Children of our future

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,142
Reaction score
859,465
Mtoto alipewa Kuku na Mama yake ili amfuge, na mtoto alimpenda sana Kuku wake, lakini mtoto huyu ndoto yake ni kua mwanasiasa mkubwa katika nchi yetu, siku Mbowe amefika Kigoma mtoto aliemwambia mama yake nataka nimpe Mbowe zawadi na nipige nae picha, mama akamuuliza mtoto unampa zawadi Gani mtoto akajibu nampa Kuku wangu ninae mpenda.

Mbowe baada ya kusimuliwa Stori hii alitimiza ndoto ya mtoto huyu na kuahidi kutimiza ndoto yake Mbowe alivua Skafu yake na kumvalisha mtoto huyu.
 
Hapo penyewe unawezakuta yupo kwenye chain.........mtoto wa mkuu mshana[emoji1][emoji1][emoji1]
mtoto wa mkuu Mshana[emoji419][emoji375][emoji2827][emoji23]
 
Nilitamani mtoto apatiwe kitu kikubwa zaid ya hiyo scarf.
 
MUNGU akiamua kuwa MTU Fulani hakuna wa kuzuia ebu angalia mifano ya viongozi kama Nyerere,mwinyi ,mkapa, na magufuli..njia za MUNGU hazichunguziki yeye akisema NDIYO hizo chains zinakuja zenyewe tu
njia za MUNGU hazichunguziki yeye akisema NDIYO hizo chains zinakuja zenyewe tu[emoji419][emoji375]
 
If we care about children they gonna have bright future
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…