mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
hii ya kwenda vjjni siku zote naiona a good move wasikomae mijini tu hapana!!
NAENDA KUHAMASISHA KIJIJINI KWETU MDAWI TUJENGE OFISI KUBWA KULIKO HIYO.
big up shemeji zangu.
Well done Chiku, maana umegundua kuwa CCM imekuwa ikizoa kura sana huku vijijini. Mkifanya jitihada kama hizi kwenye vijiji vyote hapa Tanganyika, hakuna wa kuwazuia kutinga ikulu 2015.
Dah!migoli ndo ngome ya chadema kwa Iringa vijijini,ni kijiji mji chenye vijana wanaojitambua!wamejitolea kujenga ofisi kubwa sana ya chama bila woga!!CCM wakae mkao wa kula mamluki kama Babu Nzwaga,Alex Ndilwa,lenard Mlongwa ni mamluki wa Lukuvi asiyewasaidia chochote hata ada ya watoto!MIGOLI twende twende msiachwe nyuma