala zamani saiz wamebadilisha biasharaAise ni kweli msenayo ndio mana tu huja humu kuomba msaada katika hilo la kupata wakala original, ila kibaya zaidi ni kwamba watanzania hatupendani, mimi nikishamjua wakala halisi wa bidhaa za aina fulan siwez kumuambia mwingine sababu sitak afanikiwe au afaidike.
Mkuu wengi walio kuwa mawakala wamebadili biashara hivyo huwa nachukulia huku nilikoNdo utusaidie na sisi
Mimi Manato a uzoefu wangu, wew unanilalamikia Mimi ndugu, Mimi sijui hayo machimbo.....Naona kama vile unanilalamikia Mimi,....Ni kawaida watu ku justify roho za kwanini na uchoyo kwa explanation za demand and supply, hata siku moja huwez kufanya biashara unayofanya peke yako, kila mtu kaandikiwa rizki yake..ila bahat nzuri Mungu naye hua hawi mbali na waja wake, nyuzi ya machimbo ya kariakoo umo humu na wengi wamefaidika na zaidi kuna watu wametoa chimbo za maana, binafs nimefanikiwa sana kupitia huo uzi na pia naamin hiki nachoulizia nitapata pia soon. ...
Hii kitu ni ugonjwa kwetu wabongo. Mbongo kukupa kitu ufanikiwe aisee ni wachache sanaAise ni kweli msenayo ndio mana tu huja humu kuomba msaada katika hilo la kupata wakala original, ila kibaya zaidi ni kwamba watanzania hatupendani, mimi nikishamjua wakala halisi wa bidhaa za aina fulan siwez kumuambia mwingine sababu sitak afanikiwe au afaidike.
How to order the productThere are billions of ways through which you can get in touch. I suggest the best medium to find them is online and you can find
at wholesale prices and you can experience change at shopsavvy by designing it yourself.
- Screen Protectors
- Phone covers
- Power Banks
- USB Cables / Charges
- Phone chargers
- Memory Cards
Nitafute nikuunganisheHizi Chimbo kwa mkoa wa Mbeya zinapatikana wapi?
There 6 simple steps to order any product on ShopSavvy. I will explain you with an example. See, If you want to buy Blank Popsocket, here are the steps you should follow.How to
How to order the product